Umenizaidia xn hapo apostle mtalemwa mungu azidi kutufungulia milango utafakari zaidi be blessed your teachings are a reality.
@jeremiahmbogua4424 жыл бұрын
Apostle Mtalema were wanibamba kwa injli, thank you son of major 1.Keep on in the Lord. I trust God to meet you soon. Pst Njuguna ,Kenya.
@upendoibrahim50304 жыл бұрын
Ninakuinua Mungu uliye keti mahali pa juu sana kwaajili ya Mtumishi wako Cheef Matalemwa kwa kuniponya nafsi yangu, kwa mafundisho na maombi kutoka rohoni, Amina
@safy22253 жыл бұрын
Ameeen mtumishi wa mungu niombee mtumishi mim huwa nawaota sana baba angu NA kaka angu shangazi yangu naota niko nao wakati wameshafarikigi NA pia naota sana kuwa nipo kwenye pori ambao limetanda sana giza
@gladysgladys73932 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah 🙏 mlango ufunguliwe wa uchumi kwa maisha yangu
@neemahamisi43024 жыл бұрын
Jamani hata Mimi kuna wakati huwa naona kama nakufa hata sasa hivi bado Nina hofu apostle amenisaidia kumbe napita l connect from Arusha Mtumishi niombee Nina roho ya hofu sana GOD BLESS YOU
@ninatitus85454 жыл бұрын
Hakika ntaisahau hali ya kale kwa Jina la Yesu. Asante Apostle
@kajujumary67293 жыл бұрын
Amen!! Amazing teaching so powerful. Nimfunguka macho. Thanks chief apostle.
@janemacha56424 жыл бұрын
Amen amen
@amerianyafredy63664 жыл бұрын
Amen Chief Nabarikiwa Sanaa
@esthermngodo70554 жыл бұрын
Amen amen! Am blessed with the word...surely, I will keep walking whatever the situation am in
@jamesdioniz32434 жыл бұрын
Amen Apostle huu ni Ufunuo wa hali ya juu, nimebarkiwa sana Mungu azidi kukutumia
@victoriamahanga37814 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri Mungu akubark Apostle.
@godianmande49204 жыл бұрын
You always bless me with your teachings Man of God, May God of Major1 preserve and bless you abundantly!!
@ritanjoki74612 жыл бұрын
Amen apostle nakuelewa sana
@stellamkude45634 жыл бұрын
hakika ninapita hii hali si ya kudumu sitolia tena naenda kwenye faraja na wale waliozani nitalia milele watatamani kuwa kama mimi i'm keep walking walking walking to my miracle in Jesus name
@neemammbando17404 жыл бұрын
Thank you Apostle.I will keep going.
@rithalukas42633 жыл бұрын
amen I receive
@clairemuchai6233 жыл бұрын
Amen mtumishi
@joycejumaa71814 жыл бұрын
Amen am blessed be blessed cheif
@angelshamael16494 жыл бұрын
Samahani nawezaje kuwasiliana na Chief Apostle! Am a man of God but I need divine breakthrough in my ministry through God of Major1 By Apostle!
@arihanie74204 жыл бұрын
Number zako?
@justinenjau79364 жыл бұрын
Ni rahisi sana, piga hizo number zilizopo kwenye screen yako juu kushoto yaani +255767960901. Mungu akubariki, mtumishi wa Mungu na kanisa linaomba kwa habari ya huduma yako.
@kamagerfkingdomgospel50634 жыл бұрын
@@arihanie7420 0784886282
@angelshamael16494 жыл бұрын
Amen Ahsante!
@angelshamael16494 жыл бұрын
@@arihanie7420 0766366229
@amedeusmmanga45354 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba
@ellymusa55984 жыл бұрын
Amen Apostle
@agnesnamtapika88423 жыл бұрын
Nataka uponyaji sasa kansa nipone vidonda vya tumbo kutapika kuishe Amen
@lucymhina45104 жыл бұрын
Ubarikiwe baba love
@careencharlescharles97494 жыл бұрын
Ameeen mtumishi nilikua siko sawa ila asnte
@angelshamael16494 жыл бұрын
Amen I receive chief
@oscanyakunga96744 жыл бұрын
Mungu Yupo nasi katika Yesu kirsto napitaaaa Babaa
@rosemarymallya44583 жыл бұрын
MY STN IS TEMPORARY AM PASSING THROUGH🙌🙌NATOKA💪💪NAPITA💪💪Zab 23:1-6🔥🔥🙏🙏🙏
@inyanje65282 жыл бұрын
Amen
@teddyeyembeeyembe43364 жыл бұрын
Amen i receive
@halimanangati.iconnect18464 жыл бұрын
Haleluyaaa napita Chief Apostle
@marymachete91523 жыл бұрын
Asenta kwa mafundishi apostle
@sullecom4 жыл бұрын
Aise we hatari kweli mtumsh kupambanua yaliyojificha
@careencharlescharles97494 жыл бұрын
OOOH MY GOOOD NAPITA 🙌🙌🙌🙌
@leopoldsindayigaya84464 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu.
@brovoclar27034 жыл бұрын
Nifundishe baba nahitaji faraja ya MUNGU wa kweli!! sitaki faraja ya watabishao nakataa katika jina la yesu
@farajamkuchu84584 жыл бұрын
Hallelujah,Napita kwajina la YESU asante sana Apostle
@rosemarymallya44583 жыл бұрын
KAMBA ZA MAUTI ZOTE ZIMEKATIKA KWA JINA LA YESU💪🔥💪I KEEP MOVING🙌💪🔥💪UNTILL I FIND MY DOOR🙌🙌🙌
@annekangaikathuni95233 жыл бұрын
👏👏👏♥️💯Amen!
@MarcoAthanas-cm7fj Жыл бұрын
Thanx alot appositle
@jackjacklin33103 жыл бұрын
Ameen
@lynnemelline16273 жыл бұрын
Wow. Wow
@safy22253 жыл бұрын
Ameeen napita baba
@hannahgodsonjoseph74574 жыл бұрын
Amen Chief
@qevents61134 жыл бұрын
I AM WALKING THROUGH
@justinenjau79364 жыл бұрын
Asante baba yangu mlezi kwa kuinua furaha na amani yangu
@salmakiyabosiriyamachoziha87564 жыл бұрын
Napita napita kila bonde la mauti
@rosemarylamsy32304 жыл бұрын
I keep moving in Jesus name
@mwl.michaelsainethmlowe26414 жыл бұрын
This is the misrable comforters how they do
@salomeshila36713 жыл бұрын
Napita katika situation ya utasa kwa jina layesu
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
kamba za mauti zimekatika kwa jina la Yesu
@sullecom4 жыл бұрын
Kweli mtumishi
@eliadimsaki97543 жыл бұрын
Apostle bwana atukuzwe nimeingia kwenye wokovu ila ninafanya biashara ya kuuza pombe sijui itakuaje.
@davidodaking82954 жыл бұрын
Barikiwa
@lawjoseph65904 жыл бұрын
Apostel je mavazi ambayo co sahii kwa madada zetu ktk makanisa ya sasa yanamupendeza mungu wachungaji wengi hawakemehi zambi kwa waumini yesu anarudi wapendwa
@arihanie74204 жыл бұрын
Ukawakataza utawanunulia haya madera? Ila waume zao na wachumba wao wanayapenda hivo mavazi yakuficha makovu mwisho kwenu
@janetyjacob40642 жыл бұрын
Wewe husikilizi neno Ila unachunguza mavazi sikiliza kwanza upone
@@arihanie7420 " waume zao na wachumba zao? Biblia inasemaje kuhusu matendo 5- 29 imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu
@jeremiahmbogua4424 жыл бұрын
Vain comforters are very common and very sly, we need wisdom to discern them.
@mwilemakala55784 жыл бұрын
bless you dady
@irenescott16824 жыл бұрын
Powerful
@maitrefrancois15234 жыл бұрын
YAANI UYU BABA UTA FIKIRI NI MIMI NJO IKO NAONGELEYA NA ATUFAMIYANE
@wamburawamba62914 жыл бұрын
Thanks
@brovoclar27034 жыл бұрын
Amen cheef
@edsonjohn56733 жыл бұрын
Zaburi ya 23👍
@farajahrogath25064 жыл бұрын
💖💖💖
@angelmsoffe3984 жыл бұрын
Aman mtume kila inapoitwa leo najifunza sn
@mwl.michaelsainethmlowe26414 жыл бұрын
Step ahead
@frankfrank15704 жыл бұрын
Ivi kanisa likowapi wandugu
@ednakynadongowi47554 жыл бұрын
Frank Frank lipo makongo juu kituo kinaitwa mashine hapo hapo ukishuka unaona kanisa hapo pia unaweza piga namba unayoiona hapo juu 0659675151 Au 0717960901 karibu sana na Mungu akubariki saana
@frankfrank15704 жыл бұрын
Barikiwa sana mpendwa huwa nataman kufika asant kwamuongozo