Hayo ni malez bora huyu jamaa na baba yake wana point hawakurupuk wanajiamin sana
@mwinukafundibombanjombe4 жыл бұрын
Kuna chakujifunza katika ukoo huu.
@faridaessa78444 жыл бұрын
Ameoa huyo kaka jamani mzuri alafu anajitambua sana
@thomassiruri62564 жыл бұрын
Umeishamtamani tayari? Duuh!! Yaani watoto wa kike bhana!!!!!!
@munaahmed84994 жыл бұрын
@@thomassiruri6256 watoto wa kike wengi wanapend vya bure na wangeon hiyo taabu wanayopar wasingelilia kirahis hivyo jmn wanaume tuwaheshim wanapata taab kutafuta pesa vby mno yaan kam sie tukiw wajawazito unajikongoja na mimba hujui umebeba mtu au jiwe mpk uzae ni hatu kubwa mno yaan kila wanadam kaumbiw yake taabu
@aderickvictor75714 жыл бұрын
Huyu mmasai kwel Kasoma maana anaongea point
@teddykanondo57534 жыл бұрын
Hawa yaelekea ni wacha Mungu sana.
@juliethgervas31944 жыл бұрын
Ameoa huyo...hataki mchaga🙄
@shabbymakapane19104 жыл бұрын
Hahahahahahahahaaa
@sylviaqatarqatar83614 жыл бұрын
😁😁😁😁
@upendotarimo93244 жыл бұрын
Ha ha haaaa
@faridaessa78444 жыл бұрын
Hahahahah
@husnamfuko61364 жыл бұрын
Umetisha
@annapeter49944 жыл бұрын
Hadi raha.
@kastokyando53474 жыл бұрын
kijana ana hekima kama baba
@fugameza60114 жыл бұрын
Mhm
@emmanuelimollel20424 жыл бұрын
Misl ya kimasai
@joycemwankusye71084 жыл бұрын
Msomi huyuu
@bakariathumani61394 жыл бұрын
Apo kira kitakacho ongeleka kwa watu wafamilia hiyo kitakua sawa
@munirafatma60904 жыл бұрын
Jamani kaka unamke
@jacklinemwanga16914 жыл бұрын
Hana yupo kwenye process za kutafuta je upo tayar?? Km upo tayar nimwambie nipo nae hapa
@tausingomeni25684 жыл бұрын
@@jacklinemwanga1691 fursa 🤣🤣
@jacklinemwanga16914 жыл бұрын
@@tausingomeni2568 changamkia tenda mwanamke
@rahmaoman51224 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️
@shabbymakapane19104 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaa
@khadijaomar27234 жыл бұрын
Kafanana na babake hadi mwanya
@munaahmed84994 жыл бұрын
Khadija wajina wng mwanya bhna hatreee mm ninao nimerithi kwa ummy jmn nikitabasm tu shida halafu si mkubw si mdogo yaan copyright na ummy watu wakinion hawauliz zaid wanasem tu mhhh huyu Sharif mwenyew masha Allah mungu akupe pepo njema mama yang kipenz yaan nafanana na ummy vby mno lkn sana san mwanya huu hater vimacho kucheka yaan acha tu
@mungunimwemakilawakatijeho4604 жыл бұрын
afu sasa huyu ndo kafanana na babaye chata za watu hazipotei sio kama yule kijana alieibuka tu na machozi ju eti mama ake kamwambia baba ako ni laiyza bilionea wakati hata hafananii duh hi familia mungu awatangulie wanabusara sana na mungu mbele
@asiajuma83304 жыл бұрын
Duuh hii habari bado tu
@barakapallanjo3194 жыл бұрын
Sidai naleng
@mwanamvuahalisi4924 жыл бұрын
Webaba mjoo unioe mke5
@rehemachindamba79014 жыл бұрын
Mungu nimwema sikuzote
@salhamrishoaish92924 жыл бұрын
Msomi aswaah
@unambwenaiman53554 жыл бұрын
Hellow
@marylenmlay4834 жыл бұрын
Jb
@janethludomya22334 жыл бұрын
Y
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Mawe ya mabilions zaid ya (20) mnampa 8,5 bilions kama sio wizi na unyonywaji ni kitu gani,nchi ya wanyongeni tuchimbe kaburi tuwazike jembe na nyundo🤣🤣🤣
@rahmaoman51224 жыл бұрын
Hujitambui ww na kwa liroho lako hilo utateseka sana 😏😏🤣🤣🤣 mtt wakike unakuwa muongeaji hivo haswa kwavitu ambavyo hujaviona kwamacho🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mathiascharles57694 жыл бұрын
Upumbavu unakusumbua.unajuwaje kama ni billion 20?
@rahmaoman51224 жыл бұрын
@@mathiascharles5769 Umeonaee kihere here tu na kiroho chake kibaya wachimbie wazazi wake hilo kaburi mwenda wazim huyu kama kaishiwa yakuongea niheli akae kimya tu
@mathiascharles57694 жыл бұрын
@@rahmaoman5122 kabisa
@faustinemavere14504 жыл бұрын
Sasha hata hayo mawe huyajui uliwahi fika lini mererani dhamani ya jiwe unaijulia wapi acha ujinga wivu wewe ungekuwa ndo umepata hiyo hela ungerudia kichaa leo ungepelekwa mirembe hujui hata dhamani ya jiwe unalopoka tu mweee