Money makes money..ni hivo tuu masai hakuwa na njaa hela since way back..kama unakubali gonga like twende sawaa
@itsvipi4 жыл бұрын
In English we say, Money begets Money. Meaning, the more money you make, the easier it becomes to make still more. You're right though, it means the same thing. Congratulations to the old man.
@newmuscat16984 жыл бұрын
Pont bro
@kidotanne4294 жыл бұрын
Namkubali Millard Ayo jamani😍twende pamoja taarifa zake ziko straight from bottom of my heart I like this guy please like for Millard Ayo 👍🤝🙏
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Kweli
@lilianestephanie78814 жыл бұрын
Me hunizidi
@hopesheby73443 жыл бұрын
Yaani me nikiona habari yoyote iliniwe na hakika Kama ni kweli naithibitisha kwa millad ikiwepo najua ni kweli kabisa Sina mashaka na Millad kajipanga kweli na atafika mbali sana inshallah
@tedymwandara54804 жыл бұрын
Mara nyingi wanaofanikiwa sana ktk maisha wana elimu kidogo tu.Ila wanaongozwa na nidhamu, kumcha Mungu na busara kubwa.Vijana wengi hasa wasomi mkipata tu elimu kidogo,mnadharau hadi ndugu na wazazi wenu, yes na no kibao mnakua mnaona dunia yote hakuna aliesoma.Muoneni milionea, very humble.Hana mambo mengi.Kavaa shuka lake ni simple tu.
@amanimanase57944 жыл бұрын
Hahahaaaa wakati wao wanajidai na vijisuti vyao
@kissarungereuwalemuuya17154 жыл бұрын
Nikweli kabisa nimeamini Maneno yako ndugu yangu mchangiaji asante sana kwa mchango wako mzuri sana na Maneno uyasemayo ni sahihi kabisa
@naimanurdin89844 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana Tedy Ila Kwa Sasa laizar Sio Milionea Ni bilionea Ujuee hakika Waja tuzid kuwa Ni Wenye khofu Ya Mungu Yote Inawezekana
@saumuhassan63654 жыл бұрын
True
@ramsikhamis70834 жыл бұрын
Upo sahihii kabisa ndugu yanguuu
@nafisaabdalla25994 жыл бұрын
wangapi wanawakubali hawa watu wawili ayo+lizer ayolizer gonga like zako apa.
@tonkud21114 жыл бұрын
😁😁😁
@mistere66014 жыл бұрын
Ayolizer😁😁
@lazaromaria53344 жыл бұрын
we jamaa umetisha
@ananiamkasu88474 жыл бұрын
Kumbe maombi yanachelewa ila majibu yake yana kishindo!! Amenipa moyo na hamu ya kumcha Mungu!
@claudiangowi95854 жыл бұрын
Kabisa Mungu akikubariki watu wataacha midomo wazi
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Kweli
@sumaiyamahamoud24884 жыл бұрын
Inatakiwa imani dhabiti
@josephmulle77084 жыл бұрын
Fagan
@fettymussa59324 жыл бұрын
Kwel kabsa!!mungu hamtupi mja waje naamin na me siku moja🙏🙏
@ttuhgtygyyygg2374 жыл бұрын
Nimeamini mungu yupo watu wa maombi gonga tukisema hallelujah
@khalfanikimanta66632 жыл бұрын
Wake wa nne fikiria hilo kwanza kuna hekma hapo
@khalfanikimanta66632 жыл бұрын
Watoto 30 pia kuna hekma hapo fikiria
@upendomndeme94784 жыл бұрын
Leizer anajibu kisomi na kwa utulivu kama msomi mwenye phd. Millard pia hongera sana kwa maswali mazuri, nakumbuka pia yule billionea wa Shinyanga aliyeuza madini ulimfata kumuhoji. Upo makini na vizuri Millard
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Hakika
@nickalreadyknows4 жыл бұрын
hahahaha ukiwa na hela bhn
@sidratybinkhamis28374 жыл бұрын
Jida
@noahakyoo45954 жыл бұрын
Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi
@noahakyoo45954 жыл бұрын
Millard Ayo napenda sana kazi yako na nakuombea Mungu akuinue zaidi
@naftalikisaka43804 жыл бұрын
Good interview hongera sana mmasai mwenye hofu ya mungu
@imaculatadominic70054 жыл бұрын
ana hekima , mtii ,mvumilivu , anamcha Mungu , si mkatji tamaa , wakati wakuinuliwa ulishatimia
@sylivesterandrewsylvester91204 жыл бұрын
Ishi utu Kaza buti, Mutangulize Yehova Mungu mbele.
@evarnyoni65354 жыл бұрын
Millard ayo mpole san mkalim mnoo kaka angu nakupnda buree maswali yko ata mtot anayaelewa😙😙😙
@vero574 жыл бұрын
Huyu mzee mstarabu sana, MUNGU AKUZIDISHIE
@khadijaomari93444 жыл бұрын
amini
@iviejustified81094 жыл бұрын
Kabisa hata hana makuuu
@berthasanga80764 жыл бұрын
Hakika,amen
@vickyshayo78804 жыл бұрын
Huyu ana hofu ya Mungu Acha Mungu amlipe ujira wake hongera sanà
@felistasiwale75824 жыл бұрын
Nkweli aisee, ana busara sana na hekima
@ginavlodrick44244 жыл бұрын
Hakunaaa Cha kukata tamaa nikufanya kazi na kumuomba mungu Ayeeeee piga kelele ake
@kissarungereuwalemuuya17154 жыл бұрын
Tumuamini mwenyezi Mungu kwa kila jambo kwani hakuna lisilo na wakati wake mtafutaji hupaswi kukata tamaa kwani Mungu yupo.na mbarikiwe wale wote mtakao muamini Mungu. Like kama unaamini Mungu anaweza
@petrozacharia10474 жыл бұрын
Interview nzuri sana muulizaji mzuri anayejibu yupo makini,
@carptentv68484 жыл бұрын
Hongera Mdogo Wangu milady nmeona ile Habari ya watu waivyojazana Kwa biionea aliyoifanya Kijana wako wa Arusha godii nakuona kama Bilionea ajaye
@khadijajuma38874 жыл бұрын
Bilionea kaishia darasa la Saba tu hakika mungu humpa amtakae bila ya hesabu tusikate Tamara hongera bilionea laizer
@mariaamosy27014 жыл бұрын
Kaka Millard mwenyez mungu aendelee kukupigania ktk kazi yako hakika ww nimtangazaji no1 nakupenda sn na napenda sn kufatilia channel yako God bless u my brother ❤❤❤❤
@friminamkenda74054 жыл бұрын
The man is gentle na mnyenyekevu hongera
@mwimamagasta22994 жыл бұрын
Fģ9ifo
@salimusaid73094 жыл бұрын
Hili ni darasa Kwangu wacha niendelee kupambana ubilionea nitaukuta mbele inshaallah🙏
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Salimu Saidi umenichekesha sana wallah basi inshallah
@sonianzotunga85754 жыл бұрын
InshaAllah Mungu wetu yupo
@salmaismail23634 жыл бұрын
Kikubwa kutokata tamaa na Kumtegemea Mungu Inshaallah Allah ataleta kheri
@sponsor78824 жыл бұрын
MZEE HANA BODY GUARD HATA MMOJA, WASANII WETU WAJIFUNZE.
@allymatilda75194 жыл бұрын
THE KING OF INTERVIEW MILLARD AYOO 🙏🖤
@ummuadam24234 жыл бұрын
Kma umeona mzee Hanaga haraka ya kujibu mpka umuulize gonga like
@mimiapa84364 жыл бұрын
Kwa kweli mtulivu sana pia kapata mtu mzuri wa kumuhoji
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Hana hamaki ya kujibu hakurupuki kujibu.
@bjzee19814 жыл бұрын
Wa Masai hawanaga mbwembwe. Angekua mzaramo hapo, au mdigo. Mamaaaaa
@neemamayco32384 жыл бұрын
Mstaarabu sana
@lifepathtve20334 жыл бұрын
👍👍👍maombi ni silaha
@mackmillan28034 жыл бұрын
Nimefrah Sana kusikia unampenda mungu,,,Mungu Amekushangaz hakika,,,Na hatakwacha we Endelea tu kumwamini...Amen
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Mashallah, Interview ya kizazi sana, Baba *SANINIU* uko vizur sana 😘🙏
@priscamlyuka55314 жыл бұрын
Nimetafuta coment ako nmeiona upooo jmn? Huwa napenda coment zako
@thadeimsoma72954 жыл бұрын
hongera sana mzee laizer,ila mimi ushauri wangu kwako,najua serekali imeshachukua kodi yake, ila umkumbuke mungu fungu la kumi tena umtolee jinsi ilivyo ili ubarikiwe zaidi ktk maisha yako, Mungu akubariki sana,
@fridaykwama77154 жыл бұрын
Mzee kumbuka kutoa fungu la kumi na hakikisha unatoa mahali panapohubiriwa Injili ya kweli ili Mungu aendelee kuwekeza kwako mzee.
@beatricekingsley50624 жыл бұрын
Anajenga kanisa ilo nifungu lakumi toshaa
@africavibe84674 жыл бұрын
Hahahahha ww wa fungu la kumi utabak ivo ivo mungu akuna mahal anaimiza ilo
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
@@beatricekingsley5062 Hahaha aisee
@johanajoseph8784 жыл бұрын
Kweli kabisa ila Mungu wa kweli haandikwi hivyo mungu❌ Mungu ✅
@saidthomas80724 жыл бұрын
Huyu mzee nimejifunza kitu kikubwa sana toka kwake hana papara na hizo pesa ila yuko na mipango mingi na pesa hawezi ipoteza kirahisi mana haendeshwi na hiyo pesa ila yeye ndo anaiendesha hapo ndo mana ya mtu makini kama lina phd kumbe ni darasa la saba ongera sana
@stellajapheti32624 жыл бұрын
Kumtegemea mungu Kuna faida
@josephmasarie12044 жыл бұрын
asante mwenyezi mungu kwa hii jambo umeifanyia brother na tz mungu akubariki kwa uaminifu juu mara wa kwanza mliamini ya kwamba akuna ugonjwa ya corona kwa jina la yesu Kristo juu makazi yenu inaendelea vzuri
@locallinks81564 жыл бұрын
Thumbs up for Tanzanian govt officials. Ingekua hapa kwetu, maafisa waserikali hao ndo wangekutoa uhai. Pongezi wa Tanzania.
@shalomkind45753 жыл бұрын
Nakwambia ingekua kenya!maafisa ndio wangemuua kiunyama sana .
@tomaaslkinyaaasitajwekwnin3484 жыл бұрын
Uyu baba ni tajiri tangu kitambo
@quadir084 жыл бұрын
Kuomba Mungu ni Kitu Kubwa Sana🙏
@kastokyando53474 жыл бұрын
yupo vizuri sana kuweka ibada every day
@comfycare12144 жыл бұрын
Such a humble man. Eeh kweli Mungu alisema ujishushe then yeye ndyo atakukweza.
@elisantenjau43524 жыл бұрын
Hongera sana mzee kwa kutambua uwepo wa mungu na ukweli unaonekana una hofu ya mungu,,barikiwa sana
@kiariedavid83704 жыл бұрын
ushirikina wake nikumuomba Mungu nduuu neema hiyo
@jicholafursa70584 жыл бұрын
Sasa bwana Millard unge upload mapema nisingemaliza mb zangu kule kwenye tv mbao,asante.
@jacksonngusi41224 жыл бұрын
Hongera sana mmasai unaongea vzr
@janethcharles74324 жыл бұрын
Mashalah,hongera cn mzee kwa kumcha mung,,na kutokata tamaa,,umenifundish kitu xn,,umeishia la saba lkn km una hpd,,,,,,duh,ama kweli mung mwema na hhamtupi mja wake,,hongera xn millad ayo kwa maswali mazur,,na mzee kajibu kwa ufaxaha na unyenyekevu mzr,,,glory to god any time,,🙏🏼🙏🏼👏🏻
@chekaextra58074 жыл бұрын
Wanawakubali Laizer wAGonga Like 🔥🔥 👇🔥 Subscribe Hapa Twende Sawa Wadau 🔥👇 kzbin.info/door/aS8hsEQnwQSMEQCT_GJIVQ 🔥🔥🔥 Nouuma na Nusu 🔥🔥🔥
@jessicabrown58854 жыл бұрын
Nice Unafanyaje kuweka link ya KZbin channel kama ulivyo weka
@loningologelieki13064 жыл бұрын
Pamoj sana Millard upon vzr
@faizaahamd20524 жыл бұрын
Kaka milad Uko Vizury sana nakupenda sana Sana💕💞💕💕❤❤❤❤❤
@mathewkissima7174 жыл бұрын
Ushirikina wangu ni kumuba sana mungu nimekulewa mzeeee 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@rubenisaitoti36124 жыл бұрын
Miladi nakukubalisan kwan wewe ni wewe nimt2 wapekee mungu akulindee
@khadijaomari93444 жыл бұрын
anampinzani
@mdeeboy8464 жыл бұрын
Karibu sana ndugu yangu😀😀, Millard laisaaa😀😀😂😂 Shikamoo pesa
@vailetaron57174 жыл бұрын
Big up bro utangazaji wako Safi
@mandyfitnesstv67384 жыл бұрын
Huyu mtu ni mnyenyekevu sana! Hongera Laizer!
@kulthumtwalipo29524 жыл бұрын
Usikivu wa hekima. Na kumtanguliza Mungu. Ni mafanikio
@lilianernest42844 жыл бұрын
Nimependa hajaacha asil ake ingekua wengne apo keshabadilisha muonekano wonderful enough he is educated masai without going to school
@lukasanga6854 жыл бұрын
Hongera sana @millardayo kwa habar za nguvu daima
@judithchinga73494 жыл бұрын
mtu wa Mungu, Mungu aendelee kukubariki sana mzee laizer
@filomenamashina59354 жыл бұрын
Mungu NI Mungu tuu hajawahii kumwacha anayemwamini. Kakujibu Laizer
@aisha-ro5fr4 жыл бұрын
@Millad ana sauti nzuri pia ana maswali ya hekima sanaa hongera bro we love youu kwa kazi yako ktk jmii
@jessicabrown58854 жыл бұрын
😅😅 millard bwana anauliza mpaka raha
@douglaskomba23044 жыл бұрын
Kabisa
@laylertalpha82264 жыл бұрын
Kabsaaaaa nampenda buree
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Hadi raha
@neemambega47524 жыл бұрын
Mungu huwashusha wenye kiburi bali huwapa wanyenyekevu wa moyo neema, hakika Mungu ameuona unyenyekevu wa huyu baba.Hata anavyoongea unajua tu hapa kuna hekima na busara.hongera sana baba Laizer.Tunacho cha kujifunza kutoka kwako baba hatakama sio ktk mafanikia makubwa kama hayo basi hata kwahaya madogo tuliyonayo.
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mungu ndio funguo ya misha
@mwagotimwanamvua58834 жыл бұрын
Millard Ayo wee ni handsome 💋💋💋😍😍alafu ur voice nayo, it's amazing 💝
@nurulaizer36874 жыл бұрын
Wisdom is everything!God bless you more!
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mzee Laizzer nakupenda kwa jinsi unavyojibu kisomi zaidi na huna pupa hongera na pongezi kwako.
@jenifajafari76704 жыл бұрын
Nimejifunza usikate tamaa kamwe💕blessed you
@shaabansoma76614 жыл бұрын
You have got money, Allah bless you and your family a new billioner of masai people.
@mathematicsforlife7834 жыл бұрын
Hongera bro Millard kazi nzur
@ebinssports53774 жыл бұрын
jamaa kaishia lasaba unaweza ukadhani ana phd.... anaufaham mkubwa mno.
Maisha ni mzunguko Kuna kupta na kukosa hivoo hongera yake Masai lizer kwa kupta ubilionea huo tz apa💪💪
@moussashamba7194 жыл бұрын
UZURI WA MAHUJIANO,,NI MASWALI..NAKUBALI SANA BRO BINGWA WA KUHOJI..IT'S EXCLUSIVE INTERVIEW
@idayagifty46514 жыл бұрын
Kumbe Millard ayo in mzuri hivi
@peaduuundugukwashidamarsha93854 жыл бұрын
Idaya mwambie akuoe
@mercyshilako91024 жыл бұрын
Pia mm nammezea mate Sana ,😂😂😂😂😂😂,namwitaji siku moja atutembelee huku kenya
@hidayaswai31194 жыл бұрын
Nimejifunza sana kwako na nitafuata nyayo mzee . Mungu ni mkuu sana. Huyu baba ni mnyenyekevu na ana hekima zoote.
@naimanurdin89844 жыл бұрын
Walah Millard Una Sauti Nzuri jamani MashaAllah
@tumeerewamiki74904 жыл бұрын
Inavutia wallah
@mgenisalim69474 жыл бұрын
Sana Wallah
@naimanurdin89844 жыл бұрын
Kumbe tupo wengi Tunaovutiwa na Sauti Ya Ayo😁😁Mi Mara Nyingi hata sisikizi mahojiano nasikiza Sauti tu Ya Ayo Inavutia Sana😂😂
@dickmalove55444 жыл бұрын
Mkampe sasa
@upendoeliudi51964 жыл бұрын
Hongera sana mtangazaji na bilionea TZ
@geofreybarama40004 жыл бұрын
Hongera Sana millad kwa interview nzuri upo update sana
@johnshilunga67844 жыл бұрын
Darasa la saba like hapa tujuane
@vincentkiprotich79594 жыл бұрын
Millard ayo anabobea kwa mahojiano.
@ashambarouk8794 жыл бұрын
Dah mzee laizer wwe ni mfano mzur kwa jamii ya watanzania hongera bilionea
@sylivesterandrewsylvester91204 жыл бұрын
Nice interview Serikali imupatie ulinzi wataalamu na fursa awekeze
@dismasmtui7294 жыл бұрын
Ila mzee ana busara sana.Napenda jinsi anavyojieleza na ni mtu mwenye hekima na busara kubwa.Angekuwa mtu mwingine kichwa kingepata moto sana.
@vanessalaizer43634 жыл бұрын
Angepata msanii fulani hapo tungekoma
@priscamlyuka55314 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 hahahaha kwaa kweli yaniii
@rachelelias19234 жыл бұрын
Laizer katulia sana.. maana alishazoa kushika hela.. Hata familia aliyona kubwa na anaijali vzr.. na kuisomesha.. lazima mungu angempa rizik asingemuacha.. mungu alishauona Mayo wake.. pia ni mpambanaj.. amenitia moyo sana....
@nickmwambene88004 жыл бұрын
Good interview
@ramlabaruani42024 жыл бұрын
Mmasai mwenye busara Sana much lov
@nasrimohamed75564 жыл бұрын
Millard naona hili umeenda kuhoji mwenywe hujataka mchezo kbsaa maana umepeleka vjana bt mzee umemuhoji mwenywe
@philemonmollel26924 жыл бұрын
Hongera Millard na kijana wako Gody na team yenu mmefanya makubwa sana,unawapa nafasi namkubali sana huyo dogo
@abuuramadhan80934 жыл бұрын
Darasa la Saba oyeeee
@abuuramadhan80934 жыл бұрын
Watu wengi wavumilivu wa maisha ni walioishia darasa la 7
@lilianwilfred32714 жыл бұрын
Hela zina mpangilio ...😂😂
@neemamayco32384 жыл бұрын
Mungu akusimamie baba hapa angekua mswahili yaan sahv angekua dubai huyu mzee amehastle miak 20 tuseme maan ameanza kupat manufaa 2015
@benjaminkisemei78634 жыл бұрын
Hongera sana mzee laiza uko mpole na kuonekana mtilivu sana ijapo ww billionaire
@aminahhuawei11334 жыл бұрын
Nakupenda sana bilion aidhak
@esterester56124 жыл бұрын
Saut ya Millard jaman tamu kuskiliza😊
@DavidMMKing4 жыл бұрын
Alifanya vizuri kutoenda shule maana shule zenyewe ni kama kupoteza muda tu. Hukute angekuwa mwalimu au daktari sasa 🤔 Mambo yenyewe yanayofundishwa shule yameshapitwa na wakati. Kinachotakiwa ni maarifa tu sio hizi shule za kutafuta cheti na sifa na kuongea Kiingereza cha ujanjajanja. Mungu habariki jitihada zake. Maarifa tu ndio muhimu na mtu unaweza kuwa na maarifa bila kupoteza muda ati kwenda shule
@alshabje71853 жыл бұрын
Hongera Sana baba kweli maneno yako
@muddymkamba3524 жыл бұрын
Mungu ndiyo chanzo cha utajiri mzuri,utajiri bila Mungu ni mateso..
@suleimanomar64674 жыл бұрын
Tumtegemee mungu tufanye kazi kwa bidii bila kukata tamaa na kuamini elimu ndo mkombozi👏🏿
@issaomary46124 жыл бұрын
Kusoma sana haikufanyi ufanikiwe. Maisha hayana short cut aisee.. Wengi wenye mafanikio elim zao ni kidogo.👏👏 laizer
@mirhatiealamin82554 жыл бұрын
Good interview..laizer anajibu maswal vizur sana
@sophiasophia69454 жыл бұрын
Nilikumis sana Millard mpaka nilikuwa nahisi unyonge Ahsante sana kwakuonekana tena
@elizabethejohn81274 жыл бұрын
Hongera sana masai
@user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын
Ubarikiwe mzee unahekma kubwa sana
@amosmahona4334 жыл бұрын
Milard nilikuwa najua sauti YAKO Ni mitambo kumbe Ni yako