MKALABOKO: SIRI NZITO YANGA YAWAGOMEA AL ITTIHAD KWA MZIZE | INJINIA NAE MMMH!!...

  Рет қаралды 16,149

Data Sports Tv

Data Sports Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 17
@abicotv4897
@abicotv4897 13 күн бұрын
Kama Mzize anabaki basi mshahara wake upande ufike kiwango ambacho wangemlipa
@FahadAbubakari-y3f
@FahadAbubakari-y3f 13 күн бұрын
Aliomba aongezewe mshahara wakina licado momo wakaanza maneno ooh aheshimu timu awe mvumilivu haya sasa waheshimu wamuwekee mzigo
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 13 күн бұрын
Tuache na timu yetu na MCHEZAJI wetu, hujui masuala ya ndani ya KLABU!
@TishaniUlanga-bj3nx
@TishaniUlanga-bj3nx 9 күн бұрын
Unajuaje kama hajaongezwa??
@AbelyMagu
@AbelyMagu 9 күн бұрын
Usitudaganye brother
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 13 күн бұрын
Madini ya nguvu sana fact tupu😊
@lutakiiza4671
@lutakiiza4671 11 күн бұрын
krementi akiitajika gongo au zambia nituona nibora kiliko kuitajika na waharabu bado kiwanga chake kinaitaji kuangaliwa san lakini ukimlazimisha kwakuwa nipesa basi unauwa kiwango chake na nyny nyageuka na kucheka na kumtukana alishindwa chama na mikisni mkawatukan
@GwamakaAmosi
@GwamakaAmosi 13 күн бұрын
Safi
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 14 күн бұрын
Wanamfelisha tyuu😂😂😂
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 13 күн бұрын
Yanga hawakurupuki kama Simba!
@carlsonshedrack5762
@carlsonshedrack5762 12 күн бұрын
Ni lazima muelewe yanga nilazima itumie pesa kubakisha nyota wake laa sivyo ita ingia sokoni kutafuta nyota wengine kwa gharama kubwa. Na pia watachukua muda kuzoeana na kuzoea mfumo na ligi yetu. So kumuuza mchezaji nilazima iwe imekuja ofa isiyoweza kukataliwa napia mkiwa mmeona mbadala kwani wakileta ofahiyo maanayake kumpata kamahuyo kwingine ni gharama zaidi ya hiyo. Wa Tz tuache mawazo yakijinga
@lutakiiza4671
@lutakiiza4671 11 күн бұрын
muache kudanganya wachezaji wa ndani mzinze bado san nyinyi mchzaji mnamsifia ikiwa amefunga mechi 2 mnamsifiiiiia nakuanza kupandambeguna yamajivuno akialibu maanza kumtukana
@salumkatembo4441
@salumkatembo4441 14 күн бұрын
Unge dadavua vizuri coz mpira wa miguu ulikuwepo kabla ya huo mwaka yaani ulianzia CHINA na huko magoli yalifungwa pia
@MuslihiShafii
@MuslihiShafii 14 күн бұрын
Lakini yanga kumuachia mchezaji ngumu
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 13 күн бұрын
Wana AKILI nyingi kuliko Simba
@omariaman7818
@omariaman7818 13 күн бұрын
Wana akili ndogo kuliko simba sema wanauoga mwingi kuliko simba
@DanielJamesNgulo
@DanielJamesNgulo 14 күн бұрын
Yanga waturuhusu aondoke kiwango kikishuka
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
🔴#LIVE: YANGA SC VS KENGOLD FC | LIGI KUU TANZANIA BARA
Mashambo Tv
Рет қаралды 3,4 М.
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН