Рет қаралды 294
MKANDARASI BANDARI YA UVUVI KILWA, ATAKIWA KUTUMIA BIDHAA ZINAZOZALISHWA NCHINI
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah akiwa wilayani Kilwa mkoani Lindi katika ziara ya Kiutendaji na kukagua mradi wa ujenzi wa bandari ya uvuvi ya Kimataifa, ambayo imefikia asimia 42 ya ujenzi wake amemtaka Naibu Katibu Mkuu, Sekta ya Uvuvi, Bi. Agnes Meena kuzungumza na mkandarasi wa mradi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, China Harbour Engeneering (CHEC) ili kuona namna ambavyo anaweza kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini na kuzitumia katika ujenzi.