LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...

  Рет қаралды 119,641

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 100
@connan9923
@connan9923 3 ай бұрын
Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi 🔥🔥🔥 kila mtu ana maoni yake Binafsi ila tujaribu Kuangalia Mungu anavyo mfungulia Mja wake Leonardo ❤❤, hata mimi na wewe Mungu anauwezo wa Kutufungulia Milango Tukapita kwenye Njia ambazo yeye alitupangia tupitie.Big up mwanetu Engineer Butindi
@hassanissah7141
@hassanissah7141 3 ай бұрын
Maneno mazuri sana Yan kimasihara ndo kashatoka na hapo anauwezo ndan ya miaka kadhaa akagombea hata ubunge akawa bungeni na hivo kasoma so kwamba hana kitu kichwani
@emmanuelmakaya7604
@emmanuelmakaya7604 3 ай бұрын
Umefanya vizuri.. Ila umekosea sehemu ndogo tu..upo kwenye mandhari ya siasa, ulitakiwa uchekeshe watu kupitia matukio mbalimbali ya kisiasa..
@AnthonyMchete
@AnthonyMchete 2 ай бұрын
Jaribu naww tukuone
@sigelamussa7016
@sigelamussa7016 3 ай бұрын
Makonda oyeeee❤❤❤❤❤❤❤
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 3 ай бұрын
Oyeeeeeer🎉❤
@Naahlyan
@Naahlyan 3 ай бұрын
Siasa imempendeza sana
@musajoseph7896
@musajoseph7896 3 ай бұрын
Watu wana stress Acha wafurahi.
@LumolaSteven
@LumolaSteven 3 ай бұрын
Jamaa anarudia sana
@kenedymwamagemo1066
@kenedymwamagemo1066 3 ай бұрын
He is trying really hard not to say something offensive to the government
@augustinomkongwa5444
@augustinomkongwa5444 2 ай бұрын
Sharp minded person kongole Leonardo
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 3 ай бұрын
Nchi ngumu sana hii
@daudphilimon4317
@daudphilimon4317 3 ай бұрын
Kuna namna Leo umechemka Kaka sema unajua sana
@EliasHassan9
@EliasHassan9 4 ай бұрын
🔥🔥
@LumolaSteven
@LumolaSteven 3 ай бұрын
Jamaa kazingua sana kujiingiza kwenye siasa. Angebaki kwenye kazi yake
@AnthonyMchete
@AnthonyMchete 2 ай бұрын
Zingatia maokoto
@kamanyile
@kamanyile 2 ай бұрын
Wee jamaa natamani sana uingie katika siasa angalau upate uwepo hata mkuu wa wikaya furani unaweza
@siamnyone8403
@siamnyone8403 2 ай бұрын
Ili Afe😂
@thetrailerzone2791
@thetrailerzone2791 4 ай бұрын
Makonda hoyee hawa wanazingua
@stanleyshoo
@stanleyshoo 3 ай бұрын
Watu wana maisha magumu wewe unawapelekea wachekeshaji
@dostovan5142
@dostovan5142 3 ай бұрын
Hii audience sio ya comedy
@ThomasAlute
@ThomasAlute 3 ай бұрын
Kuna viongozi wa hovyo sana katika nchi hii
@officialfadhilomar5249
@officialfadhilomar5249 3 ай бұрын
😂😂😂wananchi bwana....sasa mtu anachekesha wao wanapiga vigelele tu
@barakapaulo-j9z
@barakapaulo-j9z 23 күн бұрын
Wwe hatar
@JilalaPawa
@JilalaPawa 4 ай бұрын
Huwezi ukawachekesha watu wa mkoani kwa story za mambo ya dsm
@mozahsalum8882
@mozahsalum8882 3 ай бұрын
Uchichemeee hivyooo
@erickmsigwa1351
@erickmsigwa1351 2 ай бұрын
Amini
@RamadhaniMshana-gk6vm
@RamadhaniMshana-gk6vm 4 ай бұрын
Makonda oyeee
@DanielMjengi
@DanielMjengi 4 ай бұрын
Hivi Hawa ni viongozi au vikojozi????
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂🎉🎉😂
@djfunk255
@djfunk255 4 ай бұрын
😂😂😅
@MussaMussa-u5f
@MussaMussa-u5f 3 ай бұрын
Wamekukojolea wewe
@uhakikatv255.
@uhakikatv255. 3 ай бұрын
utani utani hivi hivi unaweza ukajikuta leonardo unakula teuzi
@chengaclassic2430
@chengaclassic2430 3 ай бұрын
Ni kweli Kbsa
@Goldsteinmichael
@Goldsteinmichael 3 ай бұрын
Hii nchi hapana kwa kweli
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 4 ай бұрын
MAKONDA ANAUPIGA MWINGI ARUSHA
@amosmangura
@amosmangura 4 ай бұрын
Ccm ni dhaifu kweli bidii binafsi ni Friday kwa ccm cha kikuu at maingizo ya2 wasanii
@mohamedally4496
@mohamedally4496 3 ай бұрын
Huo muda makonda hana hapo kero kama 2 zingeshamalizwaa yaani paap
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 ай бұрын
Audience ngumu sana watu hawacheki. Bad day at work
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 4 ай бұрын
MAKONDA OYEEE
@MollelMollel-il4rg
@MollelMollel-il4rg 4 ай бұрын
Hiyo ndio kero za wananchi
@chage97
@chage97 4 ай бұрын
Mavi mavi mavi
@siamnyone8403
@siamnyone8403 2 ай бұрын
Ya bibi ako😊
@danielmakelemo2395
@danielmakelemo2395 3 ай бұрын
Kwa makonda huu muda hautumiki vibaya
@robertzamani5612
@robertzamani5612 4 ай бұрын
Baada ya kutatua kero mnaweka wachekeshaji
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 4 ай бұрын
Unataka kila mda walie?
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@JilalaPawa
@JilalaPawa 4 ай бұрын
Wananchi walijiandaa kusikia utatuzi wa kero zao hawakujiandaa na kuchekeshwa
@PiusNjelekela
@PiusNjelekela 4 ай бұрын
tusikilize kero
@octavian54
@octavian54 4 ай бұрын
Unajua Sana Ila haupo mahala sahihi kikazi
@ELIMRINGITILLYA
@ELIMRINGITILLYA 4 ай бұрын
Hawa siyo viongozi ni vikojozi wanaleta comedian kwenye kero za wananchi.
@davisnziku
@davisnziku 4 ай бұрын
Ulitaka wamlete diamond ndio ushangilie acha roho mbaya we mjinga
@iam_sami
@iam_sami 4 ай бұрын
Weee jmaaa kweli finyu kwann uliacha shule 😂😂😂
@JamesPaulo-oz7tb
@JamesPaulo-oz7tb 4 ай бұрын
Comedy ni Sanaa pia😂😂
@AllyMauga-hq5vm
@AllyMauga-hq5vm 3 ай бұрын
Huna akili wew
@greaterjustin2231
@greaterjustin2231 3 ай бұрын
Kwahio angeletwa harmonize, alikiba,diamond ndo ungeona ni sawa? acha nao wapate ridhiki
@NjiranTz
@NjiranTz 4 ай бұрын
Angalieni na umri wa kuchekesha
@ronaldowilson8165
@ronaldowilson8165 3 ай бұрын
Huyu hana comedy,anarudia rudia zanyuma.Ndaro always winner.
@elsabio11
@elsabio11 3 ай бұрын
Nenda kachekeshe ww utoe vitu vipya kila show
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 3 ай бұрын
Mental illness is a serious issue in bongo, this guy needs help
@Mwita171
@Mwita171 3 ай бұрын
Na nyie comedian tutawatenga mkiendelea hivo
@sylivestersalatiely8985
@sylivestersalatiely8985 2 ай бұрын
Hajawahi kujua kuchekesha huyu,huaga analazimisha watu wacheke.Not talented
@mshindisanga6530
@mshindisanga6530 3 ай бұрын
Jukwaa la leo halioani na talent
@sigelamussa7016
@sigelamussa7016 3 ай бұрын
Makonda safi
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 4 ай бұрын
😂😂😂 wachekeshaji wengine labda stress zetu ni nyingi ndo mana hatucheki
@muhsiniamiri9310
@muhsiniamiri9310 4 ай бұрын
anarudia rudia hamna la Maan namkubal Ila leo hajanifrahisha
@contempo_builders
@contempo_builders 4 ай бұрын
Una D ngapi kwanza?
@KLYLIANTHOMAX
@KLYLIANTHOMAX 4 ай бұрын
Kifupi alijipanga tofauti ameona mapokeo sio kuridhisha kama mmegundua akaanza kujazia vipengele vingine
@ellytech9757
@ellytech9757 3 ай бұрын
Actually, comedy ya mikoani haitaki visa vya kisomi sanaaa au kimjini sanaa. Ukiweza ongelea nyani, mbuzi na kuku 😂
@KiboJoseph-cc5eu
@KiboJoseph-cc5eu 3 ай бұрын
tatizo unajua liko wapi,? mkutano wa maendeleo, ni tofauti na mazingira ya uchekeshaji watu hujiandaa kucheka kufurahi, hapa watu wamejiandaa kupewa hoja za maendeleo, so kuna namna unatakiwa kubadili jumbe na tafuta group tengeneza tafuta jumbe za vichekesho za namna mbali mbalimbali utakuwa bora hata sehemu ngumu, okay
@sozimelody8333
@sozimelody8333 3 ай бұрын
Fundi
@BenardChegere-nl4mj
@BenardChegere-nl4mj 2 ай бұрын
Achen roho mbaya ninyi
@tanzalandtv3311
@tanzalandtv3311 4 ай бұрын
Unarudiarudia content mkuu
@JninjaH2R
@JninjaH2R 4 ай бұрын
Sio rahisi na huyu jamaa ana kazi nyingi kuliko comedian yeyote
@jeffhard5773
@jeffhard5773 4 ай бұрын
Ndio akafanye hizo nyingi alizo nazo hapo awaachie wasio na Mambo mengi na sio lazima ufanye kila kitu Wakati Kuna wengine Wana weza kufnya hayo hayo
@KishoraKishoralimbu
@KishoraKishoralimbu 4 ай бұрын
Content hana kila anachokifanya alishakifanya kabla
@imamhussein1104
@imamhussein1104 4 ай бұрын
Lini hao watu walienda mlimani city.?
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 3 ай бұрын
Ulikua unapuyanga tu hapo
@michaelcharles49
@michaelcharles49 3 ай бұрын
Anarudia rudia sana
@fwc5552
@fwc5552 3 ай бұрын
Kwisha kabisa
@imanimbwaga7005
@imanimbwaga7005 3 ай бұрын
hii umezinguaa
@JamesJoseph-l4n
@JamesJoseph-l4n 3 ай бұрын
Kwanini
@djdseth
@djdseth 2 ай бұрын
@imanimbwaga7005 we ungeweza ata kushika maiki au unalopoka tu
@Mwita171
@Mwita171 3 ай бұрын
Tunawathamini lakin kama mmeanza siasa za kutumiwa tutawakwepa
@user-xy8kl9wd2i
@user-xy8kl9wd2i 4 ай бұрын
Wao hawasikilizi hata kero za wana nchi
@josephminja7953
@josephminja7953 3 ай бұрын
Tatueni kero kwanza komed bdae😢
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 4 ай бұрын
Tatizo mnarudilia sana comedy zenu kila siku ni zilezil
@JninjaH2R
@JninjaH2R 4 ай бұрын
Unadhani rahisi kupata comedy mpya Kila wiki
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 4 ай бұрын
Ni raisi sana tu dada waweze kubuni zaidi maana tumeshachoka kila mwezi bhn kiasi kwamba tunashidwa kukata ticket 🎫 ili tuweze kuwaona maana story ni zilezil
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
33:56
BBC News Swahili
Рет қаралды 177 М.
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:57
EVA mash
Рет қаралды 3,3 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 1,8 МЛН
The day of the sea 😂 #shorts by Leisi Crazy
00:22
Leisi Crazy
Рет қаралды 1,7 МЛН
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 243 МЛН
LEONARDO ALIVYO CHUANA NA JOLMASTER
9:00
Cheka tu
Рет қаралды 629 М.
MCHUNGAJI HANANJA AINA NNE ZA MAHUSIANO, AINA NNE ZA MKE
20:39
Tacmen Group
Рет қаралды 642 М.
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:57
EVA mash
Рет қаралды 3,3 МЛН