show nzuri, DIVA yupo open ktk kila kitu chake, amejibu kila swali hata nilivyokuwa sitegemei amejibu kwa ufasaha.
@nancyg86643 ай бұрын
😂😂😂 mwijaku enzi izo sio famous
@RamazaniMulongeca8 жыл бұрын
Daah .. #interview ilikuwa mzuri kabisa.. nilitaka jinsi #Diva alijibu maswali japokuwa hayakuwa mengi nayenye ubora zahidi kama #Salama anavyo fanyaga Kazi yake.... Kilicho niboa nipale wote walipo ondoka wakamwacha #interviewee by herself.. kama ndo new #rules hahija kaa poa.. ila big up...
@preciousfml8 жыл бұрын
U mean interviewee ??? Maana interviewer is salama
@fatmasalum27378 жыл бұрын
kaboa haruhusu maswali kutoka kwa wahusika wa kipindi but hongereni mkasi tv kwa kipindi kzr na pia ilove mumy diva yuko powa
@miriamngosha68566 жыл бұрын
Uyo mwenye kucha amaliz tu kuzikwangua hizo kucha 🤔 manake mpk anakera
@rozzyvan21698 жыл бұрын
i love Diva she's open
@marycelineevergreen92578 жыл бұрын
hahhahaaa my friend aliniambia ingilishi imakuja na meli. jamani khaaaaa!!
@umugwanezarosette73335 жыл бұрын
Niko mutu wa Rwanda,napenda sana jabir
@DidahDida5 жыл бұрын
Safi sana .yani upo kama mie love you Dive😘
@nasrinavuai59648 жыл бұрын
Did she really say Ray C looks kinda "fart?" 😂😂😂😩
@najmaadam93318 жыл бұрын
she is too open awesome
@stanleyamlima20856 жыл бұрын
kweliiii
@machozidamu19468 жыл бұрын
pum.....vu kabisa...jinga nyusi alizopewa na mungu hazikumtosha kaona aongezee nyingine kama vile mdori...
@abm41838 жыл бұрын
yani huyu akitoa make up...sijui anakuwaje...uwiii kama zimwiii
@cgggfgghsxzfghg8 жыл бұрын
Nice salama watching nikiwa hapa SaudiArabia
@josephmurphyjosephmurphy72947 жыл бұрын
huyu demu boya sana sidhani kama anajielewa vizuri upeo wake mdogo sana
@judyhimiri29998 жыл бұрын
daaah nimependa alivyoongea so open nampenda sana diva
@nadiazacharia17658 жыл бұрын
divaa kafungukaa snaa very nicee
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
Miguu za footballer
@chamieadam71388 жыл бұрын
Diva you lied to us,hebu muangalie Diva wa kwenye nyimbo ya Pingu na Desso ile Joanita jamani she was her,Upendo kwa jina lake halisi leo hii anasema hajichubui aaaghhhh shit,watu maarufu wengi wao waongo sana
@ummieshekibula16277 жыл бұрын
Wooow.! ts awesome...
@FatmaAli-ws7gk7 жыл бұрын
panua paja mkwaja wajaa😂😂😂
@khuliz8 жыл бұрын
DIVA umeongea points Hadi raha 😄😘
@abdulkay31848 жыл бұрын
salama jabir tuletee soudy brown gossip coup makorokocho tutafurai zaidi
@fahadfahmy8 жыл бұрын
Salama Manunited Forever big up
@breezybabe00198 жыл бұрын
haha diva messed up aliposema she wants to be like him (kim k).... 😂😂😂😂 duh
@1salema18 жыл бұрын
i just wanna be like him 😂😂😂 nimekufaa
@breezybabe00198 жыл бұрын
+iddy mbugi i think salama haku notice... angeisikia angemchana hadharan..English inaweza mshushia mtu heshima wallah 😂😂😂
Hahahaha da salama ww nko jordan but najiona hom penda ww sana
@antoninatsuma83678 жыл бұрын
ok hhhh haki umenishika sana okhhhhh
@stellanestory70228 жыл бұрын
nice show
@winniesamsoni69652 жыл бұрын
Mikatani haikubali
@mandalaadam98318 жыл бұрын
good interview mistake ndogo ndogo ni za kawaida coiz wote ni binadamu
@fortuneakankizya53367 жыл бұрын
Salama ni mshenzy and akili balaah maswali yake duh big up
@bakarininga61176 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 salama eti unajua we bado mdogo ila diva ni mpumbavu
@aishaeliaslocalmusic84967 жыл бұрын
love you salama
@doctorukia8 жыл бұрын
John anajua kuhug wanawake. That's how you hug a lady!
@bavonmolly95668 жыл бұрын
lol pretty pretty Diva Hataree 😗🙆
@frankomart58018 жыл бұрын
Nikiwaza show ya Mohammed Dewji afu na hii naona kama nimekosea channel. au kuna show tofauti. SUMMARY: BULLSHIT
@kideo67038 жыл бұрын
+Frank Kinubi kabisa man inabidi ziwepo aina za show za mkasi. Iwepo mkasi important na Mkasi bullshit or upuuzi.
@tinaleonard38938 жыл бұрын
mm simuelewiiii mjuee ynii bdo namshamgaa
@nancynyaga767514 күн бұрын
Am chai ??? Jesus it is am shy
@mosesabwao26738 жыл бұрын
Salama Jabir Man United damu oioioioioi
@Sppah6974 жыл бұрын
Ovyoooo!
@alineburundipendo24948 жыл бұрын
love u diva
@husseintemba60988 жыл бұрын
yuko poa saaana diva
@marycelineevergreen92578 жыл бұрын
salama ni chiz ati muba vua tuone khaaaaa!!!
@wensyenmalumi91508 жыл бұрын
I love u diva
@eminja76448 жыл бұрын
love diva
@hasandeosho20327 жыл бұрын
lov diva xna
@bennewtonjulius76767 жыл бұрын
diva u so 4midable!
@jacklinedastani61128 жыл бұрын
mi nimependa kweli yaani usiishi watakavyo watu na ustar wa mtu ni wake na family yake heshima mbele
@judyhimiri29998 жыл бұрын
nimeipenda sana interviwe ya diva
@keifatuke15855 жыл бұрын
Mwijaku
@mwajumabilali12168 жыл бұрын
nice
@greeneraston45487 жыл бұрын
Me I like you diva do ya thing girl
@mrsdandia73457 жыл бұрын
Mmmh waswahili bwana
@adellahmdede93846 жыл бұрын
I like her, sh'z real
@anwarjama5598 жыл бұрын
Just wanted to know mulijuae Kama most boxers hunuka Ina maana wamekutana nazo nyingi ...
@cleophacemgaya14768 жыл бұрын
safi sana
@HhHh-wh1sk8 жыл бұрын
iko kicketi mweeee ndo mambo yakisasa ayo yakuka uchi jaman badilikeni siungekaaa uchi kabisa tuone namatako kiuna vilivyo umbika iiiiiii lana
@janekinuthia82128 жыл бұрын
asiiiiiiii🙌🙌🙌🙌
@ahmedalminshad12117 жыл бұрын
Hahaha, Salaama
@happyroth88588 жыл бұрын
Lve xna diva
@nyanzasuck51358 жыл бұрын
Diva wewe mbovu kaa nini. Unauthii . Jamani unachoma picha ya Kitanzia na East Africa nzima.
@aishaeliaslocalmusic84967 жыл бұрын
salama hoyeeeee
@nyanzasuck51358 жыл бұрын
Unauthi Na tena wachoma picha ya East Africa yote.
@zuhurasalim49268 жыл бұрын
duh diva hupendi wimbo wenu wataifa lol yaonesha hujielewi
@hosanarozane26248 жыл бұрын
Nimeipenda interview ya Diva,pple please don't judge coz ulimi hauna mfupa,kuteleza si kuanguka!!!
@mariahhaule41027 жыл бұрын
Hosana Rozane yn km wao uwaga awakosei kwani diva malaika mpk asikosee guys eeeeshiii
@husseintemba60988 жыл бұрын
uko poa saaana diva
@yasserabubakar61678 жыл бұрын
sj i respect u n i love mkasi show but please people like diva its better to quit if u dont have guests from the industry.
@hajivuai34545 жыл бұрын
Kitendo cha kusema ananukia tayari anatakiwa aende akaoge janaba.
@calvinbrown52878 жыл бұрын
shoo ya mikasi iko poa sana ila nataman kama kungekuwa na add ons za image like kipindi unasema diva alikuwa black zaman ingekuwa poa kama picha yake ya zaman inapita labda alikuwa kijijini picha inapita tena..............ingependeza sana
@husnajohn74665 жыл бұрын
Hawa ndio wale watanzani wenye roho mbaya na nchi yao
@FatmaAli-ws7gk7 жыл бұрын
baibui😂😂😂😂😂😂😂
@peterxquar80737 жыл бұрын
i lik mkax
@angelispeterson56058 жыл бұрын
30:58 dear Diva, i speak English too. but i've never heard or learned anything like 'a ol' badala ya 'at all'. Yes, umesoma Cambridge then speak proper Grammar, Ilybtw!
@Aprilsimba8 жыл бұрын
+Angelis Peterson hahahahah not a all
@vinv63237 жыл бұрын
ts so astonishing for real...n trust me phonological fluency is something they got no knowledge about.. in other words,both inter mixing and switching is what they know
@jojoinarukundo31107 жыл бұрын
Angelis Peterson hahahahaha
@wildatmsellem75315 жыл бұрын
Dah uyu dem mshamba ndo kuvaa gani uko
@alimima22018 жыл бұрын
i love u diva my baby she is name Giselle 2
@naomeetori1218 жыл бұрын
Akili ndogo ni Mzigo Lol!! Ati Maua na Dinner...Hajui wimbo wa taifa?
@francisziwe56718 жыл бұрын
unatuhuzi na kingera wa mtanzania bana
@janusqm127 жыл бұрын
mzushi huyu! Eti hajichui wakati mikono ina rangi ya chui sijui maeneo mengine itakuaje
@hashimmusa94857 жыл бұрын
mpuuzi wimbo wa taifa wa kizee
@jameskilavo44788 жыл бұрын
reuben ndege nchakali ur right
@catalanink1748 жыл бұрын
napenda salama anachokifanya
@calvinbrown52878 жыл бұрын
ila hapa mlikosa maswali kabisa yaan
@husnajohn74665 жыл бұрын
Yaani kabla hujasema huo msemo nikianza kusema mimj
@nancynyaga767514 күн бұрын
Amesema Diamond was nobody?
@dominicemiliano61498 жыл бұрын
Mkasi na mchomvu tunaomba
@allyomary93186 жыл бұрын
Zitto??
@maluliemmanuel51788 жыл бұрын
hiki kipindi hiki nakipenda sana yani i wish kiwe milele
@godfreyndyanabo24628 жыл бұрын
dah kati show bullshit za mkasi ni hii,,, though its funny for some people
@pennystang60656 жыл бұрын
Tafutwa tafutwa tuu utafikiri ni wewe tu hutafutwa ata sisi hutafutwa.miaka inaenda tu mwishowe utajitafuta.thought of a day
@paschalcosta39988 жыл бұрын
Ujingaaaa tu Huyu demu mshamba sanaaa!!!
@umeedkassam69748 жыл бұрын
Wanabees
@kayoka31athuman938 жыл бұрын
diva ni box kamuanika mwinjako
@ihathoya39568 жыл бұрын
si shikani na watu wa kawaida ni wapi hao sote wamoja dada game ni hapo peponi