Wangapi walioguswa na msuba wa ruge hadi wakaitafuta hii intaview yake baada ya kifo chake leo ndio mara kwanza kuiangalia tujuaneni hapa kwa like zenu bc natuzidi kumuombea boss wa clouds apumzike salama
@farijidee23865 жыл бұрын
Nipo hapa
@hasnakimaro84945 жыл бұрын
Am here
@kaiemujaya76975 жыл бұрын
Believe me, nimeiangalia hii baada ya kifo cha huyu Legend.
@ramzanqarim49775 жыл бұрын
Mi hapa nikiwa +966
@stellaloves98795 жыл бұрын
Mimi ndio nagalia Leo pumzika kwa Amani nimilia siku zote na sikujui from Kenya but kifo yako imeniuzinisha
@charleswilliam73545 жыл бұрын
Duh! Kumbe ndio maana Clouds imesimama imara kwa muda mrefu. Huyu jamaa alikuwa genius.
@kaulimbiu1815 жыл бұрын
Huyu ndio boss Ruge anayemulikwa leo hii November 2018. Kwa kweli jamaa ni stadi, mweledi na mwenye maono kwechekweche. Alichokiongoza Mungu hakipotoshwi na mwanadamu. Big up boss Ruge, Mola akutangulie kila khatua. Kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. 👏👏👏👍👍💯💯💯👊👊👊👍👍
@chibudangote54465 жыл бұрын
Watanzania poleni sana kweli mumpoteza mtu wa hekma Sana love from Kenya
@mgishajafali99045 жыл бұрын
Dah
@annethmwasamwene51105 жыл бұрын
chibu dangote asante sana 🙏
@emidahayoub88495 жыл бұрын
Ahsanthe saana
@methodmbovella41455 жыл бұрын
Thanks bro
@nickalreadyknows5 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@aishasaid67005 жыл бұрын
Sichoki kuitazama, Ruge ulikua the best...we're the dust and to the dust we shall return..R.I.P legend😭😭😭
@magymagy21565 жыл бұрын
Mungu wetu akuweke mahali pema pepono kaka Rg. Ulikuwa mistaharabu, mwenye busara naekima. Akusamehe makosa yako. Pumuzika kwahamani. Amem
@catenzeki6785 жыл бұрын
Nlimjua RUGE wakati wa mgogoro wake na baadhi ya wasanii wa bongo flava kama Commando lkni kifo chake kimenihuzunisha sana alafu nlipoona ona hii interview nmeona RUGE alikua kichwa,maneno anayoyaongea yamejaa hekima na busara.Lala salama RUGE.Poleni ndugu ze2 watanzania kwa msiba huu,sisi KENYA tupo pamoja nanyi
@hameedmbogo36335 жыл бұрын
R.i.p wat a humble guy polen tz love fro Kenya
@fredrickmathias64785 жыл бұрын
Eti leo haongei hya tena jmn loh!!inauma aisee Mungu tusaidie na tupe maono mazuri pia
@wayfoward20665 жыл бұрын
Mkasi ni show kubwa...Trust me itaishi milele, Asante Owners, producers, Directors, wahojiwa wote...
@charlesngallaba98685 жыл бұрын
Ruge kila la kheri Mungu akupumzishe baada ya shida na tabu za hapa Duniani...we'll always remember you..
@abdulmshana77088 жыл бұрын
Ruge ni mstaraab sana na ana hekima kweli....namkubali sana huyu jamaa .....good job mkasi
@mdachiog52115 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/h3fboqSAhLRsoqM
@idrathrubagumisa14855 жыл бұрын
abdul mshana rip ruge mutahaba mbele yetu nyuma yako pumzika Kwa amani
@najma32685 жыл бұрын
Kweli kabisa , apunzike kwa aman
@gloriousn64255 жыл бұрын
I am impressed hukusubiri mtu afe ndo umsifie,you are one in a millions brothers
@egattamkaima6765 жыл бұрын
R.I.p Ruge unaonyesha kias gan akili yko imekomaa nenda baba
@hanifakimaro21795 жыл бұрын
Nasikitika kwa sababu na mimi nipo ktk wale waliokuwa wakimpenda ila sikuwahi kusema hilo. Lala salama Ruge, daima utabaki shujaa wa kupigiwa mfano 😭😭🙏🏾
@bensonfikirini41125 жыл бұрын
Chaajabu sikuwahi ifatilia haya mahojiano ya ruge na salama, ila sidhan kama kunamtu atatokea na kuja kufanya mema aliyoya fanya huyu ruge, alikuwa mstaarabu na hana kukurupuka hata mala moja maana kila swali aliloulizwa amejibu utazani amekwenda anafaham ataulizwa nini daaaaaah hili ni pengo la karne limetokea. Pumzika kwa aman kaka RUGE mola amekupenda zaindi na alihitaji ufanye uliyoyafanya kaka daaaaaaaaaaaaah nenda bro
@agesag.m24764 жыл бұрын
This Guy Ruge is very good in answering questions in a better and composed manner....RIP Bro.
@SED_78TV5 жыл бұрын
Dah Ruge umetutoka! Lakini namna pekee ya kukuenzi mchango wako kwa Watanzania hasa kwetu sisi kama vijana ni katika kuendeleza matamanio ya kufanyia kazi fursa zinazokuwa mbele yetu kwa manufaa ya kupiga hatua ya kimaendeleo katika ngazi ya kitaifa, kwasababu hakuna mbadala wa maisha ya mtu isipokuwa yeye mtu mwenyewe ndo mbadala wa maisha yake. Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema peponi Amina.
@ahmedalwy5 жыл бұрын
Ruge is talking facts ! mungu amlaze pahali pema peponi.
@mashakimaro38905 жыл бұрын
Nitakuenzi daima ruge your my hero Mungu akulaze mahala pema peponi sitaogopa chochote Mungu akusamehe makosa yako yote utaishi milele
@zaynsalma34665 жыл бұрын
Ukipanda Muhogo Utavuna Muhogo Ila Ukizika Mtu Harudi Tena 😭😭😭😭Udogo Ulokula Wewe Baba 😭Pumzika Salam #Ruge Mbele Yako nyuma yetu #Baba 🙏🙏🙏🙏
Tatizo la wasanii wa Tanzania hawataki kuambia ukweli ila Ruge alikuwa mkweli sio mnafiki Innalillah wainalillah rajiun Ruge
@HenriHSP5 жыл бұрын
This guy is a genius. RIP Ambwene na Salama Rudi kwenye mkasi please. We need it . Is very good contents
@barakamathias39035 жыл бұрын
Duh r.I.p bro
@irenenguta28935 жыл бұрын
I can listen to him 1000 times.cool,calm and collected RIP Ruge
@seifmohamedseif93845 жыл бұрын
ktk uhai wake nilisikia mengi kuhusu ruge mazuri na mabaya nikawa na mitazamo tofauti juu yake km mwanadam hakua amekamilka hvo kasoro zake wanafaham walio dili nae kwa namna moja au nyingine ila nimetazama maongez yake tofauti kiwemo na hili hapa huyu mtu alikua kichwa si mchezo R.I.P ruge
@slayingtee60445 жыл бұрын
Deep explanation or documentation is needed on ugonjwa wa ruge mpk kupelekea kifo,,pumzeka kwa amani genius,ur legacy will continue !
@ellyjoshua93374 жыл бұрын
R.i.p. Ruge mutahaba
@vivianoforo47605 жыл бұрын
Ruge umelala .lala baba tutaonana Mbinguni.kazi uloifanya duniani inaonekana
@stellaloves98795 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Ruge kumbe ulikuwa mwenye hekima Sana..kesho tunasherekea kama ulivyo Sema siku ukitoweka tusherekee.. Rip
@jovinmutakumwa96112 жыл бұрын
Kama umeangalia maojino haya Ya Ruge na Salama baada ya Manara kuibukia Yanga gonga like Twende! So Sad 😭 Pumzika kwa Amani Brother Ruge.
@georgedaniel49625 жыл бұрын
Mwanadamu kukubalika ni kazi sana hasa akiwa bado hai ila akifa utasikia sifa zake.ukweri luge ni greet thinker
@HamiduChamboko5 жыл бұрын
safi Sana unaconvert negative Kuwa positive ..R. I. P ruge Leo ndio nimekusoma
Dah clouds imepoteza jambo, ooh hapana Tz tumepoteza mtu jamaniii no no no Dunia imepoteza kichwa yah yah that's right Dunia imepoteza kichwa.
@gabrielymathias55165 жыл бұрын
poleni
@adinanibongebonge15525 жыл бұрын
Malehem hana makosa
@witnessmallya51145 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Boss Ruge... Tanzania tumepoteza kiungo!
@happypaul88035 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mema huko ulikuko enda kaka njia ya wengi
@kingkevynshaphyck39635 жыл бұрын
You know what bro u was a hero R I P legend
@elizabethmbena81745 жыл бұрын
pole sana rungu.mungu haiweke roho yako peponi kaka.mbele yako nyuma yetu
@philipmchina69195 жыл бұрын
We missing you Ruge world 🌎...never happen again RIP_ruge
@kimjisena454 жыл бұрын
2:30 - 2:36 "...wale wanaofanya vizuri wafanikiwe, na ambao hawafanyi vizuri wasifanikiwe. Kwa sababu, that's how business is..." The Entrepreneurial Mindset.
@stephanojohn53175 жыл бұрын
Kweli brother nilikuwa sikujui ila baada ya umauti wako kukufikia ndio nikajua wewe ni Nani naulikuwa unafanya nini kuelimisha jamiii na kuwatoa watu kimaisha nakuwaonesha mwanga ulikuwa uko sahihi kwakila unacho kifanya nimeamini kweli mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe kweli wewe ni mti wenye matunda pumzika kwaaamani brother mungu akulaze Mahala pema peponi Amen. Imeniumiza sana moyo wangu ila tumuachie mungu ndie muweza wa yote.
@mabroukabeid1485 жыл бұрын
Dah hii show Kali sana Rais atakae kuja kama hata tambua mchango wa wasanii atakua ameingia chaka.
@jacklinevosevwa98595 жыл бұрын
Ruge alikuwa mpole sana Rip ruge poleni sana watanzania am from kenya
@laurenciaenos15225 жыл бұрын
Ni haki barnaba alie kumbe alikuwa kipenzi chako
@fatmaalmas47825 жыл бұрын
Daaaah!, M'mungu akujaalie kauli thabiti.🙏
@sophieaden53675 жыл бұрын
Mstaarabu sana, mungu ailaze roho yake pema peponi
@evemurugi33995 жыл бұрын
The more I listen and see how people are about his death the more I understand then when I see his interview God always take good things 😢😢 you did well sir Ruge
@merisangoda72735 жыл бұрын
Dah jamn anavo sikiliza swar kwanza alaf anatzama juu alaf anajib ddah hakika kila mtu ana asiri yake yu were genious bro r.i.p
@idrathrubagumisa14855 жыл бұрын
Bwana ametoa na ametwaa jina lake lihimidiwe amen pumzika Kwa amani Ruge mutahaba
@rahmasalum64208 жыл бұрын
The first guest in Mkasi that talks sense ,he really is very intelligent . Salama I don't think the other 2fit in the interview,I wish it could be just you coz there's no point of keeping people who don't even know what they are asking the guest ,secondly they don't look intelligent enough to be holding the talk show
@joelmlavi4005 жыл бұрын
I thnk salama want those guys to learn how to.. but the good point to crash is for them not to grow up kujua kuswalika hayo maswali.. kuishi maisha ya aina moja miaka yote ni uzembe wa akili. Nazam wamekuwa saiv
@vivianoforo47605 жыл бұрын
You are a great leader This is how leaders should do Viongozi wengi wanarushiwa mawe kwa sababu ya kusimamia kile wanachokiamini Sijawahi kukuona hata kwa macho lakini nakutetea kwa kila hali ,in fact you were the best.
@mirriamwille96775 жыл бұрын
Yaaani mungu achagui,kila roho itaonja mauti inauma
@watotowamungubyfreconicide15055 жыл бұрын
Watching again today 15th Nov 2018,learning a lot from this Mastermind.
@maria_mutondioriginal55 жыл бұрын
Oh Ruge tutakukumbuka sana lala salama Gunious amen
@pinelaitayok11875 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Baba forever in our heart....
@aminakazogolo99145 жыл бұрын
Rest in paradise Ruge🙏You were the hero 100%
@marycelineevergreen92578 жыл бұрын
yaah tusijaji sana watu bila kuwafahamu au vtu bila kuvijua yes maelezo mazuri Ruge.
@halimaramadhanimwevi24725 жыл бұрын
Yaani baada ya kuiskiliza hii intervew, inaeezekana kabisa huyu kaka kifo chake kuna mkono wa MTU au mikono ya WATU . Hiyo kidney failure inawezekana kabisa SUMU imehusika . Rest in peace RUGE
@beatriceconsolataachiengan59795 жыл бұрын
Nimedhani hivyo pia, huenda kuna mtu au watu wamemwendea pabaya. Wenye nyimbo yao hazikupigwa, kati ya hao watu, amemuua Ruge. Am a Kenyan , watanzania poleni.
@zulfamohamed45495 жыл бұрын
nikwel ata mie naisi ivy ivy wala s wewe t ila inasikitisha ila akun njia ten
@velmaagwona19455 жыл бұрын
Kwa kweli haikosi kaekewa sumu inauma jamani
@jamilamasoud12164 жыл бұрын
Kumbe nawewe umeona ndugu yangu kakika utafutaji kazi sana
@secylovenessadaa42455 жыл бұрын
Rip brother, Mungu akulaze pema peponi Amen and Amen
@sadasaid44085 жыл бұрын
Yani marehemu angekuwa Raisi nchi ingekuwa hakuna wazururaji Rip Ruge tunaangalia intevew zako tunakupenda kaka
@eliassiki67585 жыл бұрын
Kma umesikia mpanga rizk n mwenyez MUNGU pia siwez kumshusha wala kumpandisha mtu #27:7. R.i.p master mind
@davidbedda50075 жыл бұрын
wanaokupenda hawasemi na wanaokuchukia hawakujui
@hajimjaja11635 жыл бұрын
Language tone ya Ruge ndiyo maana wengi hawakuwahi kumuelewa, kumchukulia kwa ubaya na wengine kuona amewakwamisha kimaisha, lkn ukweli ili umjuwe ni mtu wa aina gn lzm kwanza umuelewe ni mtu wa aina gn tz ni wachache sana watu km hawa
@annethmwasamwene51105 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kanipa nafasi ya kutoa heshima ya mwisho kwa mwili wako kwani uliutendesha kazi kwa umakini na ushujaa mkubwa,nilipokuoana umelala sikuamini sana ila sasa inabidi nikubali japo maumivu yatadumu....Pumzika kwa amani mentor wangu wa fursa #Ruge rest in paradise boss🙏
@tuntufyemwakalukwa17045 жыл бұрын
Huyu jamaa levo nyingine tumjue tumtambue tumuenz
@mudrickbarton89116 жыл бұрын
yani huyu jamaa sichokagi kumsikilza anajua sana kujibu maswali
@Majengojr5 жыл бұрын
Huyu alikuwa MTU mwenye hekima sana na hana haraka wala temper.
@roselaurence10935 жыл бұрын
Hivi huyu jamaa aliumwa nini hicho kisichotibika?! Oooh Lord😭😭😭😭
@yousupjabri73045 жыл бұрын
Hahaaa wew nae unakufulu mungu tena mwenyewe kesha sema hakuna k2 cha bahat mbaya...
@gracerosi61795 жыл бұрын
Eti Kama nifigo ua inawekwa nyingine na Kama niukimwi unadozi aktaka kufa anakatka lkn huyu kaugua miezi 8 duu wabaya watu
@alidamgeni70515 жыл бұрын
Rose Laurence hujui kwamba mwanadam umeumbwa kwa udongo na mavumbini utarudi basi wakati wake umefika
@clararaphael61424 жыл бұрын
Yule mtu kati ya watu mia ndo alikuwa huyu,mwenye HEKIMA ,asokurupuka mtulivu na mwenye heshima ,, dah we will miss u bro,RIP Ruge
@maryngotho36145 жыл бұрын
He seems he was a very humble guy,may he rest in peace
@annethmwasamwene51105 жыл бұрын
Mary Ngotho he was more than that
@saidangel89585 жыл бұрын
Eti leo baba umelala usingizi wa milele bosi ww haya bwana tumepoteza jembe aisee inauma sana
@kelvinmichae7285 жыл бұрын
Yaani sichoki kuangalia hii video RIP RUGE.
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Magu hebu njoo uangalie hii video upate shule ya uchumi.This man was more than geneous
@aksamnyamazi76505 жыл бұрын
Duuuuu kifo hichi bwana Mungu tusaidie sana...R.I.P RUGE
@mwakahassan87425 жыл бұрын
Mungu akusameh makosa yako yaan hy mkka kapole sanaa na ana hekma sanaa
@michaelkigaraba57845 жыл бұрын
Aisee sjawahi kuona ruge u had something special I wish in ur lifetime ningeonana na wewe keep rip ila I will learn u through ur documentaries and interview u had in ur time keep rip again brother ruge
@benedictrkorosso1535 жыл бұрын
I didn't know this guy before R.I.P but he was a man of vision, actually we as a country have lost an asset.
@zandonaabrondi19064 жыл бұрын
Punzika kwa amani
@zandonaabrondi19064 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima milele
@halemamohammed23815 жыл бұрын
Ulikua kichwa sana unaona mbali kweli tumepoteza MTU muhimu Na halafu mti wenye matunda ndio hupigwa mawe redio yako inafanya vizur
@heriswidalyaunga54918 жыл бұрын
namkubali huyu kaka hana roho mbaya ila watu wanamtafsir vibaya
@abroadconnectededucationlt54355 жыл бұрын
''mti wenye matunda hupigwa mawe'' ruge
@queengee9885 жыл бұрын
Daaahh kwel nikitazama interview za ruge sichoki kulia r.i.p ruge😢😢😢😢😢
@asiazuberi97225 жыл бұрын
Na uku upo shoga kma mimi walai huyu baba ametuliza kweli
@queengee9885 жыл бұрын
@@asiazuberi9722 acha ty yan acha apumzike kwa aman
@josephatmatiku23585 жыл бұрын
queen gee maskitiko makubw
@shekhekhandereizer5595 жыл бұрын
daaaaaa jamaa kama yupo hai ndio anaongea live kumbe daaaaaaa
@FRODOLLASSEAN5 жыл бұрын
Ruge mungu kulaze maali unapostahili kwa matendo yako
@maxlupapa44685 жыл бұрын
akili imeondoka jamani zimebaki pumba tu
@kaulimbiu1815 жыл бұрын
Rest in peace Boss Ruge 😭😭😭
@doctorsixbert35105 жыл бұрын
daaaah kwel ruge ni shujaa.....
@jenivavedasto6365 жыл бұрын
He was a true genius, R.I.P @Rugemutahaba
@mariej69625 жыл бұрын
Sasa minyimbo mibaya itaanza kusikika na kupoteza ushindani wa muziki Tanzania
@rumibarton23594 жыл бұрын
Genius na nusu rest in paradise
@neemambisse70415 жыл бұрын
Guys you were so negative bt the Boss was for real positive...RIP Ruge
@merryn48915 жыл бұрын
R,I,P Ruge mwenyezi mungu akupokee
@aboubakarkisuju60025 жыл бұрын
My god tumempoteza mtu muhim sana.kudadeki
@kyannickk2be8 жыл бұрын
Ruge ana akili na busara, mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote
@kyannickk2be8 жыл бұрын
+Kapulo Chansa hahah kumbe naye kaandika hiyo hiyo mti wenye matunda kama niliota hahaha
@zuwenazuu13677 жыл бұрын
Kapulo Chansa ..
@ghazalatiki35585 жыл бұрын
nimeelewa kwanini clouds imesimama miaka yote hii tungu tukiwa wadogo. he is a fucking masterpiece. hahahaha
@aizaamsuya99664 жыл бұрын
you're smart and you beleave in you're self and you're the teacher(rest in peace bro)
@vicentpalingo58088 жыл бұрын
"Kumshusha mtu yeyote alioko juu thats true" huo ni utamaduni wetu asee.....!
@bayudacamp72175 жыл бұрын
Jamani mpaka mtu afe ndio tumsifie ahiisee noma sana
@paulkipkoechkoskei60185 жыл бұрын
You guys are doing a very sober interview..so Natural..
@kalumnaalecius68335 жыл бұрын
AwA vijana Wasalama Bado Awajui Kuoji Mtu wa Akili kubwa, Ila Nae aliamua kuwaheshim nakuwasamin Dah
@benoitniyukuri49595 жыл бұрын
RIP legend Ruge
@latifasilaji74845 жыл бұрын
Dah i don beleive kwamba kuna kitu cha bahat mbaya in life...RIP
@kazkaz1943Ай бұрын
2024 nipo namuangalia ruge wakat yupo hai nilikua simpendiii nilikua sina akili sasa nimekua na akili ruge hayupo ila maneno yake yapo, akili gan hizi jmn
@marymwaluko33645 жыл бұрын
Lala baba , lala 🙏🏽 pumzika till we meet again❤
@athumanikaroyo59995 жыл бұрын
Jamaa anaakili sanaàaaa duuu
@safari235 жыл бұрын
RIP bwana Ruge...you could have been a great philosopher. I liked your perception towards life.