i love alikiba..so humble. always been a fan. anajibu maswali vizuri sana..diplomatically.
@sadamosses97638 жыл бұрын
good boy, hana majigambo wala sifa nampenda sana yupo simple, hivyo ndio maisha sio kila jambo ktk tv na magazeti,
@makunguiselele87686 жыл бұрын
Huyo nd king mi team wasafi lkn kiba kwa majb hayo ur xo intelligence congraturationx king
@jumamgunga65215 жыл бұрын
Kiukweli Alikiba ukimsoma nini anapenda na nini hapendi na ukalenga vitu nya msingi katika kumuuliza kwenye interview, Utampenda kwenye majibu,anakuwa mpole msikivu na mnyenyekevu na anakujibu kwa busara. Asanteni kwakumtambuwa kiba,, year baba.
@raoulbyamungu32516 жыл бұрын
Alikiba is someone who has never wanted to show her self different but his different. his humble collaborating person he knows how to speeks with others and his respectable.
@matildaalphonce840310 жыл бұрын
ali kiba ni mtu mmoja anajielewa sana big up unajibu vzr maswali bila majigambo
@pelezi8410 жыл бұрын
Safi sana kumleta Ali Kiba, akaze boot maana sasa muzic upo na mabadiliko mengi. Asisahau kutumia media za mitandao ya kijamii kujitanga zaidi. But I will be happy if you will interview the Ya Motto Band hopeful they did some good music, itakuwa poa kuleta group lote hapo kwa saloon, au sit ni chache??/ teh teh
@lelahassanali73736 жыл бұрын
Nakupenda sana ali yaani una tatu dredi uko very simpol and clear sijutii kukushabikia
@abdiaweso92968 жыл бұрын
Kaka kiba video ya galama ndio yenye maingizo mengi kwa sababu inakua nzuri na kuuza sana tuamshe mashabi wako video nzuri
@mikebarakaruwa7379 жыл бұрын
Yeah alikiba ni mtu mwenye amestaarabika...Yuko simple sana anajibu maswali Bila kujigamba..one love alikiba
@lenaliz80379 жыл бұрын
Ali KKiba, do u ever get mad? U r always smiling it seems.
@kentinakalantine102510 жыл бұрын
wooooooooooooooooh ali kajibu maswali vizur am lovin the show sana i cant wait for zitto nxt show
@paulmoster88426 жыл бұрын
nakubali Sana kazi za kiba my king keep it up king kiba yaaaaaaaaaaaa#
@thabithamis891810 жыл бұрын
ali umeongea ya maana sana acheni kusikiliza maneno ya watu hua wanapenda sana pale mnapo gombana kama salama anavyosema watu hua wanaleta maneno mengi juu ya salama na dj fetty fanya yenu mkuu usisikilize wanafik big up ali
@chazkoillah26526 жыл бұрын
I watch now 2018 kumbe wasiojulikana walikuwepo tokea zaman doh pole king kiba pia nimegundua ww ndio ulimpa shavu diamond akakubalika up to now japo for now kama vile ana ku snitch...
@shamsheryaj186 жыл бұрын
👑 nimekukubali mkali upo vzr
@fazilikumpun520610 жыл бұрын
Nawafatilia sana mkasi najua uwezo wenu ni mdogosana katika uulizaji wa maswali nahii nadhani inachangia na nielimu ndogo swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani
@RamazaniMulongeca10 жыл бұрын
Kaka Fazili Kumpun "swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani" Fazili Kumpun introduction kama hizo, kwanza nikwayule chipukizi ambaye haja julikana katika game, pili, helewa kuwa ina tuboa sisi kama wasikilizaji kusikia superstar anajitapa au kuhongelea alikotoka kila interview anayofanya. Tafadhali helewa hilo. kama huja juwa wapi Ali katokea do what we call "flashback", so you will know where to start... Big up sana MKASI group.!
@fatmaramadhan30359 жыл бұрын
yes yes kiba anaongea kama mwanaume
@levinahcaitygift18279 жыл бұрын
Bongezi sanaaaaaaaaaaa Alikiba wajua kuongea zaidi wwallai I salute u no one of them like Ali kiba.niite Lovy Lover from Kenya. I love you Ali kiba
@ngallaali415410 жыл бұрын
Nice one Ali umejibu mashwali vyema kabisa#salama nice interview 254 twakupenda sana.
@ramadhansaid54687 жыл бұрын
dah kwel king kiba ulkua mapumzko maana ufalme wa bongo fleva ni wako, umerud mikataba hyoo ya rockstar. Ajee imeleta heshima kimataifa hadi mtvmamma
@saidndaki97832 жыл бұрын
only one king 2021
@mohamedsuleiman768210 жыл бұрын
Ali k uko juuuu,,, lovely maaan big up I see
@assanimkeyo58395 жыл бұрын
Nakupenda sana mtu wangu king kiba
@mejubaraza87876 жыл бұрын
👑💞Sina usime ww ni wangu 4 really
@dockaridk9 жыл бұрын
Salama for real you are good hauna maswali ya upuzi kama sporah.
@emmykidoti89619 жыл бұрын
daa napend san nymbo zake
@alexsulle96834 ай бұрын
nani anaangalia 2024
@mathewshedrack6036 жыл бұрын
namkubal cna salam anauliza maswail yanayo takiwa hafich hata kidogg king nic cna
@rosedamian71366 жыл бұрын
safi sana
@shengomaevodius41419 жыл бұрын
ally kiba penda ww miaka 800.
@joanitarita156810 жыл бұрын
haaaaaaaaaaaaa salama nomaa haaa nampenda sana
@tracycheptoo3059 ай бұрын
2023 mpo
@timoyhymushi811610 жыл бұрын
A good one
@gideonlewa80576 ай бұрын
Alikiba ndo mwimbaji namba moja afrika
@japhethonundongiye34352 жыл бұрын
Only one king
@aaronmakaveli20628 жыл бұрын
kwenye interview muwe mnazima sim bwana hyo cm inayo vibrate inaboaa
@sifapeter695710 жыл бұрын
1st to comment! Haven't watch it yet ( I'll save & watch tomorrow)
@alphoncmarthini36926 жыл бұрын
king big ahsate sana kiba
@sabrinaayoub70326 жыл бұрын
I love kiba
@canny25510 жыл бұрын
Kiba for really I appreciate you much
@loveelaadam25176 жыл бұрын
Uko vizur king
@zenaally97075 жыл бұрын
Keep it up king
@amisiokey853210 жыл бұрын
Itabidi muongeza time atleast 40 mints time ni kidogo tena munatia ma advtirsment mingi sana
@bahatimussacharlesmussango56786 жыл бұрын
Gdkiba
@vonkale856510 жыл бұрын
Saaaaaaanaaaaa
@paulmoster88426 жыл бұрын
it is Wiz dos tz
@komborashid58915 жыл бұрын
jamaa mtu poa sana
@emmanuelmoses61126 жыл бұрын
good broo Wa mie
@rahmayusuf64823 жыл бұрын
Napenda sna nyimbo zko kiba
@ashalikata14178 жыл бұрын
Napenda mziki wako alli unajielewa
@JuddyCharlz10 жыл бұрын
Nyc
@jelasnkoma42408 жыл бұрын
nice
@airprint97539 жыл бұрын
kiba kweli wewe ni mtu mzima umetulia cna katika kujieleza rispect br
@mwljohnray17252 жыл бұрын
Kumbe The Joint Walichukulia Idea huku
@allahisone63866 ай бұрын
YEAH 🎉
@davidmlami55156 жыл бұрын
Imekaa poa xn
@tulizobahati60855 жыл бұрын
* Munachekesha kweli Teap *
@Kamkojr6 жыл бұрын
Yeeees is #Kibaaaaaaaaa Tzking
@OmanCom-ky8tn Жыл бұрын
I love you alikiba my friends
@kijonalusay2 жыл бұрын
only one king
@sasabaadaye882810 жыл бұрын
Kiba anatisha
@fatmaramadhan30359 жыл бұрын
my king
@babilonjastin76986 жыл бұрын
fatma ramadhan
@mejubaraza87876 жыл бұрын
Kutoka +254
@raziajolie77746 жыл бұрын
Je suis folle de lui k
@ramadimwe13796 жыл бұрын
Good
@zizamshindo46723 жыл бұрын
King kiba km king kiba Nkbl
@ericbmamazing91732 жыл бұрын
12 /10/2021
@boydantiz37145 жыл бұрын
Watu wasiojulikan wana hatar kwel yan
@flowila829 жыл бұрын
Hawa wote hawana uwezo wwt wa kuuliza maswali, ovyo ovyo tu kwanza hiki kidemu na huyu mzaire akiri zao pumba tu nyamafu
@mainangatia10636 жыл бұрын
Nichawa kiss sana
@blackjack42417 жыл бұрын
asante
@chyladolson9 жыл бұрын
Pambe
@wambiliwamachalili73256 жыл бұрын
u just stuck with diamond he's nothing at all salama kiba is deferent planet \/ bluffing super star ,along ago there is slim Ali(r.I.p) sorry salama u base one side / ur diamond side if t.v presenter don't tag one side( viper)