Mkasi - S01E03 Masoud Kipanya

  Рет қаралды 113,147

MkasiTV

MkasiTV

Күн бұрын

follow mkasi on / mkasitv and like us on / mkasitv

Пікірлер: 46
@TheTuney
@TheTuney 12 жыл бұрын
hahahah Masoud nakupenda sana ..yaani unaongea ukweli mtupu.. 'kuna watu wanakula kwa mikono miwili na wengine mpaka kwa miguu'
@kmtenga
@kmtenga 12 жыл бұрын
good job salama I love u,masoud kadata kabisa hahaa anasema ukweli mtupu,salama usiache kupost episodes hapa tuenjoy raha hizi,pia itakuwa vizuri ukifanya mahojiano na wasanii hasa wanaobaniwa ili tujue ukweli kama kipanya alivoongea kuhusu cloudsfm na management yao
@4weston4
@4weston4 12 жыл бұрын
Kipanya wewe ni zaidi ya nouma, nakukubali sana.
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana Naitizama tena 2019 November
@linegreen23
@linegreen23 12 жыл бұрын
Hii Inakubalika kabisa na kwa kweli ni moja ya kipindi cha Kitanzania nitakachokua nakifuatilia sana, Inaonekena kipindi hiki kinafunguka sana katika mambo mbali mbali, Big up Salama huu ndio ubunifu tunao uzungumzia kila siku, endelea kuwadaka waje wafunguke ki ukweli kabisa..!
@tumpiliksye
@tumpiliksye 12 жыл бұрын
Tanzania ni kisiwa cha vipaji , kichwa kingine hiki
@TheAlesry
@TheAlesry 12 жыл бұрын
Salama big up hili bonge la show, wewe makali sis
@MREMBOMIE
@MREMBOMIE 12 жыл бұрын
hadidhi yako ni nzuri sana!!!!!!!! hasa sehemu unaayo sema kuwa: watangurie vilema ,watoto, wajawazito na wafuate wenye nguvu... kwa bahati mbaya hili halipo tanzania... haswa wanaume wa kila umli wanazarau sana wasio jiweza! ... mfano kwenye daradara utakuta gibaba zima limejiweka kwenye seat na mbele yake una mama mjamzito au mwenye mtoto anasukumwa , hakuna nafasi...
@rinnionnTV
@rinnionnTV 12 жыл бұрын
Real talk KP!Tanzania inahitaji vichwa kama hivi.
@hamadishee4636
@hamadishee4636 6 жыл бұрын
God bless you bro kipanya the only gifted media personel in tanzania
@Namestn
@Namestn 11 жыл бұрын
Among the artist that I admire n appreciate in TZ ths guy is among them...he is real n wise....he uses well his talents n connects with the society.... Good work Salama, keep it up....bro...keep t real....we support u.
@ndewerokkrekamoo3982
@ndewerokkrekamoo3982 6 жыл бұрын
Masood is a genius
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 жыл бұрын
Safi sana kp na wote hapo
@safinabakari9140
@safinabakari9140 7 жыл бұрын
Kipindi pekee ambacho salama amekua msikilizaji yaani masoud ni noumaaaaa......
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 5 жыл бұрын
2019 gonga like
@sadathassan7059
@sadathassan7059 5 жыл бұрын
Respect mkuu
@Kinsports
@Kinsports Жыл бұрын
2023
@enockshija5512
@enockshija5512 6 жыл бұрын
Kp you are so creative. I real appreciate and salute you.May God enrich you no matter how the world looks you.Never mind it.
@cuthbertbruce2098
@cuthbertbruce2098 6 жыл бұрын
Namkubali sana huyo jamaa
@halimojaimman6301
@halimojaimman6301 9 жыл бұрын
Dah Moja Bonge la SHOW.. SUDI Alinyalisha Sana Katika FIKRA HURU
@bakarikishaa4889
@bakarikishaa4889 5 жыл бұрын
Kipanya gifted
@VictorChrispinSamson
@VictorChrispinSamson 12 жыл бұрын
Real shit with real stars... Salama, Deuces!
@1992alemi
@1992alemi 12 жыл бұрын
This show is better than the so called TAKE ONE
@catenzeki678
@catenzeki678 5 жыл бұрын
Napenda busara zako Masoud
@mohamedomar4037
@mohamedomar4037 11 жыл бұрын
Nyerere kwa wakati wake kama akisema tumefika mbali kabisa watu wanavaa viatu ni makosa hata kabla ya hiyo uhuru tulikuwa tunavaa viatu kama kawaida ,lakini ameturudisha nyuma sana kielimu na elimu yetu ni ya chini sana hadi leo.
@luluemerald5380
@luluemerald5380 11 жыл бұрын
Bravo Kipanya...........
@MOchyze89
@MOchyze89 12 жыл бұрын
nimeipenda story ya cake\
@123456789012470
@123456789012470 12 жыл бұрын
wanakula na miguuu hahahahaaahahhaha!
@gabbymaster1
@gabbymaster1 12 жыл бұрын
wenye vipaji tupo wengi sana ila fulsa ndo chache sana ...... lakini nafikiri kila jambo lina wakati wake
@ellyobedy1753
@ellyobedy1753 2 жыл бұрын
Hatari kumbe miaka10 ishapita kwel siku hazigandi
@ammy20able
@ammy20able 12 жыл бұрын
masudi sura linang'aa kama kitumbua hahahahaaaaaa
@jacobonael885
@jacobonael885 6 жыл бұрын
Wee unaangalia kung'aa husikilizi maneno, badilika
@tequasuphatetareq9858
@tequasuphatetareq9858 7 жыл бұрын
Masoud ni nouma miaka mingi.
@abdallahmakassy3003
@abdallahmakassy3003 8 ай бұрын
0:17
@abrahimali3628
@abrahimali3628 5 жыл бұрын
Mkapa hanakitu alichofanya labda kuuwa wapemba
@reyreh
@reyreh 10 жыл бұрын
i hate mcng any cngo show....good job!!!!
@MREMBOMIE
@MREMBOMIE 12 жыл бұрын
na akiingia kwenye gari anaangalia kama kuna mtoto aliekaa kwenye seat na anamwambia a ondoke il yeye akae... AIBU KUBWAAA!!!!!!!!!!!!!!!!
@mussahmanyehe267
@mussahmanyehe267 5 жыл бұрын
Kipara kinanyorewa jaman nm sn
@neemaemanuel8113
@neemaemanuel8113 5 жыл бұрын
Sudi nakuelewa japo nilikua sikuelewe ss nakuelewa kupitia mwanao ,mwnao kanielimisha sana pliz sudi naomba tuwasiliane mitandao yngu 0756360274
@danyrobertz2078
@danyrobertz2078 10 жыл бұрын
Tz ni noumaa kwa sasa
@constantinemanyanda6667
@constantinemanyanda6667 6 жыл бұрын
Kipanya hajaulizwa swal kaanza story mwenyew
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 5 жыл бұрын
Genius
@catenzeki678
@catenzeki678 5 жыл бұрын
Yy ni mtangazaji.Apo anakuonyesha ni jinsi gni anavyopenda utangazaji
@MzeeNyundo
@MzeeNyundo 11 жыл бұрын
Kwa swala la watangazaji kuigana - ni kweli kabisa ya kwamba waTz hajui kubuni na wale wanaobuni, munda mwingi haki zao hazilindwi kwa maana wanaoiga wabunifu ndio wanafaidika.... sheria inabidi zilindwe. Tz ina kila kitu, tunaweza kufanya kila kitu na labda kwenye level ya nchi tajiri ulimwenguni... Ambacho hatuna ni Haki, haki ya muundaji ilindwe na iheshimike ili waTz na nchi itajirike. Bila kuheshimu sheria, hatutafika kokote.
@kerinasiyame4080
@kerinasiyame4080 12 жыл бұрын
HEY SALAMA MIMI NAITWA MAMA KENNEDY NAISHI AMERICA BOSTON NAPENDA SANA KUANGALIA MKASI NAONA SANA WANAWAKE WENGI . MIMI NA WEWE TUNAWEZA KUFANYA BUSINESS YA VIPODOZI ZAIDI MAWASIANO NUMBER YA SIMU 6176696084 PIA NINA WEBSITE YANGU YA BUSINESS NAOMBA NUMBER YAKO NITAKUPIGIA ILI TUONGEE ZAIDI .
@aishamndeme5780
@aishamndeme5780 5 жыл бұрын
kerina siyame Q&A
Mkasi - S01E11 with Steve Nyerere
26:26
MkasiTV
Рет қаралды 142 М.
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 47 МЛН
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 93 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 49 МЛН
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 58 МЛН
Salama Na Masoud Kipanya
52:05
YahStoneTown
Рет қаралды 19 М.
Mkasi - S01E04 with Asha Baraka
26:31
MkasiTV
Рет қаралды 29 М.
Mkasi - SO6E13 With AT
27:24
MkasiTV
Рет қаралды 68 М.
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 69 М.
Mkasi - SO3E13 with Zembwela
28:10
MkasiTV
Рет қаралды 274 М.
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 47 МЛН