Yaan mwijaku akili halina kabisa halijatajwa jina,nimeamini ukiwa mwizi hata ukiona police lazima utoke nduki.Masood usimsamehe huyo mwijaku mpeleke mahakamani yaani ukimsamehe utakuwa umetuchanganya Sana unajua hiyo biashara aliyosema haramu tutaishi nayo na Kila mafanikio yako utakayokuwa unapiga tutasema ni zile biashara haramu alizosema mwijaku.Yaan usimsamehe kirahisi kihivyo
@mfalmekaitaba24253 ай бұрын
Kaabisaa kuhama hama nako kuna shida zake maana hipo siku watu hawatokuamini tena na utapoteza mvuto
@NeemaSawe-m3u3 ай бұрын
Si kama kitenge kapoteza mvuto
@mfalmekaitaba24253 ай бұрын
@@NeemaSawe-m3u kaabisaa kawa kama wadada wa Bar
@JovinAndrew3 ай бұрын
Hicho kitu mtuu anaenda kuitangaza biashara au brand ya mtu baada ya kuzungumzia au kumuuliza maswali yanahucu event hilo mnakocea ww unadhani huyo mchina anawonaje bado tupo nyuma kweliiiiii anatuonaa kama watu wa ajabu event inaucu mabati nyie mnaulza habari za mtu binafsi
@IddMussa3 ай бұрын
Mabati yashaongelewa hapo Hicho Ni kipind cha maswali na majibu
@josephmihayo62363 ай бұрын
Sasa Mwijaku analipwa mipesa mingi kwa lipi sasa?
@hisanmwakijungu103 ай бұрын
Fact kaka
@SKimmy1123 ай бұрын
Sikuona ubaya wa kauli ya Masudi mpaka yule bwege kupayuka
@KALUMUNAGERVAS3 ай бұрын
Masudi ni mtu makini sn👏
@annievibes87943 ай бұрын
Mchina ansonekana hailewi kitu😂
@MikiGermany2103 ай бұрын
Kwa wasio mjua masoud, kaka yake masoud na Boss Joe na ruge walianzisha pamoja kampuni ya promosheni na kuandaa matamasha kabla ya kuanzisha Fiesta, so Masoud alikuwepo nyuma ya kaka yake kitambo
@eladiuspeter5863 ай бұрын
Umeongea kwa hekima sana. Sema sababu Sisi kama jamiii tumelea Majinga mtu anajibu kwa kukurupuka, Mtie adab iwe funzo kwa Wengine
@joycekalago5323 ай бұрын
Hapo aliposema kuhamahama ndio palipomgusa mwijaku akajihis akajua anasemwa yeye 😂😂kimemramba atauza jumba lake auze alipe deni mdomo umemponza ana mdomo sana mwijaku kujihisi tu amekutana na chuma cha chuma😂😂😂tufundishie baba
@abdulrahmanmwadini59253 ай бұрын
Mwijaku anastahili Adhabu,kwani anaehamahama ni yeye tu,mbona wenzie wapo kimya,Masoud hajamtaja mtu
@Whoisthismantalking3 ай бұрын
Huyu mwandishi pia anatakiwa kushtakiwa kwa kuandika kichwa cha habari cha uchonganishi na cha uongo
@sir_ENOCKMACHA3 ай бұрын
Masoud una akili sana.....unajibu vyema mno
@kiatu3 ай бұрын
Kumbe majibu ya Kipanya ni safi sana
@rewardyesse73143 ай бұрын
Ukiwa na akili kubwa utelewa kuwa crown media ni ya kipanya,,," tunamkimbiza nwizi kimyakimya"
@jamesmassawe48883 ай бұрын
Amna kitu na ww
@jumaalmasjuma17003 ай бұрын
Mijitu mizinzi dada ata haongei ila jitu limeona nyonyo
@ShabaniSudi-d1x3 ай бұрын
Good point kipanya I appreciate you
@mustafamsati95993 ай бұрын
Kinacho sunbua hapo ji crown media hahahaha shughuri ipoo
@SaidiYahya-t1c3 ай бұрын
Sasa mwijako mipov ya nn
@SaidiYahya-t1c3 ай бұрын
Sasa mwijako mipov ya nn
@marrypius5763 ай бұрын
Sasa mwijaku yeye kuhamahama hata miaka 10 huna kaa mahali tengeneza cv yako vizur ndo uhame
@shamimageta66513 ай бұрын
uyo dada anaziwa zuri aisee😊
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Hata Mimi nimelipenda ukilinyonya du❤
@leonardtiato12193 ай бұрын
😅😅😅😂😂😂acheni unzinzi bhanaaa
@pangolinsnews62163 ай бұрын
😂
@zakayomgaya27583 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂wazinzi niwengi
@Joe-tr2vk3 ай бұрын
Acha tamaa kijana😂
@alexandermakanta94683 ай бұрын
Car Development is the one among the critical system i advice you to consider Safety
@DrFit-di1rb3 ай бұрын
Sema punguzeni Clickbait aisee ..... Zinawasaidia nn ..... Yan mnapata views AMBAO ni unique tu, ukinidanganya nikiClick nkakuta kitu tofauti na tittle Yako ntakua nnaAvoid video zako .. acheni kuClickbait, hazina faida ya long-term kwny channel
@poptzmedia3 ай бұрын
Media inaitwa Chazy unategemea nn😂😂😂
@miso-bg2xl3 ай бұрын
Mwanangu ukiona wanafanya ushenzi huu unawaripot tu kwa kwatoa sababu ya misleading content, minshamripot uyo
@Naju6453 ай бұрын
👏👏👏
@wazirally17913 ай бұрын
Jaman mim sijamkiliza masudi hahhahah namwangalia mchina tu Hivi Betri haijavimba kwel huyo??
@hisanmwakijungu103 ай бұрын
😅😅😅😅
@King_Of_Everything3 ай бұрын
👍✌️👊.
@UmmuJauzan3 ай бұрын
Halafu jamaa huyi masud namjua jamaa anakunywa sna pombe
@MsAggie53 ай бұрын
Weeeeee jileviiiiii 😂😂😂😊
@hanspop69613 ай бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾🫶🏾Hongera sana Allah Akufungulie zaidi na Zaidi
@givembwilo1413 ай бұрын
yule dada amebarikiwa kifua😂
@teachingtruthmission21403 ай бұрын
Kimeharibikaje
@solomonsamuel35843 ай бұрын
😂😂😂😂😂 we jamaa unamawazo ya hovyo kwelikweli
@Nigamtupori3 ай бұрын
Wewe muongo satifiketi yako nikama mchezaji timu hii ikipanda dau mchezaji ana chomoka pia utangazaji pia wamiliki wa rodio wakipanda bei kwa mtangazaji anachomoka acha kuwapotosha watangazaji anapo hama hama ndo atazidi kulipwa ghali zaidi atakea mchukua lazima amlipe ngali zaidi ili asichukuliwe na mwingine wana habari wana nguvu kubwa katika jamii kwanini mnaji shusha 😮😮😮
@Marwawilliam3 ай бұрын
Kajifunze kuandika kwanza
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Hujui lolote. Huyo jamaa anatengeneza Brand yake ili huko mbele apate thamani kubwa. Na ndivyo jamaa kwa sasa anatengeneza mkwanja mrefu sana.
@Joe-tr2vk3 ай бұрын
Wewe inaonekana hata miaka 20 huna,bado ni mtoto hujui kitu. Kwa sisi wazoefu kazini tunafahamu Kipanya anaongea nini.
@joshuasamson96183 ай бұрын
Ni muongo sana umesomea Shule gani huo uongo sikia hakuna mwandishi Habari anayelipwa mamilioni hakuna kinachombeba mwanahabari kuhama hama media ni yeye kutafta matangazo mengi ya biashara kwenye makampuni makubwa hakuna mshahara mkubwa ni muongo sana
@meshack32663 ай бұрын
Ujui unachokiandika
@ElishaSolomoni-kc4zk4 ай бұрын
Fact🙏🙏🙏
@ramadhantiba45923 ай бұрын
Aah upuuzi tu, zingatia hela mwengine yatakuja yenyewe
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Umechemka sema sijui Elimu yako. Umri na Elimu yako ndivyo vinakuongoza. Huyu Masoud ni kichwa sana. Amekaa sehemu moja kutengeneza barand yake iwe na thamani kubwa ili baadae ale kuku kwa mrija na aweze kuajiri watu.Ukihama unaanza upya ndugu. Angalia hata mchezaji, mchezajii akihama anaanzia 0 kupata mashabiki.
@MsAggie53 ай бұрын
Upuuzi wake nini mbona amejibu vzr tu! Uelewa wako mdogo.