MASOUD KIPANYA; HUWEZI KUPEWA MILIONI 20 UKAHAMA MEDIA/KIGEUGEU SANA/MATAJIRI WATAMCHOKA/KANIKERA

  Рет қаралды 69,438

CHAZY MEDIA

CHAZY MEDIA

Күн бұрын

Tumepiga Story na Masoud Kipanya
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````

Пікірлер: 66
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 3 ай бұрын
Yes, wewe ni mtu makini, hata majibu yako makini sana. Majibu TATA. BIG UP.
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 3 ай бұрын
Sasa hiki ndo kimemfanya mwija areact😂😂😂....Mwija kweli hakujisoma
@alexsimon5576
@alexsimon5576 3 ай бұрын
Umeongea vizuri sana,na umetoa ushauri, sasa jitu limekueupuka bro dili nae
@amonpilimo
@amonpilimo 3 ай бұрын
Nahisi najini mahaba kwer kifua cha dada kimenikoshaaa au unzinzi unanisumbua
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 ай бұрын
Mpe Yesu Kristo Moyo wako,zaburi 119:9,
@SiSi_The_Mc_From_LD
@SiSi_The_Mc_From_LD 3 ай бұрын
Mbona hajataja mtu... Amejibu alichoulizwa.... 😂😂😂 Mwijaku hajitambui
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 3 ай бұрын
Yaan mwijaku akili halina kabisa halijatajwa jina,nimeamini ukiwa mwizi hata ukiona police lazima utoke nduki.Masood usimsamehe huyo mwijaku mpeleke mahakamani yaani ukimsamehe utakuwa umetuchanganya Sana unajua hiyo biashara aliyosema haramu tutaishi nayo na Kila mafanikio yako utakayokuwa unapiga tutasema ni zile biashara haramu alizosema mwijaku.Yaan usimsamehe kirahisi kihivyo
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 3 ай бұрын
Kaabisaa kuhama hama nako kuna shida zake maana hipo siku watu hawatokuamini tena na utapoteza mvuto
@NeemaSawe-m3u
@NeemaSawe-m3u 3 ай бұрын
Si kama kitenge kapoteza mvuto
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 3 ай бұрын
@@NeemaSawe-m3u kaabisaa kawa kama wadada wa Bar
@JovinAndrew
@JovinAndrew 3 ай бұрын
Hicho kitu mtuu anaenda kuitangaza biashara au brand ya mtu baada ya kuzungumzia au kumuuliza maswali yanahucu event hilo mnakocea ww unadhani huyo mchina anawonaje bado tupo nyuma kweliiiiii anatuonaa kama watu wa ajabu event inaucu mabati nyie mnaulza habari za mtu binafsi
@IddMussa
@IddMussa 3 ай бұрын
Mabati yashaongelewa hapo Hicho Ni kipind cha maswali na majibu
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 3 ай бұрын
Sasa Mwijaku analipwa mipesa mingi kwa lipi sasa?
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 ай бұрын
Fact kaka
@SKimmy112
@SKimmy112 3 ай бұрын
Sikuona ubaya wa kauli ya Masudi mpaka yule bwege kupayuka
@KALUMUNAGERVAS
@KALUMUNAGERVAS 3 ай бұрын
Masudi ni mtu makini sn👏
@annievibes8794
@annievibes8794 3 ай бұрын
Mchina ansonekana hailewi kitu😂
@MikiGermany210
@MikiGermany210 3 ай бұрын
Kwa wasio mjua masoud, kaka yake masoud na Boss Joe na ruge walianzisha pamoja kampuni ya promosheni na kuandaa matamasha kabla ya kuanzisha Fiesta, so Masoud alikuwepo nyuma ya kaka yake kitambo
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 3 ай бұрын
Umeongea kwa hekima sana. Sema sababu Sisi kama jamiii tumelea Majinga mtu anajibu kwa kukurupuka, Mtie adab iwe funzo kwa Wengine
@joycekalago532
@joycekalago532 3 ай бұрын
Hapo aliposema kuhamahama ndio palipomgusa mwijaku akajihis akajua anasemwa yeye 😂😂kimemramba atauza jumba lake auze alipe deni mdomo umemponza ana mdomo sana mwijaku kujihisi tu amekutana na chuma cha chuma😂😂😂tufundishie baba
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 3 ай бұрын
Mwijaku anastahili Adhabu,kwani anaehamahama ni yeye tu,mbona wenzie wapo kimya,Masoud hajamtaja mtu
@Whoisthismantalking
@Whoisthismantalking 3 ай бұрын
Huyu mwandishi pia anatakiwa kushtakiwa kwa kuandika kichwa cha habari cha uchonganishi na cha uongo
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 3 ай бұрын
Masoud una akili sana.....unajibu vyema mno
@kiatu
@kiatu 3 ай бұрын
Kumbe majibu ya Kipanya ni safi sana
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 3 ай бұрын
Ukiwa na akili kubwa utelewa kuwa crown media ni ya kipanya,,," tunamkimbiza nwizi kimyakimya"
@jamesmassawe4888
@jamesmassawe4888 3 ай бұрын
Amna kitu na ww
@jumaalmasjuma1700
@jumaalmasjuma1700 3 ай бұрын
Mijitu mizinzi dada ata haongei ila jitu limeona nyonyo
@ShabaniSudi-d1x
@ShabaniSudi-d1x 3 ай бұрын
Good point kipanya I appreciate you
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 3 ай бұрын
Kinacho sunbua hapo ji crown media hahahaha shughuri ipoo
@SaidiYahya-t1c
@SaidiYahya-t1c 3 ай бұрын
Sasa mwijako mipov ya nn
@SaidiYahya-t1c
@SaidiYahya-t1c 3 ай бұрын
Sasa mwijako mipov ya nn
@marrypius576
@marrypius576 3 ай бұрын
Sasa mwijaku yeye kuhamahama hata miaka 10 huna kaa mahali tengeneza cv yako vizur ndo uhame
@shamimageta6651
@shamimageta6651 3 ай бұрын
uyo dada anaziwa zuri aisee😊
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 ай бұрын
Hata Mimi nimelipenda ukilinyonya du❤
@leonardtiato1219
@leonardtiato1219 3 ай бұрын
😅😅😅😂😂😂acheni unzinzi bhanaaa
@pangolinsnews6216
@pangolinsnews6216 3 ай бұрын
😂
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂wazinzi niwengi
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 3 ай бұрын
Acha tamaa kijana😂
@alexandermakanta9468
@alexandermakanta9468 3 ай бұрын
Car Development is the one among the critical system i advice you to consider Safety
@DrFit-di1rb
@DrFit-di1rb 3 ай бұрын
Sema punguzeni Clickbait aisee ..... Zinawasaidia nn ..... Yan mnapata views AMBAO ni unique tu, ukinidanganya nikiClick nkakuta kitu tofauti na tittle Yako ntakua nnaAvoid video zako .. acheni kuClickbait, hazina faida ya long-term kwny channel
@poptzmedia
@poptzmedia 3 ай бұрын
Media inaitwa Chazy unategemea nn😂😂😂
@miso-bg2xl
@miso-bg2xl 3 ай бұрын
Mwanangu ukiona wanafanya ushenzi huu unawaripot tu kwa kwatoa sababu ya misleading content, minshamripot uyo
@Naju645
@Naju645 3 ай бұрын
👏👏👏
@wazirally1791
@wazirally1791 3 ай бұрын
Jaman mim sijamkiliza masudi hahhahah namwangalia mchina tu Hivi Betri haijavimba kwel huyo??
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 ай бұрын
👍✌️👊.
@UmmuJauzan
@UmmuJauzan 3 ай бұрын
Halafu jamaa huyi masud namjua jamaa anakunywa sna pombe
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
Weeeeee jileviiiiii 😂😂😂😊
@hanspop6961
@hanspop6961 3 ай бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾🫶🏾Hongera sana Allah Akufungulie zaidi na Zaidi
@givembwilo141
@givembwilo141 3 ай бұрын
yule dada amebarikiwa kifua😂
@teachingtruthmission2140
@teachingtruthmission2140 3 ай бұрын
Kimeharibikaje
@solomonsamuel3584
@solomonsamuel3584 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 we jamaa unamawazo ya hovyo kwelikweli
@Nigamtupori
@Nigamtupori 3 ай бұрын
Wewe muongo satifiketi yako nikama mchezaji timu hii ikipanda dau mchezaji ana chomoka pia utangazaji pia wamiliki wa rodio wakipanda bei kwa mtangazaji anachomoka acha kuwapotosha watangazaji anapo hama hama ndo atazidi kulipwa ghali zaidi atakea mchukua lazima amlipe ngali zaidi ili asichukuliwe na mwingine wana habari wana nguvu kubwa katika jamii kwanini mnaji shusha 😮😮😮
@Marwawilliam
@Marwawilliam 3 ай бұрын
Kajifunze kuandika kwanza
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 ай бұрын
Hujui lolote. Huyo jamaa anatengeneza Brand yake ili huko mbele apate thamani kubwa. Na ndivyo jamaa kwa sasa anatengeneza mkwanja mrefu sana.
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 3 ай бұрын
Wewe inaonekana hata miaka 20 huna,bado ni mtoto hujui kitu. Kwa sisi wazoefu kazini tunafahamu Kipanya anaongea nini.
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 ай бұрын
Ni muongo sana umesomea Shule gani huo uongo sikia hakuna mwandishi Habari anayelipwa mamilioni hakuna kinachombeba mwanahabari kuhama hama media ni yeye kutafta matangazo mengi ya biashara kwenye makampuni makubwa hakuna mshahara mkubwa ni muongo sana
@meshack3266
@meshack3266 3 ай бұрын
Ujui unachokiandika
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 4 ай бұрын
Fact🙏🙏🙏
@ramadhantiba4592
@ramadhantiba4592 3 ай бұрын
Aah upuuzi tu, zingatia hela mwengine yatakuja yenyewe
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 ай бұрын
Umechemka sema sijui Elimu yako. Umri na Elimu yako ndivyo vinakuongoza. Huyu Masoud ni kichwa sana. Amekaa sehemu moja kutengeneza barand yake iwe na thamani kubwa ili baadae ale kuku kwa mrija na aweze kuajiri watu.Ukihama unaanza upya ndugu. Angalia hata mchezaji, mchezajii akihama anaanzia 0 kupata mashabiki.
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
Upuuzi wake nini mbona amejibu vzr tu! Uelewa wako mdogo.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 40 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,3 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 58 МЛН
MASHARTI MATATU MAZITO ALIYOPEWA MWIJAKU "TULIMPA SIKU TATU"
6:06
MASOUD KIPANYA KUHUSU KUKATAA UTEUZI "UTEUZI AKIKUPA MUNGU,TUNAJISHUSHA MNOO, UNAWEZA UKACHEKA"
56:35
Mchezakwao “mchezakwaoshow” Startv
Рет қаралды 4,8 М.
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 40 МЛН