Mama wa kazi uko vizuri wewe ni mke mwema Mungu akupe moyo huohuo wa hekima sisi hatuwaachi .tunakwenda na lisu tutamaliza na lisu
@musarichard29344 жыл бұрын
Wapo wanaombeza Lissu,but if not today..it's tomorrow!..he must be the greatest leader!
@madukaj.j.69994 жыл бұрын
Hapo ndo mwisho Mkubwa.
@messiasulleydidy25854 жыл бұрын
For sure
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
and eloquent too, but not sure if he will take over this country
@shukranisekaga96094 жыл бұрын
Mwanamke jasiri sana ww, nakupenda sana first lady! Unaosha!
@jacobmayalla56984 жыл бұрын
Pole Malkia wa Tanzania,Umepambana Sana,hakika unafaa kuwa Malkia na ninaamini,Utamshauri vizuri Mfalme!!!!?
@ndogoroedson1995 ай бұрын
Malikia gan au malkia wa manyumbu? Hahahaaaaa keeeenge
@ULUMBIADAM4 ай бұрын
K,wewe
@AnjelicaBayyone19 күн бұрын
Mungu ni mwema sana kwa Familia yenu msikate tamaa
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Mamma yetu wa Tz aliye tuuguzia kipenzi chetu Mhe Tundu Lisu Mungu akupe baraka zaid kwa mahaba makubwa zaid juu ya Rais wetu Mhe Tundu Lisu ❤❤❤❤❤
@nuhuhatibu16174 жыл бұрын
Yaani huyu mama kaongea kwa hisia sana na anaumia sana pole sana mama kwani hakuna mwanadam yeyote yule ambaye anaweza maumivu haya ila tumuachie MUNGU ndio ambaye atahukumu eee MWENZI MUNGU NAOMBA MWISHO MWEMA NISIJE NIKAWA MIONGONI MWA WATU WABAYA🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙏🏻
@MagdarenaLunyalula8 ай бұрын
Mungu mi mwamifu hakika hamtagarikishwa mungu atawalinfa
@rebecashumbi3450 Жыл бұрын
Jina la Yesu lilimuokoa mmeo nawashauri mpokeeni Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu tulimuombea mweshimiwa poleni Yesu yuko kazini tuliomba kuokoka ni vizuri mpeni YESU maisha yeni mama pole poleni sana
@johnsonmarick454 жыл бұрын
She a real strong 💪 woman💃👩, Much blessing to you mom.
@hassansamo68234 жыл бұрын
Tunaomba mola lissu afanikiwe insha allah
@amanijoel39244 жыл бұрын
It wasn’t easy.... it’s not easy ..... we still have long way to go but there is a hope . Through the cloudy ⛅️ I can see an open window ... penye nia pana NJIA ....watching & following you from the 🇺🇸 But Tanzania 🇹🇿 is my home
@simonfundi36094 жыл бұрын
Asante sana First Lady wetu
@dorahy15794 жыл бұрын
Mnajua mlichokoza boss wenu. Mnataka Italia kwa kufanya ujanja ujanja muonewe huruma na mambo yote mlipanga wenyewe. Mnadanganya bongo lala siyo werevu. Mnajuliakana mipango yenu. Tamaa bin Tamaa
@simonfundi36094 жыл бұрын
Dorah Y huruma za Mungu zinatutosha hatuitaji izo za maccm
@rehemadaudi43904 жыл бұрын
Hongera sana my wifi love u.
@FilbertKalembe-fy4oq4 ай бұрын
Duu mungu yupo msjaribu ni sehemu ya binadamu waliofanya haya mungu anawaona
@osodowilberforce4 ай бұрын
Madam Lissu,we love you.Pole sana.
@murugaisaya66814 жыл бұрын
It's painful hongera sana mama we shujaaa
@santosclassic99354 жыл бұрын
Unatetea wanyonge saf kabisa
@simonmdulla8051 Жыл бұрын
Mungu.akutie.nguvu.mama.endelea.kua.hivyo.
@santosclassic99354 жыл бұрын
Rais wetu lissu 🙏 umeshapita
@katwigayona80414 жыл бұрын
Dua za kuku
@jevinjacob54394 жыл бұрын
Katwiga Yona kwan ww nani.. paka uone ina shindikan... mbn mlimuombea afe lkn ni mzima wa afya... nyie wajinga tu tutawaonyesha
@wennybarny1683 ай бұрын
Poleni sana
@jonathanmundeda9714 Жыл бұрын
Pole sana na familia yako mama
@ombenipenieli1432 Жыл бұрын
Mama usiwashukuru watu,mshukuru Mungu aliemshindia na kumuepusha na kifo
@faustinendama23044 жыл бұрын
Pole sana
@sebastiankessy10154 жыл бұрын
Dah pole Kwa Yaliyo kukuta
@shebymnazi35304 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atalipa kwa yote aliyofanyiwa kiumbe chake tundu lisu tunaamini ivyo
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Mara pah'Antipasu ikulu ....yaan kuna watu sijui wataenda kuishi nchi ipi maan mzik wake hapatosh ...
@izackhongoli40174 жыл бұрын
apo ukubali ukatae akipta lisu nakuingia ikulu vita inaanza amini nakwambia
@joramkimario26664 жыл бұрын
We endelea kuota na otakaaposhwa ukiamka ukafungue milango ya ikulu
@yosephatMasanyiwa-oh1rl2 ай бұрын
Hiiiiiiii tutawakojolea mdomoni hao mubwaa
@mohamedturanardan88714 жыл бұрын
Aliyempiga risasi ipo siku. Mungu ni mwema na muadilifu, hasahau, hali, hanywi, anampururia. Ipo siku yake
@drtobias_4 жыл бұрын
Chadema Tunaomba SERA JAMANI
@mcjogopah85134 жыл бұрын
Kwani Lazima, uje huku ambako hakuna Sera? Au wewe ndie wale wasiojulikana?
@drtobias_4 жыл бұрын
@@mcjogopah8513 ndugu yangu tusigombane ,sijasema hivyo kwa Nia mbaya,Hii Ni hamu tu ya kumwona Lissu akiwa IKULU
@zacijoe37724 жыл бұрын
Mbona Lisu kamwaga sera au umekuwa kipofu
@Omarimakuka22 күн бұрын
Hana cha maana
@clemencekaogo88264 жыл бұрын
Inauma sana Kwa binadamu kumfanya mwenzako kama mnyama wa polini mungu atawalipa Kwa yote
@amosmoses78004 жыл бұрын
Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya - Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___ 1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea. 2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani. Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ? Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani? 3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ? 4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ? Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi? 5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .? kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi. Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao? Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu. 6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi? 7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini? 8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ? 9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu? 10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ? Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi. 11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.? Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani? KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO. BWANA YESU ASIFIWE ! CCM OYEEE !!
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mkulya sura mbaya shapeless
@DeogratiusAndrew-zi7zv10 ай бұрын
Lakini amesema ubavu wangu , kwani nisawa kweli nani hapo ndie ubavu wa mwenzake kati ya lisu na mkewe?
@fredreckmwakalinga34754 жыл бұрын
Wapinzani hasa chadema na Act kama mtawachekea hii Tume ya ccm watawatesa sana lakini ngumi jiwe ndo itaondoa huu upumbavu ya mungu mtu
@iddijumaali71924 жыл бұрын
Inasikitisha
@octavianadolph45774 жыл бұрын
♥
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
RIP LISSU
@dorahy15794 жыл бұрын
Mmmmh, nao wanalia hawana wa kulilia
@mashannapapaaa95829 ай бұрын
Safisana
@deodatusideostusi6274 жыл бұрын
Baba I
@endwardntandu37364 ай бұрын
Mnafiki kama mumeo hats ubalozi was nyumba kumi hapati
@ndogoroedson1995 ай бұрын
Huwa nacheka sana nikiwaona waigizaji kama huyu mama! Ulijichelewesha sana kuolewa na chozi anayepinga kila kitu! Hiv mtawaambukiza na watoto ujinga kama huo mlionao poleni sana!
@mussamapesa56324 жыл бұрын
Tutamuomba magufuli ampe kazi mumeo ili na ww upate utulivu maana unaonekana mumeo anakutesa sana
@zainabuselemani67094 жыл бұрын
akil huna kwan maguful ni mung
@agnesskisima82144 жыл бұрын
Unakichaaaa Cha mbwaaaas
@denismakono1974 жыл бұрын
Kwan tunaomba history ya maisha yako umekufa au mwanga Sera unishawish lakin najua rais anajulikana in magufuli upo mama
@mohdhassan87634 жыл бұрын
wovu wakumwa jiji kazienu mbropa nganda
@jevinjacob54394 жыл бұрын
Ww acha kuongea kama mtu unae kosa hoja... kwan hujui nani ndy msema sera saiv wa chama...😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tatizo watu wa sisim sio smart kbs mnafanya mambo kwa mazoea
@KS-iw7qv4 жыл бұрын
Sera sera tunataka......... sio kuomba huruma........
@hijakisoro53764 жыл бұрын
Sera na hamani broo kua care
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
kweli
@johnsonmarick454 жыл бұрын
Wewe utampa huruma, au sifa
@jevinjacob54394 жыл бұрын
Yan watu wa sisim bhn.. 😂😂😂😂 nyie mizik ndy sera sera..😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mm ww hata siku chekei nakutukan ww ni mjinga na utoke kweny ujinga... au umetuma... sasa kwa taarifa yako hakuna mtu anaongea sera saiv tofauti na MGOMBEA URAIS BASI NA SIO MTU MWNGN FALA WW
@admaumsengi42304 жыл бұрын
Wewe ni kamanda, wewe ni malkia wa nguvu
@abdulrahmansalim97734 жыл бұрын
Magufuli anatuletea upumbavu was kitoto lazima aondoke. Kwa kutuletea vitendo vya kihuni akili zake taahira kutumia shooting act no good
@yusufuvea53114 жыл бұрын
Utaondoka ww na mamazako Magufuli ndiye wa Tz maumbwa nyie
@katwigayona80414 жыл бұрын
Eti aondoke ,,wewe ni kagonjwa ka akili
@jevinjacob54394 жыл бұрын
yusufu vea ndy umemaliza hapo.... mjinga mkubwa ww kwani yy nani paka asiondoke huyo magufuli yan amefanya nn toka aingike au kuongeza DENI LA TAIFA KAPA WATT HATUZA ZAA TUNATAKIWA KULIPA
@yusufuvea53114 жыл бұрын
@@jevinjacob5439 kwani ww tangu uzaliwe umefanya nn mpaka ulipo unakua kama shoga bhana,, kwani we ni kipofu huoni si aliyoyafanya
@jevinjacob54394 жыл бұрын
yusufu vea mashoga wanatambuana aise... mm sijaona kila kitu huwa kina fanywa hvy hvy na marais wote toka uhuru na hata wakoloni walifanya
@subiraabeid5884 жыл бұрын
Pole sana mama lakini lisu kula yangu simpi
@bakariamour60244 жыл бұрын
Kwa iyo hutaki kujua habari za risasi daa we kweli ni fisiam
@bensonzabroni18094 жыл бұрын
Tunaweza kushinda but kama hatutaeleza lengo la kugombea tutashindwa tunahitaji sera sasa
@HamzaHeri3 ай бұрын
WEWE MBONA UNAUSO KAMA UNA PULIZA MOTO ALIPIGWA RISASI KWA SABABU YA KUTAKA KUTU SHAWI TUOWANE WANA UME KWA WANAUME NA WANAWAKE 2 KAMA NA WEWE NI MOJA WAO BASI MTAKAASANA BASI TAFUTE KAZI NYINGINE ZA KUFANYA AO NJOONI HUKU MIRERENI TUCHIMBE MADINI BLOCK C ASANTE SANA FATA USHAURI WANGU
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Sura mbaya ya kikulya
@yusufuvea53114 жыл бұрын
Sera hamna kila siku risasi risasi,,, mmekwisha nyie
@jamhurramadhan37074 жыл бұрын
Hiyo nihadis yk tukiruhusu kila moja aimuliye majaribu aliyo pitia sijuw na atakuwa rais mana kila moja atakua na matatizo makubwa zaid
@hassannanji35644 жыл бұрын
Leteni sera sio kila siku kuhubiria kupingwa risasi.hizi stori zinachosha.You think you are going to win election by using this agenda.it's nonsense.absurd.I believe JPM will emerge winner by 85 percent of votes before 10.00 am
@husseinkonz51924 жыл бұрын
Ubavu wa risas tunajua sasa mwagen sera story nying za nn
@bakariamour60244 жыл бұрын
Ata kupigwa risasi pia ni sera tena kubwa
@nebartmuyagala95454 жыл бұрын
Historia tulishaisikia tupe sera mama baada yakufikilia kuchukua hii inchi pamoja nakua nindoto ya mchana
@kibwanaMAlly4 жыл бұрын
Inahusiana nanin sasa .
@jevinjacob54394 жыл бұрын
Kwan ww unatutakia nn... mbn wambea watu wa sisim, hofu yenu mnajua kuwa mnatetea uwovu... labla ni kwambie tu umasikin hauondoki kwa kujifangany sisi wenyw.... sisim imefanya nn kweny hii nchi toka 59 hakuna ambacho tuna jivunia ni kizur sio umeme, barabara, maji na biashara.. usiongee kwa ushabiki mjinga ww
Alijifanya mjanja anajua sheria kumuwekea mwamba pingamizi ya kugombea urais,,, sasa watu wakaona isiwe tabu wakamwaga mbga kabisaa fyekelea mbali wagombea ubnge na madiwani...anatafuta jina kupitia jina la mwamba jpm
@mwanasaid61774 жыл бұрын
Sasa habari za risasi sisi za nini?
@abdulrahmansalim97734 жыл бұрын
Kama baba yako ingelikuwaje . Magufuli hafai akili zake taahira mpumbavu was kuileta mafundisho ya shooting act mjinga mwizi bustard
@mwanasaid61774 жыл бұрын
@@abdulrahmansalim9773 mpumbavu mwenyew mbwa wewe habari za magufuli zimekujaje hapa?kwanza unaanzaje kumtukana kiongozi wa nchi? Ww ipo siku mdomo utakuponza
@agustinopaulo36504 жыл бұрын
Mweshimiwa lisu umesahau wapi nchi yetu ina rasmali nying sana ikiwemo madini y aina nying,hifadhi ya wanyam, maziwa, na megineo mengi vya kuingiza kipato serikali unashidwa nini kusema kila mtanzania aliyefikishwa umri wa miak18 anastahili kila mwish w mwezi apate fungu fulan y hela kweny hudum y benk ili kila mtanzania a enjoy matunda y nchi yake hii ni sehem moja wapo y kupunguza umaskin nchin kwa asilimia kubwa san
@hassansamo68234 жыл бұрын
Jiulize senge ww
@brunomirambi87924 жыл бұрын
What's WOMEN?? _Is way organising men
@adenadolph19514 жыл бұрын
Magufuli rais asubuhi na mapema kabisa atatangazwa,NGARA CCM NGARA.....JPM 4 ALL 2020