Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"

  Рет қаралды 149,680

The Chanzo

The Chanzo

2 ай бұрын

Akihutubia wananchi wa jijini Dodoma Leo Aprili 29,2024, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amemjibu Mwanasheria Fatma Karume aliyekosoa kauli za Tundu Lissu dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni za kibaguzi wakati akihutubia wananchi wa Babati siku ya Ijumaa, Aprili 26, 2024 ikiwa ni siku ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru.

Пікірлер: 918
@ernestkaji9640
@ernestkaji9640 2 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza toka nianze kumsikiliza huyu jamaa,Leo nimemuelewa sana
@rolencevedasto1009
@rolencevedasto1009 Ай бұрын
Nakichwa kizito sana Leo tu
@albertmbise2670
@albertmbise2670 Ай бұрын
Umechelewa sana kumuelewa
@pascaladloph4719
@pascaladloph4719 Ай бұрын
Yaani tangu aanze hukuwahi kumwelewa? Basi kijani walikuwa wamekulevya sana
@tanzanitetv
@tanzanitetv 2 ай бұрын
Lisu Hatari sana kwa hoja ,unapotaka kupambana naye ni kujiandaa sana
@unclepumpuu5920
@unclepumpuu5920 Ай бұрын
Hana hoja yyote ni mbaguzi
@mzeejumbe900
@mzeejumbe900 Ай бұрын
Tatizo la tudu lissu huwa anadhania kuwa hao anaoongea nao hapo na penginepo kuwa wanamfahamu asilimia kubwa ya watanzania wenye maono wanamfahamu kuwa ni mtu wa propaganda na mwenye kueneza chuki na sintofahamu baina ya watanzania na pande mbili za muungano ni mtu asiye na uzalendo na taifa kwani ameelekeza chuk zaidi sana kwa kiongozi wa nchi huku akisahau kuwa raisi aliyepo madarakani yupo hapo kikatiba. Tundu huna jipya nenda zako ukatumwe na wazungu hilo ndilo lililobakia kwako kwani huna sifa ya kuwa kiongozi kwa watanzania.
@josaphatkessy530
@josaphatkessy530 2 ай бұрын
Tundu lissu wewe ni zawadi Mungu katupa Watanzania Mungu azidi kumlinda GENIUS
@hamadfaki7625
@hamadfaki7625 2 ай бұрын
Hapo amehusisha Tanganyika so zawad ya Tanganyika iyo
@user-us4tk2tk3c
@user-us4tk2tk3c 2 ай бұрын
Mwehu tuu huyu. Hana jipya.
@user-us4tk2tk3c
@user-us4tk2tk3c 2 ай бұрын
Hakika wewe ni Mbaguzi na siasa zako hazina nia njema kwa Watanzania.
@mkude
@mkude 2 ай бұрын
Hahaha huyo lissi bado sanaa mtamkubali wachache kama nyinyi mnataka kugawa watu ili mfaidike kisiasa.
@user-dq7gi3li9q
@user-dq7gi3li9q 2 ай бұрын
Na yule mbunge wa za
@user-hu4sd7bg8n
@user-hu4sd7bg8n 2 ай бұрын
Mimi ni mazanzibar lkn hizi nchi ni mbili wasituchanganye hawa. Ccm waweke wazi hizi nchi mbili. Serikali ziwe tatu
@Soon815
@Soon815 2 ай бұрын
Huna akili
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 2 ай бұрын
Una miaka mingapi..? maana tusije kupoteza nguvu kumjibu mtoto kwa hoja. Nikupe home work. Nenda katafute, muungano wowote wa nchi mbili wenye serikali tatu. ukiupata utuambie
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes 2 ай бұрын
Lamuhimu hapo kila mmoja ashike 50 zake atuoni umuhimu wowote wa muungano pia upande wa Tanganyika kwa sasa unaathirika zaidi asa wananchi wake na tangia mzanzibar alipo kaimu kiti cha Marehem Rais Magufuli hoja alizo ongea Lissu zina mashiko makubwa Rai yangu 2025 tusifanye makosa watanganyika tuakikishe raisi ajae ni Mtanganyika acha neni na wapemba ao wanayo Nchi yao jamani watupishe 2025 Tanganyika kwanza
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 ай бұрын
Mzanzibar lakini una mashamba morogoro Pumbavu. Huu muungano hauna mantiki yoyote kwa watanganyika.
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 2 ай бұрын
Hatuutaki muungano sie Watanganyika labda uwe wa serikali tatu.
@Expedito2512
@Expedito2512 2 ай бұрын
Ndugu Lissu nakuombea sana Mungu akulinde
@masoudsalum
@masoudsalum 2 ай бұрын
Amina
@eliamtanzaniaog6380
@eliamtanzaniaog6380 Ай бұрын
​@@masoudsalumAmina sasna
@user-zw4tf5os8b
@user-zw4tf5os8b Ай бұрын
Amlinde wakati anaongea pumba zake za ubaguzi vunjeni muungano
@user-ul5ei1vv7z
@user-ul5ei1vv7z Ай бұрын
Amina
@habinezaabubakar4200
@habinezaabubakar4200 Ай бұрын
Hakika
@gideongerald2846
@gideongerald2846 2 ай бұрын
Lissu huwa unatwambia mambo ambayo yamejificha heko nyingi kwako
@user-mk6my3gb4s
@user-mk6my3gb4s Ай бұрын
Kutesa kwa zamu wazanzibar zamu yetu kukuongozenii mtake msi take😮
@user-mk6my3gb4s
@user-mk6my3gb4s Ай бұрын
Sisi wanzinzibar tunataka nchi yetu tumechoka kelele zenu nyinyi wenyewe watanga nyika mushauza sana vitu vyetu kua raisi mzanzibar ndo imekua shida hamujui kama kutesa kwa zamu😮😮
@user-xx2ex2nj8f
@user-xx2ex2nj8f 2 ай бұрын
I'm from Somalia, if you are complaining that the people of the islands are exploiting them, why are you on the mainland forcing the union. I say this because I follow the politics of East Africa a lot.
@fredrickchenga
@fredrickchenga 2 ай бұрын
How did you know that is a complaint? This means you know the language. if that is the case, contribute to Swahili for the betterment of the viewers.
@hamidudongo1879
@hamidudongo1879 2 ай бұрын
Because they are Muslims-99%. They can't let them go. Some of their political -Christian leaders talked about it publicly.
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 2 ай бұрын
@@fredrickchenga😂😂
@phillipmbuligwe6033
@phillipmbuligwe6033 2 ай бұрын
Accept the fact my friend. Don't be unnecesarily defensive ​@@fredrickchenga
@johnsonkiwia6577
@johnsonkiwia6577 Ай бұрын
@@fredrickchenga😂😂😂
@user-tw9qc6oe9b
@user-tw9qc6oe9b 2 ай бұрын
Daah lisu nakuelewa ila kwa hili sipo na ww unakosea sana. Piganieni katiba, tumehuru ya uchaguzi nk vikipatikana hivi hayo ya ubaguzi yatakaa kando
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Ай бұрын
Ukitulia na kuichambua kauli zake utamuelewa tu
@festussostenes4189
@festussostenes4189 Ай бұрын
Ungekuwa umemuelewa usingeandika hayo mengine mbele
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 2 ай бұрын
Kumbe tuna miaka ya uhuru na tanganyika na miaka 60 ya mungano
@manilabonalumanula9210
@manilabonalumanula9210 2 ай бұрын
Uhuru wa Tanganyika ikifika 9 Desemba 2024 na Muungano ilipofika 26 Aprili 2024 ulitimiza miaka 60.
@alinassor391
@alinassor391 2 ай бұрын
Nyinyi wa Tanganyika tusaidieni sisi wa zanzibar kuuvunja huu muungano feki usio na tija kwetu ili munufaike na tanganyika yenu
@bilalkhamis_
@bilalkhamis_ 2 ай бұрын
Na mm natamani uvunjwe... mana hawa wabongo asaa 😢
@bahatielias6443
@bahatielias6443 2 ай бұрын
Lakin lissu kasema ukweli ,sema CCM wako kimasilahi zaidi,Nanyie wanzanzibar muwe wakwanza kuukataa huu udhalimu,muungano feki
@philipombwambo1980
@philipombwambo1980 2 ай бұрын
Huu hauvunjiki kamwe labda mhame Zanzibar nyinyi
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 ай бұрын
Rais wa sasa anatoka kwenu mwambieni avunje muungano mtaona maisha yenu yatakavyo kuwa magumu
@jumaseifjuma4185
@jumaseifjuma4185 2 ай бұрын
Kwani huu muungano ndo Mungu hata maisha yetu yawe magumu. Fahamu kwamba mambo ni kutegemeana hapa. Naona mmejaa tele hapa kutafuta maisha.​@@FridayMwassa
@juliusnyerere5393
@juliusnyerere5393 2 ай бұрын
Kweli mfamaji haichi kutapapata. Bado ni mjinga Sana Lissu. Mbona husemi Kama. Mnasema muungano wa nchi mbili Wabunge wawe sawa bungeni. Nyie mko wengi. ?
@user-zj4ii6uf7t
@user-zj4ii6uf7t 2 ай бұрын
Lissu siyo njinga,na siyo mpubavu na siyo mbaguzi,na anacho kisema yuko sahihi kabisa,ila ninyi Viongozi wa roho wa madaraka mliokalia madaraka ndo mnaoziharibu baina za hizi nchi mbili?maana mnamuona Lissu km mwiba kwenu,wakati anawambia ukweli viongozi,na wtz kwa ujumla!!!!mnamuona Lissu km hayuko sahihi maana anawatomaso,lkn mjue kuwa haki haipotei ila inacheleweshwa tu,Kuna siku itakuja kutimilika tu,asanteni,ila viongozi kumbukeni kuwa Mungu yupo,na mbeba maono hafi mpaka yatimiye asanten
@omaryjumas6327
@omaryjumas6327 2 ай бұрын
Hizo ni nchi mbili tofauti, hata kama.jimbo moja kwa kura moja. Tundu Lissu.ameona abadilishe gia angani.
@AliyAli-uj7zh
@AliyAli-uj7zh 24 күн бұрын
Vizuri Mama etu wazanzibar nitafurahi ukiuuza ule mlima wao wa Kilimanjaro itakuwa saw na wao walivyokuwa wakiuuza vitu vyetu
@pauloropian2367
@pauloropian2367 2 ай бұрын
Mungu akubariki Mr tundu na akuongezeee miaka mingi ya kuishi ktk uso wa dunia
@LanguMiliariMollel
@LanguMiliariMollel 2 ай бұрын
Mungu akutunze mtetezi wa wanyonge wa Tanzania 👏👏
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 2 ай бұрын
Haya mambo yataisha tukishavunja muungano
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Ай бұрын
Kweli kabisa, mimi siutaki huu muungano wa mchongo
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Kwa haya namuunga mkono Tundu Lissu. Mtanganyika hawezi kununuwa aridhi Zanzibar, lakini muzanzibari anaweza kununuwa aridhi popote Tanganika
@mahfoudhally2879
@mahfoudhally2879 Ай бұрын
Wazanzibari hatutaki kelele nyingi nyinyi ndio mnaong'a Ng'ania muungano hebu vunjeni muone tutakavosheherekea then after 10 yrs muone maendeleo yetu .tushachoka na ukoloni wenu
@mussamussa8181
@mussamussa8181 Ай бұрын
Unazan rahis
@sheikhasalim1190
@sheikhasalim1190 Ай бұрын
​@@mussamussa8181kwani kabla ya muungano ilikuaje? ama hujawahi kusoma historia ya Zanzibar?
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 2 ай бұрын
Kwa hili Tundu lisu umeongea ukweli 100%
@hamicpina1151
@hamicpina1151 2 ай бұрын
Wanzanzibar tulio wengi tumechoka na muungano na ndio maana wapo waliowekwa jela kwa muungani tanganyika mnakwama wapi kuupenda huu muungano kama x kutojiamini kwa Zanzibar
@AliyAli-uj7zh
@AliyAli-uj7zh 24 күн бұрын
Huyu jamaa kuna mda anazungmza ukweli lakni hutuba hii pumba tupu kuna mitanganyika kibao inamiliki ardhi Zanzibar
@PaulFaustinemisaraba-bp8md
@PaulFaustinemisaraba-bp8md 2 ай бұрын
Kama we Ni mtu wa bara na ulishagaenda Zanzibar ndo utamuelewa lisu anachosema
@AhmedZahor
@AhmedZahor 2 ай бұрын
Mumejaa kama taka huku Zanzibar kazi yenu wizi na Ujambazi muekezaji anauza sumu ya panya na mifuko nitafutie mzanzibari mmoja tu anauza sumu ya panya Bara au karanga Mukitaka Musitake Sisi tuko juu tutakutumeni tu
@omaryjumas6327
@omaryjumas6327 2 ай бұрын
Haeleweki. Zanzibar ardhi yake ni ndogo.sasa wageni milioni 50 kutoka Bara wakiamua kumiliki ardhi.Zanzibar. Jee! Wazanzibari Wenyewe wataishi wapi? Au mnataka mzanzibari akizaliwa tu akatafute makaazi nje ya nchi yake? Tambuweni kwamba Zanzibar ni nchi Tangu enzi na enzi, Muungano usiwe sababu ya Zanzibar kupoteza hadhi yake ya kuwa nchi. Tuliungana kwa kushirikiana baadhi ya mambo hatukuungana kwa kuuwa nchi.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 ай бұрын
We paulo kama kweli hicho unachosema Mwinyi anatoka wapi?! Zanzibar au Tanganyika?! ametoka Mkuranga Tanganyika mbona anatawala kule?! Wazanzibari na watanzania wote hatupo hivyo kaka, hizo no chuki tu mnazopandikiziwa na wanasiasa ili muivuruge amani ya taifa lenu!! Kuna mabwana zao nje huko wanaowatuma.
@PaulFaustinemisaraba-bp8md
@PaulFaustinemisaraba-bp8md 2 ай бұрын
@@omaryjumas6327 na kwann raia wa Zanzibar anaweza kutawala bara Ila raia wa bara kutawala Zanzibar Ni changamoto
@festussostenes4189
@festussostenes4189 Ай бұрын
​@@omaryjumas6327'nchi yake' ipi tena? Sisi si ni nchi moja?
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
TUNDU ANTIPAS LISU MMMH🙌🙌🙌 UKIONGEA NA HIKI KICHWA JIPANGE SN. NI ZAWADI KUTOKA KWA. MUNGU TUNAOMBA MLINDE UNATUFAFANULIA VITU VILIVYOJIFICHA
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Ай бұрын
Wewe n zawad kutoka Kwa shetan
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 2 ай бұрын
WATANGANYIKA NI SAWA NA MISUKULE, MAANA HAJIELEWI KAMA NCHI YAO NA TANGANGINYIKA🤣🤣CCM NA SAMIA SULUHU OYEEE
@HasaMediaTv
@HasaMediaTv 2 ай бұрын
Mitano tena
@zamorad5654
@zamorad5654 2 ай бұрын
Ukiwa na matope kichwani huwezi kumuelewa Lisu
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 2 ай бұрын
@@zamorad5654 Nimemuelewa LISSU ila Watanganyika ndio tatizo la kuungana nå watu laki tatu, na sasa WAZANZIBARI wanuza ardhi ya watu MILIONI 60!
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Na hasa ukijaa mavi ya kuku kama wana chagadema ​@@zamorad5654
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 ай бұрын
⁠​⁠@@zamorad5654Mugufuli😂 Rais wenu mpendwa alimtowa mbio Lisu Tanzania Bara. Rais Samia Hassan kutoka Zanzibar Island Rais wa United Republic of Tanzania kampa ruhusa kubwa sana ya kurejea Lisu na kuendelea na maisha yake Tanzania kwa upendo Kama ndugu, Imani na heshima aliyo funzwa na wazazi wake. Mungu mbariki Rais Samia na mhifadhi kwenye kazi yake muondoshee maaduwi wabaya mbele ya macho yake. Kila aduwi yake Mungu mlipe hapa hapa Duniani kesho akhera ni hisabu.
@AliyAli-uj7zh
@AliyAli-uj7zh 24 күн бұрын
Mlikua mkituzarau na kutucheka saivi zamu yenu munalialia tulieni si mulikua mkijiita Tanganyika kiumeni Zanzibar ukeni mtablooo 😅😅
@RamadhanMohamed-jz6xm
@RamadhanMohamed-jz6xm 2 ай бұрын
Huu ndo ujinga tunaukataa wazanzibar nyinyi mliunganisha idadi ya watu au mliunganisha nchi ndo maana tunasema watu waulizwe
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq Ай бұрын
Watanganyika wameyataka wenyewe
@mkude
@mkude 2 ай бұрын
Bado sanaa,hakuna wa kupanbana na Mama Samia Suluhu
@user-vg9sd2fc1k
@user-vg9sd2fc1k 2 ай бұрын
Hakuna anaepambana nae shida marekebisho yanatakiwa yafanyike.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 ай бұрын
Akili Yako kisoda
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 2 ай бұрын
Madhara ya kuishi kwa shemeji😅😅😅😅😅
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 ай бұрын
We ni mjinga kama wajinga wengine
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 2 ай бұрын
Hakuna
@phillipmasungwa7365
@phillipmasungwa7365 2 ай бұрын
SAHIHI KABISA LISSU UNAYOYASEMA.
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 2 ай бұрын
Lissu nakupenda sana kutoka moyoni hasa maana mungu kakujalia baraka zote. Nawaomba Watanganyika wote tuungane maana lissu katuamsha. Ney wa mitego nae alisha tuamsha kupitia wimbo wake wa Amkeni Wake up TANGANYIKA
@user-zj4ii6uf7t
@user-zj4ii6uf7t 2 ай бұрын
Amen
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 2 ай бұрын
Kwan Tanaganyik imewafanyi mangapi zanzibar mbona munawachagulia mpka Raisi mbona hamunaweka mpka leo acount ya muungano inayosaidia Zanzibar mbona mpka hii leo hamujaipa zanzibar mamlaka yake yakujitawala wenyewe mumekaa kinyaa hamusemi chochote
@maonezinyagalu9393
@maonezinyagalu9393 2 ай бұрын
😂 waulize ccm
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 2 ай бұрын
Siasa hizo kwa karne hii its totally failure.. jamaa yupo vzr sn, ila anaongozwa na jazba na mihemko na sio busara.
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 2 ай бұрын
Yaani unaoneshwa jambo muhimu wewe ni zuzu kweli usiejitambua harafu unakubali nchi yako inatolewa sadaka harafu unajifyatua ubongo. Shenzi sana wewe.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 ай бұрын
Anajibu alichotuhumiwa, ndo maana mapema amekwambia anafafanua kile alichotuhumiwa nacho, Kwahio tulia ufafanuliwe alichotuhumiwa usichukie kuambiwa Ukweli
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 2 ай бұрын
@@geraldgedi4657 ata kiswahili hujui kuandika, Sasa zuzu ni Mimi au ww.. achana na siasa ingia darasani ukasome kwanza
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 2 ай бұрын
@@TegemeaFutemakatifu sawa me sijakataa, ila kama chadema Ina lengo la kuja kuchukua serikali nchi hii, inabidi watumie busara kubwa na sio mihemko, ubabe na kebehi havitawasaidia zaidi ya kupata hasara na kupoteza mvuto Kwa wananchi.. matokeo ya watakachokipita ni hasara, watawekwa ndani, wapigwe au kuuliwa kama ilivyokua ikifanywa na mwenda zake, au watafungiwa mikutano ya hadhara wasipate tena nafasi ya kupayuka... Na muheshim sn Mboe ana siasa za kiungwana sn, sio huyu msomi aliezidiwa na elimu yake na kulosa busara za kutatua shida zinazimzunguka.. anahisi shida hutatuliwa Kwa kebehi, ubabe na majivuno.. angekua mwalimu nyere au Mandela walitumia namna hio ya ukombozi historia ya Tanzania na SA ingeandikwa vyengine hii leo
@kendry_rix1899
@kendry_rix1899 2 ай бұрын
Wanataka kuhamisha mjadala. Asiyemuelewa Lissu sio mzima.
@AliyAli-uj7zh
@AliyAli-uj7zh 24 күн бұрын
Mlikua mkituzarau na kutucheka saivi zamu yenu munalialia tulieni si mulikua mkijiita Tanganyika kiumeni Zanzibar ukeni mtablooo
@user-ct6bk2pz4c
@user-ct6bk2pz4c 2 ай бұрын
Swali kwa tundu. Muungano ungekuwa unawapendelea wazanzinar, na hao wazanzinar wanataka kujiunga na OIC kwanini watanganyika tinawakatalia?
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 2 ай бұрын
Wanakataliwa na watawala wa ccm wa Zanzibar na Tanganyika na syo raia wa kawaida.Raia wengi wa kawaida hawaoni umuhimu wa Muungano
@user-qk2wu5wm1f
@user-qk2wu5wm1f Ай бұрын
Sio watanganyika wanaowakatalia Ni huko huko ktk ccm yako😂
@amourmzeeali8464
@amourmzeeali8464 Ай бұрын
Wazanzibar hatunufaiki na muungano rabda ulizi tu kiukweli mungu akajalia sku moja muungano uvunjike ili zanzibar upunzike kero 😢
@user-el1eh6xn6w
@user-el1eh6xn6w 2 ай бұрын
Shida uelewa hasa hawa mabumunda wa ccm Lissu yuko sahihi
@kapitours3248
@kapitours3248 2 ай бұрын
UKIWA NA UBAGUZI WA KIKABILA NI DHAHIRI UTAKUWA NA UBAGUZI WA KIDINI PIA
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 ай бұрын
Hayo mambo ameyatunga?Acha kua fwaken
@ibel4lf
@ibel4lf Ай бұрын
Tundu you spoke well kuuza vitu vya Tanganyika si sawa kwa huyo Mzanzibar
@MohamedAbdallahSaid
@MohamedAbdallahSaid Ай бұрын
Porojo zina mwisho wake.Wakati bandari itakapo immarika na inchi kunawiri porojo sizitakuwa kama mashuzi tuu😂
@ramadhanimdillah67
@ramadhanimdillah67 2 ай бұрын
Jamaaa mbaguzi kweli kwani amewahamisha kuwapeleka zanzibar si humohumo hiyo Tanganyika yenu mnayodai kosa liko wapi?
@roidysimchimba7103
@roidysimchimba7103 Ай бұрын
Jamaa yuko sahihi kabsa msikilize vzr hana ubaguz ata kidgo na ukwel wazanzibar wengi ndy mnaasir hii na tanganyika hawana kabsa tabia ya kumbagua mzanzibar i
@lwelenjalferdinand671
@lwelenjalferdinand671 2 ай бұрын
Ameuza akiwa rais w Tanzania. Hana kosa lolote kama mzanzibari. Tatizo mi Katiba ya Tanzania
@user-ti5ik2le1i
@user-ti5ik2le1i 2 ай бұрын
Hata Lisu tangu mwanzo alisema katiba ndo imemfanya auze,,,sikiliza hotuba ya babati pia sikiliza kwenye hii hotuba mwanzoni kaongeza kuwa katiba ndo imefanya bandari zetu ziuzwe
@fredsonjaphet
@fredsonjaphet Ай бұрын
Hata yeye kasema ivoivo
@rajababrahman4365
@rajababrahman4365 2 ай бұрын
Kichwa kina niuma
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Kwani lazima huu Muungano???? iwe Tanganyika na Zanzibar kama Zamani Nchi mbili majirani wazuri kama zamani.
@ahmedworldsports
@ahmedworldsports 5 күн бұрын
Yaani mtanganyika hawezi kununua shamba Zanzibar? Ila nimuungano 😂
@yustobitalio3597
@yustobitalio3597 2 ай бұрын
Huyu jamaa ni BRIGHT sana
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Ай бұрын
Zamani nilikua nakuona wa maana lkn saiv unapotea
@elishalomay4895
@elishalomay4895 Ай бұрын
Correct
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 ай бұрын
Huu muungano ujadiliwe upya ikiwamunataka ubaki
@user-hu4sd7bg8n
@user-hu4sd7bg8n 2 ай бұрын
Tunataka serikali tatu kila nchi ijitegemee ibaki muungano tu
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 2 ай бұрын
ukiwa na serikali tatu hauna maana ya kuwa na muungano. otherwise ni kupoteza buree pesa ya walima kodi. kuendesha serikali tatu ni kuwa na mabunge matatu marais watatu majeshi matatu ,benki kuu tatu na vitu vingine vyote vitatu vitatu. fikiria kidogo gharama za uendeshaji hapo !! ukimaliza kufikiria nikwambie tu ,kuna mambo ya muungano na yasio ya muungano. Mambo yasio ya muungano ndo hayo yanayo fanywa na kila nchi pekee yake kama mfumo wa elimu etc kuliko kuwa na Serikali tatu ani ya Zanzibar,Tanganyika na Serikali ya Muungano ni bora tu tusiwe na Muungano maana mpaka hapo utakuwa hauna maana tena. hakuna maana ya kuungana alafu uwe na serikali tofauti.
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Ай бұрын
Na mimi nasema leyo mkapa asingeuwa wazanzibar kama si muungano na katiba
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Ай бұрын
Tutundu waambiye hivi zanzibar ilikuwa huru na kutambulika kimataifa kuliko Tanganyika na kenya ukubwa wa puwa siyo wingi wa makamasi
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Ай бұрын
Hebu tuachiyeni hakuna kisiwa chenye watu milioni 50 kama munataka ka hayo unganeni na kongo
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Ай бұрын
Suala Ardhi za Visiwa zinalindwa kimataifa ili visiharibiwe uhalisiya wske hebu waambiye kuhusu ayalendi na unaited kingdom mungano ukoje
@assayusuph3295
@assayusuph3295 2 ай бұрын
Safi sana❤
@hamadfaki7625
@hamadfaki7625 2 ай бұрын
Napenda lisu akielinisha juu ya tanganyika ili watanganyika wajieliwe tupate tanganyika huru na Zanzibar huru
@MM-oe2eo
@MM-oe2eo 2 ай бұрын
Huyu jamaa ana akili sana, basi tu ngozi nyeusi ina laana alipaswa awe sehemu ya system.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Tundu Lissu Mungu ana sababu ya kukulinda na yote waliyo panga Mungu azidi kukulinda. Mungu hashindwi na lolote lile. Kama Mungu akuweka jicho lake nani atakuwa kinyume cha Mungu? Mungu anaona yote wanayofany maovu ya kutuibia watanganyika. Mungu hapendi dhuruma!
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 ай бұрын
Basi mrejesheni Rais Samia kwao Zanzibar awe Rais wa Zanz na kusiwe na MUUNGANO mambo yatakwisha. Ende kwao akafanye maendeleo na aiyuze Bandari maana ile Bandari ya Zanzibar ni taabani.
@user-sf3hq3tl8j
@user-sf3hq3tl8j Ай бұрын
😂😂🎉🎉
@abassyakoub1464
@abassyakoub1464 2 ай бұрын
Mh. Kumbe chama cha CHADEMA kina Mazuzu eti. Mwanzo nilijua wanajielewa kumbe siasa zao ni Chiki na Ubaguzi tu kama hizi. Bora niendelee tu kuipambania CCM chama la wana. CCM hatumbagui mtu yyte si kwa Utaifa, jinsia, wala rangi. Kwetu ss ni Umoja, usawa na Utaifa mbele. ccm oyeeeeee🔥🔥🔥💚💚💛💛
@maikonyondo-gr7gd
@maikonyondo-gr7gd 2 ай бұрын
Hivi watu wanataka Nani atueleweshe mpaka wamwelewe
@deluxwoiso999
@deluxwoiso999 2 ай бұрын
Adi una nachoka kama kuna watu awa elewi broo
@nkolemuya9283
@nkolemuya9283 2 ай бұрын
Ukweli ni Ukweli hakuna funika kombe, Lisu yupo huru moyoni na kichwani so no gibberish, he calls a spade for its name not otherwise 🎉
@mohammedrajab6514
@mohammedrajab6514 Ай бұрын
Nilipokuwa TZ 1994 i was told mtu kutoka TZ bara you wanted a visa to visit Zanziber. I really wanted to visit zanzibar for holiday niliposikia hivo and me us a foreigner nilidhani ni Country moja so i refused to Travel to zanzibar. Nilikuwa nataka ku Travel na my friend from TZ bara.
@jrkaluli5638
@jrkaluli5638 14 күн бұрын
Wanasheria na Waandishi hucheza na document kujenga na kubomoa hoja. Marungu hayaruhusiwi..!
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Watanganyika wote ni vipofu kiakili kabisa. Watawala siku moja ndiyo sababu Samia anaandaa Warabu kujitayarisha kuja kuwatawala watanganyika. Hata kama CCM siku moja itawakula kwenu pia mtajikuta mnatawaliwa na Wazanzibari na wakati huu Samia anautumia vizuri kweli ili warabu waje wajazane hapa ili waungane na Zanzibar kutawala Tanganyika. Pole sana hata sasa mmeisha tawaliwa kiakili kabisa sijui ni ushamba au uchawa.
@AhmedZahor
@AhmedZahor 2 ай бұрын
Wewe Kinacho kusumbua Ugalatia mbona huwataji Wazungu nyie Mulitawaliwa na Wajerumani na Waingereza mbona hamusemi kitu si kitu warabu nyie mbn kila siku munajipeleka
@mkude
@mkude 2 ай бұрын
Unaongea pumba tupu,ulifikiri nyinyi wagala ndo wenye mamlaka ya kuwapa wazungu kuwa wawekezaji peke Yao matokeo Yao wanakufundisheni ushoga
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Upo mjinga sana sawa na huyo mkimbizi kilema
@user-zw6xv1vt1p
@user-zw6xv1vt1p 2 ай бұрын
Nayy atauwawa tuu km alimuuwa makufuli apate madalaka basi hata yy hana maisha mm mwenyewe ingekuwa mtoa roho ninavyo mchukia huyu ningemnyongelea mbali uko
@AhmedZahor
@AhmedZahor 2 ай бұрын
@@user-zw6xv1vt1p wewe Mgalatia uko kijijini na Ujinga wako hata kiswahili hujui eti Madalaka Sema Madaraka kwani Tangu Dunia ilipo Umbwa alie kufa Magu tu Wamekufa Mitume itakua yeye yeye kama nani asife
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 ай бұрын
Piga kazi Lisu, sisi tunakuelewa sana
@hassanshani4999
@hassanshani4999 Ай бұрын
Hayo maneno ni ya kibaguzi kabisa kwani chadema mmeishiwa sera? Mimi naona hamna jipya zaidi ya kutengeneza chuki tu
@bungamassingisa2643
@bungamassingisa2643 Ай бұрын
Nahisi wewe ni mzenj!!! Ajui???
@josephpusingare4256
@josephpusingare4256 2 ай бұрын
The only a living miracle! God have blessed us this human right defender and Democracy fighter. Mungu akulinde sana kamanda Mhe Tundu Lissu
@godfreykahabi1964
@godfreykahabi1964 2 ай бұрын
Big brain brilliant intellectual treasure of Tanzania next president of Tanzania republic excellently president honorable Tundu Antipas Mugwahi Lissu
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 ай бұрын
Ni raisi wako nani anamtaka huyu tahira kwanza ni mbeligiji si mtanzania shenzi huyu
@petersilas4234
@petersilas4234 Ай бұрын
Never
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 2 ай бұрын
Huyu tundu lissu role model wake ni rev mtikila, amefilisika sera kichwani anajihalalisha kwa utanganyika, walianza kumbagua mzee rukhsa na zambi ya ubaguzi anaiendeleza kwa samia...
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m Ай бұрын
Pambana lisu hadi Tanganyika itoke kwasababu nyinyi mumeingia chakike 😂z,one mamlaka kamili❤ Tanganyika kanyaga😂
@AliOchu-km1bq
@AliOchu-km1bq Ай бұрын
Nasematena , mheshiwa Rais Alihasan mwinyi alitawala Zanzibar musiseme mtanganyika hajatawala Zanzibar, acheni ubaguzi
@AbdulqadirChamakope
@AbdulqadirChamakope Ай бұрын
Upo sahihi, mbona Rais Ali Hassan Mwinyi.Alitawala Zanzibar hali yeye ni Mtanganyika!hapo hamhoji!!!!Hizo ni chuki na ubaguzi wa wazi kabisaa.
@sheikhasalim1190
@sheikhasalim1190 Ай бұрын
wanajifanya hawajui hilo
@sabriabdalla9562
@sabriabdalla9562 2 ай бұрын
Umejitahid kufafanua lakini still ulichosema ni ubaguzi. Kupotea kwa Tanganyika kumesababishwa na watanganyika wenyewe. Ubaguzi hausaidii.
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr 2 ай бұрын
Zanzibar ni nn
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l Ай бұрын
​@@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr Zanzibar ni ya wazanzibr wenyewe watanganyika ndo nn
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr Ай бұрын
@@user-cq4lp5rv1l haya tuseme mnajitawala haya kila xku mnalilia nn
@charleskingimwakasagule5752
@charleskingimwakasagule5752 2 ай бұрын
Kwakweli ukweli unauma kamanda nakupenda sana wewe ndo kila kitu tunashukulu Kwa kutuelimisha watanganyika mungu aendele kukutunza
@AlphaMagomba
@AlphaMagomba 10 күн бұрын
M/mungu akubariki namna unavyopambana kuherimisha watanzania .
@elisantenyange8751
@elisantenyange8751 2 ай бұрын
Hongera mheshimiwa Lisu
@froma3732
@froma3732 2 ай бұрын
Wapizani siku zote huwa wanatowa Ajenda watafanya nini Wakipata Serekali
@user-vg9sd2fc1k
@user-vg9sd2fc1k 2 ай бұрын
😎😎😎
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 ай бұрын
Sasa huoni hapo ankwenda nayo Moja Kwa Moja? Hataivo huu si wakati wa Kampeni, Ukifika wakati wa Kampeni ndo Kazi yake kutoa Sera watafanya Nini wakipewa nchi? Kumbe wee hujui ni Wakati Gani wakunadi Sera eti? Labda nikusaidie, Wakifanya Kampeni saizi watakuwa wamekiuka Sheria ya Nchi maana mda Bado.
@user-fr3vz2np4e
@user-fr3vz2np4e 2 ай бұрын
Ww tundu mjinga,mbona Maraisi wa tanganyika unapowasema vibaya hutaji wanakotoka?
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 2 ай бұрын
Akili mgando ww
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
ZANZIBAR ni nchi inarais wake kaatiba yake bunge lake kwann ss Tanganyika hawaendi wawakilishi kule bunge la Zanzibar MUUNGANO wa upendeleo mno
@user-vg9sd2fc1k
@user-vg9sd2fc1k 2 ай бұрын
Ngoja nicheke 2
@user-fr3vz2np4e
@user-fr3vz2np4e 2 ай бұрын
@@faustinombilinyi9809 Ww una wazimu kweli,kwan Bunge la Tanzania ni la Tanganyika?wazanzibar wapo kwenye Bunge kama upande wa muungano. Ss wazanzibar tulipiga kelele kipindi kirefu ninyi muwe na serikali yenu ya tanganyika,mumekataa na mumejivisha koti la muungano. Daini Serikali yenu na ss tuwe na yetu then tukubaliane vipi serikali ya muungano iwe
@EmanuelBlassy-uz4gm
@EmanuelBlassy-uz4gm 2 ай бұрын
Ujanja ujanja
@madrasashoptvonline4175
@madrasashoptvonline4175 2 ай бұрын
Kwa kauli ulotoa ukubali TU huo ubaguzi. Alofanya hayo unotolea hoja sio raisi wa Zanzibar hajaja kufanya dk Mwinyi bali alofanya ni Raisi wa Tanzania anayafanya akiwa na mamlaka nayo ss hayo maneno hayana mana kumsema Dk Samia Kwa uzanzibar wake We pigania serikali Yako ya Tanganyika iwepo hapo basi lkn sio kusema maneno hayo
@JumaMbaga-rm9yc
@JumaMbaga-rm9yc 2 ай бұрын
Yani watanzania sielewi wamelogwa nanani maana tunapata mtu kama Lisu anatuelewesha lakini watu wengine hawaelewi kinachoendelea
@SoudShuraim
@SoudShuraim Ай бұрын
Anaelewesha nn anaongea pointless...mbaguzi
@mussahussein3583
@mussahussein3583 2 ай бұрын
Sasa leo ndio nimekujua Lisu kwamba kumbe nimtu ambae haufai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Mimi sitaki kusema kwamba eti Raisi samia amepatia ktk hilo au amekose bali ninanachokiona kwako lisu nisiasa za kibaguzi, kwanini labda tu usisemee yaliofanyika kwamba sio sahihi na sjui ametokea zanzibar sjui nini... labda umeishiwa na chakuwashawishi watu na unaanza kuingiza fikra za kibaguzi kwa watanzania
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 ай бұрын
Ungesikiliza vizuri inachosema katiba ya Zanzibar ungemwelewa Lisu, Lakini kama hujui isemacho katiba ya Zanzibar utaona anakosea Lakini katiba zetu ndo Zinatengeneza Ubaguzi
@Wastara001
@Wastara001 2 ай бұрын
One of the confused politicians on earth.
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 2 ай бұрын
😂😂😂
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 2 ай бұрын
Just like you
@Wastara001
@Wastara001 2 ай бұрын
@@richardmbasha1411 am not and I cannot be a politician
@kazimotomaswi9700
@kazimotomaswi9700 Ай бұрын
And you aconfused utuber
@Wastara001
@Wastara001 Ай бұрын
@@kazimotomaswi9700 ikiwa hamuelewi lugha fulani afadhali unyamaze
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu Ай бұрын
Mimi ni mwana CCM damu, lakini hapa nakubaliana na Lisu.
@evodirudo4813
@evodirudo4813 2 ай бұрын
Umenena vyema kwakweli tunashukuru kwa shule yako Mr Tundulis
@user-td5ye9zb1l
@user-td5ye9zb1l 2 ай бұрын
Nakuelewa Sana kiongozi
@chezariboy
@chezariboy 2 ай бұрын
Safi sana,, wajinga ndo hawaelewi siku zote,, lisu safi sana mkuu.
@mussakitoto1830
@mussakitoto1830 23 күн бұрын
Mungu ajali upate kura uvunje mungano dah tumechoka sisi wazanzibar jaman
@GilbertNdagiwe-sz1xv
@GilbertNdagiwe-sz1xv Ай бұрын
Aisee wewe ni mwalimu, una akili sanaa, wala hoja zako haziwez kujibiwa na hawa CCC hata kidogo. Tunakuelewa sanaa
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 2 ай бұрын
Bado tunahitaj shule kwlkwl watanzania Lisu hapo tumekuelew san
@ramamjema8391
@ramamjema8391 2 ай бұрын
Lisu wewe ni hazina kwa taifa letu,bali ugonjwa mkubwa unaotutafuna watanzania ni kutokubali ukweli na wavivu wa kusoma ili kuwa na uelewa mpana wa mambo na uwezo wa kuchambua mambo.
@jacksonaloyce9920
@jacksonaloyce9920 Ай бұрын
😂😂 Kuna mzee anaskika miyeyusho kichizi KASEMA "Lahaullah tumeliwa mbona anakula na uku" 😂😂
@robertsulus7947
@robertsulus7947 2 ай бұрын
Tundu Lissu is a school of its own. Halafu kuna hao washua wanaitikia in the background...wanafurahisha sana plus wanaonyesha elimu inawaingia haswaa.
@adudeswalehe8724
@adudeswalehe8724 2 ай бұрын
Kwenye hili nasimama na Tundu Lissu
@AbdallaHassan-gu6fi
@AbdallaHassan-gu6fi 2 ай бұрын
Hana Shukrani. wema wote unaofanyiwa na WZNZBR Hushukuru? umelazwa hospital Rais Samia Alikuona Kenya, Ulikimbia nchi Rais Samia amekurejesha kwa Amani na umepata utetezi was Fatma Karume. Jitathmini kuwa MZNZ hawana Shida n'a mtu.
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h Ай бұрын
Shida ni kasoro za Muungano bro sijuwi unamuelewa vizur lisu wew
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 ай бұрын
Fatma Karume pia ni Mzawa wa Zanzi b ar.Lakini wote sisi ni Watanganyika🎉
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 2 ай бұрын
Iwelenja fredinand upo sawa na ndio maana tunataka katiba ifanyiwe minimum reform ili ujinga huu usijitokeze tena.
@vuaimuhidin5250
@vuaimuhidin5250 2 ай бұрын
Wewe lisu naona unazeeka vibaya
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 2 ай бұрын
Jibu hoja zake kwa vielelezo. Acha kuandika upumbavu.
@godsson5954
@godsson5954 2 ай бұрын
ww mbona unazeeka kwa shemej yako😂😂
@vuaimuhidin5250
@vuaimuhidin5250 2 ай бұрын
@@godsson5954 huwa sipendi kubishana na watu wasiojielewa ,hivi Hilo Jina lako tu laana tosha sishangae matendo yako
@ofreyking5975
@ofreyking5975 2 ай бұрын
Cjawahi juta kukufaham umenyooka sana tatizo binadam hatupend ukweli hakuna baya ulilosema mkuu ni vle ww ni mkweli sana ndio tatizo
@michaelpatrick9317
@michaelpatrick9317 2 ай бұрын
Mungu ana sababu Kwa nn uko hai!!?Mama Samia sio Mungu Rais sio Mungu pale anapokesea ajirekebishe nchi inaingia Kwa waarabu kila ki2 mwarabu kwani hii nchi ya kiislamu
@HasaMediaTv
@HasaMediaTv 2 ай бұрын
Bora vunjeni muungano tu
@user-uq5vm2ge4q
@user-uq5vm2ge4q 2 ай бұрын
Kama unaempenda lisu gonga like
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 Ай бұрын
Ukweli unauma lakini lazima usemwe ili kujirekebisha panapostahili. Ukweli huu UNAUMIZA SANA.
@BestBest-rx3sb
@BestBest-rx3sb 2 ай бұрын
TUNDU LISU USISEME ANOFANYA SAMIA KWA WABARA YASEME WALOFANYA VIONGOZI WATANGANYIKA WENZIO DHIDI YA ZANZIBAR
@kiatu
@kiatu 2 ай бұрын
Lol Lissu peke yake hashindi hii vita. Watanganyika poleni sana sijui mtaamka lini masikini
@jumarajab2754
@jumarajab2754 2 ай бұрын
Huyu jamaa Halifai kuishi Tanzania ni mchochezi wa kutupa anawadanganya watu
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 ай бұрын
Anakudanganya wewe usie na Uwezo wakuelewa, Si tunao mwelewa tuache, Mtu anasema ukweli unasema anawadamganya watu wakati anasema Ukweli!! Shidaako akili huna ndo maana unaona anawadanganya watu, ni vile tu hampendi wanavotufungua Akili
@jonasdaniel1025
@jonasdaniel1025 2 ай бұрын
Tulia wewe juma lokole
@KedymoundKulebaBoniphace
@KedymoundKulebaBoniphace 2 ай бұрын
Kipi kachochea. ama uelewa wako ni mdogo
@godsson5954
@godsson5954 2 ай бұрын
sawa lokole
@emmanuelmzungu7232
@emmanuelmzungu7232 Ай бұрын
Karume was right. You can't say she is selling the ports because of her zanzibar origin. She is doing that because, she is the president. Deal with her as a present not as a citizen from zanzibar. Shame on you Tundu.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 ай бұрын
LISU ni msumari wa moto kwa serikali ya ccm, wacha ukweli usemwe tuujue.
@hamisijuma8124
@hamisijuma8124 2 ай бұрын
Huyunikichaa naniampenchi
@allymwinyi970
@allymwinyi970 2 ай бұрын
Acha maneno ya ubaguzi na kupandikiza chuki miongoni mwa Watanzania. Huna ajenda za kuzungumza hadi agenda hizo za Muungano? Mwache mama afanye kazi. Una ubaguzi mwingi moyoni mwako.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 ай бұрын
Akili huna, wewe, Yani mtu anaposema Ukweli Mnamwita Mbaguzi? Acheni akili visoda izo
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 2 ай бұрын
Jibu hoja acha longolongo
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 2 ай бұрын
jibu hoja wewe ..sio kukurupuka tuu..we huelewi huo ufafanuz au had diploma
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 2 ай бұрын
Sio ubaguzi anachoongea ni ukweli mtupu na wala sio ubaguzi, ila sishangai sababu ukweli siku zote huwa unapingwa
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 55 М.
Gen Zs Entry inside Kenyan Parliament
4:01
Camtech Communication Services
Рет қаралды 396
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 7 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 9 МЛН
Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni,  mnyukano mkali watokea
47:32
Mwananchi Digital
Рет қаралды 72 М.
#AFYAPODCAST Fahamu juu ya Matibabu mapya ya kiharusi Muhimbili
35:33
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 7 МЛН