MKRISTO APAMBANA NA "KRISTO" ANA KWA ANA

  Рет қаралды 91,306

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Пікірлер: 425
@sylviamalyi3537
@sylviamalyi3537 Жыл бұрын
Pastor, tunamshukuru Mungu Jehova kwa ajili yako, unalifahamu neno Mungu akubariki sana.
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Mi ni mkristo lakini huyu sheikh namfatilia anafanya juhudi kubwa sana kuhoji imani hasa zilizo na utata, hongera sana sheikh🇹🇿🇹🇿
@hamisihamisi1596
@hamisihamisi1596 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu hakujalie ramazani
@salimbaasba6159
@salimbaasba6159 Жыл бұрын
Kitu gani kinakuchelewesha wewe kuwa Muisilamu?
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Жыл бұрын
Asante kwa ukweli
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@salimbaasba6159 Sabab imani yangu niliyonayo nimeona Miujiza ya kutosha, kushangaza , na kustaajabisha Yesu kwangu ajawa adisi kama ya kufikirika ndo mana waislam nawakubali lakin kuhama itakuwa ngumu kwakweli.
@kutailass6671
@kutailass6671 Жыл бұрын
​@@FreeGod368 Allah akuongoe inshaallah
@JuliasRanga-dd8zn
@JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын
Pastor ndacha mungu akubariki kazi mzuri sana
@beatriceouma
@beatriceouma Жыл бұрын
Wakrito wengi wamepotoshwa kwa sababu ya kutosoma neno la mungu na kuelewa God bless you pastor,naomba mungu anipe Neema ya kusoma bibilia na kuielewa zaidi
@ramadhanmwachuma3003
@ramadhanmwachuma3003 Жыл бұрын
ASALAM ALYEKUM..SAUTI YA RAMADHAN NIKAMA SAUTI YA SWALE MDOA YULE WA CITIZEN...SAUTI NZURI..MASHAALLAH..MAY ALLAH BLESS ALL MUSLIMS
@estatekisombola9251
@estatekisombola9251 Жыл бұрын
Ndacha anajuwa biblia vizuri sana. Watching from Australia 🇦🇺 🇨🇩
@nooor1120
@nooor1120 Жыл бұрын
Yes Anajua km biblia inadanganya lkn hataki kusema kweli.
@HUSTLERS085
@HUSTLERS085 Жыл бұрын
Ana jua sana lakini kufuata ni shida 😁😁
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 Жыл бұрын
Anaweka viraka sana😂
@irenekaluse3213
@irenekaluse3213 Жыл бұрын
Afate uchawi wenu wa muhamad
@FrereImran
@FrereImran Жыл бұрын
@@irenekaluse3213 hivyo ndivyo walivyokudanganya. kwa uislamu uchawi ni haramu na haukubaliwi...kama hujui kitu soma kwanza ndio uweke comments otherwise una prove ujinga wako mbele ya mamilioni ya watu...
@muvurwanezaanitha742
@muvurwanezaanitha742 Жыл бұрын
Mwalimu Ndaca Mungu akubariki sana na Ashukuriwe Muntu kwa hekima respect
@HusseinAli-fx1ld
@HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын
Allah akuzidishie Ustadh Ramadhan. Pastor Ndacha InshaAllah Allah atakuonyesha haki
@nooor1120
@nooor1120 Жыл бұрын
Aameen
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 Жыл бұрын
Ndacha anaelewa lakini hataki yeye ni wale waliotajwa katika Quran 2:6 "Na wale waliokufuru ni sawa ukiwaonya au usiwaonye wao hawataamini"
@Mwanashaali-z6u
@Mwanashaali-z6u Жыл бұрын
​@@nassorsharifu9837 kabisaa kaka
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
​@@nassorsharifu9837 mie nahisi ndacha hajaelewa uislam vizuri , angeelewa angesilimu. Kwa sababu ana maswali yake naona hajapata majibu vizuri , angepata majibu ya kumridhisha angesilimu. Kwa sababu si mjinga. Pia haamini mtume Muhammad ni mtume wa Mungu. Ila maswali aliyekuwa nayo akipata majibu ya kulidhisha atasilimu. La sivyo hapana
@FaithJohn-b8x
@FaithJohn-b8x Ай бұрын
Ndacha usisahau kwamba Kila lilinonenwa litatimia,ila nivyema kuelimisha watu wasiingie kwenye mtengo, Mungu akujazie hekima kwa kazi ipo
@totodavis1949
@totodavis1949 Жыл бұрын
Amen ufundisho wa bible ni tamu sana watu wakisoma bible haya matokeo yalio tabiriwa tutayaelewa viema , praise God
@naomiwambuimary108
@naomiwambuimary108 Жыл бұрын
Amen
@Kisumfupa
@Kisumfupa 7 ай бұрын
Mke wa yesu kumbe ana mipasho namna hii! Hii kiboko shikamoo wakiristo iko siku ataonekana hadi mungu
@rahema1992
@rahema1992 5 ай бұрын
Hahahahahaha nimeipenda
@JamilaJumanne-u7q
@JamilaJumanne-u7q 20 күн бұрын
@@rahema1992yupo zumarid wa tz anajiita mungu mwanamke😢😢
@sadcommpalestina4530
@sadcommpalestina4530 Жыл бұрын
hakika sheikh ramadhan unaifanya kazi ya kulingania watu waingie katika din ya uislam ALLAH akujalie kher na baraka na akupe umri mref zaid uzid kulingania watu
@rizikiali328
@rizikiali328 Жыл бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya uislamu Allah awaongoze ambao hawajaona nuru ya uislamu Allah awahifadhi masheikh insha'Allah
@Alkaburu
@Alkaburu Жыл бұрын
Huyu ndacha mlevi kwa hiyo yesu anaitwa yesu mungu. Anaitwa Yesu mwana wa mariam.
@hellenkyalo263
@hellenkyalo263 Жыл бұрын
Mashalla ndungu wetu ramadhan mungu wako akupanyie wepesi Kwa Jambo lolote shukurani
@rabiba
@rabiba Жыл бұрын
Ustadh ramadhan Allah akupe nguvu na afya na hikma na amani na uwezo wa kuilimiaha ummah wa kicristo na pia waislamu tunapata ilmu hapo kuzidi kumjua nabii issah wanae muita yesu...na pia Allah akujaalie IKHLASW...amiin
@mariamfouziawairimu7991
@mariamfouziawairimu7991 Жыл бұрын
Salaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Shukran kwako Mwalimu Ramadhan kwa kazi yako nzuri ya daawa. Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza na kukulinda. Ya Tongaren inasikitisha sana. Tuzidi kuwaombea wapate kubadilika.
@abusufyan2952
@abusufyan2952 Жыл бұрын
Amiin
@abusufyan2952
@abusufyan2952 Жыл бұрын
Assalam aleykum
@abdulmustafa2148
@abdulmustafa2148 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Жыл бұрын
Walaikum Salaam Wa Rahma Tullahi Wa Barakat.. Allah Ummah Amiin
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Жыл бұрын
​@@abdulmustafa2148 Kicheko ni cha nini sheikh badala ya kuitikia dua?
@HUSTLERS085
@HUSTLERS085 Жыл бұрын
Mshalah ramadan kuria bin kaguo may God show them our Christians right path
@selemannachombanga4096
@selemannachombanga4096 3 ай бұрын
Huyu ndacha et yesu aliziliwa na mungu subuhallah I proudly to be Islam
@AhmedMohamed-um8ox
@AhmedMohamed-um8ox Жыл бұрын
Sheikh ramadhan assalamualekum vipi hali yako mbona watunyima utamu kaseti umeikata kweli kidogo ni tamu ana kwa ana mkristo kwa mkristo katika zote this is nice mashallah Allah akuzidishiye 🙏
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 Жыл бұрын
Masha Allah Ustaz Kuria Good job.
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Жыл бұрын
Tabarak Allah
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche Жыл бұрын
Allah akujalie shekhe ramadhani kulia
@SarhaSaid
@SarhaSaid Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah kunijalia neema yawisilam shekhe allah atakulipa kheri inshaallah tunakumbea Dua
@seifserenge3340
@seifserenge3340 Жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi katika kufikisha daawa. Allah awaongoze hao ambao hawajapata Nuru ya Uislam ili waingie katika Uislam.
@MohammadsTimimieysz
@MohammadsTimimieysz Жыл бұрын
Baraka ALLAH Sheikh Ramadhan.. Wa Jazza ALLAH Kheyr l Jazza .. ALLAH atakulipa Kila la Kheyr In Shaa ALLAH.
@jamalathman6219
@jamalathman6219 Жыл бұрын
Shukran sheikh ramadhan kwa juhudi zako zako za dawaah Allah akulipe jannat firdaus inshallah, nafurahi kuiona markaz imefika mbali Alhmdullh
@gasparrupia4922
@gasparrupia4922 Жыл бұрын
Mungu ni mwema asante pastor
@anzurunindume
@anzurunindume Жыл бұрын
Mungu akulinde Ndacha
@malikdodo5190
@malikdodo5190 Жыл бұрын
I can't miss this video, shukran Ustadh Allah akubariki
@i_gabbykisalo4280
@i_gabbykisalo4280 Жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu yenye faida kama haya amiin..
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah mashallah ramadhan kuria bin kaguoo,,, tunakuelewaa vzr snaaa kwaa Kaz nzuri,, Allah akupe afyaa njemaa
@josephinechaildofgod5371
@josephinechaildofgod5371 Жыл бұрын
Yesu alikuwa mweusi si mweupe
@josephinechaildofgod5371
@josephinechaildofgod5371 Жыл бұрын
Togareni Yuko sawa
@hajjelondi-gn6sk
@hajjelondi-gn6sk Жыл бұрын
I love you,kwa ajili ya Allah SWT
@derowmuktar1958
@derowmuktar1958 Жыл бұрын
Masha allh sheck Ramadan mungu akuzidishe ilimu
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 Жыл бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN QADIR WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI. ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM. Barakallahu Feek Sheikh Ramadhan Kuria
@mesiabajaka4635
@mesiabajaka4635 Жыл бұрын
Aslm'alkm Maalim,ustishwe naao, hawana jipya Ndacha hakatai kuslim,ila wafuasi atawaanzia wapi,sadaka nayo,ajijua iviiivi,kua anakufa kafiri,maana kma niukweli wameshauona wote hao,Ma akuezeshe ,naakupe umri mrefu,uzdi kuwaelimisha walopotea InshaAllah .
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Nahisi ndacha uislam hatujuwi vizuri kiiivyo, angeujuwa angeogopa na angesilimu, jahannam si mchezo. Pengine ana maswali maswali yake hajayapatia majibu, akipata atasilimu, maana mpaka sasa, haamini mtume Muhammad ni mtume wa Mungu
@hajjelondi-gn6sk
@hajjelondi-gn6sk Жыл бұрын
Mwenyezi akuzidishie kwa jinsi unavyo tuwakilisha,na unavyo muwakilisha mwenyezi Mungu na kutetea dini yake
@pioneersenior9077
@pioneersenior9077 Жыл бұрын
Hahaa😂😂 wacha kwanza nicheke.... Wakristo hatuko serious 😂
@issarajabu3765
@issarajabu3765 Жыл бұрын
fanyamaamuz hakunagharama kuslimu Allah akukubal ndguyangu
@kelvinnjuguna5906
@kelvinnjuguna5906 Жыл бұрын
Unaambiwa uwe muislamu apa 😂😂😂ukikumbali shauri yako 😂
@saidijafari2812
@saidijafari2812 Жыл бұрын
@@kelvinnjuguna5906 kwani kuwa muislamu kumkataa YESU mpaka useme shauri yako?. Waislamu wanamuamin yesu ni nabii kama musa au manabii wote waliotangulia hatumuabudu Maria mama wa yesu na yesu wote hawa ni binadamu katika imani ya Kiislamu hawapaswi kuabudiwa unatakiwa kumuabudu Mungu pekee na kumsujudia yeye tu . Hiyo ndio iman ya uislamu kwahiyo kumwambia awe muislamu maana yake afate yesu kama nabii na aache kumswalia mama yake yesu na yesu mwenyewe katika swala zao zile . Ile salam Maria mama wa Mungu umebarikiwa kuliko wanawake wote , hii ni dhambi kubwa sana kumuabudu mwanadamu kwahiyo ukiwa kwenye uislamu hutomuabudu Maria na yesu utamuabudu mwenyezi Mungu
@pioneersenior9077
@pioneersenior9077 Жыл бұрын
@@kelvinnjuguna5906😂😂😂
@MuhammadMuhammad-gr2qv
@MuhammadMuhammad-gr2qv Жыл бұрын
Uislam ndio DINI ya haki iko wazi kabisa ...
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj Жыл бұрын
Yesu anakwambia mimi niyule yulee😂😂😂😂😂 subhanallah
@zenaahmedi8857
@zenaahmedi8857 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@sakaniamos
@sakaniamos 7 ай бұрын
Asante sana mwalimu ndacha,,,nahitaji sana number yako ya simu,,mm ni mkristo na ni mwana sabato nahitaji number ako samahani
@izuddinyussuf8890
@izuddinyussuf8890 Жыл бұрын
Masha Allah kazi nzuri. Allah awaoneshe noor ya Uislamu kwa wote. Qur'an 3:19
@ezechielmanishimwe
@ezechielmanishimwe Жыл бұрын
Mwarimu Ndaca mungu akuongez myaka mingi yakuishi sana,Nakupenda sana Ndacha,uyo yesu nae izidi kujiogopea moto upo
@VerahOnkeope2cg
@VerahOnkeope2cg Жыл бұрын
Waaaa Mungu atufungue roho zetu hii ni kugonjeka
@alinurharun8468
@alinurharun8468 Жыл бұрын
Masha Allah great work ustad
@hajinkulunge8493
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Assala am alaykum kazi nzuri. ALLAH AKUZIDISHIE Maana umewa ambiwa ukweli WAKISHINDWA KUTOA MAJIBU , WANADAI WANATUMIA ROHO, SASA NAONA HAPO WAMEKUTANA KILA MTU ANAMUONA MWANZAKE HAJAFUNULIWA ROHO, WAFUNDE ,MAANA YA ROHO.
@hirewarsame5992
@hirewarsame5992 Жыл бұрын
May Almighty Allah bless you sheekh Ramadhan
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Жыл бұрын
Ameen
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Жыл бұрын
Amiin Thumma Amiin
@bahatijsaha7298
@bahatijsaha7298 Жыл бұрын
Muulzen yesu wa yongareni...miaka yte akiwa hayupo hapa duniani alkua wapi na alikua yuwafanya nn....atoe maelezo kamili..... Wallah msiba huu Mungu awaoneshe njia ya khaki
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Masha Allah markaz nzuri sana inapendeza Allah awazidishie walio changia na awape pepo zake tukufu ishallah
@marvelousofzanzibar9556
@marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын
Watching this from green and spice island (Zanzibar) waiting for part 2
@Hi_20206
@Hi_20206 Жыл бұрын
Ndacha unajicontradict..ati yesu ni mungu na ni mwana wa mungu...surely surely...
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Kuna wakati ndacha alikataa kuwa yesu si Mungu,
@MadiinaMbabazi-j6l
@MadiinaMbabazi-j6l 15 күн бұрын
Sheihk mungu akubariki umefanyakazikubwa alafu unasbra
@hassadube225
@hassadube225 Жыл бұрын
Masha ALLAH sheikh wetu Ramadan
@habibasalim3092
@habibasalim3092 Жыл бұрын
Ramadan MaashaAllah Allaah azidi kukupanua kufua
@allydavy6919
@allydavy6919 Жыл бұрын
Subhanallah huyu yesu anajua kutetea pia mambo zake alafu Ramadhan nitakutext huko whatsapp kuna mambo yananitatiza huko naomba uangalie ilitusaidiane
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 Жыл бұрын
Watu waongo km hawa wapo wengi huja km moto wa kifuu, Mara moja hizimika Alhamdulillah kuwa muisilamu.
@abubakaralimohammed3388
@abubakaralimohammed3388 Жыл бұрын
Mashallah❤Great job Mr Ramadhan ❤
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Masha Allah 🥰
@mutimbanahashon5133
@mutimbanahashon5133 Жыл бұрын
Great sheikh, spread the religion
@mwajumalubuva
@mwajumalubuva Жыл бұрын
Mashallah ustadh Ramadhn mungu akulipe kheri
@samlaizer3642
@samlaizer3642 Жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki sana unajitaidi kuwaambia ukweli but ukweli inauma lkn ni lazima neno la Mungu lisemwe kwa ukweli
@VigardSakani
@VigardSakani 5 ай бұрын
Pastor ndach barikiwa kwa kaz yako
@everlynechepkoech5649
@everlynechepkoech5649 Жыл бұрын
Assalam aleykum warahatullahi wabarakatu..Good job Ramadhan
@zakiaanwar677
@zakiaanwar677 Жыл бұрын
Assallam aleikum ustadh Allah azidi kukuongoza uwaellimishe hawa wenzetu zaidi wakristo na kristo wee hio kali Alhamdullillah kuwa muislamu ni kheri kubwa inshaAllah
@mahadabdullahi1746
@mahadabdullahi1746 Жыл бұрын
قال الله تعالى فى كتابه العزيز وهو أصدق القائلين: ومن الذين قالوا إنا نصارى أخذنا ميثاقهم فنسوا حظا مما ذكروا به فأغرينا بينهم العداوة والبغضاء إلى يوم القيامة وسوف ينبهم الله بما كانوا يصنعون:المائدة ١٤
@Osmanmkomwa91
@Osmanmkomwa91 Жыл бұрын
Mm napenda sanna daawa yako allah akujaliye kila la kheri
@ibrahimhassan9487
@ibrahimhassan9487 Жыл бұрын
Watching from usa
@zainaal-nabhani9034
@zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын
Mashallah hongera sana sheramazan mungu arakulipa.heri kwakila.hatuwa akuepushiye kila lashari
@zohramariga6678
@zohramariga6678 Жыл бұрын
Maashallah mungu akulidi she
@liesharehema5193
@liesharehema5193 Жыл бұрын
Kabisaaa haya mambo YESU KRISTO mwenyewe aliyatabiri alisema watatokea watu na makanzu wakisema Mimi ndiye YESU tuwe makini
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Asalam alaikum sheikh Ramadan ni msiba ishallah mungu atakusaidia watajuwa ukweli ishallah
@serahmuinde7643
@serahmuinde7643 Жыл бұрын
Leo wakristo tumekua well represented. Ramadan leo umepatana na mtu level ama size yako
@tigermose6491
@tigermose6491 Жыл бұрын
Next time please mkitaja kitabu kwa Bibilia taja kwa kizungu pia sababu kiswahili kidogo cha tuchanganya kidogo taja kwa kizungu pia
@liliannyangweso7911
@liliannyangweso7911 Жыл бұрын
Mwalimu ndacha Mungu azidi kukutumia kupitia kwa nguvu za Roho Mtakatifu wengingi wafunguliwe macho
@sylviamalyi3537
@sylviamalyi3537 Жыл бұрын
Mwalimu Ndacha tunamtukuza Mungu Jehova kwa ajili yako unalifahamu neno ,Mungu Jehova aendelee kukutumia.
@umazimwambezi8092
@umazimwambezi8092 Жыл бұрын
Mashallah kazi njema jitihadi unazo na Allah akubari na akuzifishie neema inshallah
@masudingana9550
@masudingana9550 Жыл бұрын
Mola akjazie kher sheik wangu
@joelmusyimi2565
@joelmusyimi2565 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana ndacha kwa kazi nzuri
@womanofsteel1402
@womanofsteel1402 Жыл бұрын
Acheni kuhangaika na huyo mwehu ndo Maana wakristo hawahangaiki nae sababu wanajua Ni mwehu ,kila mtu ataubeba mzigo wake kadri ya matendo yake Sasa Yeye Kama ameamua kujitukuza Mungu atashughurika nae Ni swala la muda tu
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Kabisa
@yia73
@yia73 10 ай бұрын
Uislamu ni raha ❤❤❤
@mifunga3414
@mifunga3414 Жыл бұрын
Mashallah ❤Mwez Mungu afungulie vifuwa wandugu zetu kimwili kiro inalillah in-shallah shukran shiekh Ramazan Mashallah ❤
@mutiembingi-le6kz
@mutiembingi-le6kz Жыл бұрын
Hio ni kali😂😂❤ unasema kweli ubarikiwe sana inachekesha sana
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Masha Allah ninzur sana marqaz itaisha insha Allah alaf nifulo ngap?
@DickisonKione-hu5uy
@DickisonKione-hu5uy Жыл бұрын
sikilizen nyinyi mulio hamna maalifa msio na neno la Mungu msitake galika ya lazima acheni ujinga wa kupoteze watu
@زينبعليعبدالله-ز3س
@زينبعليعبدالله-ز3س Жыл бұрын
Jamani hyu ndach ni mbishi looh subhnnallah mtihan
@kutafuna
@kutafuna Жыл бұрын
MASHA ALLAH
@saumusaid7825
@saumusaid7825 Жыл бұрын
Asalmu aleykum hongera sn mwali wtu allh ajulipe Kila lenye kheri na ww
@bakarmsangi963
@bakarmsangi963 Жыл бұрын
Shekhe wangu ramadhan kwanza mi nakupenda kwAajili ya Allah na kingineee sikuu utakutana na huyo yesuu wa huko tongareni mwaambieni amwombee huyo baba yake ateremsho mujiza wowote ulee ilii iwee bishara kwa walee tusiyo mwamini nihayo tuu
@ramadhaniraphael6955
@ramadhaniraphael6955 Жыл бұрын
Ndacha anajitekenya alaf anacheka mwenyewe
@kusweymohamed
@kusweymohamed Жыл бұрын
Ndacha unajikoroga unasema hujawahi kusikia mungu ana mke Wala wa toto na udai yesu ni mwana wa mungu sasa nukuelewe vipi kafiri ndacha
@ukweliwauislamu9590
@ukweliwauislamu9590 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@ukweliwauislamu9590
@ukweliwauislamu9590 Жыл бұрын
Anajipingaga saana ndacha
@ramadragon
@ramadragon Жыл бұрын
Ndacha anajikaanga mwenyewe
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Ndacha Kuna kipindi alisema yesu si mungu
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 Жыл бұрын
Ustadh Ramadhan hio markaz ishe utuietie shuuli za kufunza
@Diaspora-p5g
@Diaspora-p5g Жыл бұрын
Mwalim hapo umekosea mambo yamajina nimambo yawazungu
@Aladeide
@Aladeide Жыл бұрын
Ndacha akiwa kwa hawa waluhya hananga kelele mingi😂😂
@lerinakirtela4521
@lerinakirtela4521 Жыл бұрын
Jamani si ukweli inathiirisha..
@malikdodo5190
@malikdodo5190 Жыл бұрын
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh,
@NGINDA99
@NGINDA99 Жыл бұрын
HUU NI UWONGO MTUPU !!! KUNA YESU KRISTO MMOJA PEKEE ALIYE MWANA WA MUNGU NA YEYE SIYE KIUMBE . HUYU SIYE YESU KRISTO. TAFADHALI TUACHE MAFUNDISHO YA UWONGO.
@christiansifa8091
@christiansifa8091 Жыл бұрын
We unamuliza maswali mingi ni ka ulikuwa na Yesu... Acha na huyu msee
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Kabisaa
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Shekhe asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu. Naona kimeumana huko.
@eliakanyika4921
@eliakanyika4921 Жыл бұрын
Hii Dunia Ina binadam wa ajabu sana
@maureenjemutai9958
@maureenjemutai9958 Жыл бұрын
In the last days, there emerge the false prophets, from the real Christ....Ati Yesu....And when you see all these things happening know that my second coming is around the corner and do not be fooled by those who will claim to be Christ. Jer 14:14, Matt 24 :7-8
@jumahamad9463
@jumahamad9463 Жыл бұрын
NDACHA NA YESU MAANDIKO YATAALEWEKA TU HOJA ZITAUMANA KATI YAO
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Maa shaa Allah❤❤
@jumajux730
@jumajux730 Жыл бұрын
Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh shukran
@henrymarwa9747
@henrymarwa9747 8 ай бұрын
Huyo ajiitaye yesu ni mlagagai mkubwa maswali pia hajibu ipasavyo umenena,umenena ndio vitugani yeye kama yesu
NIMEWACHA KUWEKA MAANDIKO VIRAKA - NASAHA YA UPOLE KWA MWINJILISTI NDACHA
1:47:33
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
'Malaika' mtu aliyempiga 'mungu' wake picha - Dawah kwa Jehova Wanyonyi (Part 2)
1:07:20
JE! WATU WATAENDA MBINGUNI???
1:16:26
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 13 М.
Polygamy Debate Between Brother Dahud & A Bishop Part 2
1:01:04
The Early Church of the Lord Yeshua Nairobi
Рет қаралды 1,1 М.
WAKRISTO WAZIDI KUSILIMU BAADA YA KUGUNDUA UKWELI
1:01:22
Straight Path Dawah
Рет қаралды 11 М.
PASTOR ATAFUNA MANENO BAADA YA KULEMEWA NA HOJA
1:40:26
Straight Path Dawah
Рет қаралды 16 М.
WAFU WAKO WAPI ? KASARANI DAY 4 BY FRANCIS NDACHA
57:16
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 6 М.
KRISMASI NI KAZI KWISHA!! WAKRISTO WENGI WAMEELEWA KUWA HAIMO KWENYE VITABU
1:33:12
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН