No video

MKURUGENZI APEWA KIBANO KIZITO NA MAKONDA, WANANCHI WAMKATAA "TUAMBIE HELA NYINGINE ZIKO WAPI?

  Рет қаралды 75,785

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MKURUGENZI APEWA KIBANO KIZITO NA MAKONDA, WANANCHI WAMKATAA "TUAMBIE HELA NYINGINE ZIKO WAPI?
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 68
@jopriii-bl7hu
@jopriii-bl7hu 6 ай бұрын
Namuona magufuri kabisa😢😢😢 mungu akupe maish marefuuu
@user-je4oi6pw8i
@user-je4oi6pw8i 6 ай бұрын
Mungu akutuze mwenezi.mm nikama namuona nusu Mgufuli
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 6 ай бұрын
HONGELA SANA YANI MWAKAN SAMIA AKUPE UWAZIR MKUU HII NCHI ITANYOOKA
@robertyohana-pg5bm
@robertyohana-pg5bm 6 ай бұрын
Hongera sana mh Makonda Kwa Kazi nzuri ya kutatua Kero Za watu
@francismuriki7851
@francismuriki7851 6 ай бұрын
Nahuona uongozi wa makufuli hapa kazi safi
@chingaboy1149
@chingaboy1149 6 ай бұрын
😂😂😂😂mama ucipojikaza makonda tunampa nchi inshallh 2025
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MwanneHussen
@MwanneHussen 6 ай бұрын
Komesha komesha Makonda na mungu akutunze tunakuombea Comred🙏
@mako331
@mako331 6 ай бұрын
Kwa kweli naipenda hii style ya uongozi, tukiwa na watu kama Makonda watamsaidia sana Mama
@josephlorri431
@josephlorri431 6 ай бұрын
Kuondoa 'stress' fuatilia ziara za makonda..huyu mtu yuko na kanuni zake,hazijaandikwa popote
@user-kz9pg5zn1r
@user-kz9pg5zn1r 4 ай бұрын
😅😅 na mm niko hapa naondoa stress
@rahmahasan32
@rahmahasan32 6 ай бұрын
Weee balaa mnyonge kweli hana haki kweli tumuogope mungu jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂
@Masallah_kulangwa44
@Masallah_kulangwa44 6 ай бұрын
Oyoooooooooooo Safi Makondaaa
@IzackRashid
@IzackRashid 6 ай бұрын
Nakupenda makonda
@britonkanumba6828
@britonkanumba6828 6 ай бұрын
Mkumbuke makonda hatembei na wasanii lakini anajaza
@chingaboy1149
@chingaboy1149 6 ай бұрын
Mwakani tunampa urais inshallh
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
Kwel niatar
@nicholaskavuwa6780
@nicholaskavuwa6780 4 ай бұрын
Naomba sana makonda awe rais wa tanzania siku sijazo
@NicholasOdiraOlogi-xq3pl
@NicholasOdiraOlogi-xq3pl 6 ай бұрын
Maghufulu part 2
@Zubaiba
@Zubaiba 6 ай бұрын
Hongera sana makonda
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 6 ай бұрын
Sina Imani na Mwanasheria Mkuu Tanzania
@Zubaiba
@Zubaiba 6 ай бұрын
Mama samia fatilia mwenezi kisha uone viongozi wako sijui walipataje nafasi za ukurugenzi wakati elimu yao ni ndogo,mbona kuna vijana wana elimu ya juu na wapo nyumbani wanahagaika kutafuta ajira
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 6 ай бұрын
One man show,hamnau diamond wala wanamuziki,anatuma mawe gizani anapambana matatizo ya kiroho ya watanzania,
@EdwardNjenga-yd4oc
@EdwardNjenga-yd4oc 6 ай бұрын
Big up Makakonda 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@rashidimwassi3297
@rashidimwassi3297 6 ай бұрын
Magufuli mtupu😢😢😢😢
@chidomobile9546
@chidomobile9546 6 ай бұрын
Wewe ni kiongozi banaaa unatufaaa
@LaehKaduma
@LaehKaduma 6 ай бұрын
Hongela kwa kazi nzuli
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 6 ай бұрын
Huyu anaakili sana anafaa kuwa mwenezi au zaidi
@bazarakimayenga3572
@bazarakimayenga3572 5 ай бұрын
Anafaa kuwa rais wa nchi
@evaemil856
@evaemil856 6 ай бұрын
Maswali mazuri
@VicentRupia
@VicentRupia 3 ай бұрын
Mh: Makonda nakuomba uje nasi kwetu mkoa wa Singida wilaya manyoni,utatuwe migogoro ya ardhi Mimi ninaeneo langu kama heka 2 nikawa nimeelipunguza Kwa kuuza viwanja kama mashamba wakati huo Bado hawajapima baada yakuja kupima watu wa ardhi ,Mimi wakaniambia hili eneo haliwezi kugawanyika na hakuna kujenga hata nyumba :Sasa je kwanini Hawa niliowauzia wamenizunguka waliwapimia nakugawa viwanja Mimi kwangu wakasema haliwezekani kugawanyika na utafute sehemu nyingine ya kujenga hapa uhame,Je kama siyo wizi nini?
@josephlorri431
@josephlorri431 6 ай бұрын
Utaratibu unaotumika kupata wakuu wa idara sio mzuri.. hapo mkurugenzi anajikanyaga
@VicentRupia
@VicentRupia 3 ай бұрын
Naomba Makonda na sisi uje ututete ardhi wananitapeli eneo langu
@user-qy3um6pd4i
@user-qy3um6pd4i 6 ай бұрын
Hongera zako Paul Makonda, Siasa zako zinapendwa na kila Mpenda haki, Kupitia ziara zako Umetuheshimisha CCM Ndani na Nje ya Chama chetu, kwa kuonyesha njia kwa Mwenezi Ajaye. Kwamba hivi ndivyo mwenezi(Msemaji wa Chama) Anatakiwa kuwajibika na kupata Majibu ya Utekelezaji wa ilani ccm 2020-2024, itoshe kusema Dr Samia baada ya Uchaguzi 2025 Pls Mwenezi huyu Paul Makonda Apewe(🎉)Maua yake
@JaphalyMbena
@JaphalyMbena 3 ай бұрын
Makonda chapa kazi.
@omaraliy8207
@omaraliy8207 6 ай бұрын
makonda unajitahid san
@JaphalyMbena
@JaphalyMbena 3 ай бұрын
Wamekutoaje kwenye uenezi
@peninashungu6633
@peninashungu6633 6 ай бұрын
Siku hizi siangalii jua kali natazama tu hii ziara ya MAKONDA adi raha😂 Yan wananchi wanaumia sana
@user-ll4uu6zc9c
@user-ll4uu6zc9c 6 ай бұрын
Hata mi siangaliii
@user-ko8xi4qs2n
@user-ko8xi4qs2n 3 ай бұрын
Kama ilivyo maji hufuata mkondo, mwamba huyuapa kaja kutufuta machozi wananchi wanyonge.
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 6 ай бұрын
Makonda awe mkaguzi mkuu wa serikali anahoji kwa kina na kila kona,Makonda pambana watanzania wako nyuma yako
@EmmanuelMwanza-ef9bf
@EmmanuelMwanza-ef9bf 6 ай бұрын
Yani magufuri kama anayakia haya nahisi anahuzunika sana hiiii
@godfredkimaro3292
@godfredkimaro3292 6 ай бұрын
Wasukuma wanaujua uongoz
@davidKayombo-dy6ln
@davidKayombo-dy6ln 4 ай бұрын
Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe
@meshackaggrey7248
@meshackaggrey7248 6 ай бұрын
Makonda ni kiongozi
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 6 ай бұрын
ivi vyeo huwa wanavipata kialali hau wanagaiana mtoto wa dada wanjomba wakae kwenye viti kuongoza watu helimu zao ndogo 😂😂😂
@maikonyondo-gr7gd
@maikonyondo-gr7gd 6 ай бұрын
Malinda akiwa raise inchi hii uzembe hautakuwepo kwa watendaji
@JosephDesideri
@JosephDesideri 6 ай бұрын
Halmashauri ina majukumu mengi yakutumia mapato yake ya ndani na siyo kila income inapaswa kwenda kwenye development kuna re-current cost
@vincentmhoro1952
@vincentmhoro1952 6 ай бұрын
Mh. Makonda, kama aina ya wakurugenzi ndo hao, wanahalalishwaje kuwa ndo wawe wasimamizi wa uchaguzi nchini!?
@adammatili4797
@adammatili4797 6 ай бұрын
Haya yote nisawa lakini yataishia kwenye mikutano ya huyu kiongozi akiondoka imeishàhiyo
@ellydaniely-qw8bf
@ellydaniely-qw8bf 6 ай бұрын
Naomba uwatumbue nao matapeli wananyanyasa watu yanasubir Kufa vibaya!!
@jumambarale699
@jumambarale699 6 ай бұрын
Stresss zinaisha ukimwangalia makonda
@IzackRashid
@IzackRashid 6 ай бұрын
Napenda makonda sana
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 ай бұрын
Anachofny makonda ni kizuribila muda haitoshi at least andekuwa anamtumia ht siku mbili per each district
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 6 ай бұрын
Huwezi mtukana Raisi mbele ya Chama chake mfate pembeni
@Zubaiba
@Zubaiba 6 ай бұрын
Uongozi walipata kwa kujuana
@user-th6ev1qq2r
@user-th6ev1qq2r 6 ай бұрын
Mh rais asioneshida kutengua nchiyetu ina wasomiwengi itafika mahala tutakaa sawa na kutaeshimu haki za wanyonge
@deusobadia8974
@deusobadia8974 6 ай бұрын
AHADI kibondo tuliahidiwa uwanja kama WA Namungo ni ........ Mkubwa
@evaemil856
@evaemil856 6 ай бұрын
Dokomenti = Document
@user-kz9pg5zn1r
@user-kz9pg5zn1r 4 ай бұрын
Sema una Maswali matamu matamuuuuu hadi stress zinaondoka
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 6 ай бұрын
namuoma makifuli mwingine jmn
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 6 ай бұрын
Etty mwenezi wako sijuiii sijuij
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 6 ай бұрын
😅
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 6 ай бұрын
Malindawewe shujaaa
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 6 ай бұрын
Makonda wewe ni shujaa
@davidKayombo-dy6ln
@davidKayombo-dy6ln 4 ай бұрын
Mbona me makonda kasitisha ziara zake na kwanini hakupitia ludewa njombe
@user-pj3sd9ld5l
@user-pj3sd9ld5l 6 ай бұрын
Makonda unafanya good work Kwa public
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 44 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 22 МЛН
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 90 МЛН
PRESIDENT RUTO SALUTES FRANCIS ATWOLI DURING HOMECOMING CEREMONY OF OPARANYA
9:38
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 44 МЛН