Wakijitahidi Hawa Wachina mwakani watakodiwa hadi kwenye kampeni 😅😅😅
@fidemgonja3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@muhsinikoki406016 күн бұрын
yani hawa niwaizi watatupiga pesa yahatar
@jumashedafa2 ай бұрын
Tunaomba huu uwanja ufunikwe juu uwe na roof la kufunga na kufunguka kama ule wa mercedes Benz cz ata raman inaeandan kwa kias flan
@samsonkenedy13382 ай бұрын
Ccm uchaguzi 2005
@Crazy_Hustle2553 ай бұрын
Nani kampa jina la masawe tena 😂😂😂 😂😂😂
@catherinecostantino20342 ай бұрын
Massawe hoyeee
@AgredaMoyo2 ай бұрын
Wapewe ukaribu uenezi WA CCM I😂😂😂😂
@hassankongolilo84082 ай бұрын
watanzania washinde tenda ata za usafi china🤔
@godfreymlunyungu3 ай бұрын
say *samia hoyeeeee*
@OmmyJames-xn7ji3 ай бұрын
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@nemesmarandu15872 ай бұрын
Wew hujasikia Kuna masawe
@jamaliselemani8502 ай бұрын
Mnataka kuaibika nyie huo uwanja afcon itachezwa bila carpet mnawachekea wachendui hawa subirin tutaongea lugha moja sio muda amini nawaambieni hamn kitu apo wanamiradi mitano yote imesimama hawana kila kitu hawa subir aibu kutoka fifa 😂
@glorymungure7740Ай бұрын
Masawe😅😅😅
@ramadhanishabani46002 ай бұрын
Waacheni hao wachina tuna kazi nao kipindi cha uchaguzi
@abc-en3em2 ай бұрын
Duun masawee
@emmanuelShayo-dk6vf3 ай бұрын
Samia nae anajenga uwanja dahh Viongozi wa Africa bhana
@salumsimai6423 ай бұрын
Anajenga ndio lakini sio kwao ni Arusha kama kina uhitaji jeeee wacha izo
@GibonMwakabejela-bl8td2 ай бұрын
C kwajir ya afcon 2027 kak
@mohammedalishamis94053 ай бұрын
😂😂😂
@chakubanga56563 ай бұрын
😂😂😂😂
@EmmanuelNswila2 ай бұрын
Wachina bwana wahun tu hao
@chrissfordsadickh82803 ай бұрын
😜😜😂😂
@user-fc9yl5bz5v2 ай бұрын
Tuwape uenezi TU.
@evansmoshi19232 ай бұрын
Hawa wachina mbona kama niliwaona kibosho.
@editorlais51852 ай бұрын
Mwenyew niliwaona apa soweto😅
@ezrageofrey96682 ай бұрын
Nmefurah kinoma 😂🔥🔥... I should learn Chinese 🇨🇳 language. Najua salamu yao (Nihawu).. We are waiting for the stadium 🏟