Tunahitaji viongozi Kama Kina jafo wengi. Bravo baba Aluta continua 🙌
@abdulsaleh46404 жыл бұрын
Waziri jafo nakukubali hats off Nimeona unavyofuatilia Muheza Moshi nduruma najua roho inakuuma kwa namna wasaidizi wako wanavyo kuangusha mungu atakusimamia na insha ALLAH utashinda na kuwa saidia wananchi wote.
@abeidabdullwarith89914 жыл бұрын
Asante waziri jafo big up kazi kazii
@mhandodanny42564 жыл бұрын
Jafo safi sana hapa kazi tu!. JPM JEMBE GOD bless you
@mtanzaniahalisimungunimwem6734 жыл бұрын
Waambie kabisaa hii Ni awamu mpyaaaa. Barikiwa sana
@asiaasiajey55514 жыл бұрын
Safi kazi kazi waache uzembe ule wa hawamu ya 4
@Tango6964 жыл бұрын
Safi mhe.kiukweli una uadilifu mkubwa,mapungufu yako yapo ila unatoa maelezo kwa uchungu.i feel to learn from u
@festonzaniye4774 жыл бұрын
Jafo upo vizur, safi sana natamani rais asikutoe kwenye wizara hiyo, big up jafo
@errydeo88654 жыл бұрын
Timua hao!Ndo wanakwamisha,wao maofisini tu na kujisifia kwenye mabaa..oh mimi mkurugenzi..shit
@gideonkalumbu26034 жыл бұрын
Kazi mkuu...
@buremomussa7914 жыл бұрын
Piga chini wote ao Wachapa kazi nchini tuko wengi sana
@habau_jr17554 жыл бұрын
Kaz kaz..jafo safi
@felixsilayo18244 жыл бұрын
Nafurahi sana napoona haya mambo yanaendelea nchini, hii technique ya kuwajibisha viongozi mheshimiwa rais ameanzisha, inasababisha uwajibikaji ngazi ya juu , na kuhamishia tabia hii chini
@cidewashington4674 жыл бұрын
Waziri Jafo tumbua tumbua hao wasituhalibie utendaji wa kazi
@xerxespersian13844 жыл бұрын
Mkiweka mifumo miepes jiandaaeni upuuzi kama huo Hivi nguvu kaz ipo vijana Jkt Jwtz wapo wananidham na hamasa ya hari ya juu wapo iyo ela si ingeongeza mavaz yao na vyakula matunda na mengineyo makambini kuliko kutupa pesa kisha leo ziandikwe barua na huo uovyo upo kila kona et mnajua leo🙌🙌🙌
@hassanidrissa17144 жыл бұрын
Mh jafo yaan hii halmashaur inahitaj renovation na zaid kweny afya coz CHMT hawajielew takriban wote mkuu mfano sis tokea tuajiriwe 2018 had Leo hii hatujapewa ela yetu ya kujikimu, mh umejionea mwenyew madhaifu ya viongoz wetu hap halmshaur ya longido
@rogersdavis30584 жыл бұрын
Pole sn boss mim npo Ngorongoro ila tulipata
@zakiamsafiri123zakiamsafir74 жыл бұрын
Sukuma ndani kisha timua awawezi Kazi hao
@peterjohn19694 жыл бұрын
Niatari kweli ukila nawewe utaliwa😂😂
@tanzaniamycountry93084 жыл бұрын
Mh Jafo Shkamoo, wewe n kiongoz
@samwelgabriel5324 жыл бұрын
Safi mheshmiwa
@joshuameckson80324 жыл бұрын
Wanashindwa kwenda na kasi ya serikali ya awamu ya tano ..Kama hawawezi mheshimiwa waziri wapige chini