Wanafikitu Amna lolote vipi Gaza Yani jamaa wanakela sana
@suleimanissa20894 ай бұрын
Keshauza inchi huyo mjinga,
@lukafbbwebelof38744 ай бұрын
Kula vitu wanavifanya kwa shingo mpande Ila tu watowe aibu
@OmmySalim-j7w4 ай бұрын
AMERICANI GOOD
@josephkostans91284 ай бұрын
G7 Haina uwezo wala mamlaka ya kumuazibu mrusi bali mshale utawageukia wao wenyewe kamwe hawataweza wataishia kukalia kuti kavu
@saidmtenda16284 ай бұрын
Ni kama mkutano wa Versailles dhidi ya Ujerumani
@ismailmshana28284 ай бұрын
Safi urusi lazima iazibiwe vikali ni gaid huyu
@Saidimwalimu-ip6mk4 ай бұрын
Sasa jamani ukraine munaikopesha na wana vita watalipa lini. Nato kuweni na huruma bac. Kwenye matatizo nyinyi munapiga hela hapo hapo yaani munamkopesha kwa riba!