Nitafurahi sana pia siku moja Rais akikutana na wakuu wa Vyuo vya kilimo na mifugo , na taasisi nyingine za kilimo ili waseme wenyewe bila kusemewa na wizara husika kwani kilimo chetu , ufugaji wetu , uvuvi wetu, na upanuzi wa misitu haujaenda na wakati. Sikushangaa kusikia benki ya wakulima haijafanya vizuri , mazao yetu Rais anaingilia kutafuta masoko na pia vijana wetu na wasomi kwa ujumla hawapendi kilimo. Maarifa yanayoendana na wakati ni muhimu sana kwenye uchumi wa viwanda.Msweden mmoja aliniambia pale Shirika la Elimu Kibaha 'sisi tuliwatengenezea kitu kizuri sana hapa ila ni juu yenu kuboresha kulingana na wakati' kilimo ni ajira ,misitu ni ajira, kufuga ni ajira na ufundi wa aina zote ni ajira kama zinafanywa kwa maarifa' .Ni vizuri wasomi wetu wakatuambia kuna shida gani.
@alexgeorge76922 жыл бұрын
Magufuri big up umenifanya kuwa mzalendo mwema
@olaislukumay22085 жыл бұрын
Gavana kama unayosema ndio hivyo yalivyo basi nakuunga mkono kabisa nilitamani kuona hivyo
@dismasstanslaus59852 жыл бұрын
😀😀😀😀mahengeeeee umechekaa like
@alexgeorge76922 жыл бұрын
Magufuri pumzika kwa aman baba mengi umetufungua na tumeelewa thaman ya nchi yetu