MONA NA DORA BAADA YA KUTOKA KOREA NA KULETA MREJESHO JUU YA MOVIE ZA WAKOREA ZINAVYOTENGENEZWA NA UKILINGANISHA NA HIZI ZA KWETU ZA KISWAHILI
Пікірлер: 1
@doronibahendwa645122 күн бұрын
Sasa nyiie Tanzania mtaweza kuact mkiwa uchi???? Nchi za huku magharibi nilipo Finland wasabi wa kitengo cha kuact movies wanajiachia kabisa, kama anaoga bafuni, anakuwa uchi kabisa/ naked . Kisses ndo usiseme, kufanya mapenzi ukiwa uchi/ utupu. Je , kwa TZ itwezekana hayo??Na huku pia kuna vyuo vinkuu vya sanaa, na wote wana degree mpaka master. Itawabidi Tanzania kuwa Na vyuo vikuu vya sanaa mkasome mpate elimu ya uigizagizaji