Morara Kebaso EXPOSES Nyeri Gov. Kahiga for constructing a market the size of parking lot
Пікірлер: 239
@adansabdowomar48367 күн бұрын
Morara should go to wajir where the governor is on a looting spree
@damariswanjiku7731Күн бұрын
Morara and team..thanks alot for your bravery and boldness to expose the ills and greed facing our country..May God protect you. Can you please expose more evils in Nyandarua County...
@Chelseafcfanschannel7 күн бұрын
THE TRUTH IS LIKE A LION,RELEASE IT AND IT WILL DEFEND IT'S SELF. GOOD JOB MORARA AND THE TEAM.....WE DO PRAY FOR U EACH AND EVERY DAY 🙏🙏🙏
@keindidennis6227 күн бұрын
Akimaliza Nyeri, ateremke straight to Ukambani... Tulihadiwa na Tukategewa vitu hazijawahi isha.... Hio tour ya Ukambani alete paybill tusimamie mafuta buana
@sallygachui31917 күн бұрын
Yaani governor wa Nyeri who speaks like a Saint is a hooligan just like wa Murathe #kenyangoons
@JayTwenty7 күн бұрын
Watu wa mapere pere mingi hakuna kitu wanafanyanga, WaKenya kumbukeni, Vitendo si maneno na kuonyesha meno. Huyo Kahiga alikuwa suspect kutoka day1. Kazi ya Ndume ni kunyamaza na kuchapa kazi, ongea wakati kazi safi inaonekana, Magufuli style.
@wakawaka51317 күн бұрын
....everyone who is in or in waiting to get into government i.e "the opposition" ni mwizi mbaya past and present. That is the truth!
@JayTwenty7 күн бұрын
@@wakawaka5131Morara anachapa kazi smart the above is meant for Kahiga mkora
@CatherineBuleti6 күн бұрын
😂😂😂 seriously, market, nahaku a business going own, alafu hawao ndio wanaongeza Sana kuhusu mwangaza , as if they're innocent
@Nicholas-yr2sq6 күн бұрын
Ata afadhali wanguku 🤣🤣
@dicksonnjuguna817 күн бұрын
Praying for you Morara and team. Explosive info, how can fellow Kenyans be so greedy to this extent?? Hata wengine are banking millions in the UK. Hii ufisadi too much.
@JonnahKaranja7 күн бұрын
The lawyer behind the cameras😂😂😂
@juliamongina60847 күн бұрын
It's just a shade 😂😂😂😂mdomo meno ya ngiri😢😢😢
@rukam37 күн бұрын
Nyeri kikuyu accent is always on another level… love its vibe. Can’t be mistaken. Morara thank for exposing Kahiga & Gachagua. Karibu Kijana!!
@b.tedley25867 күн бұрын
Kebaso, please come to luo nyanza. Our governors are finishing us
@abdullahiibrahim49326 күн бұрын
Kwanza Siaya county,Orengo is doing nothing 😂😂😂
@markmteule49563 күн бұрын
Homa-Bay mama yuko sawa, though not a Saint but she is trying
@josephokello56937 күн бұрын
Never Rattle youths wah!
@isabellmuya15237 күн бұрын
My backyard..watu wetu mmetuangusha..khaii...
@GladysWanguiNdungu7 күн бұрын
Morara God is on your side
@pamelamudogo55517 күн бұрын
Morara you made my day😅😅😅
@Chelseafcfanschannel7 күн бұрын
Morara please make sure you visit Ruring'u stadium where millions have been spend yet nothing serious has happened. Was there the other day and I found the stadium in the same way when I visited 10 years ago!!! OMG!!! Wizi mbila KAZI has become the main mission especially in this government 🙆🙆.
@dicksonnjuguna817 күн бұрын
All constituencies in Kenya need to come up with a Morara and team, that way accountability is sped up and these thieves are jailed in record time. Sacrifice, oh God remember the citizens of our country 🙏🏽
@albertayora44694 күн бұрын
Counties should be reduced ...we.must wake up and make change
@dicksonnjuguna817 күн бұрын
This characters have no conscience to resign 😮
@calvin_njosh3366 күн бұрын
Ngai Mwathani.... A shade seriously, aaaah hawa Watu ni nugu za kweli... Big up @moraa ukija nyandarua bill ya breakfast kwangu
@evanskirangi46646 күн бұрын
😂😂😂😂
@fm.masesi7 күн бұрын
This is crime scene 💯😂😂😂
@JaneRose-v2b3 күн бұрын
May God protect you always Morara
@isaacwahome18237 күн бұрын
It's funny the way they try to stop him with fire trucks😂
@edwingichobi16577 күн бұрын
No wonder we want number of these counties reduced
@joblovingwow89654 күн бұрын
morara plse do a documentary on all stalled projects for a lesson for future leaders
@davidlubanga55277 күн бұрын
hata parking haitoshi. Ghai ghai. What was the budget?
@54233432 күн бұрын
thank you morara u need a documentary
@monicahwarimumucheru-hakan43567 күн бұрын
Ibrahim traore anafanyia nchi yake kazi, ruto ni ujambazi na ukora na uwongo. Hakuna kitu bure kabisa
@Spectre-Turner207 күн бұрын
Kahiga
@JayTwenty6 күн бұрын
@@monicahwarimumucheru-hakan4356 The only serious person(s) from the Mountain ni Martha Karua na Jimmy. Nyinyi husupport mafala ndiyo maana tunapangwa. Sisi sote tunafaa kusupport na kupatia Mama Ngaré Martha Karua the numbers.
@JayTwenty6 күн бұрын
@@monicahwarimumucheru-hakan4356 The only serious person(s) from the Mountain ni Martha Karua na Jimmy. Nyinyi husupport mafala ndiyo maana tunapangwa. Sisi sote tunafaa kusupport na kupatia Mama Ngaré Martha Karua the numbers.
@JayTwenty6 күн бұрын
@@monicahwarimumucheru-hakan4356 The only serious person(s) from the Mountain ni Martha Karua na Jimmy. Nyinyi husupport mafala ndiyo maana tunapangwa. Sisi sote tunafaa kusupport na kupatia Mama Ngaré Martha Karua the numbers...
@JayTwenty6 күн бұрын
@@monicahwarimumucheru-hakan4356 The only serious person(s) from the Mountain ni Martha Karua na Jimmy. Nyinyi husupport mafala ndiyo maana tunapangwa. Sisi sote tunafaa kusupport na kupatia Mama Ngaré Martha Karua the numbers...
@ceciliakamande9557 күн бұрын
Fire truck ilikuwa wapi watoto wakikufa
@JayTwenty7 күн бұрын
Good question, uko rada kabsa
@MTD-g4l5 күн бұрын
Uko hakuna barabara,na Gachagua alikua ana uliza Internet 🤣🤣🤣
@miriammwangie96114 күн бұрын
Ask that again and again, shame on them!
@ShadrackNdumia-v2yКүн бұрын
These county fire response team are a joke
@MTD-g4lКүн бұрын
@@ShadrackNdumia-v2y @Walifika mbila maji 🤫
@petronillahosoro48287 күн бұрын
Kumbe Nyeri Governor ni nugu zaidi ya wengine,pia anajifanya saint😂
@adrianochieno61312 күн бұрын
This is the Governor Kahiga who is always making the Loudest Noise for Kenyans??? He should do better than that. No wonder they say Empty Vessels Make the Loudest Noise🤣🤣🤣🥱🥱🥱🥱🇬🇧
@bintikib2547 күн бұрын
Another one like this constructed by JANET ONG'ERA AT KISII GESONSO.WONDERS SHALL NEVER END.
@teresiawachira10347 күн бұрын
We need to go after contractors.
@agriculture_munyendo6 күн бұрын
Zii why are you thinking like me
@beirut97507 күн бұрын
Our new opposition leader Raila was a shadow in opposition
@nyoposs2548Күн бұрын
Raila has been inciting us while Gava is killing us....
@umojainnercoretenamatatuow9507 күн бұрын
umetufua macho moraa uko juuu
@ericmayaka70406 күн бұрын
It's Morara....(.Moraa is for female)
@teresiawachira10347 күн бұрын
Kahiga amefikiwa.
@rihkaa62897 күн бұрын
Two more yrs with this punitive govt seems to be a long wait.. Pesa ingetumika ku buy facilities za hospitali na kujenga barabara inaeda kwa project kama hizi,soko inakaa cow shed, eti imejengwa na mamillion ya pesa, pathetic..
@JaneWangui-20246 күн бұрын
Take home is take the local leaders who has shown credibility eg chairman wa maziwa,matatu etc
@munyaonorman7 күн бұрын
After nyeri, come to machakos direct, things are boiling here, corruption at its highest peak,,
@sammykamau26057 күн бұрын
Kahiga ni mdomo tu ,he isnt clean,,!Very saf😢😢
@kevinojuki85557 күн бұрын
Wah Kenyaa
@catherinethuo-f8n6 күн бұрын
Kagati water passes entrances of people homes making enterances impossible to use during rainy seasons. Instead of making culverts big enough considering service area to volume ratio they made very tiny culverts of which they were of no help as children fail going to school during rainy season. Public money was wasted .i wish they spared our entrance as they worsened it.
@Travelociti8857 күн бұрын
Kahiga na hio kelele yote hupiga. Sheeeeeenzi sana
@marygakere70366 күн бұрын
It's revelation time. Kenya will soon start the healing process
@edwardkamau90634 күн бұрын
Morara come also to Nyandarua...
@liyakalozeze-hd7kp4 күн бұрын
Kama mbaya mbaya kama mbai
@leonidaashioya24007 күн бұрын
Crime Scene loading
@olivenyamvula63216 күн бұрын
Anika Governors kabisa, come to the Coast.
@vincentndonye79894 күн бұрын
True morara thats is a garage
@EmpowerPlusldКүн бұрын
Kenya is a crime scene
@davidnicky91616 күн бұрын
mMorara kibaso you have Diasporian support in finance and otherwise 🎉
@danielkagori-nc5qx7 күн бұрын
😁😁😁😁bro huko Ni kwetu ,edelelea kuwaanika ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,we are not stupid👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑 my vote is for you 2027 president
@jacksonwanjau39397 күн бұрын
Nyeri at least laikipia is hell I can tell you
@patrickndichu39057 күн бұрын
Wanaiba wanadhani watazikwa na majeneza imejaa pesa...shame on them.
@rajabmusa89497 күн бұрын
hi Kali sana,,😂😂😂😂
@johnkhonde89076 күн бұрын
Iko nyengine watamu tafadhali njoo
@brighton11687 күн бұрын
Kuja hapa kwa Waichungwa link ya sgr from ndeiya lusigetti
@bongecabd5 күн бұрын
It looks like tent for weddings ,what was the cost?
@AndrewKibe-l1e7 күн бұрын
Now we know who sent Fire Engine to disrupt you in Nyeri ... Na vile uwa na kiherere
@Irandabale7 күн бұрын
Compare that with markets in Uganda _@Lira- you wont believe it.
@JayTwenty6 күн бұрын
@@Irandabale Museveni is very sober and overstands what Africa needs to do
@Pitahspecial15 күн бұрын
No politician has the interest of mwananchi. It's soo shameful the country we are living in...
@BeatriceMunyua-v2z5 күн бұрын
Very true we don't want recycle ya wizi
@noahmutuku39396 күн бұрын
A crime scene indeed
@Zack-w3r3 күн бұрын
Pay a visit in kiambu and see how develop it is 😂😂
@SamuelNyakundi-l1h6 күн бұрын
Squondering dhoo ya mwanaanchi
@mopaomopao7666Күн бұрын
nime cheka kwa nguvu bele ya baba mkwe hahahahahahahahahahahahhahahahahahahahah
@hashimmabruk89536 күн бұрын
Morara unaingilia kazi ya kalonzo. Si kalonzo alisema ndio official opposition leader . Mbona hakosoi serekali.
@augustinewamalwa202 күн бұрын
He's a crooked fellow himself
@jairookhalo87985 күн бұрын
I Can relate with Lugare market budalangi no toilet ,and the market not complete
@isaacnzungu15565 күн бұрын
Wat was the cost of the market again?!
@MuzicAfrika7 күн бұрын
Imagine Nyeri of all the places. 😢😢
@ceciliawairimu21405 күн бұрын
How much was the contract paid ?
@JaneWangui-20246 күн бұрын
It is a shade
@BeatriceMunyua-v2z5 күн бұрын
Aki good job our sons ukora
@mustaphashisia69276 күн бұрын
Morara, Njoro kuna market exactly the same. Kuja uone
@auntiepiarants22384 күн бұрын
Ati hii ni crime scene 😂😂😂😂😂
@Nicholas-yr2sq6 күн бұрын
Ungeingia hapo muruguru na gatitu ndio ungenjionea maajabu,🤔
@Andrewmurunga-p4w6 күн бұрын
Take care my friend
@maureenouma-b5e7 күн бұрын
Na vile yeye huoiga mdomo kumbe kwa ground things are different,ebu watu wafunguke macho na wapigie kura watu wenye wanaeza wasaidia
@robertdawood99557 күн бұрын
Shame on Mwalimu
@deniskirogo4 күн бұрын
Imajin huko ni shags kwetu...place baba yangu amezaliwa...tumeishio hapo lik 3yrs...hau jinothi...
@negevmasmediamax65106 күн бұрын
Ile maaajabu iko kenya !
@kirighajunior48806 күн бұрын
Wacha hii, kuja kitui you meet the 8th wonders of world
@ericnyatuga82097 күн бұрын
The width is less than that of a volleyball field
@jacobkania69087 күн бұрын
Watu wa nyeri wamefikiwa.sasa sisi tuko karibu kufikiwa wacha twende bafu tukitie maji....😂😂😂
@wangombefrank45376 күн бұрын
Kahiga main business is talking about murima and threatening don't touch Gachagua. Don't touch our son. We're lied to with let's defend mtu wetu and at that time, watu wamajaza pesa kwa mfuko.
@cynthiasimi16 күн бұрын
strange, and the way Gachagua hujifanya ati anasimama na watu wake kumbe hata barabara ni vumbi tu, kibaki kweli alijaribu hawa wanachezea watu wa mlima akili
@HibiscusfamilyKE7 күн бұрын
Traders tatu wa avocado space kwinish
@Real_pic7 күн бұрын
Wah
@nathowa7 күн бұрын
Wacha nicheke😂😂😂😂😂 hawa watu sio mchezo wanayo...They steal everything, everything aki nahawana huruma hio Garage haina hata choo so sad
@sospeterogolla78117 күн бұрын
Hii ni kichinjio ya ngombe
@antonykamugi591515 сағат бұрын
Its more of a car wash so sad.
@SamuelNganga-d1s7 күн бұрын
Mdomo kubwa ya matusi peke yake # wizi peke yake ndio kazi ina enderea Shameless bure kabisa 😳🐄
@peterkimutai48564 күн бұрын
Na wakenya wamekutrust sana ni km huna uko different na hawa politicians
@wangombefrank45376 күн бұрын
Wamama wao ni shareholders.
@DaudiNyamwaya6 күн бұрын
Morara, you are doing a good job but reduce comedy please.
@AliceGatheru6 күн бұрын
Is there anything or.anybody that is good according to this man ,bona anaona tu makosa .just asking .
@arodiboyi6 күн бұрын
How much was the allocation?
@snbuthere7 күн бұрын
But what was the cost?
@charleskibuthi59426 күн бұрын
How much money used to construct that parking
@joramndirangu22634 күн бұрын
Hiyo ni car wash
@doitbetter24165 күн бұрын
Before you shout tuko kwa sirikali we are in government receive brains hii ni bavk yard ya former president na current deputy president hope mnaona especially nyanza na coast people mbadi and joho will not help you