MOTO WA JWTZ KWA MAJAMBAZI PORINI KIGOMA WAKIJIWEKA FRESH NA MAZOEZI, RISASI ZAPIGWA JUU

  Рет қаралды 1,742,967

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Hili ni zoezi la vizuizi barabarani lilokua linafanywa na Jeshi la Wananchi JWTZ Mkoa wa Kigoma Kutafatuta wahalifu.
Wanajeshi hawa walikua kwenye mazoezi ya kijeshi yaitwayo Excise masika katika Pori la makere Wilayani kasulu mkoani kigoma ambapo pia walitumia muda huo kutoa funzo kwa madereva kutopakia watu ambao wanawakuta porini na sio kwenye vituo Maalumu.

Пікірлер: 870
@zotempyaonline8485
@zotempyaonline8485 3 жыл бұрын
Waliokuja kucheki video wakizani Ni majambazi kweli like apa twende sawa.. 🤣 1k zinatosha
@dalalihakweahakweya6662
@dalalihakweahakweya6662 3 жыл бұрын
Yani hapo tulio juwa kama nijalibio ni wa chache sana wengi wana juwa nitukio lenye uhalisia kumbe ni wao kwa wao
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 жыл бұрын
Yani nimepatikana🙆🙆
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 жыл бұрын
Ningekuwa kwenyeiyo bas uharoungetoka full
@meshackmihayo7480
@meshackmihayo7480 3 жыл бұрын
Maboya sana hawa
@scholamatogolo3493
@scholamatogolo3493 3 жыл бұрын
Duuuu! Me mwenyewe nimerowa nimeangalia Mara mbilimbili 🙆
@alextzmmary5121
@alextzmmary5121 3 жыл бұрын
Wengi wenu mnaandika tuuu, ila kilichotokea ni kuwa hawa waliofanywa kama majambazi ni wanajeshi wenzao😍😍😍😍😍 wanafanya hivyo kuwapa funzo
@jaduclassic9982
@jaduclassic9982 3 жыл бұрын
afadhali umelielewa hilo
@jacobomatandiko8341
@jacobomatandiko8341 3 жыл бұрын
Yes
@gozibertbahema473
@gozibertbahema473 3 жыл бұрын
Rm.
@spabiton7989
@spabiton7989 3 жыл бұрын
Mko sawa Sasa kazi iendelee
@latwifuabduli7223
@latwifuabduli7223 3 жыл бұрын
Kwani nani hajaelewa mzee?
@omarsirleem7105
@omarsirleem7105 2 жыл бұрын
😂😂😂😂🇰🇪 Kenyans should copy these kind of exercises......yaani zoezi kama hili Kenya halijawai fanywa,big up sana JWTZ
@khalifabdullahi355
@khalifabdullahi355 Жыл бұрын
Masallaah
@zynabomary4774
@zynabomary4774 3 жыл бұрын
This is our lovely Tanzanians.... Najivunia jeshi langu.... Salute.
@isaacthebrigadier5678
@isaacthebrigadier5678 3 жыл бұрын
I love you mom
@anthonymaganjo1646
@anthonymaganjo1646 3 жыл бұрын
Upuzi huyu
@obenitejailos7007
@obenitejailos7007 3 жыл бұрын
Jeshi ya konyo
@khalifabdullahi355
@khalifabdullahi355 Жыл бұрын
Abayosa tahay
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 3 жыл бұрын
Hongera sana. Mazoezi kama haya ni safi. Kuna siku katikati ya zoezi mtakamata vitu vya kweli. Nawapongeza sana
@mohdbornyoung5061
@mohdbornyoung5061 3 жыл бұрын
Pongezi kwa kazi nzuri wanajeshi watanzani nikiwa kenya
@drjbmsige4098
@drjbmsige4098 3 жыл бұрын
kama umejamba kama mimi uliposikia aaaaa anakombati ya jeshi huyu.. mikono juu😅😅😅😅
@hasnajuma5567
@hasnajuma5567 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂🤌🤌
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Hivi ndiyo tunatakaa tanzania iwe kusiwee na watu wanaofikiria wanawezaa kuletaa tabiaa za kutakaa kutuchafuliaa nchi yetu ya amaani kwa kushirikiaanaa na watu wa nchi za jirani kuletaa ujambazi kutaka kutuharibiaa nchi yetu iliyojaaa upendo na amaani Lazima tulinde nchi yetu kwa mfano huu kuwa watanzaniaa tuko makinii
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Hiii ni kuonyeshaa kuwaa tunawezaakutafanyaa mambo yote Tukiwaaa na uzalendo wa kuipendaa nchi basi hili tu ni heshimaa kwa taifaa
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Serikali yetu na nchi yetu kazi iyendeleee heshimaa kwa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaa
@severindamian9233
@severindamian9233 3 жыл бұрын
Hahaha
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana JWTZ ni kweli wahalifu wanaishi pamoja na sisi pengine ni watu wa karibu kabisa lakini ni wahalifu.
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰aisee nimependa wanajeshi warivokuwa wabunifu hongera zao mung awabariki na hawarinde na kila shar muirinde tz yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
@thomaspatrick1021
@thomaspatrick1021 3 жыл бұрын
Kunawatu walijikojolea
@johnalubeya5076
@johnalubeya5076 3 жыл бұрын
Hii nimeipenda kazi mzuri sana
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 жыл бұрын
Elimu nzuri Sana,Hongera kwa jeshi letu.
@othumanomari1589
@othumanomari1589 5 ай бұрын
Congratulations jwtz❤️🇹🇿💪💪
@RebekaNkoma-qd8fp
@RebekaNkoma-qd8fp Жыл бұрын
Tunashukuru Sana kwa umakini wa askar wetu mungu awatie nguvu Amina.
@mr.tabasamumedia9740
@mr.tabasamumedia9740 Жыл бұрын
Naamini sana jeshi langu la Tanzania 🇹🇿🔥🔥❤️
@stevenmhina7222
@stevenmhina7222 3 жыл бұрын
Kwa kiasi flani sawa, tusipakie watu kwenye mapori. But Hii alert technic ya mafunzo ya tahadhali siyo nzuri sana, watu wanaweza kudhurika bila hatia. Kumbuka kuna watoto na wamama, pengine na wagonjwa mle kwenye basi, wamezingatia vipi afya zao katika kutekeleza hilo zoezi. Pia wanataka kutuambia, makondakta wawe wanakagua mabag ya abiria. Nashauri wangetoa mafunzo kwa wahusika maeneo maalum ya kazi na vituoni. Hizo operation zifanyike ktk uhalisia wake wakiwa na target info.. Siyo kwa lengo kama hilo la kuelimisha.
@fundikiraomary7111
@fundikiraomary7111 2 жыл бұрын
Unaakili sana. Mi nimekuelewa🤜
@victorjames3730
@victorjames3730 2 жыл бұрын
Hiyo hufanyika duniani kote mzee sio Tanzania tuu
@edirana5420
@edirana5420 2 жыл бұрын
Nikwel kitendo hiki hakikuwa kizur kwa watu wote wanawez kuuwa kwa mshtuko afu jukumu anabeba nani
@elynego1654
@elynego1654 2 жыл бұрын
Kula 5 umetisha sna
@hamidamer8849
@hamidamer8849 2 жыл бұрын
@@edirana5420 utabeba ww apo
@samuelleonse9398
@samuelleonse9398 2 жыл бұрын
Mnafanya kazi nzuri kuelimisha jamii Yesu awaongoze salama.Ingekua vizuri kuakikisha Kila basi Lina lindwa na Wana jeshi Wawili mpaka 3 wawe wa navaanguo za kilaiya. Kwaajili ya kulinda Wana nchi.katika safari Yao,hili ikitokea vurugu yoyote ndani ya basi au katika sehemu yoyote update kudhibitiwa na kuwachukulua atua mala moja.! lakini Mungu awe namba Moja! Iyo itasaidia sana.
@jamilasalum5236
@jamilasalum5236 3 жыл бұрын
Iko poa sana ila kwa Mimi mfano ningekuwepo kwenye hilo gar saa hii Nina drip ya saba ,,maana si kwa kushuka presha
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@neemakaluwa536
@neemakaluwa536 3 жыл бұрын
🤣🤣
@thomaspatrick1021
@thomaspatrick1021 3 жыл бұрын
Kunawatu walikojoa kabsa 🤣🤣🤣
@heromanmwamba5000
@heromanmwamba5000 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joookahjokah8430
@joookahjokah8430 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nyekingobwire6327
@nyekingobwire6327 3 жыл бұрын
Safi sana kwa mafunzo mazuri hongereni Kaka zetu nazani dereva kondakta wamejifunza
@emanuelyamany
@emanuelyamany Жыл бұрын
Mambo vipi
@jaminussanga3031
@jaminussanga3031 3 жыл бұрын
Jeshi letu liko vizuri ni hatari ukitaka lidipu kwa kwa ugaidi ama kwa uhalifu ndipo utajione waulize wa kibiti walilidipu walikiona cha moto, MUNGU IBARIKI NCHI YETU MUNGU YABARIKI MAJESHI YETU AMEN.
@jimmymasika8836
@jimmymasika8836 3 жыл бұрын
Mungu atulindie nchi yetu iwe na amani siku zote hii mirindimo ya risasi isijekutokea nchi yetu pendwa ya Tz
@koplomuindi2023
@koplomuindi2023 2 жыл бұрын
My friend we have the RECCE SQUAD hatari kulko hìi
@luqmanmohammed6543
@luqmanmohammed6543 Жыл бұрын
Amin mungu atusadie kwahilo
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 8 ай бұрын
Acha kuogopa ww mm napenda ickike km ukren
@geeva99
@geeva99 3 жыл бұрын
Kumbe hii ni demo tu, kweli show kali ikiwa halisi 🔥🔥🔥
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
We atali n,nyaitakutoka😀
@abubakarramadhan3071
@abubakarramadhan3071 3 жыл бұрын
Hamna show yyte wanaajifunza kulinda amani ila sio vita halisi
@zamakharisalam6798
@zamakharisalam6798 3 жыл бұрын
waache kupoteza muda waje uku mtwar mpakani kuongeza nguvu
@frankub8107
@frankub8107 2 жыл бұрын
Safi sana from Burundi 🇧🇮, hapo bahati mbaya uko abiriya umekuwa umesafirisha bunduki, yani ndo utaamini kwamba umekwisha🤗🤗🤗
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 Жыл бұрын
Well Done JwTZ adui atambue Jeshi la wananchi liko makini.
@seifmohamed4893
@seifmohamed4893 Жыл бұрын
Mungu watie nguvu JWTZ uwape maisha marefu yenye amani na neema tele ameen
@davidmacharia5150
@davidmacharia5150 Жыл бұрын
, easy and quick 87t and
@tumainimnzava320
@tumainimnzava320 3 жыл бұрын
Abiria wetu wanawaza kufika tu! Bila kujua walioko ndani dah! Hii poa sana kwa jeshi la Tz
@feristherrenatus608
@feristherrenatus608 2 жыл бұрын
Aah hongereni kwa kazi nzuriii na inayotufurahisha na sisi tunaowatazama🤝🤝🤝
@herimwanyenza4103
@herimwanyenza4103 3 жыл бұрын
Hilo zoezi la Mafunzo kwa Vitendo Nimelikubali,Nimeli pigia SALUTE
@ZainaMalekela-ij6hd
@ZainaMalekela-ij6hd Жыл бұрын
Safi sana 2wakomexhe majambazi
@mwitachacha6954
@mwitachacha6954 Жыл бұрын
Mungu awabariki kazi zur
@ummuhafswa8980
@ummuhafswa8980 Жыл бұрын
Nimeipenda duh..!!
@kibwanambelwa3268
@kibwanambelwa3268 2 жыл бұрын
hongereni sana wazee wa kazi nawakubali sana Mungu awatangulie katika kilinda na kutetea Taifa letu na sisi wanachi atusaidie kuwataja waarifu
@user-ex3gd6vu7h
@user-ex3gd6vu7h 11 ай бұрын
Hongera kwa jwtz
@mweyoms5548
@mweyoms5548 Жыл бұрын
Saluuuuuuuuuuuute to you JWTZ.Wale wahuni wa M23 wanaujua moto huu.Big up sana.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 жыл бұрын
Iwe halisia na endelevu kwa kushtukiza. Mingu tubariki watoto wa Tz
@filomenambilinyi5471
@filomenambilinyi5471 2 жыл бұрын
Mngewahoji abilia ili tujue wamejifinza nini.
@agnesslucas4744
@agnesslucas4744 Жыл бұрын
Kazi mzuriii Sana wanajeshi ogereni
@mwigakatumpula9817
@mwigakatumpula9817 3 жыл бұрын
Inaitwa usijaribu nyumbani 🤔🏃😃👏👏👏
@saidinammenje644
@saidinammenje644 3 жыл бұрын
Siafiki mazoezi kwa njia hii kwani yaweza sababisha hata kifo
@charleskamili4074
@charleskamili4074 3 жыл бұрын
Wamewapotezea muda tu uwezi fanya mazoezi ya kijeshi kwa abilia kuna baadhi ya abilia wana presura kwa hizi pigo wanaweza wapoteza kizembe
@abdulyabubakar6247
@abdulyabubakar6247 3 жыл бұрын
Na ingetokea vita je bado ungesema watu wana presha
@charleskamili4074
@charleskamili4074 3 жыл бұрын
Jaribu kutofautisha wakati wa tatizo na wakati usio wa tatizo
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 3 жыл бұрын
😆😆🙌kwani presura yenyewe inasemaje😆😆
@kabelwasalim6305
@kabelwasalim6305 Ай бұрын
Acha ujinga kwenye vitu vya msingi
@kambiyusuf1329
@kambiyusuf1329 3 жыл бұрын
Big up xn kwa makamanda we2 wa jwtz. Zoezi nilikua "mswano" (zuri)
@ezrachaulajr3789
@ezrachaulajr3789 2 жыл бұрын
Hapo sawa
@user-gf9ej9nd8m
@user-gf9ej9nd8m 5 ай бұрын
Ongeren sana ktk ayo mazoezi
@mtaitamtaita3834
@mtaitamtaita3834 2 жыл бұрын
Kazi mzur san....n elimu kubwa san imetolewa hpo pongz ndug zang
@filaretoskimaro3959
@filaretoskimaro3959 3 жыл бұрын
Ili ni funzo nzuri sana,lazima madeva wawe makini saa zote na abiria wanaowapakia,wasiangalie tu pesa,na pindi watamhisi mtu yeyote watoe taarifa kwa wanausalama walio karibu.
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 жыл бұрын
This is a very good example in our security system especially on the public transportation,job well done JKT🇹🇿👏👏👏
@lilianjustin9743
@lilianjustin9743 3 жыл бұрын
Misaivi ningekuwa mbinguni kwa Baba
@f.a6043
@f.a6043 2 жыл бұрын
Yeah! 👍🏿 You've spoken well but I would like to remain you that this is JWTZ not JKT
@onlyjesus7831
@onlyjesus7831 3 жыл бұрын
Dah!!!hawa jamaa ni hatarii huu ndo uzalendo tunao hitaji ndani ya nchi yeti MUNGU IBARIKI TANZANIA
@exaudmbuya9306
@exaudmbuya9306 2 жыл бұрын
Nawapa Big up kwa Sana ndio makamanda wetu
@user-hf7og1pk9z
@user-hf7og1pk9z 7 ай бұрын
Nzur xan iy
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 3 жыл бұрын
Kazi njema jameni nawatakiya Wanajeshi wetu kazi nzuri kuilida Inchi yetu ni njambo njema
@NdosiLazaro-fs2ve
@NdosiLazaro-fs2ve Жыл бұрын
Apo sawa
@manuelamahwera6090
@manuelamahwera6090 3 жыл бұрын
Kazi nzuri saaana maana watu wamekuwa waaharifu saaana siku hizi. Kwa zoezi hili lingefanyika mara kwa mara mikowani piya ili kuwapunguza. It was a good thriller and well acted👏👏. One love From London
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 жыл бұрын
So cool and best way to remind our mindset
@mdasad2148
@mdasad2148 2 жыл бұрын
Huro zoez saf sana
@happysanga6595
@happysanga6595 3 жыл бұрын
Nimependezewa na kusachi Kwan ndani ya mchezo unaweza kueabaini na najambazi mungu ibariki tz
@idrisaramadhani2022
@idrisaramadhani2022 Жыл бұрын
Vizuri Sana Asante kesho ra kigoma
@abdulsefu4009
@abdulsefu4009 Жыл бұрын
Hongera JWTZ kwa Nazi nzuri
@villanybenson3005
@villanybenson3005 Жыл бұрын
Kazi nzur sana JWT
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 жыл бұрын
Manshalah mungu azid kuwapa uweled
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 3 жыл бұрын
Kama zoezi hili lilipangwa vizuri kwa ajili ya mafunzo itakuwa jambo safi sana..... Lakini kama ilishutukiza na abiria wa kawaida wakiwepo ndani ya gari... na kuwachelewesha safari yao.... hii ilikuwa matumizi mabaya ya nguvu ya kiutawala.....
@GoldenFirdausMedia
@GoldenFirdausMedia Жыл бұрын
Na kama kweli kungekuwa na wahalifu je? Wakakamatwa huoni kama ingelikuwa ni faida, sio kila kitu kubeza kumbuka wahalifu ni wat kama ww so kufanya ukaguzi ni muhimu hata kama watu safari yao itachelewa tusipende kubeza kila kitu na kuleta ujuaji
@ZainabSuleiman-ti2wt
@ZainabSuleiman-ti2wt 5 ай бұрын
Hongereni kwa mazoezi
@user-wj8ld4hq9c
@user-wj8ld4hq9c 7 ай бұрын
Mmekosea Kama wahasi wangejiripua na warinda amani wetu msioneshe mricho jifundisha Saruti kwenu wakuu
@isaiahisaac7240
@isaiahisaac7240 10 ай бұрын
Big Up sanaa
@frederickfredepsywakilongo6941
@frederickfredepsywakilongo6941 3 жыл бұрын
kazi njema kwa jeshi letu la taïga💖💖💖jwtz
@bellam.vyampi5528
@bellam.vyampi5528 3 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@elmanichombe7198
@elmanichombe7198 Жыл бұрын
Safi ssna
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 3 жыл бұрын
walio kuja kucheki ii video wakizani ni majambazi wako wangapi?
@daudichristopher9460
@daudichristopher9460 2 жыл бұрын
Jambo jema Sana mungu azidi kuwalinda walinzi wa taifa letu
@user-tu4sx5jj3g
@user-tu4sx5jj3g 6 ай бұрын
Kwakweli Mimi nawashukuru sana tenasana kwajeshi lataifa kuchukua maamuzi yaulinzi barbrani kasababu watu hawataki kufanya kazi wao nikuwawinda binaadam wenzao kwanzi haowanao kamatwa nasiraha porini niwauwaji hao nikuwamalizatu nandio kukomesha ujambazi aina haja kuwapeleka polisi maoniyangu nihayo
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 3 жыл бұрын
Haja ndogo ikipita halafu uambiwe ni zoezi sio kweli utajiona fala sana
@ramadhanyusuph7633
@ramadhanyusuph7633 3 жыл бұрын
Saluti sana mmejiongeza na kuwapa taadhali madeleza na abilia
@josephemmanuel3175
@josephemmanuel3175 3 жыл бұрын
Happy afadhali iwe hvo hvo demo ikiwa halisi wahesabu r.i.p
@CharlesSenkala-eu7nx
@CharlesSenkala-eu7nx Жыл бұрын
Safi, siela,siela gof
@EdisonMtega
@EdisonMtega 6 ай бұрын
nimependa kazi ya jeshi letu la taifa i love you jwtz
@pyuritjuvenal7657
@pyuritjuvenal7657 3 жыл бұрын
Wako vizury good job💃
@ktvofficial.2693
@ktvofficial.2693 2 жыл бұрын
Every educative great job
@maxwellezekiel4796
@maxwellezekiel4796 3 жыл бұрын
Big up sana maafande
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Ahsanteni jeshi mnafanya kazini vizuri
@mauaally4831
@mauaally4831 2 жыл бұрын
Safi sana Tanzania bilaya majambàz inawezekana
@buye5436
@buye5436 3 жыл бұрын
Nacheka lakini naogopa... 😀😀
@vannyharrison8572
@vannyharrison8572 3 жыл бұрын
Hahahahahhaa Bambooo
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@buye5436
@buye5436 3 жыл бұрын
@@vannyharrison8572 sijui wasafiri walikuwa katika hali gani baada ya kutambua ukweli wa tukio.
@makoyekelvin
@makoyekelvin 3 жыл бұрын
Bamboooooo 🤣🤣🤣
@thomaspatrick1021
@thomaspatrick1021 3 жыл бұрын
Kunawatu walikojoa na kunya
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
Bora nikavamie mzinga wa nyuki mchana sio hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣
@zolongOne
@zolongOne 3 жыл бұрын
😂😂😂
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@tatubadi9010
@tatubadi9010 3 жыл бұрын
😅😅😅Af ww
@chussede3072
@chussede3072 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kosea njia ila co iyo
@fanuelsulle8144
@fanuelsulle8144 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@salunyanda5448
@salunyanda5448 3 жыл бұрын
Ni habari njema nimeifurahia ni kweli kunawakati tunajisahau, hongera AYO kwa kufikisha ujumbe, By Salum
@juliuselisha3532
@juliuselisha3532 2 жыл бұрын
Tunaamini kwamba tuna ulinzi wakutosha na serekali tunaomba wanajeshi waongesewe mshahara kwa kazi inzuri wanaofanya asandeni
@Kretusmyamba
@Kretusmyamba 6 ай бұрын
Hiyo nimeipenda sana
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana...big up
@patrinussanga6316
@patrinussanga6316 2 жыл бұрын
Kazi nzuri
@rifathoola8654
@rifathoola8654 2 жыл бұрын
Hilo ni zoezi zuri nawapongeza lakin wasikomee apo wafanye sehemu zote ili vitendo vya kialifu visiwepo pia mtakapo fanya zoezi ili maeneo mengine msitangaze hadharani kwani app adui anapata njia nyingine ya kufanya!, Ahsanteni.
@molandmakingil7772
@molandmakingil7772 3 жыл бұрын
wanangu wa makere,nyamidaho,mvugwe kasulu kigoma tz weka like kama iyi road apo una ifahamu
@selemanimtalika571
@selemanimtalika571 3 жыл бұрын
Hawa ndio wanastahili kulipwa mishahara vizuri cyo wah wetu hamna wanachofanya bungeni
@mamasaahil6468
@mamasaahil6468 3 жыл бұрын
Hizo ndo habar za kuongelewa sio Kila sik mm dangote mind na zari
@stylishgenius9886
@stylishgenius9886 2 жыл бұрын
Wazo zury sn
@user-wx7mr9ts6f
@user-wx7mr9ts6f 5 ай бұрын
Kwakweli sasa jishi linawajibika hongera mama hongera mkuu wa majeshi na wakuu wa vikosi nichini safi sana
@soleimaniabdul8898
@soleimaniabdul8898 3 жыл бұрын
Piga fimbo kweli hao majambazi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤🙏
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 3 жыл бұрын
Iyoo milio ya silaha walikuwa wasipige apo maana kuna watoto wadogo kwenye safari iyoo, na kuna wagojwa pia, ila sio mbayakufanya kitu kama icho ni silaha tu kupiga ni kosa kwa watoto na watu wagojwa
@benadethamagembe6949
@benadethamagembe6949 3 жыл бұрын
Hizo ni blankoo ,yani risasi za mafunzo hazima mdhara kam unavyodhani na hata mlio wake ni wakaida kabisa
@emmanuelyohana8787
@emmanuelyohana8787 2 жыл бұрын
Hongereni jeshi la wananchi no Nazi nzuri sana
@aminashaban2363
@aminashaban2363 Жыл бұрын
Nimeipenda bulee I love youu
@ummimohammed9359
@ummimohammed9359 3 жыл бұрын
nzuri sana na iwe inafanyika kweli marakwamara
@abdalakombo1595
@abdalakombo1595 2 жыл бұрын
Ni nzuri sana zoezi hili
@kingomasta1220
@kingomasta1220 2 жыл бұрын
Kazi zurr lakini kwa nn mazoezi hayo wawe wana fanya kimya kimya kuliko kulusha mtandaon hv wakajuwa mbinu mahaduh
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 жыл бұрын
Nzuri sana na ni hakika!
@henryjanuary5150
@henryjanuary5150 3 жыл бұрын
Safi sana jeshi letu
@alyasaluum1850
@alyasaluum1850 2 жыл бұрын
Yeah nimependa sana kwa hili somo
@user-jo1ww9sn1d
@user-jo1ww9sn1d 4 ай бұрын
Mwanza mimi nawapa pongezi kubwa kwajuhudi zao zaa urinzi nausalama jijini Kigoma tz, mimi niii changuboy , muzalendo, tz
@seifmohdtz2275
@seifmohdtz2275 3 жыл бұрын
Ningekua mmi Nipo hapo ningezimia2 kwakweli😂😂😂😂
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 жыл бұрын
Hahaha 😂😂😂
@fredynyandoro4266
@fredynyandoro4266 3 жыл бұрын
Safi sana wapiganaji wetu
@jamesmutisyamuthiani6478
@jamesmutisyamuthiani6478 2 жыл бұрын
Wow!let us have learned a lesson
@kitaaofficial4119
@kitaaofficial4119 3 жыл бұрын
Wengekuwa Wahalifu kweli JWTZ Wangeanza na Mabuti apo apo🔥
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 16 МЛН
Backstage 🤫 tutorial #elsarca #tiktok
00:13
Elsa Arca
Рет қаралды 46 МЛН
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 55 МЛН
KIMEUMANAAA..Ona KILICHOTOKEA mbele ya MAKONDA Leo!!
43:30
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 139 М.
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 16 МЛН