Una shiriki kanisagani,chini ya muchungaji mugani,weka watu wazi Samuel utafauli mission yako in Jesus name Amen
@rahabnkya82766 ай бұрын
Mpeleke kwa Mchj Amaniel katekela ,sababu naye alisema alikuwa huko na alikuwa mchawi, anapatjkana promover tv Mungu amsaidie kijana huyu aokoke 100 percent. AMEN
@mwikalijosephine51786 ай бұрын
I cover my self with blood of Jesus christ Amen
@user-vs5yi6sv8r6 ай бұрын
Mmmh
@user-ir3ep3kz2b25 күн бұрын
Nimeyasikia yako mungu atakuruzuku kaka mwenyezi mungu akurinde nashari zawaurimwengu na itwa Asumani nitazidi kuku ombeya Aminq
@susanmusindi41236 ай бұрын
Huyu kijana bado yuko Free maison. Historia yake ina sehemu inazungunzia uongo. Bado anamfanyia lucifer kazi .
@mwaledwardugendo73446 ай бұрын
Hongera sana kwakujitoa na MUNGU-YEHOVA anautajiri kuliko ibilisi mimi huwa naaamini
@zipporahbochaberi26946 ай бұрын
Samwel napenda sana mawaidha yako wanaosema ati samwel muongo basi hao wa hicho chama
@user-ru7hi7cw5u5 ай бұрын
Una akili wewe? Mtafute roho wa Mungu kakufundishe kutofautisha. Wewe mi mmoja wa vipofu vya kiroho.
@hezekiamhapa73956 ай бұрын
Samuel Mungu akubariki Sana ! Asante Sana kwa kutufunulia haya ninachokuomba usije ukarudi kule hata akushawishi namna gani usithubutu siku ukirudi anakumaliza hapo hapo Kama Mungu alivyonavyo adui kwake tambua Hali kadhalika wewe Ni adui yake mkuu kwa sasa. Pia ushauri wangu usiwatembelee Sana hao marafiki zako shetani anaweza kuwatumia wakakuwekea hata sumu ili usiendelee kutoa Siri zake kuwa makini na Mimi nitakuombea Mungu akupe ulinzi wake muda wote wasikudhuru
@user-yy3xe8cx8o6 ай бұрын
Kweli umetoka Freemason
@umutoniyvette86375 ай бұрын
@@user-yy3xe8cx8ohakuna juk9 ndani sanaaa tena
@bukurumoise58276 ай бұрын
Muongo huyu jama ona sura ngumu kaama ngumi shenzi kwelikweli 😊
@EdwardCharles-sz9hd5 ай бұрын
Haaaaaaa we jamaa kwamba umeamua umuchane dogo cyo haya mkuu nmekubal
@madinamuzei55203 ай бұрын
I don't know why but I have a strong feeling kwamba Kuna kauongo mahali.
@PipyJanuary2 ай бұрын
Am with you hawa watu wanamwaribia jina Ezekiel mbona si mwingine kila mtu ni Ezekiel
@VictorineAchieng6 ай бұрын
Huyu kaka ajatoka freemason acha kumdanganya Mungu baba yako mwenywe ulimtoa kafala Na uliulizwa ukakataa hbr zako tunazo kutoka Kwa dada yako usitudanganye hapa
@barakamongi6 ай бұрын
Oy naona shetani anakulipa uje kutuletea wazimu
@emmanuellikaare16616 ай бұрын
Unauwakika
@stivanto85396 ай бұрын
Ukweli mtupu huyu yupo freemason bado
@silviaingutia28706 ай бұрын
True hajatoma ni kutufunika tu macho
@rinawanjiru62076 ай бұрын
@@stivanto8539 we do b
@danielaudax67556 ай бұрын
uwezi ingia freemason afu eti utoke kizembe acha kudanganya watu kama ni Ivo wengi wangetoka
@gennetdesta60606 ай бұрын
Huyo bado yuko kwa hio chama asiseme huongo
@givenykingtv47804 ай бұрын
Hicho chama saiz kimekuwa cha kawaida sana halafu uongo mwingi sana
@Nyadewaz-dizee6 ай бұрын
Huyu kijana aliombewa kanisa Gani? Ni mchungaji Gani alimwombea? Akiwa na mali kama gari na nyumba Bado Ako ndani. He is just doing a Reversed Psychology and he is out to sell a certain Agenda.
@violetnasimiyu87186 ай бұрын
Yes you are right.
@stivanto85396 ай бұрын
Facts
@user-ne2kp2hc5i6 ай бұрын
Kama uyu samueli ashaachana na lucifer kwa nini hapendi kurudisha mali yake ? Samueli sema kweli kama wewe si mutu wa lucifer
@user-ne2kp2hc5i6 ай бұрын
Kama uyu samueli ashaachana na lucifer kwa nini hapendi kurudisha mali yake ? Samueli sema kweli kama wewe si mutu wa lucifer
@rosewilliamson21536 ай бұрын
Yeye ni agent
@reachelchemtai26046 ай бұрын
Mimi ni nashukuru sana kwa ushuhuda zuri Sana napenda Sana huyu kijana kwa kupenda mungu kwa roho yake yote
@stivanto85396 ай бұрын
Kama ni ukweli huyu kaka ashatoka kwenye hiyo chama mbona bado anaficha mambo mengine???? Rudia mungu wewe, uwache uongo
@umutoniyvette86375 ай бұрын
Uonho mutupu Watu wote ambaho wameamua kuachana n'a shetani Vitu Viote ama utajiri wote una isha shetani Ana kunyaganya kila kitu ulicho kipata kwake Sasa yeye anaongeya kwamba amebaki n'a Mali yote Uyu Ana ongeya uongo
@kuratijumamarwa6 ай бұрын
Tunajifunza kwa kuona , wote waliyojitoa freemason walifilisika wengine wanakuwa na magari yoote yanaanguka mengine yanaungua , huyo bila shaka kuna maoatano na shetani
@pammymoraamoraa67026 ай бұрын
Samuel nikijana mtaratipu sana , anaujumbe mingi ya kutwambia lakini bia anabita Kona kona mingi sana , kuna mambo bado anatuficha, kama mungu ako mbele yako atwambie ukweli bila kusita sita,atoboke atwambie yote ndio tujue hathari zaidi. Ama wenzagu vipi,kamanikusema sema kaka
@MetOrina6 ай бұрын
Kabisi😅
@user-rj2bk3hr5r6 ай бұрын
Samweli mm ninazidi kukufatiria kwenye mtandao
@Juliana-gd8ej6 ай бұрын
Asante kaka,Mungu akubariki unasaidia wengi
@sylivestermwasile42036 ай бұрын
Huwezi kuongea vitu vyote hii ni tasisi ya siri kuna vingi haitakiwi uvijue ukisema wanakufatilia kuna sku ukijasahau kidogo wanakuua
@user-ms6lp3ye3g6 ай бұрын
That man is still there
@user-sp2hj4ju4t6 ай бұрын
Professional agent kuweni makini anajichanganya changanya in short ni muongo
@faridahshabani94296 ай бұрын
Kwa mtu ambae amemskiliza kwa umakini kabisa atagundua kua huyu jamaa bado hajatoka.
@mjombawallace49666 ай бұрын
Kuna Kitu Bado sijagundua
@ednamwihava17236 ай бұрын
Hakuna urafiki kwa watu wanaotoleana siri,Samweli amegundua NGUVU ya MUNGU against nguvu ya SHETANI.hivyo amejua shetani ni weak,Shetani mbele ya jina la yesu ni dhaifu,Hivyo mtu akishajua udhaifu wako basi umeisha.Huyu kijana kujua silaha za kumpinga na kumpiga IBILISI.Tangaza injili Samweli mtangaze KRISTO
@susansusanne61575 ай бұрын
Hiyo ni kweli kabisa. Bado shetani anamutumikia huu samuel. May the LORD Jesus Christ find the lost if truly they desire to be found, Amen.
@fm.masesi5 ай бұрын
He is still there
@user-oe4dh1he1s6 ай бұрын
Wewe unayemhoji na huyo Muongo wote mi kitu kimoja mnatupotezea muda ,wa kufanya mambo ya maana tukae kusikiliza utopolo wako huo. Hovyooo,
@jameswambuku1716 ай бұрын
kaka nakuliza Rohani akokwalushifa ama kwa mungu
@madpeoplezzzz51216 ай бұрын
Huyuu Jamaa Kaja kutoa siri? au Kaja kututamanisha tujiunge na Chama chake......😅
@nelsonneeson6206 ай бұрын
Kaja kuwatamanisha mjiunge huyu hajatoka aisee na anaringia kuwa uko. Hata hao marafiki wanapatkanaje.
@jeannejumanne30546 ай бұрын
Uyusamweli ajatoka uko anatudanganya mbona wengine wakotoka hua wana chukuliwa malizote imekuaje samweli wamuachie malizake mchunguza sana uyo kijana
@user-uu7db3kg8y6 ай бұрын
Samuel mjinga mkubwa bd ajtok freemason we umbwa ushauw bab yak muzaz wacha kudanganya mung
@feihusein6 ай бұрын
Kaka apo una2danganya huo niongo kabisa yaan we bado ukofrimason ila unataka kujificha
@escapricejordins9886 ай бұрын
Lakini mbona chuki ya bure kama una akili timamu na ujuzi wa kiroho utajua Kwa kweli anaongea ukweli.hasinge kuwa ametoka hasinge toboa siri.kwani unadhani shetani mtoto wewe...hasingekuwa ametoka hasinge msifia yesu na kuwaimiza mumwabudu mungu.amesema Kwa kinywa chake kwamba yesu ana nguvu sana dhidi ya shetani.
@escapricejordins9886 ай бұрын
Wewe Wacha chuki.kama yesu mwenyewe ashamsamehe wewe nani?
@user-pd6fh8fy8b5 ай бұрын
Mali ya shetani haiingii kwa kristo,ukiacha shetani ,acha na mali yake,Jehova Halinganishwi, wakristo tuwe macho
@VenanceJoshua-me5mz6 ай бұрын
Huyu muongo anawadanganya vijana wajiunge huyu bado yupo huko
@michelinemapendo66526 ай бұрын
Uyu angaliki nanguvu za Ki frimanson, na mission ya Anatafuta watuu WANADAMU KUWENI MAKINI 😢
@AnnaMtulo-fc5tg6 ай бұрын
Safi sana
@lenymutisya97146 ай бұрын
Kweli, unakumbuka alisema Lucifer alimwambia amletee watu wengi kutoka duniani, this young man is on a mission. Jesus grant us divine protection. Jesus, Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus fight all our battles
@susansusanne61575 ай бұрын
@@lenymutisya9714 You have seen well (Jeremiah 1:12) May the LORD Jesus Christ open the blind eyes so that they may see the truth, Amen.
@susansusanne61575 ай бұрын
Micheline You are right, huyu kijana bado ni chombo cha shetani. May the LORD Jesus Christ open the blind eyes if they truly desire to see indeed, Amen.
@user-ru7hi7cw5u5 ай бұрын
Hatari sana na bado wajinga wanamtetea akiwapotosha wengine. Akili za watu hutofautiana
@vomalizavomaliza7466 ай бұрын
Huyu bado huko free mason hache kutanganya watu hili wanjihunge stop that big liar
@jayalain46096 ай бұрын
Bado yupo freemason 💯💯
@mashramadhani19896 ай бұрын
Kabisa bado argent lkn Kwa sasa anataka kutuamisha kuwa unaweza kuingia na kutoka na mali ukawanazo
@davidtentacion31045 ай бұрын
@@mashramadhani1989kwahy ni uongo kwamba ukiingia ndo imeisha
@user-dj7tf6se3f6 ай бұрын
Hongera kijana Kwa kutoa watu kafara kwajili yakupata money hongera sana mnauwa watu kama kuku mungu anaupamba Kwa nguvu zake na nyinyi mnauwa hongereni jaman freemasons
@user-lr6qv8fv2m6 ай бұрын
Mh! Sijui lakini MUNGU ndiye ajuaye ikiwa nikweli ushuhuda huu uafundisha Sana lakini Kama sikweli basi ndugu watazamaji jifunzeni kitu happy...👆
@user-fs7fe4pq6j6 ай бұрын
Ujatoka bwana uko kwenye holiday tu😂😂😂😂😂
@robertmasai-zz3eu6 ай бұрын
Wewe kijana acha kucheza na mungu mungu hawezi kukaa na mali ya shetani hata siku moja laiti kama ugekuwa umejitoa Mali hizo mungu angezipoteza as wewe bd unazo huo uongo
@user-ln7qw3jh7o5 ай бұрын
Mimi hta ameanza kunibo na uongo zake 🤣😭🤣🤣
@lamechnyaundi43033 ай бұрын
May God to continue applifting you bro
@user-yb2qk4iz6i5 ай бұрын
Mungu hazihakiwi.naona bado,haujaashe vizuri ,Mali yake igemalizika h
@FrankMchumi5 ай бұрын
Jaman wapendwa inavyoonesha kuwa ametoka mana anatoa sir nying sana against Lucifer
@user-sr8lc9oz9d5 ай бұрын
Jamaa anatudanganya huyu ndo anatupoteza kabisa😮😮
@fm.masesi5 ай бұрын
Huyu Bado hako huko.
@user-uq7ej9tl9r6 ай бұрын
Hongera sana we kijana mungu akubariki😮😮😮
@kuratijumamarwa6 ай бұрын
Kwanza alidanganya kwamba alikataa kumuua baba yake wakati baba yake alifariki ,
@FloridaSyombua6 ай бұрын
Usiongope kutoa ushuhuda iwapo umekombolewa na Yesu,,He has power than the devil,,kwa uhakika jitoe zaidi kwa Mungu
@vitalbwemababunga3 ай бұрын
Frimasoon hayupo ni utapeli na uongo tuu
@pacifiquemuzo74466 ай бұрын
Samuel nimuhongosana yupondani ya freemancons !
@albertmillinga22696 ай бұрын
Nimeanza kuwa na mashaka na hii story maana unajichanganya sana mwanzo wa story ulisema uliishia darasa la Saba sasa umesahau anasema uliishia darasa la nne ni makosa mengi unayafanya bila kujua.
@user-wl4zh8yq7b6 ай бұрын
Hivi huyo Lucifer unayemzungumzia ndo yule yule ambae alikua mbinguni kupigana na kina Gabriel ? Ndo mkae pamoja halafu aseme kama ulikua hutaki kumtoa father ako si ungesema tu 😂 hivi ni kweli we jamaa upo serious au sisi ndo hatukuielewa biblia jmn
@MelodyOndieki6 ай бұрын
Ndio huyu moja kweli
@user-vh5fn8fm5y5 ай бұрын
Umedanganya bwana.lutifa.alikutuma.umutafutie wateja waende.kule.minaitaji.niende.huko nipate maisha namimi
@catherinemhagama75056 ай бұрын
Hujajenga kwa jasho lako Ni jasho la shetani. Ilikuwa masikini hataari ujenge nyumba kusemaje
@damarisnjerunjeru3996 ай бұрын
Hongera kaka
@EdifauDeusi6 ай бұрын
Pole ndiomana bibliya imeandikwa usitamani Mali yajilani yako maana ujui kaipataje
@SitetiShaly-rs4tn6 ай бұрын
Huyo kijana bado hajatoka Freemason. Hakuna uhusiano kati ya Giza na nuru. Then anapewa peasa na rafiki ako Freemason na ako tu comfortable. Bado kuna shida kwa Huyo kijana.
@uhakikamedia97596 ай бұрын
Akili mingi
@Lavieka6 ай бұрын
Hakuna ushirikiyano ya Mwanga na Giza. Kwa nini awe na wa shiriki tena?? Na yeye si wao tena??? Jamaani atusaidiye nasi tusi je tuka jaribiwa. Asante
@user-uh1zx5cz5i6 ай бұрын
I rebuke the devil in you in Jesus name, Samuel ajatoka freemason,angalieni anavyo ugoe na ishara za vidole zake ni freemason,anawanasa kupitia mutandao,kamua baba,kasema akumua, I cover all the viewers with the blood of Jesus Christ the son of the living God amen
@user-ld3nh3jr4s6 ай бұрын
Dah uyu ni ela tu anatafta haiwezekani kurudisha pete na kubaki na ela za freemeson
@atanaskalinga49764 ай бұрын
Hongera mtumishi nimungu tuu amekutoa emen
@user-Eric2035 ай бұрын
Huyu kijana ni muwongo
@user-xo5yv5fm6g6 ай бұрын
Kama kijana katoka freemason. Mwana habari tafadhali tumia neno "aliye kua amejiunga, badala ya 'aliye jiunga" yapendeza MUNGU atukuzwe Amina.
@maulidkarim87626 ай бұрын
Yesu kiboko ya shetani
@nelsonneeson6206 ай бұрын
Kunguru na mwewe ni marafiki ???😂😂😂
@emmilyavilia91465 ай бұрын
Mutu asimpinge mungu anasiri mingi kumuhusu ibirisi maana yeye huja na kuiba kuaribu na kuua maybe aliiba mtoto mdogo ndio amuvundishe kwaaribu na sio mmocha so wacha mungu avichue yalio sirini watu wamutavute mungu kikweli Samuel mungu akuprotect sana umepata ukweli
@AlfredMunna-xd1vk6 ай бұрын
Wewe kijan huna akili
@LovenessMosha3 ай бұрын
Unaongea uongo mwingi na Kuna namna unatudanganya juu ya hao wanaojiita watumishi WA MUNGU ili turudishe IMANI kwao, mwongo hatukuamini Wala hatuwaamini hao unaowapigia debe, nimekusikiliza sana hata hueleweki huna maajabu unajichanganya hovyohovyo
@matimfuko6416 ай бұрын
Huyo bado yupo free mason
@user-hh7su5od8n4 ай бұрын
Kwa ninavyojua wanachama wa lusifa hawezi kumtaja yesu hata wewe hujalitaja jina la yesuu naona bado haujaokoka ila umetafuta njia ya kujipatia pesa kupitia coment zetu .... Kama kweli umeokoka sema yesu kristo wa nazaret aliye haii
@user-mm2vl1df4x6 ай бұрын
Sidhani kaa ametoka coz bado anasema Kuna Siri zingine hatoboi😮😮
@user-kn5th2nt9o4 ай бұрын
Mi,naona kama ww ni wakala wa lusifa pia,maana umeelekeza na makanisa yenu uanpo patikana, kimtazamo hujatoka,
@agrcem67075 ай бұрын
Umetoka , na watu wa frimasoni wanakupatia hela na unapokea, na unajuwa zinatoka wapi
@marryngaiza20616 ай бұрын
Nakusihi sana uende nyumbani ukaunganike na familia yako hasa Mama usiendelee kumtia masononeko. Chonde chonde
@shadrackmangu86246 ай бұрын
Unamjua nn jamaa
@LeviAnthony-ci4vu5 ай бұрын
Tapeli huyu.Hakuna Freemason Mjinga mjinga kama huyu.Huyu ni Mambo ya WAGANGA wa Jadi ndo yamempa pesa.
@user-hk6ms7vo1h6 ай бұрын
Ww kina punguza Bangi..hizo n story za Jaba huku kenya
@user-vs5yi6sv8r6 ай бұрын
Acha uongo ww umetoka masonic afu una2mia Mali zao au viongozi wako wa dini Wana damu finyu kama Yako au?
@davidmuia62856 ай бұрын
Kijana huyu hasemi ukweli.Anadanganya.Bado yuko huko kazi yake ni kupotosha watu.Hii story haina sense.
@StelaVictor-xu3swАй бұрын
Mungu akubariki
@Firstjunee-uf6qb5 ай бұрын
Huyu anadanganya ndio watu wajue si yeye alimuua babake , nonsense guy,, wewe endelea na freemason kitakuramba broo
@benedictinelusambo0696 ай бұрын
Mi kiukwel Bado napata ukakasi hapa kwenye kuonana na mungu
@agrcem67075 ай бұрын
Hajatoka angeshuhudia
@user-mz2wx5dt9v4 ай бұрын
Wapendwa kuweni makini na huyu ni ajenti wa kuzimu mpaka sshv kazi yake ni kuwaunganisha watu na kuzimu kwa kuwashauri waende kawe na kwa Ezekiel ambapo hao wote ni mawakala wa shetani kwahyo angalieni mtu asiwadanganye yesu alituambia mapema mathayo24
@IreneCharo-ft3pq6 ай бұрын
Regesha vitu vya freemason ukuwe huru bila hivyo bado hujatoka my dear nimependa ushuhuda wako 😢😢😢😢
@ss-bw9ef6 ай бұрын
Ambiya ulekaka atafute mungu nimi nichristophe kutoka congo
@seiphyahya53536 ай бұрын
Lakini Lord Samwel di bado anampelekea yule Boss LUSFA wao vitoto vichanga ?
@user-nn7ld9ej3b6 ай бұрын
Huyu hajatoka huko ,so long as uko na vitu vya freemason.tena unaonekana mtu.mwenye maringo bado,na and hes hinding alot .
@violetnasimiyu87186 ай бұрын
Ni kweli kabisa hajatoka huko yupo kwenye campaign ya kutafuta wafwasi maana free mason ukitoka wanachukua vitu vya kwao.
@stivanto85396 ай бұрын
Facts he is still a member
@nelsonneeson6206 ай бұрын
The guy alikuwa na yupo lakini hadanganyi, now hawajamaa wameamua kujitangaza so wanawachukua watu akili kuwa ni rahsi kujiunga na kutoka pia inawezekana kutoka na mali ukabaki nazo uo niuongo kabsa, haiwezekani mtu kutoka na mali akabaki nazo.
@user-gf7pq7vs5m6 ай бұрын
Hawa matapeli kama matapeli wengine wanajitafutia pesa ili waish vizuri wawaibie watu
@user-qy3zo5dz9w6 ай бұрын
Mungu ndie muamuzi wa yote bado yupo ametoka akuna anaejua zaidi ya mungu wetu halie hai
@rogerabdallah4396 ай бұрын
Wewe muongo kenge bado upo ujatoka
@YosiaJackson-wy7fq2 ай бұрын
Chama cha frimason kama siyo bongo chipowap
@user-qh1ef8iy7w3 ай бұрын
Amina
@user-fi9gn6cm5k6 ай бұрын
Upo good San nimekubal naomb tuonane
@abdallahbalisesa6 ай бұрын
🎉🎉 Achazakoapa jutudanganya ww
@user-sd1ys9ev5f5 ай бұрын
Mbona unawaficha hao watumishi was shetani wafichue kwani bado wewe ni mmoja wao
@navukalunavatanzi62276 ай бұрын
Bado haja toka huyo
@janepherjamson41666 ай бұрын
Tokaaa acha uwongo
@user-ue4or5rc1j4 ай бұрын
Kazana ukae kwa mungu muumba mbigu na nchi Safar bado ni mdefu chukua tahadali
@user-ql9wq3zb5h6 ай бұрын
Bado hujasimama kabisa dogo
@FocusMzuma6 ай бұрын
Inaonekana kweli ametoka maana siri zote nje
@umutoniyvette86375 ай бұрын
Uongo Hakuna aliye achana n'a shetani N'a uka baki na mali yake Hata kama ulikuwa umefika hali yajuu kihasi gani Shetani Ana jirudishiya bitu yake viote Alafu yeye anasema ametoka afafu amebaki n'a Mali zote Uongo
@user-hw4vw3yn4c6 ай бұрын
Hongera samweli
@sipekato52496 ай бұрын
Ww n mwanachamaa too pesa zote hizo unazitoa wapi enderea na biashara za lusferr