Ikishakuwa tu Felix Mwenda mtoto wa kibena lazima niisikilize big u bro
@user-gu9zp7jt8k2 ай бұрын
Ndio nime enjoy Ila Niko mahakamani kushtaki mtunzi wa gobole aje atowe maelezo kama uko pamoja n'a mimi like apa
@NeemaDotto-ss3uc2 ай бұрын
Kweli Yaani Gobole la Ulithi 😢😢😢
@Pretty227502 ай бұрын
😂😂😂😂una uhakika utasikilizwa qwa hayo mashtaka yako?
@Dayananyagali47582 ай бұрын
😅😅😅😅😅 nipo na ww
@abray98082 ай бұрын
Mm ntacmamia sheria upande wa waskilizaji
@ftimaramadan47482 ай бұрын
😊😊😊
@lonakirao52752 ай бұрын
Kitu kipya kabisa ❤❤ shukran sana kaka Felix
@mariamMilha-st3qu2 ай бұрын
Kitu na Box wadau kitu kipya Felix 🎉🎉🎉🎉🎉🎉kuhusu kumushitaki mwenye amebana Gobole nikopamoja nawe niko Burindi ntaudhuriya kesho Insha,Allah watupe Gobole❤❤❤❤❤
@user-cq5kd3zi6p2 ай бұрын
Inabid tumshitak mtunzi hatutendea vyema tunatak gobole la urith🎉🎉
@user-rc3om5hs9i2 ай бұрын
Leo wakwanza🎉🎉🎉🙏
@emilyadhiambo45402 ай бұрын
Mr Felix mwana wa mwenda ametuletea kitu kipya njooni wadau tujumuike pamoja 🎉🎉
@Feisalmatandula2 ай бұрын
Mwenda mwendelezo w muuaji wa kimataifa
@hadiaali55172 ай бұрын
Jomoni kumbe hii story inaletwa na kk felix hata isinoge lazima niwrpo❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@tabletennis62962 ай бұрын
Felix vip kuhusu gobole la urithi
@mohammedkombo39402 ай бұрын
Heloooo 😅😅 welcome back
@laveenamuscat49592 ай бұрын
Ni mwendo wa Kaz tu hapa kaka Asante sana
@RuizJohns2 ай бұрын
Felix mkipata muendelezo wa gobole la urithi mtuletee
@AishaMasali-lw8pc2 ай бұрын
Kitu kipya na felix wetu 😊
@AnastasiaKilonzi2 ай бұрын
Shagazi mwisho ❤
@sophiebanga95332 ай бұрын
Ni vizuri kuwa na kk kamavenus mwenye mshimamo wa njia ya ukweli
@user-tq5di6mv9c2 ай бұрын
Mungu wangu
@Pretty227502 ай бұрын
Amefanyaje?😊
@ftimaramadan47482 ай бұрын
@@Pretty22750😊
@user-im3xr5ru7c2 ай бұрын
Mashaal asant sana kwasimurinzi ❤🎉🎉🎉😂😢
@user-gj7rb5zd7i2 ай бұрын
Mwendelezo jamani wa muuaji wa kimataifa
@leeheyon2 ай бұрын
New Banger😂😂📻. Kak felix ule mzigo wa kafara ya uchawi noma sana fanya Dude lingine part 2 🔥
@twinssauditwinssaudi72482 ай бұрын
❤❤❤shu
@AnastasiaKilonzi2 ай бұрын
Shagasi mnoma pesa mbele ❤
@user-tb5ly3lq4j2 ай бұрын
na enjoy nikisikiya szuti ya felix mwenda inahamasa yakusikiya history is besties of ladies acha tusikiye history yetu inasemaje
@twinssauditwinssaudi72482 ай бұрын
We felix ww et 30 na nnje yalikua 2😂😂😂😂 nimeipenda hiii
@aishatest4451Ай бұрын
wewe kaka mambo nimekumisi sana 👏👏👏👏👏😁😁😁😁😁
@aminamhina91292 ай бұрын
Nice
@user-ez6cy4pj8z2 ай бұрын
Thanks Felix
@PilliSaidi2 ай бұрын
Kitu kipya shukuruni
@AishaOthumani-xq4ec2 ай бұрын
Hii inaonekana ya kutishaa
@user-kd4cx3rp3m2 ай бұрын
Wa3😂😂
@medinahsamita39812 ай бұрын
Nilikuwa nishangaa mbona filex amenyamaza
@yusravyizigiro12472 ай бұрын
❤️❤️❤️❤️😍😍😍😋
@user-yk8em1bh8g2 ай бұрын
❤❤❤
@espererancesudi76002 ай бұрын
To be continued
@RamaadhaniMseza2 ай бұрын
Gobole la urithi akina King maembe hahahahah
@radhiaomary55912 ай бұрын
Jmn GOBOLE la urithi ineishilia wapi😢😢😢😢
@angeldavid47202 ай бұрын
Nilikuwa natafut comment hiii
@ataamansi89412 ай бұрын
Ili nisikwazike zitafungua simulizi mpaka nione imekamilika, yaani nilikuwa namuheshimu sana Edgar Mbogo maana ni mtunzi mzuri kipaji kikubwa sana, lakini amegeuka kero sana, kama alikua hataki na mgobore wake wa urithi,asingeniharibi bando langu jamani, mpaka likaisha muda wake, hamalizi story, Isipokuwa makini na hii itakatizwa. Nimeshauri waweke vipande virefu hata masaa7-10 tujipimie wenyewe
@AshaHamad-oz4rg2 ай бұрын
Hii ni kaz ya emanuel f kway alietunga davina cc wazee wa kaz tushazioma zooote....sema kwa vile felix anasimulia bc ni utamu tuuu...kway ni kama mbogo hawana baya kwenye utunzi
@user-ih4kw5eb3d2 ай бұрын
Swadakta pengine shangazi anataka kwenda kutupia makombora kwa kwai amtie uchizi ana hauwe kabisa kwakukosewa heshima😂😂😂
@zenaathumani81442 ай бұрын
Wakwanza jamani kwa simulizi mpyaa 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
@Jimmsuva-be5dc2 ай бұрын
Italia sehemu gani
@zenaathumani81442 ай бұрын
@@Jimmsuva-be5dc Arona karibu ziwa Lago Maggiore 🤣🤣🤣♥️♥️
@Jimmsuva-be5dc2 ай бұрын
@@zenaathumani8144 ahsante sana na tz mkoa gani
@Pretty227502 ай бұрын
Shangazi wewe ficha tu pesa kwa manyonyo yako afu mwishowe utajua utamuozesha nani😊😊😊 km 🔫 haitakuhusu,afu Felix acha bc utani mtunzi mwenyewe Jina mpaka wa leo umelibana afu unatuambia ni yule wa Davina
@MnyarwandaFulani562 ай бұрын
Hivi gobole la urithi inaendelea ama ndo mwixho
@medinahsamita39812 ай бұрын
Wow 🎉🎉🎉🎉
@medinahsamita39812 ай бұрын
Muendelezo muaji wakimataifa
@nurafedrick3782 ай бұрын
Iko kwakiaango😂😂😂 pamoja na watatu wa mwisho
@AshaHamad-oz4rg2 ай бұрын
Mwezng mwenywe pia nimeishia sehem ya 10 nyengne sizion kumbe nna wezangu??
Mtunzi wa Gobole la urithi tunamsubiri mahakamani hapa mbona hafiki😂😂😂😂 🤣🤣🤣🎧🎧🪑🪑🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦❤❤❤
@emilyadhiambo45402 ай бұрын
Ila tumemiss gobole la urithi bwana Felix fanyeni kitu
@bintimrope2 ай бұрын
Kumbe kuna mambo mpya huku leo???😊
@fauziasultanikilewa76022 ай бұрын
Huyu Martin anacheqesha😂 bi haruc anaumwa yey anawaza bajet ya haruc
@AnastasiaKilonzi2 ай бұрын
Venas ukweli shagazi yako anataka kiusa dadako Kwa pesa
@aminah95572 ай бұрын
Dhaaa acha niskilize alafu nitarudi ku comment badae nikijua huyu aliekufa alafu akafufuka ni hanse ama ni nn
@user-nr4iq2sq7f2 ай бұрын
Naomba hii isiwe riwaya km Ile iliyoisha 😂😂😂😂😂😂 please hii iwe simulizi
@nurafedrick3782 ай бұрын
Nahisi nishangazi AMA nihuyoo sijui ndonani anaejivunia pesa nahisi nishangazi mana mwanae kazae injee.pili alikuwa akimkuadia kwahuyoo jamaa wa 666 sasa hawa watu wawili naona ndomefanya hivyoo
@RuizJohns2 ай бұрын
Felix mkipata muendelezo wa gobole la urithi mtuletee