Ukisimama na lailahaila llah utafanikiwa nimependa sana ❤❤
@Maryam-j1d6u4 ай бұрын
Brother huyo msimseme sana yaani huyo nguvu zake mwenyewevmpambanaji sana tena sana anafaa kuigwa kwa utendaji wake wa kupambania maisha na mungu umuzdishie zaidi maana ajituma kutwa na majumba ya watu hongera sana kaka Ang ❤️❤️❤️💘
@mohammedymohammedy51614 ай бұрын
Somo Baraka laah fikha!unaenda vizuri ila usionyeshe mafanikio yako kuna husda kama ulivyosema zingatia hilo Somo
@victorterry2274 ай бұрын
Big up ma home boy
@LailaLaila-kg2qd4 ай бұрын
Mh jmn msituchafulie fundi wetu
@cheetahtz65664 ай бұрын
Top 🎉
@Beatrice55-h4l4 ай бұрын
Kijana anajituma sana mimi binafsi namkubali sana. Chapa kazi hachana nao hao
@NahirSaid-wj6ux4 ай бұрын
Tunakupenda nko dubai nitakutafuta.
@asa121amenahtanakshfrombur53 ай бұрын
Tunakusapoti mungu mbele
@msowamhokole77144 ай бұрын
Jamaa anapambana sana
@Majambo_Duniani_Tv4 ай бұрын
Jamaa anapamban sana acheni usenge babu...
@fanni-ck6do4 ай бұрын
HE IS HARD WORKING BUT HIZO ALAMA SIO NZURI NI HARAMU
@tiffahjuma19704 ай бұрын
Ila iman yngu mbn km hainipi km huyu Mr House frimason 😢
@tanzcanmediatv4473Күн бұрын
Huyu kaka anajituma bwana acheni ufyetele
@Latifa123Latifa123 ай бұрын
Ukiwa na mafanikio lazima uonekane mchawi
@Yusufu9404 ай бұрын
😮bro wanakuzushia mabaya sio watu wachezi wezako Wana wivu
@avelinafurahaoisso54914 ай бұрын
Freemason wametoa wapi hela?wananjaa kama wenginee😏
@CondoRamadhancondo4 ай бұрын
Aa uyo jamaa mpambanaji namkumbuka alishauza chapati apa malamba mwisho
@Yusufu9404 ай бұрын
Kwa nn kaka Una weka numba Iyo na namba sura mara tatu ww mtoto waki Islam kwa nn usiweke Izo na logo ya Kazi tu baba Iyo apo Africa awa Amini futa Kazi inakwenda baba
@HaidariAlly4 ай бұрын
Babu achana nao hao wewe pambana tu vijiba vya roho hao
@Latifa123Latifa123 ай бұрын
Anapambana huyo
@ابوذر-د8ك4 ай бұрын
Mambo mengine kama sisi waislam tunatakiwa kujiepusha nayo kwamfano Kama hilo fuvu na hizo sita sita kuna kauli ya mtume sw amesema tujiepushe na shubuhati na shubuhati humpeleka mtu moton
@zainabmohamed514 ай бұрын
Unapokua muaminifu mambo yako yanaenda vizuri uaminifu ndio ngao kubwa dili anazofanya ni kubwa ila watu hawaoni
@aishaomar3298Ай бұрын
Unataka kumpigisha aibiwe
@emmanuelmmbaga52094 ай бұрын
Hapo huwez mdanganya mwerevu.... Logo with 666 without meaning.... Huyo kajiunga bila shaka, 100% hali ni ngumu sana, nyakat hiz za mwisho, huwez pata kwa ulahis hivyo mali kwa miez 6.. Watu nyakat hiz wanahangaik sana, wanaenda KOKOTE IL tu wapate mali.