No video

MSALABA Halisi ambao YESU KRISTO ALISULUBISHWA kumbe ulipatikana vipande vinatunzwa na MAKANISA haya

  Рет қаралды 31,134

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 127
@ModestaMassawe-br1bw
@ModestaMassawe-br1bw Жыл бұрын
Amen tutembee Kwa Imani kwani Yesu alisema "heri wanaoamini pasipo kuona tusiwe Tomaso
@sabuomar2420
@sabuomar2420 9 ай бұрын
Namkubali Nabii Issa kwa asilmia 100%. Hivyo namini dhahiri Yesu hakuwa Mungu bali ni Nabii wa Mungu.
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 Жыл бұрын
Ee Yesu unizidishie imani . Nasadiki kwa. Roho Mtakatifu Kanisa moja takatifu Katoliki la mitume... Amina...
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Amina
@josephwayesu338
@josephwayesu338 Жыл бұрын
Yesu ni njia ya kweli naipo siku watu watashangaa maana ndie mfalme kati ya wote walio mtangaza Mungu baba wa mbinguni.akumjuwa mwanamke Wala wanamke akumjuwa yesu naalikuwa mwanaume timilifu hapo inatosha kuamini kuwa yeye ndie njia yetu.kumbuka kwa mama wa yesu bikila Malia Yani maliam akumjuwa mwanaume nawala mwanaume akumjuwa Malia tunao muamni yesu like 10 basi sijawah kupata like
@neemambotola1139
@neemambotola1139 Жыл бұрын
I love my Jesus ❤
@vuaikhatib9995
@vuaikhatib9995 9 ай бұрын
sahau
@zainashendera9814
@zainashendera9814 Жыл бұрын
Yesu Ndio njia ya kweli na uzima📖☦️✝️
@damasmayanja2930
@damasmayanja2930 Жыл бұрын
NJIA, KWELI na UZIMA NURU, CHAKULA, MAJI
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 4 күн бұрын
Asante sana hi inanisaidia sana Mimi napenda kusoma bibilia nakujifunza mengi ila hizi historia hazipo kwenye bibiliana wafwata sana ili kuendelea kujifunza Asante sana MUNGU azidi kuku weka na kukupa afya njema
@herrymajumbeni7971
@herrymajumbeni7971 Жыл бұрын
Yesu pekee ndiye njia ya kwenda peponi
@amourmohamedfaki4506
@amourmohamedfaki4506 Жыл бұрын
Pepo ipi na kwenye dini ipi faa masihala nn
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding Жыл бұрын
Ndug mung hapendelei Wala hazidishi
@orotancnelly3047
@orotancnelly3047 Жыл бұрын
Amen 🙏
@happinesskitali164
@happinesskitali164 Жыл бұрын
Ameeen
@happinesskitali164
@happinesskitali164 Жыл бұрын
@@amourmohamedfaki4506 wewe ni mpinga Kristu Ila ujijui tu
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Kuna watu wanatesekaga wakisikia neno YESU TU wanaropokaaaaa wanasahau herode alianza kumtafuta YESU toka ciku kazaliwa tuacheni na YESU WETU tunachokiamini tokaaaaaa Pepo kwa JINA LA YESU
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 Жыл бұрын
Kipindi hiki ni kizuri sana hongera sana kwa.ubunifu naomba simulizi zaidi maana hata km nafanya kazi huwa naacha ili kusikiliza simulizi za kuvutia❤
@partnersah8802
@partnersah8802 Жыл бұрын
Mkiendelea kubishana nani anaHaki basi Tambueni Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema anayaona yote na Akiamua ata leo hii migongano iishe basi Anaamua. Basi Yeye Aturehemu pale tunapokosea.
@estermunuo
@estermunuo 8 ай бұрын
Well said ☺️
@lazarojoseph7541
@lazarojoseph7541 Жыл бұрын
ma papa ni mafreemason sahv wanasupport ushoga
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Acha uadui na kanisa katoliki...
@neemambotola1139
@neemambotola1139 Жыл бұрын
I love my Jesus ❤
@joycescophia2573
@joycescophia2573 Жыл бұрын
Shukrani kwa hii jambo la msalaba halisi
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 8 ай бұрын
Historia nzuri sana hii hakika kaka umeiandaa vyema 🤝🤝
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 Жыл бұрын
Amina.🙏
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 2 ай бұрын
Izo ni ibada za sanamu atakama ukipata nywele za YESU upaswi kutumia izo nywele ati kisa ni za YESU, yeye mwenyew anasema tumuite atatuitikia. Yermia 3:33
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Acha ujinga. Uprotestant utakupeleka motoni
@chamyfx9377
@chamyfx9377 Жыл бұрын
Sawaaa twendee kaz
@theresiaseverino6947
@theresiaseverino6947 Жыл бұрын
Amen Amen
@josephsimba3007
@josephsimba3007 Жыл бұрын
Pole nakazi broh mungu akulinde
@Tino_Official_tz
@Tino_Official_tz Жыл бұрын
Safi sana SnS🔥🔥🔥
@hajiali8820
@hajiali8820 Жыл бұрын
Ndiyo stori nzuri kabisa acha kutuletea habari ambazo azina maana baba nimependa,;abari ambayo aitatusaidia ata kufika habari izi ndo habari nzuri
@janethegidius855
@janethegidius855 Жыл бұрын
Amen
@emanuelmwihambi7994
@emanuelmwihambi7994 Жыл бұрын
Amen 🙏
@guillaumekambale8080
@guillaumekambale8080 Жыл бұрын
Frédéric bundala your voice is 🙏🙏💥
@princeyabili789
@princeyabili789 Жыл бұрын
Amen 🙏 amen 🙏
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Swali langu sky kwanini ugriki ya zamani ilikuwa na nguvu hasa dini ufumbuzi walipoteaje kwenye nguvu walikosea Nini imekuwa nchi ya kawaida Sana kwa sasa
@aliasaally
@aliasaally 5 ай бұрын
hata mimi najiulizaga hili jambo, japo wao ndio watu wenye elimu sana na wanafalsafa wengi wametoka kwao
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Barikiwa sana.❤
@johnjulius3092
@johnjulius3092 9 ай бұрын
Jamani mi naomba kujua kwanini wasabato ni wabishi kuhusu msalaba na mambo mengine
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 11 ай бұрын
YESU ALIANZA KUWINDWA KABLA HAJAZALIWA NA UKITAKA WATU WAKUCHUKIE WEWE MKILI TUU KUWA YESU NI BWANA NA MWOKOZI WAKO APO HATA NDUGUZO WATAAKUKATAA😭😭😭 SIKIA ANAVYO SEMA Mathayo 10:34-39 “Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake. “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili. Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Thank you sky.
@johnjulius3092
@johnjulius3092 9 ай бұрын
Sasa mimi nikiwa najiuliza mafindisho ya la seventday day nikiskiliza story hizi Yan wanapotosha saan watu hasa ukuskiliza kumuhus Konstantin
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 Жыл бұрын
Natamani siki moja nifike uko Roma
@stiangabrirl
@stiangabrirl Жыл бұрын
Suala muhimu zaidi kwa Wakristo wa kweli linapaswa kuwa kama inafaa kuabudu kifaa kilichotumiwa kumuua Yesu. Iwe aliuawa kwenye mti wa mateso, msalaba, kwa mshale, au kisu, je, inafaa kutumia kifaa hicho katika ibada?
@partnersah8802
@partnersah8802 Жыл бұрын
Hapana
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 Жыл бұрын
Hakuna mkatoliki anaabudu hivo vitu, jaribu kutuelewa. Tunajitambua sana.
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Hii ndiyo fahari ya kanisa katoliki la mitume
@candidadilemile5882
@candidadilemile5882 Жыл бұрын
Amen Amen Amen 🙏in Yesus Christ name ❤
@mbelecimukandama6688
@mbelecimukandama6688 Жыл бұрын
8
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
Kaka sky nakufatilia sana hasa unapotuletea story za ukristo huwa nakuelewa sana na nakuomba siku ukipata muda jaribu kumtafuta mtu mmoja anaitwa Bishop ngonyani au jaribu kufuatilia video zake you tube akielezea kuhusu ukristo naamini atakupa madini
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Huyo ngonyani ana.historia ya uprotestant.. hana historia ya kweli
@babuloliondo74
@babuloliondo74 9 ай бұрын
Ndio uyo ariye bebeshwa msaraba naomba kuriza kwasababu mimi simjuwi au uyo wapiri
@ArnoPita-co7jk
@ArnoPita-co7jk Жыл бұрын
Nilingoja nifike nyumbani nioge maji nile then nikae kwa utulivu nisikilize makala kwa umakini zaid NakubaL sana sns
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
✌️🙏👊.
@idrisakassim3533
@idrisakassim3533 Жыл бұрын
Wakristo mpk leo bado mnatafta dini ma mungu alishawatabilia hlo mtaangaika sna coz mnaamini sna kweny miujiza na vitu ambayo vimeumbwa na mungu kuliko mungu mwenyew na mbaya zaidi ni wepesi kuaminishwa uwongo , ndio maana mnakufa kama kule kenya
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Nenda kwa kina mwamposa akina Aisha,,,Shaban,, Ashura wapo kibao kama hujui
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 4 ай бұрын
Ukristo wa kweli hawaamini ktk miujiza ya kugushi kwani tunaamini kwa imani Mungu ndiye anaweza kuonekana kati yetu 🙏🏻🙏🏻
@piustombili9921
@piustombili9921 Жыл бұрын
pale waliosulibiwa na yesu wanaitwa Alexander na Dismas ile siku nilikuepo nikaskia wakiita hivyo
@hafidhmohd8696
@hafidhmohd8696 Жыл бұрын
ebwana weee issa hakuuliwa sasa msalaba wa nn huo
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 Жыл бұрын
Alafu wanasema oh wakatoliki wanaabudu sanamu sijui nini
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Ni kuwaombea tu
@neemambotola1139
@neemambotola1139 Жыл бұрын
Mi nilisikia kwamba katika hiyo vita walitekwa ma sister wawili na vitabu vya bible ndipo wakachukua baadhi ya vitabu kuweka kwenye kitabu chao...mungu awarehemu.
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 Жыл бұрын
Story mob 😂
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 Жыл бұрын
Kwanza mtangazaji yesu hakusulubiwa kama kasulubiwa leta ushahidu
@josephwayesu338
@josephwayesu338 Жыл бұрын
Ulisurubiwa ww.naww tupe ushaidi kuwa yesu akusurubiwa
@elizabethmkude9452
@elizabethmkude9452 Жыл бұрын
Uku apakuusu tuachie wenyewe na yesu wetu
@elizabethmkude9452
@elizabethmkude9452 Жыл бұрын
Mbona uongei Mambo yakwenu shobo tu
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 Жыл бұрын
@@josephwayesu338 kwa sababu maandiko yanatafautiana ushahidi wa mwanzo😅
@Odogwu9667
@Odogwu9667 Жыл бұрын
JESUS IS MY SAVIOR
@youngcleva7841
@youngcleva7841 Жыл бұрын
Amem, Jesus our lord, quran 9:31❤
@KIMALEX254
@KIMALEX254 11 ай бұрын
Na bna waislam wanasema yesu hakusurubiwa😢, Bible yenye tunasoma inasema yesu alikufia kwa msaraba,so kama quran yenu inasema sijui Issah was not crusified,huyo ni wenu na ni tofauti na Yesu mwenye sisi tunatabua sababu mwenye tunajua alisurubiwa,alah msituletee🦜
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 Жыл бұрын
Ebana jamaa kabla ya kuchenjua vitabu na kuweka uongo wao walitumia akili kubwa sana waliondoa maneno ya ukweli baadhi wakaweka maslai mpaka leo watu wamepokea na wanatumia maandiko yao pasi na kujua ila bila shaka mashetani waliusika katka kutunga mana c mazingaobwe yale
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 4 ай бұрын
Shetani ana nguvu zaidi kuliko Mungu??
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 Жыл бұрын
Ila wayahudi walikuwa weusi sio wazungu,
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 7 ай бұрын
Unakichaa wewe 😂😂😂😂
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 3 күн бұрын
Ndio akili za waarabu 😂😂😂
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 Жыл бұрын
Sns shikamo 🫶🏽🔥
@hussle03
@hussle03 Жыл бұрын
Tupe historiya ya Baldwin IV king of Jerusalem
@EliTaarifa
@EliTaarifa Жыл бұрын
1 Wakorintho 1:18
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 Жыл бұрын
Yesu alikufa juu ya mti wa mateso (nguzo) na sio msalaba yaani cross. Adhabu hii Yesu aliikuta we
@mugishagweedwine
@mugishagweedwine Жыл бұрын
Hapana alikufa msalabani
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Kwanini Kila kitu Kiko uwarabuni na wakati sehemu hizo waumini wao ni waisilamu kimefichwa nini
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Na ndio mana Allah akasema kwa mwenye kutafakkar!
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Kwa sbbu ukitafakkar utaanza kusoma na kuutafuta ukweli na ukiutafuta ukweli utabaini ukiristo ni mpango mzima wa watu waovu wakishirikiana na mashaitwani wa kijini kupotosha wanaadamu.
@suntzu8959
@suntzu8959 Жыл бұрын
Historia ya true cross inapatikana kwa Ethiopian Orthodox. Wanaamin kwamba kipande cha msalaba kilipelekwa kule. Kila mwaka wanasheherekea siku mbili kama sikukuu ya finding the true cross, sherehe inaitwa meskel.
@khadijaa815
@khadijaa815 Жыл бұрын
Hawakumuuwa wala hawskumsulubu bali wameshabahishiwa tuu
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Жыл бұрын
Wewe usiejitambua endelea kusikiliza uongo WA Muhammad, Yesu amekufa miaka 500 kablaya ya Muhammad na uislam then anakuja Muhammad anasema hakufa sasa hizo ni akili au matope
@zaburi2386
@zaburi2386 Жыл бұрын
ISSA ndo hawakuumua
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Жыл бұрын
Nyamaza Hujui Kitu!😒
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding Жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa kamwe huwez kueleweka
@woah.africa99
@woah.africa99 Жыл бұрын
​@@francisjoseph1074 bwege ww mana bee wote ni wa mmungu mmoja na wote wameletewa mafundisho mwingine bada ya mwingine ww karate hao wazungu walio badilisha sasa mbona hukumfata ibrahim au musa na wote ni mana bee ibrahim ndio na bee alie anzisha uislam mmpaka leo watu wanahiji na ushahidi upo na isa ni muislam hakuna dini ukristo ni cheo ama mpaka mafuta
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Hzo ni stori za Paulo naakuffar wenziwe walizotunga kwa ajili ya kupotosha wavivu wasiotaka kusoma wakaujua ukweli! Someni mtafakkar.
@siasia5469
@siasia5469 Жыл бұрын
Msalaba'... Aah Wapi! Misalaba yote Duniani haina uhusiano na Dini ya Yesu Ushahidi ili uwache Ubishi ingia 'KZbin' andika(Zeitgeist-Part1) uone kabla Yesu kuzaliwa,Misalaba ilitumikaje?
@mapenziwilliam9382
@mapenziwilliam9382 Жыл бұрын
Sasa wataka kulia 😂😂
@herbertygeofrey2724
@herbertygeofrey2724 Жыл бұрын
Punguza ujuaji
@princegerard4704
@princegerard4704 Жыл бұрын
Kwa Wayahudi Misalaba ilitumika kama Adhabu kwa Waarifu, Ndomaana Yesu alihesabika Kama Muarifu ndo maana akaunganishwa na wale wezi wawili kwakuwa Yesu alikuwa ni Myahudi
@JoJo-xh7ph
@JoJo-xh7ph Жыл бұрын
Msalaba ulikuwa ni ishara ya laana kakini baada ya Yesu kutundikwa msalabani kwa ajili ya dhambi za wanadhamu msalaba umekuwa ishara ya ukombozi kwa wafuasi wa yesu yaani wakristu. Wayahidi na watu wengine si lazima mkaamini hili. Hili ni jambo letu sisi wakristu.
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
@@JoJo-xh7ph. Msalaba ni ishara ya laana mpaka leo hii. Na Yesu Mtume wa Mwenyeezi Mungu haezi kulaaniwa.
@hajiali8820
@hajiali8820 Жыл бұрын
Amen
@user-cc6ce1vg2f
@user-cc6ce1vg2f Жыл бұрын
Amen🙏
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
小丑和奶奶被吓到了#小丑#家庭#搞笑
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 8 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 30 МЛН
The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
48:39
Wasafi Media
Рет қаралды 646 М.
Mwl. Samwel Mkumbo | Upekee wa Msalaba wa Yesu Kristo 1
20:47
Mwl. MKUMBO TV
Рет қаралды 2,5 М.
Hiroshima - the unknown images
52:01
La 2de Guerre Mondiale
Рет қаралды 10 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН