Wallahi uyu kaka nilitokea kumpenda sana wakat kipindi yupo n madebe
@fatumakushonda42775 ай бұрын
Big kaka ❤ team mbwela kujeni huku leo yuko live💪👏
@halunimnenwa52245 ай бұрын
Jamaa anajua sana sema wakina omari malaya sana wakitongoza dem hatoboi
@minnahloveiove10745 ай бұрын
One love mbwela mungu akupe imani iyo iyo ya kushukuru kwa unachokipata inshallah mungu atazidi kukuzidishia endelea na mapambano mashabiki zako tunakupenda sn
@Zeldaommy5 ай бұрын
Katika Maisha tunapitia mambo mengi sana pole Kaka mbwela mungu atakulinda kwakila Jambo inshallah😢😢❤❤🎉🎉
@aishaomar22875 ай бұрын
Mashallah Mbwela nimependa hio 👍, Mungu ndie mlipaji wa kila jambo! Ukimuamini na kumuomba anajibu...pambana kaka mimi nakupenda kwa ajili ya Allah na nakubali kazi zako🎉🎉🎉
Ww mbwela kumbe wa kwetu wilaya ya Kati mgeni Haji mchangani❤
@salhamlanz98065 ай бұрын
Umefulai apo na ilo jina la shem shem ndo weeee😂😂😂😂
@MTOTOWAvitoto5 ай бұрын
Nakukubali sana jamaa yangu mbwela unajua sana hasa ukiwa mbele ya kamera wewe na noma broh i appreciate you broh
@Zix-yb1ci4 ай бұрын
Big kaka,, pole kwa yote yaliyo kukuta, nakuombea kwa mungu akufanyie wepec ❤❤❤
@user-tl5xf7bq3k5 ай бұрын
Madebe ni sawa na bokoharamu ila akijirekebisha yuko vizuri
@chumchum15265 ай бұрын
Mbwela unajielewa sana....hongera clam kwa roho ya utu na Mungu azidi kukubariki
@asiamnayahe79144 ай бұрын
Ibrah mbwela nakupenda San mara yangu ya kwanz kukuon nlkuon kweny nabii mswahili
@Mpakauseme5 ай бұрын
Mtu akikufanyia ubaya si vyema kumtangaza kwenye vyombo vya habari, mtu mwanaume haitakiwi kufanya hivyo so hapo mjomba umekosea
@modestferdinand23575 ай бұрын
Anafanya vizuri, huyo madebe ataona aibu ya kutendea ubaya mtu mwengine
@user-ct6vd7ld7s5 ай бұрын
Nice kaka
@AbiTech965 ай бұрын
Courage sana kaka Mbwela, nakupenda toka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️
@user-yk4qd6qv7e5 ай бұрын
Big up sana kaka much love from kenya ❤❤❤
@estevaojacintomuome52535 ай бұрын
Nakukubali Sana Omar mbwela from Mozambique
@Huncho_taitan_breezy5 ай бұрын
A very nice story teller
@halemasuliman-js8ug5 ай бұрын
Mbwela uko vizuri sana unakubalika mnoo ❤
@user-up9gz8ij1s5 ай бұрын
Madebe nilimpenda lakini kwa tabia hizo namchukia sana
@nelsonandanyi5 ай бұрын
Speaking of "God's time" Mbwela umeongea vya maana vyote.
@ruqiyanasir71415 ай бұрын
Basi wewekaka nimslam tafuta mke uwowe naamini Allah atazindi kukufungulia milango yakher usizae bila ndowa ni kitu kunacho mkasirisha Allah nidhabi kubwa nakuobea uzindi kufanikiwa
@sharifahabsi50045 ай бұрын
Mashaallah 🎉🎉
@Starbrunodg5 ай бұрын
Namkubali sana❤❤
@user-ep7qs8ct6d5 ай бұрын
Vevo nina kipaji cha kuigiza unisaidie nawapenda sana na pia nafatilia kazi zenu
@nelsonandanyi5 ай бұрын
Big up Clam .
@fauziasultanikilewa76025 ай бұрын
Clam tunaquelewa sana mungu aqulinde baba 🎉🎉🎉
@user-qz2sk3is9c5 ай бұрын
Mimi ni msanii ila story hizi za kulogana ndio naogopa kuendeleza kipaji changu
@ummialey63912 ай бұрын
Mbona tumeona umetoa movie tena. Na. Madebe mtamu una roho nzuri kwzli
@fauziasultanikilewa76025 ай бұрын
Weeee qwaiyo clam boss eeee😮😮
@Huncho_taitan_breezy5 ай бұрын
KZbin yake inamuingizia hela ndefu sana
@nelsonandanyi5 ай бұрын
Uyu nae konki kibogo Mbwela anakubalika zaidi ya sana
@mhinajerome59645 ай бұрын
Wewe mbwela ndio msanii ninae kutazama kwajicho lambali Sana unanifanya nione bado sijachelewa nitafika ninapotaka kufikka
@wez-bbabisha45925 ай бұрын
🇧🇮💙💙💙💙💙
@user-eq9xt7qi3n5 ай бұрын
Madebe sio mtu poa kumbe anatumia watu vibaya
@user-modizzy4 ай бұрын
Boa trabalho mano
@mhinajerome59645 ай бұрын
Nilipoangalia interview lisaa limoja dakika kumi nasaba sikujua Kama nitaimaliza ila mbwela kaitendea haki haichoshi huyu jamaa nikipaji sana
@Adamunjoka5 ай бұрын
Kweli yupo vizuri
@user-fd8ce8ct2m4 ай бұрын
Zanzibar sio pemba
@nelsonandanyi5 ай бұрын
Mbwela i love the way you neutralise Madebe
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Mimi huwa nawasikia vijana wengi wanasema eanafanya kazi za daywaka hii ndo kazi gani naomba munifahamishe au ni kingereza hicho ni( day work)
@bernardmlenda98005 ай бұрын
Hapana sio "day work" ni "day worker" yana mfanyakazi anaefanya kazi na kulipwa kwa siku
@salhamlanz98065 ай бұрын
😂😂😂😂sorry ila nime cheka kidogo deiwaka ni kibarua na sio kaz yako rasmi kama umeajiriwa au umeajiri.. so deiwaka ni kibarua tu
@kukuzambawazambanga5 ай бұрын
Hicho ni kibarua unalipwa marupu rupu yako siku hiyo hiyo ukitimiza kazi yako unarejea nyumbani na hela yako ya hiyo siku😂😂😂😂😂😂
@tolezablon-sv2zg5 ай бұрын
Bwela na chif God love ni mabrother kweli
@youngtomuller-vh2pu4 ай бұрын
É verdade irmao nunca vou mi esquecer uque mi aconteceu numa noite É pena mesmo é pena 😢😢
@Mpakauseme5 ай бұрын
Upendo ni kitu kizuri sana na ata haupotezi kitu
@ShillahChao5 ай бұрын
Madebe anakaa kikosi Cha roho chafu tu nikifikiria chanuo duh ya liza
@kilogreekachananawatuwasio40545 ай бұрын
ACTOR WETU WA KIBONGO ANAULIZA TEMEKE MKOA GANI 😂TEMEKE KISIWA CHA KEKO JELA
@user-ig9mi5gb1w5 ай бұрын
Tume kuja team mbwela 2furai pamoja ,big love twakuombea Na kukutakia mema kwa yote
@robertsingoi10225 ай бұрын
Na kukubali kaka
@kukuzambawazambanga5 ай бұрын
Siri ya urembo hapa wasanii wawache tamaa mehemehe mingi ukianza episode tafadhali usiiwachilie katikati Zingatia ukamilisho kukata episode kigafla utakuwa unawazinguwa mashabiki wako nalichukia hili😡😡😡😡kua na msimamo do one thing at a time na roho ya ya kuelimisha ama kufurahisha Jamii Sanaa ni wito Na mwishowe uta tabasabu 😊😊😊😊 Unapo katisha episode ki gafla watu wana kosa Imani na wewe Wana wacha kukufuatilia Aah sihuyu ni wale wale episode zao hazitimiliki Wengi wa mashabiki hawapendi kuwachwa njia panda watakuwa katikati ya ghadhba Mielekezo na mikingo za tamdhilia lazima zi zingatiwe na huyo ndiye atakuwa mwamba the best 😂😂😂😂simple nidhamu kwa sanaa 😂😂😂😂
@mfungonishauri42345 ай бұрын
Hapo kwa. Madebe... Ni sawa na wale fuata nisemayo usifate nitendayo... Kungwi wa kiume kwa chanuo alizingua
@Khalid-yr8zx4 ай бұрын
Ana uwezo mkubwa sana bro
@salhamlanz98065 ай бұрын
Mbona mkoa wa temeke 😂😂😂😂
@user-st3hv8pi9i4 ай бұрын
Kumbe wajina wangu kabisa
@kiya09105 ай бұрын
Big kaka❤😂🎉🎉🎉
@frolidaamani90905 ай бұрын
❤aa
@user-hi8le2vb7z5 ай бұрын
MADEBE NI MSWAHILI,,MISEMO YAKE YA KIFALA ANAITUMIA MPAKA MAISHA YA KAWAIDA..MI MWENYEW ALISHAKUWAGA SWAHIBA WANGU,,TUKAFANYA KAZI,,,MUDA WA KUKABIDHIANA GHAFLA MWENZANGU,,HAPOKEI SIMU YANGU,,,
@mbodzechiti5 ай бұрын
Nakupenda sana mbwela sjui uko na mke
@NadratHaji-d9oАй бұрын
❤
@user-ft8cb3rq2k5 ай бұрын
Big story nzuri..
@mudibojaffar92695 ай бұрын
Acheni Ushoha..Nyie kila Mda Ni Madebe Tu...Kumamazenu
@baimarrajahbuayan62375 ай бұрын
Mbona imekuuma au unampa mkuu mwalimu
@mudibojaffar92695 ай бұрын
@@baimarrajahbuayan6237 Wacha Upumbavu mbege mkubwa..hizi Channel zakipuzi Kazi kuongelea Topic za Kujirudia
@Catherine-mh8sw5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@aishaomar22875 ай бұрын
@@baimarrajahbuayan6237ni chama kimoja😅 🙌 🙌
@NajmaHassan7925 ай бұрын
Kwan madebe mtu wko nn😂😂😂😂 pka unaanza kutusi wtu
@SalamaNauthar5 ай бұрын
Nice kaka❤
@Blessedboi80195 ай бұрын
Ako sawa huyu mbweha
@nelsonandanyi5 ай бұрын
Sio Mbweha broo ni Mbwela
@Blessedboi80195 ай бұрын
@@nelsonandanyi Ahsante broo kwa kunirekebisha kwa heshima kubwa. Salute
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Kwenye mke mwenza
@Leylah-pz5sc5 ай бұрын
😂😂😂😂
@SalamaNauthar5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mbweha😂😂😂
@kukuzambawazambanga5 ай бұрын
Chanuo pia yeye ni mtu wa kulalamika tu tunavyio zugumza sasa hivi chanuo anafaa kuwa na team yake boss kivyake kama kaka mbweha hapa Lakini lijimama lizembe kupindukia Kazi yake kulalamika tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@frolidaamani90905 ай бұрын
❤❤🎉🎉
@MwanamisiAthuman-gn7cc4 ай бұрын
Tuna kukubali mbwela
@KayagoAziza5 ай бұрын
❤❤❤
@user-tl5xf7bq3k5 ай бұрын
Huyu si Mpemba ni Mwunguja kulingana na maelezo yake. Kasoma skuli gani hapa Zanzibar? Mbona hakueleza vizuri!?
@NuruJara5 ай бұрын
Bwela ww uko na jina kama rafiki yangu aliyekp huku Kenya anaitwa Ali Omar mbela
@Jibambeshow254k5 ай бұрын
Kwahii madebe lidai ni Mchawii sio 😂😂😂 daaa ila madebe unamatukio kaka bingwa w wanawake pumbavuu
@AamSurname5 ай бұрын
Yote Kwa yote lakini madebe tabia zke sio mzuri kabisa
@elimukwadada5 ай бұрын
Mbwela 👏🏽👏🏽👏🏽 💯💥
@neyotv23445 ай бұрын
Mbengo mpunguze urefu wa Interview
@user-tl5xf7bq3k5 ай бұрын
Madebe nilikuwa shabiki wake lakini tabia ya kunyanyasa mke wake siipendi.
@roggersmalipula89575 ай бұрын
Madebe kaanza kufahamika kwenye Maigizo Itv baadae akawa kimya kwa muda mrefu baada ya hapo ndo akaibuka na Filamu
@user-qf9yw3fv6b5 ай бұрын
Media kubwa iyo badilisheni camera iyo. Kiza kingi
@abasilihundu2005 ай бұрын
Aisee unatumia simu gani! 😅😅
@officiallnobystar5 ай бұрын
@@abasilihundu200Kabisa Bro Inawezekana Yeye Anatumia Smart kitoch 😂😂