Huyu msemaj ndy ataanza kumfanya mukwala afunge pia ndio chanzo cha kuiponza tim yake ipigwe 7
@micumass198918 күн бұрын
😂
@davidmasasi848119 күн бұрын
Huyu msemaji wa fountain maneno yake yatamponza asubiri tuu jioni
@godfreybeatus839619 күн бұрын
45 za kwanza ushakula 3 we lopoka tu
@EvanceWatson-dq3sx19 күн бұрын
Yangu macho hawa wanaenda Kula kichapo alichokula horoya ni swala la muda tuu 😂😂😂
@FatumakunemkaKunemka19 күн бұрын
Umeyatimba mbuziiii... Mbona utasema😂😂😂😂
@DennisDotto19 күн бұрын
Mhhhh..njaa mbaya sana huna hadhi ya kua msemaji wa timu yoyote ile maana sijajua unaongelea nini..timu yako haijacheza hata mechi moja ya ligi unatuambia habari za goli mahia
@EmanuelyMasadu19 күн бұрын
Mh uyu jamaa mpila ukiisha naomba ahojiwe tena maana anajilokea sana
@amedeuskimario889518 күн бұрын
Hizi timu zngine hebu mambo yakuajiri wasemaje acheni hiyo hela peleken sehem nyingne mnaukosea mpira
@KisinziAwadhi19 күн бұрын
Hajui kuongelea mpira
@ezekielandirea86818 күн бұрын
Marehemu alikuwa na mdomo kitamponza huyu subir baada ya mechi
@shamissuleyman489419 күн бұрын
Kuna wasemaje waliiponda simba kama hivyo wengine walikula 7 wengine 6 vp ww huogopi
@chrizostomchristian188419 күн бұрын
Ooo kumbe timu ilidro na Dodoma 😂😂
@buberwamujungu698719 күн бұрын
Ww semaji la hoa sijui fau sijui kitu gani unadhalau sana lkn nakuhakikishia huo mdomo wako utakuponza huna haya unao jike
@davismuzahula90719 күн бұрын
Huyu jamaa choko kweli yaani simba analinganisha Gormaiha ya Kenya 😂😂😂. I hope simba imesikia
@VehaelKamene19 күн бұрын
Hili semaji la FOUNTAIN linatunisha misuli pasi kujitambua kuwa Timu yake inaenda kuliwa kama asusal. Mpira ukiisha namba aonyeshwe geti la kutolewa 😢
@ELIAKAUGA19 күн бұрын
Kama ulipigwa na tabora uje ujipange nakujiringanishe na Simba
@19594123318 күн бұрын
Huyu ana ushamba fulani. Amelishwa maneno na ndugu zake. Ningependa ahojiwe baada ya mechi maana watapigwa kama ngoma
@alimohd530718 күн бұрын
Unatafuta umaarufu kwa nguvu Jamaa yangu
@MaigaKarimbika18 күн бұрын
Leo kasemaje sasa mdomo unaponza kichwa
@girbetpaul830919 күн бұрын
Huyu msemaji ni jamaa yake na msemaji wa vitalo
@MagesaMagesa-dz4in18 күн бұрын
Hamna msemaj hapa Waulize wakubwa zako
@kisurangusa55419 күн бұрын
Wewe msenge utashangaa sana kesho?
@a.msanga162118 күн бұрын
Anamdomo huyu underdog ngoja wambonde huo mdomo
@lemamolelilemamoleli774018 күн бұрын
Umebwabwaja umekula 4 bila endelea kubwabwaja
@humphreykessy197819 күн бұрын
Anajifurahisha tu,kama walikosa nafasi kwa timu nyingine lakini kwenu hawatakosa hata moja na utajilaumu kwa maneno yako
@AbisinaRashidi-c8d19 күн бұрын
Simba ni zaifu ipe mkundu kama hujatoka mavi Kuma Nina wew
@ismailhassan520919 күн бұрын
Subiri utajibiwa halafu metchi ikiisha nikuulize dhaifu ni nani kati yako na Simba hata Kofi la kukutia adabu utachapwa.
@EliabuChatanda18 күн бұрын
Yani wewe utakumbia mahojiano Leo 😂😂😂 subiri
@hamzaamry625119 күн бұрын
Inshallah tukutane uwanjani 💪
@LiisaMaisha-is1hi19 күн бұрын
Msipaki tu .usije ukajinyea tu .
@hamzarumela178419 күн бұрын
Weka akiba ya maneno kaka, huu ni mpira mdogo wangu
@sudiustathi-ku8rg19 күн бұрын
Kesho usitoroke waandishi
@user-cs8zt9bx3q19 күн бұрын
Mdomo utakuponza kijana hifadhi maneno yako
@JohnKifaru-hz9ir19 күн бұрын
Huyu kijana anafikiri kuwa kutoa maneno shom bo ndiyo usemaji kumbe busara ya usemaji weka na akiba ya maneno utaona usemaji ni mikosi utakapi pigwa kipigo Cha mbwa mwizi
@misanamatete408618 күн бұрын
Huna lolote mmezoea kuongea hovyohovyo kama msemaji VITALO
@ezzepuritykamwene212119 күн бұрын
Huyu dogo co proffessional ktk kuzungumza . Sasa mtafute baada ya mechi.
@Stephano72219 күн бұрын
Wewe hujuwi mpira kijana jitahidi kufatilia utaelewa tu acha kejeli ila ujiangalie itakuwa bonge la mjinga duniani
@JayHassan-cd2vg19 күн бұрын
Muongo hakuna mpemba mkristo wacha kudanganya watu uyo sio mpemba akuna wapenda wakiristo labda aliishii tu tu uko pemba
@AbisinaRashidi-c8d19 күн бұрын
Nikumusngalia mbona kama bwabwa hili linalembua ili ni choko subili baadae
@AllyShaban-ms7ot19 күн бұрын
tahila ww
@HasanMahamudu19 күн бұрын
Huyu semaji analitafut atalipata ngoja muda ufike maji ataita mma
@Esterkomba-ef7eb19 күн бұрын
Kwann ulizi mabeki wayanga
@frankkitomary387819 күн бұрын
izo sasa zarau Simba dhaifu kaka tukutane baada ya matokeo nikikutana na wewe nitakutia mabanzi
@NkeshaChabhilonda19 күн бұрын
Sawa japo mipango yenu tunaijua ila ungejalibu kuwa uliza hao wachezaji unao wataja waliwahi kuifunga simba?😂
@MakarotiKamugisha19 күн бұрын
Yanamda bas
@Paulkessy-j8n19 күн бұрын
Subili tuje tukuonyeshe mamae
@muhurumatiku122619 күн бұрын
Maneno yako machafu,zaid hata ya msemaji wa vutaro ,0 alizungumza sana ila wewe umezid kaka,,jana kachukua full package yake 10.
@TomasiklistophaMwinuka19 күн бұрын
Hawa ndowakupewa zauso Hawana adabu
@NaligiaNzogu19 күн бұрын
Ww kula mdomo kama la malaya wa unguja Lita kukuta jambo htosahau
@StimaChamliho19 күн бұрын
Kaka mdomo wako huo utakupoza
@BenardKasambala18 күн бұрын
Nne
@buberwamujungu698719 күн бұрын
Dhaifu ni ww unaongea Kama makapi ya mahindi
@daudkondo406919 күн бұрын
Makolo kujijaza ujinga, eti dakika 45 goli tatu Kwa wachezaji gani? Nyie subirini ligi ifike round ya Tano ndo mtajijua hamna timu, mna magarasa
@mahadshekh39818 күн бұрын
Umejibiwa gongowazi. Bila kuhonga nyie watupu tu.
@MusaMkembela-ex6ev19 күн бұрын
Jamaa anamdomo mchafu huyu
@LeonidasStephano19 күн бұрын
Tumia mda mwingi kusifia timu yako siyo simba Simba matako wewe na kesho usikimbie