MSEMAJI WA SERIKALI AITIA HATIANI SERIKALI ANAYOITETEA

  Рет қаралды 19,834

SK Media Online TV

SK Media Online TV

Күн бұрын

Ni uchambuzi juu ya kauli tatu - ya rais, ya msemaji wa Serikali, na ya bosi wa TRC. wanajikanganya na kuibua maswali magumu.

Пікірлер: 214
@user-xe8xv6so6s
@user-xe8xv6so6s 4 ай бұрын
Uchambuzi mzuri saaana. Hongera ungejitokeza siku moja. Wananchi wakuone. Uwanja wa taifa tutakuwa mdogo. Karibu ngurumo nyumbani
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Жыл бұрын
Ndio Mr, ngurumo msema ukweli! Tufumbue Macho 👍
@safisimkoko1932
@safisimkoko1932 Жыл бұрын
Duuu manaiyo Hawa watu awakaipamoja kujadili nakupanga pamoja mbona Kila mmoja anatupa taharifa tofauti Mmmmh Eemwenyezi MUNGU tusaidie
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 Жыл бұрын
Mkuu uko vzr sana ss ngoja tumsikilize Shangazi Baaaaaasi🙏🏼 Njaaaaa ninoma saaana 🤔🌍
@kenedrocky5964
@kenedrocky5964 Жыл бұрын
NAENDELEA KUKU SHUKURU KAKA MKUBWA, KWA UCHAMBUZI MAHIRI SANA. TUTAENDELEA KUHOJI MAANA WAO, HAWAAMINIKI.
@abdulatwifallyvizursana3295
@abdulatwifallyvizursana3295 Жыл бұрын
Hakika watanzania bado tupo gizani sana, kwa aina hii ya viongozi ni vigumu sana Nchi yetu kuendelea, wanatudanganya wazi wazi, kama vile sisi hatusafiri, Ngurumo watu wengi hawana akili ni mambumbumbu tu hawawezi kukuelewa unachosema, lakini una jicho kali na mtazamo wa mbali sana. Mimi nashangaa sana viongozi watatu wanasema maneno tofauti ,
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Hakuna anayempinga huyu jamaa Ila anachokosea anajaribu kumkosoa magufuli
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
@@betinaernest2766 Kwani Magufuli alikua sahihi kwa yote alioyafanya? Hakuna aliyokosea? Muhimu sikiliza hoja na jaribu kuijengea picha kwa umakini bila ya kuangalia nani anaezungumzwa kwani mwisho wa siku hao wote (Magufuli na Samia) pamoja na CCM wote lao ni moja tu siku zote maana walianza hii miradi wakiwa pamoja Rais na msaidizi wake, kwa hiyo sasa ni muendelezo tu wa yale yale walioanza nayo..
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 muendelezo gani huo kwahy umeme unaokatika hovyo ndo muendelezo je kipind Cha magufuli kulikuwa na kukatika kwa umeme!! Wapinzan ndo maana hampewi nchi maana akili zenu fupi Sana!?? Mkipewa mnauza nchi mnawazo Mambo ya hovyo tu
@corporatethugsent7380
@corporatethugsent7380 Жыл бұрын
Sure man
@chidjosh6056
@chidjosh6056 Жыл бұрын
The comedian country
@geoffreynghumba1029
@geoffreynghumba1029 Жыл бұрын
Serikali yetu na watendaji wake wametuchanganya kiasi sasa wamesalia kivyao na wananchi nasi ki vyetu. Watasalia kama kituo cha radio kisicho na wasikilizaji.
@eleutermhumba347
@eleutermhumba347 Жыл бұрын
Baba ñakuelewaa sanaaa,unazungumzà ukweli mtupu.
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Ukiona mtu anampinga huyu mchambuzi ujue ni zuzu mjinga na mavazi yake ya kijani
@corporatethugsent7380
@corporatethugsent7380 Жыл бұрын
Sio zuzu na mjinga henry noo ni kinyesi pia
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 11 күн бұрын
Maneno yako nichakula Cha ubongo hupenda kukusikilaza sana Kuna vingi najifunza kutoka kwako
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Mm mwenyewe nilikua natoka arusha kwenda dar nilikaa air pot masaa sita eti ndege haijaja
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Unaona e?
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Siku moja jitokeze mbele yetu wananchi wenye uchungu na nchi halafu uongee upumbavu wako walahi tunakukata kichwa....mungu ailaze roho ya marehem maghuful mahali pema pepon
@gataonyango9294
@gataonyango9294 Жыл бұрын
Bro nakuamini sana Mungu akutunze sana na usichoke kutusaidia
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 Жыл бұрын
Msigwa haenei kwenye nafasi yake hiyo.
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Tatizo ni kwamba hamkuweka wazi haya mambo ndo maana yanajitokeza maoni tofauti tofauti
@paull8659
@paull8659 Жыл бұрын
Tumeliwa, hivi ndivyo ilivyo CCM. CCM oyeeeeeeeeereeepumbav
@papadimayo1chanel.747
@papadimayo1chanel.747 Жыл бұрын
Nyerere alifaulu sana kuwajingisha watanzania. Na haya ndio matokeo yake.
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 3 ай бұрын
Mungu akulinde akupe nguv Kila wakti mtetezi wawatu
@nzungushikombesekei
@nzungushikombesekei Жыл бұрын
Tumepigwa Sana. Msigwa bado anaona kuwa wa Tanganyika bado ni wa mwaka 47 hatujuwi Kila kitu. Funika kombe Mwana harmu apite.
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 Жыл бұрын
Njia ya mwongo nifupi Sana
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 Жыл бұрын
Nakuelewa
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 Жыл бұрын
Tatizo juu ya hii nchi kunaishi binadamu wa hovyo sana ,wenye matumizi mazuri ya akili ni wachache, ila kaka una matumizi mazuri sana ya akili,
@obeidmpombwe9951
@obeidmpombwe9951 Жыл бұрын
Tutanunuwa vya kuanzia kwa hiyo haya mabehewa ya kuanzia!
@nahiriali1405
@nahiriali1405 Жыл бұрын
Kaka tunakulewea sana ukisema mikweche kwahiyo tutumie neno hilo hilo mikweche na ni kweli nimikweche
@kwisa4899
@kwisa4899 Жыл бұрын
Swali la msingi ni kwamba ni kwanini wananchi hawana imani na serikali yake? Shida ni kwamba watu wanafikiria serikali inatupatiamsaada. Ukweli aulazimishwi
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
Mbona hatuelewi Mama anasema tutaanza na mabehewa yaliotumika baadae tutaleta mapya sasa haya sindio yakwanza yaliotumika tumekubali kutokana na maelezo ya kweli ya mama etu Raisi ila hawa wanatuzingua tu
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Жыл бұрын
Fafanuzi zinapishana kwasababu hakuna uhalisia na ndiko kujifunua kwenyewe! Maneno ya top leader ndio sahihi bila usahihi ndani yake!
@neemamaugomaugo9597
@neemamaugomaugo9597 Жыл бұрын
Maswali yako huwa nayakubali sana
@mymuamsrrr7884
@mymuamsrrr7884 Жыл бұрын
Kuna kama kamoshi kanaonekana kwa mbaali ..Mie napita tu.
@ramadhanimtambo6755
@ramadhanimtambo6755 Жыл бұрын
Huyu bwana mungu amuinue ana msaidia sana mama yetu Kwa wale werevu wa mambo tunamshukuru sana
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 Жыл бұрын
Mbona mabehewa hayo ya Austria, huyo mzabuni wake alitaka kuishitaki Tanzania kwa kwa kukiuka mkataba kwa kisingizio kuwa Tanzania iliyakataa mabehewa yalikuwa ya mitumba? Kama yalikuwa ya mitumba, kwa nini tuyanunue tena?
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Kiini macho mpaka haijulikani ukweli ni upi
@wemapaschal2325
@wemapaschal2325 Жыл бұрын
Umeanza kuchemka suala sio utawala suala ccm wametuibia kuleta mabehewa mikweche
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Tanzania imekuwa chini ya watawala wale wale miaka yote. Hawawezi kujivua lawama. Ni wao!
@jolitabukabengwe3070
@jolitabukabengwe3070 Жыл бұрын
Acha kumuingiza Magufuli kwenye uchafu huuu. Yule mzee alikuwa mzalendo wa kweli kabisa nchi . kipindi chake hayakuwepo mambo ya upigaji. Ila nyie wanadam nyie mna laana aisee. Siyo bure!
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Mweleze hayo msemaji wa Serikali. Anasema, "yameanza kutengenezwa mwaka 2020." Unaelewa nini hapa? Muulize Msigwa. Nani aliwaagiza wayatengeneze mwaka 2020? Muulize pia kama wangeweza kuanza kuyatengeneza bila malipo kufanyika. Mabehewa waagize wao, malipo wafanye wao, taarifa watoe wao, halafu wewe unisakame mimi? Ibada gani hii mnafanya? Mwabuduni Mungu peke yake. Anatosha.
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 Жыл бұрын
Umesema vema kabisa Msigwa amekosea kuchanganya suala lililopo sasa la mabehewa ya treni na ndege, lakini na wewe ukaingia kwenye mtego huo huo kujadili Mambo ya ndege na makinikia!!!!!
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Nilitaka kumweka sawa tu!
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Uongo ukizidi katika nchi ni hatari sana kwani viongozi wamezoea kutudanganya mpaka wanachanganyana wenyewe kwa wenyewe. Ni ngumu kuamini viongozi wa aina hiyo wanamtia aibu Raisi watendaji wake hao
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Mpk nikakumbuka fast jet
@kenedynedy2615
@kenedynedy2615 Жыл бұрын
Wewe jamaa niolikinooo nakukubali
@davidsamson8204
@davidsamson8204 2 күн бұрын
Hii serikali haipaswi kuaminiwa kwa chochote
@nancymwangi7926
@nancymwangi7926 Жыл бұрын
ulianza vizuri lakini wewe huwezi muchafua jpm...........mimi naamini baada ya magu kufa yapo mambo yalibadilika
@ahmedhamad2410
@ahmedhamad2410 Жыл бұрын
Viongozi wetu wa serikali ni wasanii na wababaishaji tu
@francisedson904
@francisedson904 Жыл бұрын
Sera ya serikali hainunu vitu usd ktk sheliya ya manunuzi waonndoe ujinga wawo
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Жыл бұрын
Mimi najiuliza je, siku wapinzani wakiruhusiwa mikutano ya hadhara Nani atayajibu haya jamani
@antondeengu3804
@antondeengu3804 Жыл бұрын
Namwomba rais Samia atoke hadharani awakemee watendaji wake wasiseme uwongo kwa Uma kwni watamchafua wakati yeye ni mkweli
@hakizimanajean7702
@hakizimanajean7702 Жыл бұрын
Viva JPM. Kazi zake zajieleza zenyewe hazimuhitaji mtu kuzisemea.
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Kweli kabisa yaani
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 Жыл бұрын
Huko nyuma, Jomba ametuahidi treni ya mwendokasi na mabehewa mapya... Tumedanganywa sana Enzi zile!
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
@@j.c.maxima816 aliyetoa ahadi hayupo
@davidchungu6598
@davidchungu6598 Жыл бұрын
Nchi hii Tajiri Sana Sana Ila Tunaumaskini Mkubwa wa Viongozi Tunaviongozi wa Hovyo Sana Wabinafsi Wezi Wasioaminika Kabisa Ndiomaana Hatutaendelea Mbele Kiuchumi na Mungu Atatuacha tu Hivihivi. Nashangaa Kuona Bado Viongozi Kama Msigwa Anaongea Uongo Hadharani Hivi?!!!!! Hapana Hapana Hapana!!!
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Hayo mabehewa hayawezi kuagizwa kipindi cha Magufuli. Yule alikuwa anapiga kazi hakuwa na utani hata kidogo.
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Tafakari hili: 1. Nani aliruhusu makontena ya kifisadi ya Makonda ambayo yalimgombanisha na Waziri wa Fedha Philip Mpango? Yalipitaje bila kulipa ushuru? Yale ambayo aliyakana halafu baadaye akayakubali? Unafahamu uhusiano wa Makonda na Magufuli? Waza tena. 2. Unafahamu nani alinunulia boti chakavu "iendayo kasi" ya Dar-Bagamoyo, kwa bilioni nane, ambayo ilifanya ziara moja tu, ikaharibika? Kelele zilipoigwa akaigawa kwa jeshi. Na wakati boti chakavu yake ilinunuliwa kwa bilioni nane, bei ya boti mpya za Azam ilikuwa bilioni nne (4). Ni nani? JIBU: JOHN POMBE MAGUFULI Mnadanganywa kirahisi kwa sababu mnapenda kuamini hotuba na sauti za kulialia. Ni wapigaji. Amkeni!
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Msigwa amesema "yalianza kutengenezwa 2020." JIPNGEZE! Hayatetengenezwi bila MALIPO!
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo Ebana! Ndugu yangu umenipa akili!?. Unajua mimi sio mtu wa siasa kiundani ni shabiki tu wa siasa. Nilikuwa nashabikia CHADEMA tangia kipindi cha Dr Slaa lakini sikuwa mfatiliaji kindani. Nakumbuka nilikuwa nasoma sana magazeti kipindi cha ugombea wa Lowaaa na Magufuli kwa ushabiki tu lakini sikuwa nafatilia kiundani.
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo Daah! Nimekukubali ndugu yangu ndiomaana nilipoona video zako nili subscribe haraka. Niko pamoja na wewe ndugu yangu endelea kunipa faida
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 3 ай бұрын
Hayo yamepigwa tu rangi, hayo tushaaliwa
@allanmbilinyi4826
@allanmbilinyi4826 10 ай бұрын
Wewe ndiyo Unaye tupotosha kwa sababu kauli yako Unapinga naRais nani mwongo Rais au wewe Msigwa toka lini Serikali ikanunua mitumba ?
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 6 ай бұрын
Hatari nchi hiiii hatuna hata haya
@sadickmlawa2787
@sadickmlawa2787 Жыл бұрын
wapigaji tu
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Acha. Kabisa magu hayupo. Mtapata. Tabu sana kwawizi
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 Жыл бұрын
Jamani wengine tuna myoyo midogo ,akuna walau kizuli kimoja Cha kusema ,make waziri mkuu alipokuwa anaenda wanampa taalifa za ufisadi mtupu yani mpaka minasikia presha ,mfano ire ya katani Tanga,waziri mkuu anasomewa taalifa mpaka unajiuliza Ivi anajikiaje moyoni
@daudsamandito4571
@daudsamandito4571 Жыл бұрын
Uko. SAWA lakini marehemu atakunibu. 🤪🤪🤪😀Naonba uzungumze na. Mamlaka. Yaliyo. Hai
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Tunaweka kumbukumbu sawa tu.
@francismshana1862
@francismshana1862 Жыл бұрын
Tundu lisu club house
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
Serikali Sirikali🤔
@charlsemodest7640
@charlsemodest7640 Жыл бұрын
Unaposema kwamba mabehewa haya ni MAPYA akili yangu inaniambia ni Sawa na kuweka Oda kiwandani UTENGENEZEWE TV Aina ya sony bravia alafu mzigo wako unapokuja unakuja TV Ina KICHOGO nyuma.
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 Жыл бұрын
Hawawatu tunawajuwa nivigeugeu wenyeroho zawizi ,wanabahati kwasabbu wakokwenyenchi yawatu wenginiwajinga hawajielewi,wameshaleta tayali hakuna mabehewa zaidi Tena, wanafiki waongo wakijanjajanja tutashuhudiamabehewahayapo,
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Жыл бұрын
MTAALAM NA GWIJI WA UANDISHI WA HABARI.
@emmanuelzani2889
@emmanuelzani2889 Жыл бұрын
Hayo yamefanyika kwenye utawala huu huu na siyo uliopita.
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 Жыл бұрын
Wenye akili tumeshamuelewa Ngurumo
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Msigwa amesema mabehewa haya yaliyoletwa yaliagizwa mwaka 2020. Ni utawala gani huo? Na mradi huu haujaanza jana. Midude kama hii hainunuliwi kama sukari. Inaagizwa na kulipiwa mapema. 2020! Umeelewa?
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo tunaomba hiyo mikataba ili tuone signature za hao waliosaini ili uthibitishe kauli zako za hovyo
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
@@davidsimbeye1548 hakuna lolote hapo huyu ni mpinzan mwenye chuki na magufuli Hana lolote hapo zaidi ya kuuhadaa umma usiofuatilia siasa za Tanzania,,,, mm huwa nafuatilia Sana mtu hanidangany chochote
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Hana lolote huyo mzushi tu Ana chuki binafsi
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Tushawajua. Wote. Munajisumbua. Tu. Endele tu
@daktarimapenzi2022
@daktarimapenzi2022 Жыл бұрын
Ww una lako la binafsi, mbona umekata video ya Rais. Rais alikuwa anaongelea vichwa vya train, na hakuna kichwa cha train kilichofika.
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Sio kweli. Acha kutundanganya
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Ndiyo, waache kutudanganya!
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Mue na aibu jamani na muwe na hofu yangu. Mmmm
@charlsemodest7640
@charlsemodest7640 Жыл бұрын
Kwa hyo hayo madudu atapanda msigwa na familia yake. Sisi tunataka tren ile ile ambayo hapo awali imekuwa ikitangazwa Kila kona. Bahati nzuri pesa yote imelipwa na ni kodi zetu wananchi. Asa kwa nn mtuletee ubabaifu na vitisho?
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Waongo
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Uwongo
@charlsemodest7640
@charlsemodest7640 Жыл бұрын
DAIMA NENO LITOKALO KWA RAIS NI SHERIA. KAULI YAKE HAIPASWI KUPINGWA. ALIPOSEMA KWAMBA MABEHEWA MAPYA YATAKUJA 2023 ALIMAANISHA. NA ALIPOSEMA USED NDIO YATAKUJA MWAKA HUU 2022 PIA ALIMAANISHA VILE VILE. KWA HIYO HAYA MABEHEWA NI USED KULINGANA NA KAULI YA RAIS. SO KAULI NYINGINE MZIPUUZE ZINATUCHANGANYA TU HAPA.
@daudysanga8492
@daudysanga8492 Жыл бұрын
Mama kasema kweli
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын
DUNIA NI NGUMU SANA KUWAELE A WATU, WANAPOKUJA WEMA NAO HUJA NA MAKOSA YAO, MAGUFULI ALIKUWA MZURI KWENYE USIMAMIZI MIRADI NA KUSUKUMA WATU KUFIKISHA MIRADI KWA WAKATI, LAKINI KWENYE SIASA HAKUWA MVUMILIVU, LA! DUNIA NI NGUMU SANA, MTU ANAKUWA MZURI UPANDE MMOJA NA UPANDE MWINGINE ANAKUWA HAELEWEKI....
@masijamajogoro7231
@masijamajogoro7231 Жыл бұрын
Aliyesema tumechezewa sana kumbe ndo mchezaji mwenyewe
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Sio kweli
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Acha. Tumechoka
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Hahaaaaaaaaa. Sijauewa tuchoa
@rajabusamson8036
@rajabusamson8036 Жыл бұрын
Du
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Hahaaaaaa haoooooo
@DeusiSetivin-ls9uz
@DeusiSetivin-ls9uz Жыл бұрын
Wewe mwongo unaupande unao tetea na kuponda!
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Huo si uwongo bali ni msimamo, na sijawahi kuficha msimamo wangu. Mtu makini huwa na msimamo, hakai kama kinafiki kama popo.
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын
SEMA NI MITUMBAAAAAA... UNAONGEA MAKALI ETI MIKWECHEEEEE....
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Haha 😄
@masijamajogoro7231
@masijamajogoro7231 Жыл бұрын
Ngoja inyeshe, tujue panapovuja
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Lkn mbona unapenda sana kumnanga hayati jpm na utawala wake? Km unaweza basi njoo utie nia 2025
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Жыл бұрын
Hata Mimi huyu jamaa huwa namshangaa sana. Hivi alifilisiwa mali na Magufuli? Anajitahidi kupembua jambo hadi limguse Magufuli.
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Simnangi. Huu ni mradi wao. Kelele zote hizi zinahusu awamu ya 5 na 6. Ndio walioamua. Ndio waliotoa order. Ndio waliolipia. Sasa wanayapokea. Ukishajua hayo, utaelewa muktadha wa afha hii. Usipoyaelewa, utaogelea katika uwongo. Ukweli ndio utatuweka huru
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
@margarethsolomon9823 Hata nilipombana Jakaya Kikwete 2005-2010, kuna wajinga walidai tumenyang'anyana bibi. Tunatofautiana uwezo wa kuona na kuchambua. Tuvumiliane. Tutaelewana tu.
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo sawa mkuu, ila binafsi nashukuru kwa uchambuzi wa mambo mbalimbali
@gersonfungo5893
@gersonfungo5893 Жыл бұрын
Kaka Ngurumo unahakika haujaingia ktk lile kundi la walamba asali kweli?😆😆 No hard feelings brother, shida ni unaremba awamu ya 6 strategically na kuinanga awamu ya 5 strategically. Aliyebadilika ni mmoja tu kwenye hizi serikali 2, that is the irony. Naona saizi hata jamaa zetu wa HAKI wametulia hata kama walichokuwa wanalilia hakijatekelezwa hadi sasa almost 2years down the line. Naanza kuelewa kwanini kipindi kile walikuwa wanapenda kusema "mtu amenunuliwa" akionyesha kuunga mkono juhudi/nia. Wanajuana, they have a price tag.
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Жыл бұрын
Kama JPM anunua mitumba basi hata hizo Dreamliner ni mtumba muende Boeing mkaulize
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Ndugu unadhani ni mpya ?
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Sidhani kama kuna ujasiri wa kununua mpya au kitu kipya aisee
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Жыл бұрын
Jamani hiv vitu viko google utajua bei hawafichi ndio kama ni mtumba ni kuuliza Boeing wameshewahi kuuza ndege tz
@daktarimapenzi2022
@daktarimapenzi2022 Жыл бұрын
Na Rais aliongea zamani sana...ww ni tapeli kabisa
@pmhina6886
@pmhina6886 Жыл бұрын
Wewe unatumwa kuanzisha chuki na Mama Samia !!
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Ama kweli! 😆
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 3 ай бұрын
We mjinga soma kichwa cha isuzu hapo juu.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Sasa mnapambiza yote hayo kwa kutafuta nn? Halafu mkitilia Shaka mnapata nn? Yote hayo ni siasa chochezi tu! Du watz
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Ukikua utaelewa. ELEMENTARY CIVICS! 😆 😂 😆
@leonardrafael4304
@leonardrafael4304 Жыл бұрын
Mwanzo nilikuona uko vzur ila kwasasa naona unaegemea upande wa kumchafua JPM Umetengenezwa hakika KWA ubaya Lakini Mungu Yupo kila wakat.Jpm hatosaulika KWA Watanzania kwa mema yake
@knight6757
@knight6757 Жыл бұрын
🇹🇿😭
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Kuna siku niliwahi kukoment nikasema wew jamaa una akiri Ila akiri zako unazitumia vibaya!! Wew Kama huamin siku moja jitokeze hadharani kwa watu wanaopitia mateso halafu umtukane au umseme vibaya Hayati magufuli ndo utajua ni jinsi gani akili zako fupi utapgwa mawe
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Ni kwa kuwa alitumia ushamba wao kuwajaza uwongo. Hata Mobutu alifanya hivyo! Iliwachukua muda mrefu kujitambua. Tuendelee kuwaelimisha. Mikataba aliyosaini ndiyo tunayotekeleza. Msiishie kubebwa na kauli tamu tamu za majukwaani. THINK!
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo acha kupotosha umma wewe nyie ndo mafisadi wakubwa ndo mlibanwa mkatapika hela saiv mnalialia hovyo tu mmejaa chuki na visasi!!!!
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo halafu unavyoonekana ni Kama mstaafu vile ulifukuzwa kazina kwa vyeti feki kwahy umejaa visasi tu!!!
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
@@betinaernest2766 Watu wa aina yako ni chakula cha mafisadi. Mnadanganywa kirahisi kwa kuwa hamjui na hamuwajui. Nakufumbua macho halafu unaning'ata kidole? Unanijadili wakati hunijui? Unadhani nimeanza leo mapambano na serikali? Hata Kikwete na Mkapa walikuwa na chawa. Na walishindwa. Uliza.
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 Жыл бұрын
Labda wewe ndo utapigwa mawe
@leonardrafael4304
@leonardrafael4304 Жыл бұрын
Mungu nisamehe kwa chuki nimetokea kumchukia huyu binadamu JPM hatasaulika kwa mema yake
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Inaonekana una chuki kwa mkombozi wetu magufuli aliyejitoa sadaka,, alijaribu kupgana Vita akiwa peke yake lkn mkamuua... Sasa hivi huwez kusikia madini yamekamtwa Tena saiv wanachukua mchana kweupe tu hakuna wakuzuia
@pmhina6886
@pmhina6886 Жыл бұрын
Wewe ni mdini tumeshakujua !!
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Mwambie! 😆 😂 😆 😂
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 Жыл бұрын
Uhuni tu huu
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Жыл бұрын
#NONSENSE. Achana na JPM. RAIS wenu wa sasa nnchi imemshindwa. Na bado mtaisoma namba kipindi hiki.
@janethjohnson3289
@janethjohnson3289 Жыл бұрын
Namba tutaisoma wote
@aminbakari5443
@aminbakari5443 Жыл бұрын
Kwa vile mabehewa yameshafika hoja ya msingi ingekwa mtu aseme nimeyaona mabehewa yako hivi na vile kinachodhihirisha kuwa ni mitumba. Vinginevyo Maelezo ya msigwa, ya raisi na yale ya mkurugenzi hayapingani popote ukitumia akili yako vizuri kuwasikiliza.
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Ati?
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Жыл бұрын
Uyu babu anasifia utawala wa mama nakusaahau mwanamapinduzi JPM aliebadili nchii na kufikia uchumi wa kati sijui Leo tupo uchumi upi mpaka tunaaagiza mabehewa used kwasabb zipi na kwa alaka alaka zip
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Hahaha hahaha 😆 😂 🤣 😅 😄
@silasponeka1773
@silasponeka1773 Жыл бұрын
Takukuru wanafanya kazi gani sasa kitu kiko wazi?
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 Жыл бұрын
Guys Mimi ni mkweli tena kuiba sijui mwakani mnipe uraisi.tena safari za trein na ndege nitazisimamisha kuepusha manena Bali watu watafiri kwa ungo Ili tudumishe tamaduni zetu.
@SaidiLubuvadu
@SaidiLubuvadu Жыл бұрын
Kweli kabisa ukweli na mama samia tu.
@pmhina6886
@pmhina6886 Жыл бұрын
Wewe ni mpumbavu Sana embu achana na fikra zako za chuki dhidi ya simba wa yuda unajifanya una akili nyingi kushinda wenzako mpumbavu wewe
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Asante! Tuendeee kufikiri kwa usahihi. Tuache kukariri hotuba! 😄 🤣 😂 😆
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Жыл бұрын
Asibert, wewe una shida na Magufuli. Hakuna kitu ambacho serkali ya Samia imefutika mambo ya Magufuli. Amenenwa vibaya, amelaumiwa, na wote waliokuwa upande wa Magufuli hawapo tena ndani ya uongozi wa serkali hii. Unajitahidi saaaana kutafuta kitu chochote kinachomgusa Magufuli ili uendelee kumshusha au kumtweza Magufuli. Ya Magufuli tutaendelea kuyaamini. Makilikia yameuzwa baada ya kifo cha Magufuli. Tr. 360 zimefukiwa ili ionekane hakuna kilichofanywa. Mara ingine nachukia kusikiliza clips zako kwa kutaka kumchafua simba wa Yuda.
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Twende kwenye hoja. Mimi siabudu mtu. Namwabudu Mungu.
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo huna lolote magufuli alijitoa kwa ajili ya watanzania
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
@betinaernest2766 Siku moja utaelewa. But it may be too late. Muwe mnajisomea mnajielimisha. Acheni kuamini hotuba za watawala. THINK CRITICALLY.
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
@@AnsbertNgurumo kwahy wew ndo mfuatiliaji w taarifa Sana kuliko watu wote,, ? Sisi watanzania tunamkubali JPM sio kwa hotuba zake Bali aliyokuwa anayafanya yalikuwa yanaonekana kwa macho!! Wew kwa akili zako ndogo unafikir magufuli angenunua mitumba ya mabehewa!!!
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Mpuuzi tu huyo Hana maana yoyote!! Magufuli alihangaika Sana kufanya transformation kwenye hii nchi lkn hawakumuelewa saiv kila Kona umeme unakatika hovyo tu na sikuwahi kuona mm vitu Kama hvi kpind Cha JPM
@pmhina6886
@pmhina6886 Жыл бұрын
Hivi kwa nini una deal na magufuli muogope mwenyez mungu Jenga hoja za maendeleo magufuli hawez kurudi tena una mpumbavu Sana
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Umeelewa mjadala? 😆 😂 😆 😂 😆
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Жыл бұрын
Enzi za magufuli mlikua wapi? Mlimuacha mange na kigogo,nyie wengine wote mliufyata mnamuona mama
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo Жыл бұрын
Wewe umezaliwa leo? Au unadhani na sisi tumezaliwa leo na tumeanza kuyasema leo? Umechelewa. Fukuda kumbukumbu kwa miaka 20 mfululizo.
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Жыл бұрын
Ah kumbe ni wewe ngurumo???? Niwie radhi umebadilika... ulaya tam... yah ni kweli we mbishi toka enzi za jk ...wewe na kubenea .Niwie radhi
WANAOTAFUTWA WAANGAMIZWE NI MBOWE, LISSU, NA MNYIKA
5:42
SK Media Online TV
Рет қаралды 19 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 17 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
大家都拉出了什么#小丑 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 87 МЛН
MAJIBU YA MASWALI  MAGUMU - JOEL NANAUKA
4:37
Joel Nanauka
Рет қаралды 13 М.
MTEGO WA SIRRO WAMNASA YEYE MWENYEWE
13:21
SK Media Online TV
Рет қаралды 22 М.
LEO ZITTO AMEKOSEA NINI MBELE YA RAIS SAMIA?
18:15
SK Media Online TV
Рет қаралды 23 М.
RAIS NA WENZAKE WAULIZWE: BAADA YA ALI MEDDY KIBAO, NANI ATAFUATA?
23:15
SK Media Online TV
Рет қаралды 38 М.
MIAKA 5 ILIYOPITA WALIZOMEA UKWELI AMBAO SASA WAMEUKUBALI
7:00
SK Media Online TV
Рет қаралды 15 М.
CHATO NA MIRADI YENYE UTATA
1:00:29
SK Media Online TV
Рет қаралды 43 М.
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 17 МЛН