Asante sana Alexander Tv kwa kutuletea Habari zenye uwakika na ukweli zaidi kwenye Jami yetu kwa jumla. MUNGU akubariki mtangazaji wa Alexander Tv Canada.
@gerrardabwe2 ай бұрын
Asante san Alexander kwa maswali uliyo uliza kwa kiongozi kuhusu hali mbaya inayo hendelea marekani , Ukweli uliopo ni kwamba Umoja wa wabondo( wabembe ) au Upendo unazidi kupungua kwa kasi kubwa sana nikutokana na vifo kua vingi Nchini Marekani kwakua vifo hivyo vinapelekea watu kuanza kuogopana wao kwa wao nakupoteza Uaminifu kwa wengine iyo ni sababu ya umoja kupungua na itapelekea watu wengi kuacha kujitokeza Kwenye misiba na Kwenye makundi mengin ya wabondo😭 kwakua na wasi wasi inayo tokana na vifo kuzidi hilo walielewe wazee na vijana kwa ujumla na siyo rahisi kurudisha umoja uliyo kuwepo kwa wabondo hapo zamani Nchini marekani iyo ni pole tena pole kubwa 😭 wabondo(wabembe)
@lamentalitedabord2 ай бұрын
Interview nzuri sana, courage ndugu Alexandre Tv
@amisalumona10602 ай бұрын
Nashukuru sana kwa maojiona ya Lugha yetu ya kibembe 🙏👍sababu siri zetu zibaki zetu.
@kenasumani40592 ай бұрын
Respect Alexander Tv online 🙏🙏🙏
@JayloAjay-rr5ki2 ай бұрын
Barikiweni kamati ya Alexander TV Online, much love
@CharlesMs25Daghaly2 ай бұрын
Mnatakiwa kuwa na kiongoz mmo1 wa umo1 wa wabondo Nchini Marekani mnakiwa na kiongozi mmo1 matatizo yte yataisha bila shaka❤❤❤❤
@FrancoisRamazani-nx2se2 ай бұрын
Good job 🎉🎉🎉
@lukafbbwebelof38742 ай бұрын
Wanapana na wanapewa sumu za za kukawia mwilini. Kwa nini wana sahau kama wabembe wanatafutwa na mahadui wengi? Kumbukeni kama kuko mtu aliye kwenda Kigoma kuchukua sumu ya kuwahuwa wabembe? Hamukumbuki hivyo? Aliletaka sumu ya wiki, siku, mwezi mmoja na mpaka 6 na kuendelea mpaka mwaka? Na wengine wanalipwa Pesa na wanyarwanda ili wahue wabembe? Kwa nini mnasahau?
@Victorina-wi1dl5py3s2 ай бұрын
Wambinguni akutunze sana kiongozi wetu Nauhakika apo mbele wabembe lazima tutapewa 🎉yetu Mungu awatangulie kwa mawazo ayo yenye kujenga
@MsafirAbedibinbatalela2 ай бұрын
Good
@itongwaijl2 ай бұрын
😂😂😂😂 😂😂 Adele Wewe ajuwiki kitu
@KapiMedros2 ай бұрын
Mungu wangu 😭😭😭😭
@LUBUNGAJr2 ай бұрын
Kiongozi mkuu wa Emmus kama mzee wa Ebondo mdomoni mwake mnatoka lugha karibuni 4 sasa mtafundisha new generations lugha ipi?
@MrBabutale2 ай бұрын
Fact
@RdCongoforlife2 ай бұрын
Lúmbaka lwa é úbe wasalanga m’mesonga ?
@OmariEtetembaWilondja2 ай бұрын
Ni ngumu sana kuzungumza maswala ya maendeleo bila kutumia terms/ lugha ya français na anglais.
@andremchinda39732 ай бұрын
Aaah, Vijana! Napenda saana Vijana. Ila sipendi Vitendo vya Vijana. I love you guys. Kuchanga Lugha nawaza ilikuwa ni bora ili kusaidiya wengine ambao hawasikii saaana Kibembe. At least kila mtu wa tendance mbalimbali ahelewe.
@Mrsflower-g2n2 ай бұрын
US 🇺🇸 imekuwa too mungu ivi na shindwa kuelewa wabembe tunaelekea wap 😭😭😭😭
@DashaPlanB2 ай бұрын
Niatr kwel na vifo😢😢
@itongwaijl2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Nikwabiye kitu Adele
@Rojo_Rojo2 ай бұрын
MZee upo sahii 🤝 by the way misiba mingi inaletwa na ujana ,. Lakini pia kama watu wange gawanyika kuliko kuishi kwa mazoeya at sisi watu wa village fulani state yetu inakuga state fulani apo ndo mwanzo wa matatizo😢 au sisi watu wakanisa fulani hatuwezi kushirikiana na kanisa fulani 😭😢 ukienda kwa waroman hishi kama wao ,. Ila wabondo wanaishi kwa kukariri maisha ,. No development 😢
@swahili.community.internationa2 ай бұрын
Wa bembe lazime makubwa yawakute mko wajuwaji sijuwi kama io lugayenu kama mnaionaga niyamana sana kinacho wauwa ujuwaji wenu na kujitia sana 😮😮😮😮
@bitishoriziki55852 ай бұрын
Jambo mbona muna tuchanganya njamani upendo nawapenda sana ila mujuwe kama siyo wambea tuu wenye kufariki tungeli ungana sote waa frica wote I ila ninyi mnaongea luga yenyu tu mnana nakuwa kama muna fanya politics kama muna funguwa utube sio wa bembe tuu Wana ama kuwa sikiliza please muongey luga ya watu wote ni Swahili please Mimi nilifurahia hiyo group ila mna tuchanganya asante ❤❤ 🥰
@GloriaSindjala2 ай бұрын
😭😭😭😭
@Tg_tiger-i4j2 ай бұрын
Mi homo😢😢
@Mseyg82 ай бұрын
President kweli unajuwa kabisa hapo tulijuwa kuchanguwa ila sisi tunatakiwa tujifunze kuusu siasa na tuache ujinga wa kuuwana sisi kwa sisi 😂😂😂😂
@sergebaleke6952 ай бұрын
Ongea luga yenye kila mutu ata elewa achana na kibembe njo mana nyinyi wa bembe ni walozi
@JumaRichard-nc8ok2 ай бұрын
Anasema yeye ndie kiongozi wa wabembe wabondo umulize anamyaka ngapi na amefanya nini 1 ofisi ya wa bodo ikon wapi
@christiansimbi2 ай бұрын
President Mwakole manga.
@nsengiyumvajano83592 ай бұрын
Tatizo luga
@sergebaleke6952 ай бұрын
Mujenge kwanza kwanza kwenu Baraka tuone, bulozi tu njo kazi yenu mutoke apo wasenge imbwa nyiye
@bitishoriziki55852 ай бұрын
Jambo 36:31
@OnorinaPapa2 ай бұрын
Mim Nilikua naomba alexander amtafute kwanza Yule kaka alie imba bongwa ibotonga botonga bwaba bembe amuoji kwanza mana nikama alitabiri aya yanayo tokea leo
@bitishoriziki55852 ай бұрын
Kwani jampendi tuingiye
@bitishoriziki55852 ай бұрын
Jambo bazima uko kwani hiyo ni politics
@bitishoriziki55852 ай бұрын
Jambo
@robertmakuukabwali94882 ай бұрын
MTOTO ALEWAVYO NDIVYO AKUWAVYO,IKIWA WEWE KAMA BABA WA JAMII UNAONGEA KIFARANSA NA KISWAHILI ,WATOTO WATAKUAJE? YOTE YAWEZEKANA, UONGOZI UKIKAA PAMOJA KWA UMOJA.
@bitishoriziki55852 ай бұрын
Jambo mbona muna tuchanganya njamani upendo nawapenda sana ila mujuwe kama siyo wambea tuu wenye kufariki tungeli ungana sote waa frica wote I ila ninyi mnaongea luga yenyu tu mnana nakuwa kama muna fanya politics kama muna funguwa utube sio wa bembe tuu Wana ama kuwa sikiliza please muongey luga ya watu wote ni Swahili please Mimi nilifurahia hiyo group ila mna tuchanganya asante ❤❤ 🥰