Рет қаралды 33,805
Mwili wa marehemu Daisle Ulomi aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Disemba 11,2024 na baadae mwili wake kupatikana Disemba 16,2024 Hospitali ya Mwananyamala ukiwa umepata ajali, unatarajiwa kupumzishwa Disemba 20,2024 mkoani Kilimanjaro.
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio