Tena nimefurahi afungiwe tu, Athunani Kazi kipyenga cha mwisho aliichambua daby akasema tulinyimwa penaty mbili na gori moja kukataliwa mtatuambia nini nyie
@SuparSurb2 сағат бұрын
Huyu anatumwa na TFF kuhujumu simba
@husseinkonz5192Сағат бұрын
Refa-kiaz-sana
@roberttendewa175312 сағат бұрын
Fc malalamiko mnataka ni nyi tu mpewe kumbuka Azamu na mechi iliofuara mlibebwa
@joelmichael97524 сағат бұрын
Hapa namsikiliza Kanyoko au nakusikiliza wewe mwandishi?Mpuuzi wewe huna jipya unaganga tu njaa.
@saijizeСағат бұрын
shida ya soccer la Tanzania lazima anayefungwa atafute lawama Kwa refaree
@MilloWamilonga-ft8ir5 сағат бұрын
Anaomba radhi kwa chombo kipi? Mbona unaongea wewe tu hatumsikii huyo kachoko mwenyewe?
@Josenyirandagijimanz32 минут бұрын
Kanyoko
@eddiemwangaraba92892 сағат бұрын
kumfungiwa kayoko sio sababu wangekuwa wanazipoka hizo point wanazopata ili nawao iwaume
@MzeeHassan-t7y2 сағат бұрын
Hakutimiza haki ndicho kilichomkuta. Tz hatuna waamuzi wakimataifa.
@HussenMadimbwala7 сағат бұрын
Hauna lolote haufai wakufumgie tuu
@saranduruma79907 сағат бұрын
Ww Regina acha usenge mpumbavu ww unajua nn au unaleta unaatu
@HawaMkomwele6 сағат бұрын
Hana lolote afungiwe tu na hatutaki achezeshe mechi za simba hatumtaki afungiee akashangilie vzr nje ya kazi yake
@EMMANUELLYABANGI6 сағат бұрын
Sio onyo tu, fanyeni mpango wa kuwa inapotokea hivyo, bas timu zigawane point mana adhabu kwa refa wakati timu imejipatia point zisizo halali haifai
@KhalfanSaeed-b5c9 минут бұрын
Wew ukion koxa sema man ajzuilwa mtu kutow maon yke mbna mwenyew anaomb msamah kwmba kakosea
@ChachaJuma-vs2zz57 минут бұрын
Mulinyimwa wap
@abbassmshaury75723 сағат бұрын
kama hajakosea kwanini anaomba radhi?
@mohdkhatib2232 сағат бұрын
Hata ulaya makosa yanafanyika na ndio maana kuna VAR, Na makosa yalitokea kwa pande zote kwa simba na yanga
@RamadhanMohamedi-j3d2 сағат бұрын
Mbona goli la simba vs prison mbona hamujadiri?
@ShukuruGumbo5 сағат бұрын
Yan mm ungekuwa karibuyangu ww ningekukamua kayoko faraww
@reginaldmapunda67027 сағат бұрын
Hao wazee wangekuwa sahihi kama wangeandikia TFF barua ya kukataa magoli ya Simba kwenye mechi ya Azam na Simba. Wazee gani wanakuwa wabaguzi kwa kiwango hiki. Nao azam walionewa sana na hao wazee wamekaa kimya. Hao sio wazee, hao ni makolo wazee na huwa wakifungwa wanalopoka kama wamevutishwa.
@HawaMkomwele6 сағат бұрын
Huelewi wewe unadhami Azam hawana wazee? Kama wangeonewa wangesema sasa unasemaje wazee ea Simba wangekataa magoli ya Simba na Azam kwakuwa walionewa sana Azam unelewa ulichoandika lkn?
@reginaldmapunda67026 сағат бұрын
@@HawaMkomwele Huu ubishi wenu ndio nimesema mtaendelea kukandwa mpaka mtakapo kubali kuwa tatixo ni la kwenu. Kama marefa wanapokea Rushwa na ninyi wapeni hiyo pesa kwani MO hana pesa na TFF yote ni Simba si muitumie . Nyie mkubali kauli yenu kuwa bado mnajenga timu na acheni visingizio na kutafuta mchawi nje ya ninyi wenyewe.
@MilloWamilonga-ft8ir5 сағат бұрын
Punguza ukuma wewe mtoto wa kiume. Mambo ya soka huyaelewi Acha kurukia rukia usichokijua.
@mohamedomary-k2h4 сағат бұрын
Punguza mapenzi ya kungun wewe mtoto wa kiume chura wewe vaa yebo yebo zako utopolo wewe
@reginaldmapunda67024 сағат бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir Kama unayaelewa msingefungwa mfululizo na kulalamika kila mechi Mnachokielewa ni kilalamika tu. Tunaoujua mpira tumenyamaza kimyaaaaaa.
@AjaraSaidi6 сағат бұрын
Wazee ni babako mshenzi wewe
@PAJEROSEKEYAN4 сағат бұрын
Kayoko angefungiwa moja kwa moja Kuna la Mana yake
@eddiemwangaraba92893 сағат бұрын
kayoko si mara ya kwanza kwa kuwanyima penalty simba hata derby ya mzizima ilikuta simba na Azam makosa ni yaleyale pia Kuna match ilichezagwa baina ya Azam na yanga mpira ulitoka nje Morison akaurudisha ndani lakini mwamuzi huyo huyo kayoko akawapa ushindi yanga ikawa yanga 2 na Azam 1 kwa hiyo aliishia zoea kuibeba yanga
@mohdkhatib2232 сағат бұрын
Kayoko huyo huyo ndo aliekuzawadieni magoli mawili ya offside zidi ya Azam.
HAPO NDIPO MTAWAJUA YANGA MTAPIGWA KILA MECHI ....SIMBA KERERE ZA NN ? MECHI 4 MMEPIGWA NA YANGA GOLI 9 BADO MNAMLALAMIKIA KAYOKO ? AMUONI AIBU ?
@fabianmattaba34657 сағат бұрын
Mtoa post hiyo barua ya Kayoko amekuletea wewe au unatuongopea. Hata hivyo unapoandika eti kubaze unatupotosha na kuharibu kiswahili ww kama mwandishi. Kwa nini usitumie angalau hata neno kuegemea au kupendelea?