Msondo Ngoma Band Piga Ua Talaka Utatoa Official Video

  Рет қаралды 1,559,979

Africha Entertainment

Africha Entertainment

Күн бұрын

Пікірлер: 307
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 Жыл бұрын
Ya kale ni dhahabu. Pumzikeni kwa amani wazee wetu watunzi mahiri na waimbaji wazuri kwa mafunzo mengi mliyotupa kwenye nyimbo zenu.
@allykindamba9800
@allykindamba9800 2 жыл бұрын
Gitaa la mzee Mabela🙌🙌
@jacksaid
@jacksaid Жыл бұрын
Nostalgia, wazee pumzikeni kwa amani. I ❤ your songs sababu ni mafunzo tupu. From Congo
@zulachama1067
@zulachama1067 Жыл бұрын
2023 wana msondo ngoma band nawasalimu nyote mlohai na walotutangulia mbele za haki mungu hawarehemu mahala pema peponi mzee wetu, nawapenda sana zilipendwa na zika pendeka kupendeza.watching from mombasa kenya
@tatuissa1571
@tatuissa1571 3 жыл бұрын
Mungu awalaze mahari pema peponi amen kwa xababu hawata tokea wazee wet ujumb mzur Kama huu wa hawat tokea kabixa
@joelnassari105
@joelnassari105 7 жыл бұрын
Best Band in Tanzania. ..R.I.P Msondo Legendary. ..Tx Moshi. ..Gurumo na wengne waliotangulia Mbele za haki tunawaombea, Mwenyenzi Mungu awape pumziko jema.
@allykisamfu8517
@allykisamfu8517 5 жыл бұрын
31/12/2019
@barikomrisho7842
@barikomrisho7842 Жыл бұрын
Mungu awape pepo njema huko mbele ya haki mliko
@johnjoseph7363
@johnjoseph7363 8 жыл бұрын
kwa kweli mungu awangazie mwanga wa milele hawa ndg zetu wa msondo ngoma music kwa kututangulia mbele ya haki,hakika tunaheshimu sana kazi zao na tunazikumbuka sana
@saidali1611
@saidali1611 7 жыл бұрын
John Joseph @
@saidali1611
@saidali1611 7 жыл бұрын
kweli walikua juu sana mpaka leo hakuna kama msondo
@sadialex9402
@sadialex9402 3 жыл бұрын
Mungu huyu basi bwana
@mussadominick2930
@mussadominick2930 5 жыл бұрын
Msondoo ngomaaa 100% hakuna kama ninyi mliotangulia MUNGU awapumzishe mahala panapositahili
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 Жыл бұрын
Daaah kuna mzee ukimuewekea hizi nyimbo analia vibaya jamani OLD IS GOLD 🙌
@mecksonlongole6034
@mecksonlongole6034 Жыл бұрын
Huu ndiyo Muziki unaokupa full package yaani unaelimika na kuburudika
@radhiarajabu5183
@radhiarajabu5183 8 жыл бұрын
kwa kweli msondo ngoma kiboko yao hakuna kama msondo
@kelvinkyando6122
@kelvinkyando6122 7 жыл бұрын
mambo
@dr.willyshearonlinetv8396
@dr.willyshearonlinetv8396 6 жыл бұрын
kelvin kyando poa
@albilalisssa546
@albilalisssa546 5 жыл бұрын
Vipi uko poa ww unaishi wapi kwani
@KasibanteTonny-xo3dr
@KasibanteTonny-xo3dr Жыл бұрын
Otu jazz.pongezi tele kwa music wenu bora.Asante sana kwa kuburudisha inchi zetu africa mashariki.
@sierraminingltd1590
@sierraminingltd1590 3 жыл бұрын
Ukisikia nyimbo zenye kufundisha nihizi sasa sio vijana wasasa wanaimba wameshiklia suruali kwachini nyimbo matusi matupu. Well done Msondo Ngoma
@MPUA-u6f
@MPUA-u6f 3 ай бұрын
Daaa hawa watu wamenikumbusha mbali sana nimefurahi sana
@samsondecoman983
@samsondecoman983 4 жыл бұрын
Msondo wosia wenu kwasasa unatufaa sana sisi vijana Wa 2020 hata baadhi yawazee wasasa wamepoteza ladha. Ewe mwenyezi uwape pumziko tulivu.
@zubedasaid5962
@zubedasaid5962 6 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo haziwezi potea , sio hizo za vijana wasasa, we underrate our old musics
@samwelimayauka2899
@samwelimayauka2899 Жыл бұрын
Umesaport
@gilbertlusiji
@gilbertlusiji 5 ай бұрын
Njoo uluyani kenya na msondo ngoma uchekwe
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 4 ай бұрын
Unamaanisha nini?
@shebathutajirishohalisihal2458
@shebathutajirishohalisihal2458 5 жыл бұрын
Well well goon sana kutuletea hizi nyimbo .naomba ule wimbo unaosema .ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo.
@thomaskasura7333
@thomaskasura7333 4 жыл бұрын
Mabera toka 1972 mpaka leo msondo na roman1982 wapo nakumbuka mbali sana Central bar kibaha bado npo primary RIP mliotangulia
@samuelbyser5105
@samuelbyser5105 3 жыл бұрын
Nyimbo zuri san hii ina mafunzo mazuri sana tutakukumbuka sana legendary wetu
@ahmedyissa4777
@ahmedyissa4777 Жыл бұрын
😢😢 nyimbo nzuri mno
@othumanally4529
@othumanally4529 Жыл бұрын
Hiijawahi kutokea walllah! Na haitatokea kwa kuwa na wataalamu kama hao wa Kitanzania. Walitisha na walilitikisa jiji.
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 Жыл бұрын
Safi sana ujumbe mzuri
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 5 жыл бұрын
Dah baba zangu mungu awalaze mahali pema peponi emen
@prosperhosea7966
@prosperhosea7966 5 жыл бұрын
Zilipendwa miziki sijaona kama inaupinzani kwasasa kwa upigaji mziki na kujipanga Ongereni sana wazee wetu maana ni nyimbo zilikua na maana
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 Жыл бұрын
Kuanzia mashairi, upigaji,uimbaji,uchezaji,vyote ni burudani ,bado tunawakumbuka mlituburudisha sana enzi zenu ,ila jamani huyu mpiga guitar, analicharaza kwelikweli,nimempenda sana,hivi bado yupo hai?06.01.24.bado nasikiliza.
@dottokondo7299
@dottokondo7299 5 жыл бұрын
Mungu awa rehemu mlio tutangulia jamani ila msondo mlikua kiboko yao
@robertrobert725
@robertrobert725 4 жыл бұрын
Zakale nidhabu kwakweli kwenye bandi hiii sinaga swali na waliotangulia mungu awaweke mahali pema
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 5 жыл бұрын
Kwa Tanzania bado hawajatokea kama nyinyu hakika msondo mlikua the best pumziken kwa aman wote mliotangulia TX MOSH WILLIAM &NGURUMO &MAINA &SULEMAIN MBWEMBWE
@jamesrobert8890
@jamesrobert8890 3 жыл бұрын
Ngoma safi sana rest in peace mzee ngurumo na TX moshi William na wengine wote wana msondo ngoma kiukweli mlikua faraja ya watanzania mziki mliuweza sana hongereni sana kwa hilo.
@allykassim9826
@allykassim9826 6 жыл бұрын
Sep 2018. Siamini macho yangu. Jopo zima la wanaoimba hapo wamefariki dunia. Mungu wasamehe makosa yao na uwahifadhi. Amin.
@abedhamza4653
@abedhamza4653 2 жыл бұрын
Hilo solo la dk mabera sio mchezo
@Isaac-vm5mi
@Isaac-vm5mi Жыл бұрын
Inanikumbusha kitambo kweli
@priscafidelic9074
@priscafidelic9074 5 жыл бұрын
Kwan hii nyimbo ya mwaka gan mana naisi cjui ckuzaliwa au nilizaliwa Nilikua mdogo sana nimeipenda
@ramadhanabas4455
@ramadhanabas4455 4 жыл бұрын
Huu wimbo ni wa mwaka 2004.
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Seleman mbwembwe; Tx moshi na Kamanda Gurumo tutawakumbuka daima
@tatumpita6284
@tatumpita6284 4 жыл бұрын
Na Othman momba
@brunoamir355
@brunoamir355 3 жыл бұрын
Duh huyu ndo mungu anachukua chake kwa muda alopanga
@MariamMussa-y3i
@MariamMussa-y3i 3 ай бұрын
Nawakubal sana mungu awahepushe na adhab ya kabr
@angelovalentine-kc6cy
@angelovalentine-kc6cy 2 ай бұрын
Safi ssnaa
@shabanfungameza
@shabanfungameza 2 жыл бұрын
Hizo ndizo nyimbo za hekima dah mungu awalaze mahara. Pema amin
@ZingaSefu
@ZingaSefu Ай бұрын
Kweli nyimbo hizi nikisiliza nafurai
@abdallahmtosa6979
@abdallahmtosa6979 2 жыл бұрын
Inshaallah Mola awape kauli thabiti.
@kassimulait7919
@kassimulait7919 5 жыл бұрын
Kiukwel zamani kulikua na jumbe nzr sana kiukwel
@zidanzidani2344
@zidanzidani2344 2 жыл бұрын
Kitambo sana wap robert mshana Eng Jacob
@katibatanzania3089
@katibatanzania3089 4 жыл бұрын
Izi ndiyo nyimbo za kuelimisha mana azina natusi wala azichakayi kuliko za vijana wetu wa ss azielimishi ni kupotosha tu bado mko vizuri
@tobiasimussamuna1510
@tobiasimussamuna1510 3 жыл бұрын
ama kweli ya kale ni dhahabu ina mafundisha kwenye maisha kuna wengine imewakuta
@elivtv.baseafrica3988
@elivtv.baseafrica3988 6 жыл бұрын
Nimeangaria uu wimbo nimekukumbuka bibi ang Upumzike kwa amani bibi ang kipenz nimekukumbuka
@MilachemTanzania
@MilachemTanzania 2 ай бұрын
R.I.P wote waliotangulia mbele za aki waimbaji wa Ott Jazz Band ..Msondo Ngoma ...I remember Waziri Dewa mzee wa Yangaa atr pumzika kwa Aman mwamba.
@jumakitwikj5586
@jumakitwikj5586 4 жыл бұрын
Nngurumo na moshi nawakumbuka sana awa waze
@tonnykasibante8823
@tonnykasibante8823 2 жыл бұрын
Asante sana otu jazz.Mmenikumbusha maneno mengi kwa wimbo wenyu.
@jumbeomari3044
@jumbeomari3044 7 жыл бұрын
Kweli kijana wangu mashaka lunyombe hilo ni dongo waziwazi la bichuka maana izi band vijembe vingi wasababishaji ni bichuka na shabani dede ao ndio magwiji wa kuahama hama kidogo na hussein jumbe.
@nawihadj6674
@nawihadj6674 6 жыл бұрын
wanangu nyieee toka mdogoo nawakubari cz jumbe zenu zinaishi milele ,kazi zenu nzur snaa baba zngu
@omarkhamis3909
@omarkhamis3909 2 жыл бұрын
Hizi ndio ngoma zakusikiliza ambazo Zina mafundisho sio zasasa nyimbo matusi matupu
@ramadhaniramadhani0602
@ramadhaniramadhani0602 9 ай бұрын
Who is still watching 2024🎉 old is gold❤
@ZingaSefu
@ZingaSefu Ай бұрын
❤kweli nimbo zao zinailimishajamii
@ZingaSefu
@ZingaSefu Ай бұрын
Zinga seifu manza bey Willa mkinga
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 2 жыл бұрын
Mziki ndio ingekuwa kufundisha maisha vijana
@kidukujaki3187
@kidukujaki3187 4 ай бұрын
Nakubali sana lispect
@ambroselugezi2187
@ambroselugezi2187 7 ай бұрын
Mziki wa kweli. Safi sana
@sadickndembo6642
@sadickndembo6642 6 жыл бұрын
Kumbuka baba angu alikua anawapenda
@zakariajoseph9435
@zakariajoseph9435 9 жыл бұрын
Nawakubal sana waliobaki mjitahid Sana
@amanothmanhamimu1174
@amanothmanhamimu1174 3 жыл бұрын
Best of msondo ngoma
@mashakalunyombe2087
@mashakalunyombe2087 7 жыл бұрын
msondo kamili iyo na message hii niliambiwa na mtaalam wa mambo aya mhe j mpalasinge kuwa hilo ni dongo alikuwa anapelekewa hsn rehani bichuka nae kupitia ddc akajibu nyimbo inaitwa tende harua harua
@emanuelmaingo9833
@emanuelmaingo9833 6 жыл бұрын
mashaka lunyombe Hapo
@HappyNyagawa-hh6rr
@HappyNyagawa-hh6rr 3 ай бұрын
Wimbo naupenda huu
@samuelaleixo5247
@samuelaleixo5247 2 жыл бұрын
Nikisikiliza music huu nakumbuka malemu baba
@NorbertChale
@NorbertChale 11 ай бұрын
Nakumbuka mbali jamani dar
@angelskihaga8872
@angelskihaga8872 20 күн бұрын
Nimekuja huku kuisikiliza baada ya kutoka mahakamani kudai talaka😅.... anyone here Jan 2025.....like zangu
@RaiderTube
@RaiderTube 5 күн бұрын
Hee wewe 😂
@RaiderTube
@RaiderTube 5 күн бұрын
Kulala njaa siku moja tu umeenda kudai talaka 😢
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Ukweli utabaki ukweli hakika msondo ni baba lao
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Tunajikumbusha maisha kitu huna badhi wala vazi lakini mtu unakuwa na furaha kwani kulikuwa hakuna malumbano watu walikuwa wanajuwa maisha hivi sasa ni ubinafsi tu kila mtu ana lake
@zittotv9972
@zittotv9972 5 жыл бұрын
Huyu mzsee kwakucharaza gitaaaa nishiiiidaaaaaaaaa
@brunoamir355
@brunoamir355 3 жыл бұрын
Mwendo mmemaliza wengine wapo good old is gold
@MwajanjaPaul
@MwajanjaPaul 5 ай бұрын
msondo. ngoma baab kubwa
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 5 жыл бұрын
Ilikua kama team ya france ya 98 ya zidane...hatareeeeeee
@mitchy408
@mitchy408 9 жыл бұрын
Nimekua sina raha hapa nyumbani., kila siku maneno yako mama hayaishi..
@gurutazishemboko6315
@gurutazishemboko6315 7 жыл бұрын
uko wapi wee
@gurutazishemboko6315
@gurutazishemboko6315 7 жыл бұрын
0622501048
@johnmbwilo3118
@johnmbwilo3118 7 жыл бұрын
Mwanamisi kweli kbs mwana vip lkn mzm
@gaspernyambo7842
@gaspernyambo7842 6 жыл бұрын
Mwanamisi mstari mtamuu huo wallahi
@michaelmanyilizu3259
@michaelmanyilizu3259 5 жыл бұрын
Mwanamisi hahahahaaaa unakknbsha mbali xanaeeee
@emmanuelmwanza6963
@emmanuelmwanza6963 2 жыл бұрын
sema dunian tunapita yan huu wimbo nikiusikiaga tu sehemu unapgwa machozi.huwa yananitoka,,huyu mtot mnenguaji cjui saiv anaisha gani nw2023
@machanoalawi9833
@machanoalawi9833 5 жыл бұрын
Nikisiliza moyo wangu unatulia nyimbo kama wanayaona yanayo tokea mtaani
@mbiyugobo1031
@mbiyugobo1031 9 жыл бұрын
zakaria hawaliobaki hawezi kufikia hii musondo kama hii
@mwaramilukando3782
@mwaramilukando3782 5 жыл бұрын
Adireo 2o19 ujumbe mpya
@musawaziri860
@musawaziri860 Жыл бұрын
Kazi mzuri sana
@abubakarlipululu3311
@abubakarlipululu3311 5 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana
@tyronsweya4751
@tyronsweya4751 4 жыл бұрын
Wakenya tuko hapa kweli
@bakarisechala4951
@bakarisechala4951 5 жыл бұрын
Hivi vyuma vingekuwepo mziki wa dans ungebaki kwenye nafasi yake
@samsondecoman983
@samsondecoman983 4 жыл бұрын
Mabela mbaka Leo unapeta, mungu akulinde.
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 4 жыл бұрын
nae tayari ameenda bana😭😭😭😭
@jumannehamis8699
@jumannehamis8699 4 жыл бұрын
Tam tam band kilio cha mtu mzima
@carolynemkutano8086
@carolynemkutano8086 Жыл бұрын
Zama zetu aki hadi raha
@maimunakassim2840
@maimunakassim2840 3 жыл бұрын
Hii ndio miziki bhana 2021 twende sawa hapa
@adamali438
@adamali438 4 жыл бұрын
Hahaaaa nakupa talaka kwa shingo upande
@VictorJoseph-u5c
@VictorJoseph-u5c 2 ай бұрын
Pumuzika kwa amani kamanda.
@simiyudennis88
@simiyudennis88 6 жыл бұрын
Musondo hooooyee.
@lulemdoe5686
@lulemdoe5686 6 жыл бұрын
vijana wao wajikaria uchi Nakuimbanyimbo zamatusi
@dicksonmatekere6950
@dicksonmatekere6950 6 жыл бұрын
Hatariiiiii
@obillaezra6205
@obillaezra6205 3 жыл бұрын
Ni Nyimbo za Mwisho mwisho kupigwa wakiwa wote” Duh Mabera Mwana Kigoma, Momba, TX Moshi, Mahina’ Gurumo, Hakika Watanzania bado Wanawakumbuka”
@aishamzonge457
@aishamzonge457 2 жыл бұрын
walale mahala pema peponi hawa watu hakika waliifanya kazi yao vizuri sana May, 2022 gonga like
@jovinjoseph4887
@jovinjoseph4887 2 жыл бұрын
Kutengana kwenu kusiwe chanzo cha uhasama.
@KasibanteTonny-xo3dr
@KasibanteTonny-xo3dr Жыл бұрын
Kutengana kwenu kusiwe chanzo cha uhasama.....
@HABILAIJurio
@HABILAIJurio Жыл бұрын
Baba la muziki❤
@jumammbaga9974
@jumammbaga9974 9 ай бұрын
Nyimbo zote za wasafi na kile kituo chao cha kurushia matangazo yao na watangazi wote ni nyimbo moja ya walimwengu
@gift_mashati
@gift_mashati Ай бұрын
MNAOSIKILIZA HII NGOMA 2060 MTUOMBEE KAMA ITATOKEA MWENDO TUMEUMALIZA
@denismasele4130
@denismasele4130 4 күн бұрын
Tunawaombea huko mlipo😢❤
@kumbukababu9454
@kumbukababu9454 7 жыл бұрын
hataree sana hii kitu
@gurutazishemboko6315
@gurutazishemboko6315 7 жыл бұрын
wacha unakumbuka hapo
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 9 ай бұрын
Nyimbo za kizaz cha leo ni uchafi tu
@yoctanchandaromediarevolve9483
@yoctanchandaromediarevolve9483 4 жыл бұрын
2021tunaingia na msondo gonga like kama unakubaliii
@dr.willyshearonlinetv8396
@dr.willyshearonlinetv8396 6 жыл бұрын
napenda sana miziki aina hii maana inafundisha na haichuji milele
@petertosha4954
@petertosha4954 4 жыл бұрын
Kweli ya kale ni zahabu
@lilianmakwati5228
@lilianmakwati5228 2 жыл бұрын
Zinanikumbusha mbali mno hizi nyimbo
@ihanomadili
@ihanomadili Жыл бұрын
Udongo huu unameza wengi
@olsvardonegredo5650
@olsvardonegredo5650 3 жыл бұрын
Old Is Gold Pumzken Kwa Aman
@robertmussa4542
@robertmussa4542 6 жыл бұрын
Kwamungu kila got ripigwa mupumuzike kwa amani.
@kassimghajih5186
@kassimghajih5186 5 жыл бұрын
Na burudika saana ngoma hiz
Msodo Ngoma Music Band Kazamoyo Official Video
9:35
Africha Entertainment
Рет қаралды 409 М.
Les Wanyika - Amigo Lyrics
8:25
Urban Isaacs
Рет қаралды 207 М.
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Msondo Ngoma Music Band - Ajali (Official Video)
9:06
Tunes Of Africa
Рет қаралды 1,1 МЛН
Rangi ya Chungwa
9:11
Bongo Records
Рет қаралды 169 М.
Nguza Viking ( Field Marshall )   Kadiri Kansimba Official Audio
7:59
Field Marshall Nguza
Рет қаралды 8 М.
Hussein Jumbe-Nachechemea
7:17
Idd Selemani
Рет қаралды 631 М.
Ottu Jazz Band - Mwanamkiwa (Official Video)
10:28
Tunes Of Africa
Рет қаралды 464 М.
Mtu Pesa
10:15
African Stars Band - Topic
Рет қаралды 47 М.
FADHILA KWA WAZAZI-MCHINGA SOUND
8:06
DANSI YETU
Рет қаралды 208 М.
Msondo Ngoma Band Ndugu Hatuelewani Official Video
9:02
Africha Entertainment
Рет қаралды 482 М.
Msondo Ngoma Music Band Cheusi Magala Official Video
9:56
Africha Entertainment
Рет қаралды 839 М.
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН