No video

Msondo Ngoma Band Piga Ua Talaka Utatoa Official Video

  Рет қаралды 1,455,288

Africha Entertainment

Africha Entertainment

10 жыл бұрын

Пікірлер: 282
@ramadhaniramadhani0602
@ramadhaniramadhani0602 3 ай бұрын
Who is still watching 2024🎉 old is gold❤
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 7 ай бұрын
Ya kale ni dhahabu. Pumzikeni kwa amani wazee wetu watunzi mahiri na waimbaji wazuri kwa mafunzo mengi mliyotupa kwenye nyimbo zenu.
@zulachama1067
@zulachama1067 Жыл бұрын
2023 wana msondo ngoma band nawasalimu nyote mlohai na walotutangulia mbele za haki mungu hawarehemu mahala pema peponi mzee wetu, nawapenda sana zilipendwa na zika pendeka kupendeza.watching from mombasa kenya
@user-sx3id3rv8l
@user-sx3id3rv8l 6 ай бұрын
Any one 2024👁️👁️👁️
@Smailmudabado
@Smailmudabado 6 ай бұрын
Like me❤
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 жыл бұрын
2021 kwa uwezo wa Mungu natizama hii, gonga LIKE kama tupo pamoja
@tatuissa1571
@tatuissa1571 2 жыл бұрын
Mungu awalaze mahari pema peponi amen kwa xababu hawata tokea wazee wet ujumb mzur Kama huu wa hawat tokea kabixa
@zubedasaid5962
@zubedasaid5962 6 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo haziwezi potea , sio hizo za vijana wasasa, we underrate our old musics
@samwelimayauka2899
@samwelimayauka2899 Жыл бұрын
Umesaport
@yoctanchandaromediarevolve9483
@yoctanchandaromediarevolve9483 3 жыл бұрын
2021tunaingia na msondo gonga like kama unakubaliii
@jacksaid
@jacksaid 9 ай бұрын
Nostalgia, wazee pumzikeni kwa amani. I ❤ your songs sababu ni mafunzo tupu. From Congo
@joelnassari105
@joelnassari105 7 жыл бұрын
Best Band in Tanzania. ..R.I.P Msondo Legendary. ..Tx Moshi. ..Gurumo na wengne waliotangulia Mbele za haki tunawaombea, Mwenyenzi Mungu awape pumziko jema.
@allykisamfu8517
@allykisamfu8517 4 жыл бұрын
31/12/2019
@mussadominick2930
@mussadominick2930 5 жыл бұрын
Msondoo ngomaaa 100% hakuna kama ninyi mliotangulia MUNGU awapumzishe mahala panapositahili
@mashakalunyombe2087
@mashakalunyombe2087 6 жыл бұрын
msondo kamili iyo na message hii niliambiwa na mtaalam wa mambo aya mhe j mpalasinge kuwa hilo ni dongo alikuwa anapelekewa hsn rehani bichuka nae kupitia ddc akajibu nyimbo inaitwa tende harua harua
@emanuelmaingo9833
@emanuelmaingo9833 6 жыл бұрын
mashaka lunyombe Hapo
@dottokondo7299
@dottokondo7299 4 жыл бұрын
Mungu awa rehemu mlio tutangulia jamani ila msondo mlikua kiboko yao
@geraldbenjamin9302
@geraldbenjamin9302 3 жыл бұрын
Kuanzia Dakika ya tano tunaachana na ujumbe tunzaanza kuburudika na vyombo vya mziki. Kidogo tu, Kidogo eeeh, Kidogo tu, msondo ngoma, Kidogo tu heeee!/Anacheeeeeka
@sezarialfred6240
@sezarialfred6240 5 жыл бұрын
Moshi pumzika sulema pumzika, ngurumo,pumzika,
@obillaezra6205
@obillaezra6205 3 жыл бұрын
Ni Nyimbo za Mwisho mwisho kupigwa wakiwa wote” Duh Mabera Mwana Kigoma, Momba, TX Moshi, Mahina’ Gurumo, Hakika Watanzania bado Wanawakumbuka”
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 Жыл бұрын
Nipo Senegal 🇸🇳 nasikilinza music 🎶 wanyumbani siku ya uhuru Tanzania 🇹🇿 mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 9mwenzi 12 2022 .Africa
@omarkhamis3909
@omarkhamis3909 2 жыл бұрын
Hizi ndio ngoma zakusikiliza ambazo Zina mafundisho sio zasasa nyimbo matusi matupu
@barikomrisho7842
@barikomrisho7842 Жыл бұрын
Mungu awape pepo njema huko mbele ya haki mliko
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 7 ай бұрын
Kuanzia mashairi, upigaji,uimbaji,uchezaji,vyote ni burudani ,bado tunawakumbuka mlituburudisha sana enzi zenu ,ila jamani huyu mpiga guitar, analicharaza kwelikweli,nimempenda sana,hivi bado yupo hai?06.01.24.bado nasikiliza.
@jumbeomari3044
@jumbeomari3044 6 жыл бұрын
Kweli kijana wangu mashaka lunyombe hilo ni dongo waziwazi la bichuka maana izi band vijembe vingi wasababishaji ni bichuka na shabani dede ao ndio magwiji wa kuahama hama kidogo na hussein jumbe.
@johnjoseph7363
@johnjoseph7363 7 жыл бұрын
kwa kweli mungu awangazie mwanga wa milele hawa ndg zetu wa msondo ngoma music kwa kututangulia mbele ya haki,hakika tunaheshimu sana kazi zao na tunazikumbuka sana
@saidali1611
@saidali1611 6 жыл бұрын
John Joseph @
@saidali1611
@saidali1611 6 жыл бұрын
kweli walikua juu sana mpaka leo hakuna kama msondo
@sadialex9402
@sadialex9402 3 жыл бұрын
Mungu huyu basi bwana
@elivtv.baseafrica3988
@elivtv.baseafrica3988 6 жыл бұрын
Nimeangaria uu wimbo nimekukumbuka bibi ang Upumzike kwa amani bibi ang kipenz nimekukumbuka
@radhiarajabu5183
@radhiarajabu5183 7 жыл бұрын
kwa kweli msondo ngoma kiboko yao hakuna kama msondo
@kelvinkyando6122
@kelvinkyando6122 6 жыл бұрын
mambo
@dr.willyshearonlinetv8396
@dr.willyshearonlinetv8396 6 жыл бұрын
kelvin kyando poa
@albilalisssa546
@albilalisssa546 5 жыл бұрын
Vipi uko poa ww unaishi wapi kwani
@emmanuelmwanza6963
@emmanuelmwanza6963 Жыл бұрын
sema dunian tunapita yan huu wimbo nikiusikiaga tu sehemu unapgwa machozi.huwa yananitoka,,huyu mtot mnenguaji cjui saiv anaisha gani nw2023
@thomaskasura7333
@thomaskasura7333 4 жыл бұрын
Mabera toka 1972 mpaka leo msondo na roman1982 wapo nakumbuka mbali sana Central bar kibaha bado npo primary RIP mliotangulia
@samsondecoman983
@samsondecoman983 4 жыл бұрын
Msondo wosia wenu kwasasa unatufaa sana sisi vijana Wa 2020 hata baadhi yawazee wasasa wamepoteza ladha. Ewe mwenyezi uwape pumziko tulivu.
@priscafidelic9074
@priscafidelic9074 4 жыл бұрын
Kwan hii nyimbo ya mwaka gan mana naisi cjui ckuzaliwa au nilizaliwa Nilikua mdogo sana nimeipenda
@ramadhanabas4455
@ramadhanabas4455 4 жыл бұрын
Huu wimbo ni wa mwaka 2004.
@shabanfungameza
@shabanfungameza Жыл бұрын
Hizo ndizo nyimbo za hekima dah mungu awalaze mahara. Pema amin
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 4 жыл бұрын
Seleman mbwembwe; Tx moshi na Kamanda Gurumo tutawakumbuka daima
@tatumpita6284
@tatumpita6284 4 жыл бұрын
Na Othman momba
@prosperhosea7966
@prosperhosea7966 5 жыл бұрын
Zilipendwa miziki sijaona kama inaupinzani kwasasa kwa upigaji mziki na kujipanga Ongereni sana wazee wetu maana ni nyimbo zilikua na maana
@RojaMtembez
@RojaMtembez 3 ай бұрын
Mbilia beli wende
@othumanally4529
@othumanally4529 Жыл бұрын
Hiijawahi kutokea walllah! Na haitatokea kwa kuwa na wataalamu kama hao wa Kitanzania. Walitisha na walilitikisa jiji.
@zakariajoseph9435
@zakariajoseph9435 8 жыл бұрын
Nawakubal sana waliobaki mjitahid Sana
@KasibanteTonny-xo3dr
@KasibanteTonny-xo3dr 6 ай бұрын
Otu jazz.pongezi tele kwa music wenu bora.Asante sana kwa kuburudisha inchi zetu africa mashariki.
@nyerere1259
@nyerere1259 4 жыл бұрын
2020 like apa
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 жыл бұрын
Tupo hapa rahaa sana,vijana wa sasa hivi wanaimba matope tuu Mara iokote sijui mara Amabokoo daah
@jumammbaga9974
@jumammbaga9974 3 ай бұрын
Nyimbo zote za wasafi na kile kituo chao cha kurushia matangazo yao na watangazi wote ni nyimbo moja ya walimwengu
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 4 жыл бұрын
Dah baba zangu mungu awalaze mahali pema peponi emen
@babuchaya1410
@babuchaya1410 3 жыл бұрын
2021 nipeni like zangu wajameni
@peterkallenga5459
@peterkallenga5459 8 жыл бұрын
ni dhahabu
@abdallahmtosa6979
@abdallahmtosa6979 Жыл бұрын
Inshaallah Mola awape kauli thabiti.
@tobiasimussamuna1510
@tobiasimussamuna1510 2 жыл бұрын
ama kweli ya kale ni dhahabu ina mafundisha kwenye maisha kuna wengine imewakuta
@mbiyugobo1031
@mbiyugobo1031 8 жыл бұрын
zakaria hawaliobaki hawezi kufikia hii musondo kama hii
@mwaramilukando3782
@mwaramilukando3782 4 жыл бұрын
Adireo 2o19 ujumbe mpya
@matumbifaustine244
@matumbifaustine244 5 жыл бұрын
jaman nani ako namimi..2019^hapa machozi yananitoka
@robertmussa4542
@robertmussa4542 6 жыл бұрын
Kwamungu kila got ripigwa mupumuzike kwa amani.
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 5 жыл бұрын
Kwa Tanzania bado hawajatokea kama nyinyu hakika msondo mlikua the best pumziken kwa aman wote mliotangulia TX MOSH WILLIAM &NGURUMO &MAINA &SULEMAIN MBWEMBWE
@bakarisechala4951
@bakarisechala4951 5 жыл бұрын
Hivi vyuma vingekuwepo mziki wa dans ungebaki kwenye nafasi yake
@katibatanzania3089
@katibatanzania3089 3 жыл бұрын
Izi ndiyo nyimbo za kuelimisha mana azina natusi wala azichakayi kuliko za vijana wetu wa ss azielimishi ni kupotosha tu bado mko vizuri
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 Жыл бұрын
Safi sana ujumbe mzuri
@Isaac-vm5mi
@Isaac-vm5mi Жыл бұрын
Inanikumbusha kitambo kweli
@mecksonlongole6034
@mecksonlongole6034 6 ай бұрын
Huu ndiyo Muziki unaokupa full package yaani unaelimika na kuburudika
@allykassim9826
@allykassim9826 6 жыл бұрын
Sep 2018. Siamini macho yangu. Jopo zima la wanaoimba hapo wamefariki dunia. Mungu wasamehe makosa yao na uwahifadhi. Amin.
@abedhamza4653
@abedhamza4653 Жыл бұрын
Hilo solo la dk mabera sio mchezo
@robertrobert725
@robertrobert725 4 жыл бұрын
Zakale nidhabu kwakweli kwenye bandi hiii sinaga swali na waliotangulia mungu awaweke mahali pema
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Tunajikumbusha maisha kitu huna badhi wala vazi lakini mtu unakuwa na furaha kwani kulikuwa hakuna malumbano watu walikuwa wanajuwa maisha hivi sasa ni ubinafsi tu kila mtu ana lake
@jumakitwikj5586
@jumakitwikj5586 3 жыл бұрын
Nngurumo na moshi nawakumbuka sana awa waze
@aishamzonge457
@aishamzonge457 2 жыл бұрын
walale mahala pema peponi hawa watu hakika waliifanya kazi yao vizuri sana May, 2022 gonga like
@jddwanzalughendo2287
@jddwanzalughendo2287 3 ай бұрын
Best songs
@sierraminingltd1590
@sierraminingltd1590 2 жыл бұрын
Ukisikia nyimbo zenye kufundisha nihizi sasa sio vijana wasasa wanaimba wameshiklia suruali kwachini nyimbo matusi matupu. Well done Msondo Ngoma
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 Жыл бұрын
Daaah kuna mzee ukimuewekea hizi nyimbo analia vibaya jamani OLD IS GOLD 🙌
@ahmedyissa4777
@ahmedyissa4777 9 ай бұрын
😢😢 nyimbo nzuri mno
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 5 жыл бұрын
Ilikua kama team ya france ya 98 ya zidane...hatareeeeeee
@nawihadj6674
@nawihadj6674 6 жыл бұрын
wanangu nyieee toka mdogoo nawakubari cz jumbe zenu zinaishi milele ,kazi zenu nzur snaa baba zngu
@user-rt4jo5pw1n
@user-rt4jo5pw1n 3 ай бұрын
2024kama kawa
@jamesrobert8890
@jamesrobert8890 3 жыл бұрын
Ngoma safi sana rest in peace mzee ngurumo na TX moshi William na wengine wote wana msondo ngoma kiukweli mlikua faraja ya watanzania mziki mliuweza sana hongereni sana kwa hilo.
@samwelinguru2837
@samwelinguru2837 5 жыл бұрын
Heshima kwenu wapendwa msondo ngoma!!!?, MUNGU awapunguzie adhabu ya kabur!!!!!!!!!!.
@machanoalawi9833
@machanoalawi9833 4 жыл бұрын
Nikisiliza moyo wangu unatulia nyimbo kama wanayaona yanayo tokea mtaani
@sadickndembo6642
@sadickndembo6642 6 жыл бұрын
Kumbuka baba angu alikua anawapenda
@ambroselugezi2187
@ambroselugezi2187 2 ай бұрын
Mziki wa kweli. Safi sana
@samuelbyser5105
@samuelbyser5105 2 жыл бұрын
Nyimbo zuri san hii ina mafunzo mazuri sana tutakukumbuka sana legendary wetu
@festoaidan8955
@festoaidan8955 5 жыл бұрын
Who watch this in 2019
@eliasnicholous1605
@eliasnicholous1605 5 жыл бұрын
Festo wa festo umekubali
@protasbulali2
@protasbulali2 4 жыл бұрын
Hawa ndio walikuwa wanamuziki maana ujumbe wa Kila wimbo usipime
@KasibanteTonny-xo3dr
@KasibanteTonny-xo3dr 6 ай бұрын
Kutengana kwenu kusiwe chanzo cha uhasama.....
@kassimulait7919
@kassimulait7919 4 жыл бұрын
Kiukwel zamani kulikua na jumbe nzr sana kiukwel
@abdallaabdulrahman8319
@abdallaabdulrahman8319 6 жыл бұрын
Hicho ni kijembe alichopigwa Hassan Bichuka baada ya kulazimisha kudai kuondoka kurudi Sikinde
@ferdinandmakore5002
@ferdinandmakore5002 6 жыл бұрын
abdalla abdulrahman hahaha ni kweli upo sahihi.
@shaabannyuge6857
@shaabannyuge6857 5 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka ujumbe huo kwa njia ya muzki
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 4 жыл бұрын
Ni kweli Bichuka alirudi sikinde
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 4 жыл бұрын
Romario kaka endeleza jahazi LA msondo nawapenda sana nyimbo zenu ni darasa tosha
@brunoamir355
@brunoamir355 2 жыл бұрын
Duh huyu ndo mungu anachukua chake kwa muda alopanga
@allykindamba9800
@allykindamba9800 2 жыл бұрын
Gitaa la mzee Mabela🙌🙌
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 4 ай бұрын
Nyimbo za kizaz cha leo ni uchafi tu
@amanothmanhamimu1174
@amanothmanhamimu1174 2 жыл бұрын
Best of msondo ngoma
@godfreymakayula626
@godfreymakayula626 Жыл бұрын
Safi
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 Жыл бұрын
Mziki ndio ingekuwa kufundisha maisha vijana
@aliissa6632
@aliissa6632 5 жыл бұрын
Itabaki store tu ila mziki ndio unapotea tamaduni zetu vijana wa leo wanaiga asili za wazungu tulindeni hadhina ya kitanzania jamani 2019 bado naikubali dhahabu yetu
@shebathutajirishohalisihal2458
@shebathutajirishohalisihal2458 5 жыл бұрын
Well well goon sana kutuletea hizi nyimbo .naomba ule wimbo unaosema .ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo.
@musawaziri860
@musawaziri860 7 ай бұрын
Kazi mzuri sana
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 4 жыл бұрын
Ukweli utabaki ukweli hakika msondo ni baba lao
@user-bg6ld4xk8s
@user-bg6ld4xk8s Жыл бұрын
Mapumziko mema
@jovinjoseph4887
@jovinjoseph4887 Жыл бұрын
Kutengana kwenu kusiwe chanzo cha uhasama.
@maimunakassim2840
@maimunakassim2840 3 жыл бұрын
Hii ndio miziki bhana 2021 twende sawa hapa
@emanuelmtweve3102
@emanuelmtweve3102 8 жыл бұрын
RIP WAPENDWA
@brunomhume740
@brunomhume740 10 ай бұрын
2023🔥🔥🔥
@mitchy408
@mitchy408 8 жыл бұрын
Nimekua sina raha hapa nyumbani., kila siku maneno yako mama hayaishi..
@gurutazishemboko6315
@gurutazishemboko6315 6 жыл бұрын
uko wapi wee
@gurutazishemboko6315
@gurutazishemboko6315 6 жыл бұрын
0622501048
@johnmbwilo3118
@johnmbwilo3118 6 жыл бұрын
Mwanamisi kweli kbs mwana vip lkn mzm
@gaspernyambo7842
@gaspernyambo7842 6 жыл бұрын
Mwanamisi mstari mtamuu huo wallahi
@michaelmanyilizu3259
@michaelmanyilizu3259 5 жыл бұрын
Mwanamisi hahahahaaaa unakknbsha mbali xanaeeee
@samuelaleixo5247
@samuelaleixo5247 Жыл бұрын
Nikisikiliza music huu nakumbuka malemu baba
@kumbukababu9454
@kumbukababu9454 7 жыл бұрын
hataree sana hii kitu
@maletamamudomaleta5674
@maletamamudomaleta5674 6 жыл бұрын
Kumbuka Babu musiki wa wazee wazima tuufagilie maleta
@brunoamir355
@brunoamir355 2 жыл бұрын
Mwendo mmemaliza wengine wapo good old is gold
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 Жыл бұрын
Siwachokiii
@user-on3lu7tj3f
@user-on3lu7tj3f 9 ай бұрын
Baba la muziki❤
@user-yc1ih3sl6r
@user-yc1ih3sl6r 6 ай бұрын
Nakumbuka mbali jamani dar
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@tonnykasibante8823
@tonnykasibante8823 2 жыл бұрын
Asante sana otu jazz.Mmenikumbusha maneno mengi kwa wimbo wenyu.
@abubakarlipululu3311
@abubakarlipululu3311 5 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 4 ай бұрын
Nyimbo za zaman had leo zinatamba
@jumannehamis8699
@jumannehamis8699 3 жыл бұрын
Tam tam band kilio cha mtu mzima
Ottu Jazz Band Kilio Cha Mtu Mzima Official Video
9:14
Africha Entertainment
Рет қаралды 1,3 МЛН
Mbaraka Mwinshehe - Mtaa Wa Saba
8:53
Steve Baughman
Рет қаралды 2,9 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 62 МЛН
Msodo Ngoma Music Band Kazamoyo Official Video
9:35
Africha Entertainment
Рет қаралды 229 М.
Hussein Jumbe-Nachechemea
7:17
Idd Selemani
Рет қаралды 585 М.
Awena
6:13
Kassim Mganga
Рет қаралды 50 М.
Mtaji wa Masikini - Banza Stone & TOT
10:34
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 29 М.
Rangi ya Chungwa
9:11
Bongo Records
Рет қаралды 44 М.
Msondo Ngoma Music Band Cheusi Magala Official Video
9:56
Africha Entertainment
Рет қаралды 762 М.
Msondo Ngoma Music Band - Ajali (Official Video)
9:06
Tunes Of Africa
Рет қаралды 1 МЛН
Ottu Jazz Band - Ndoa Ndoano
9:40
Power Nguzo
Рет қаралды 295 М.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН