Msondo Ngoma Music Band Cheusi Magala Official Video

  Рет қаралды 840,275

Africha Entertainment

Africha Entertainment

Күн бұрын

Africa's oldest band Msondo Ngoma Band. Msondo Ngoma Music Band (formerly known as NUTA Jazz Band, renamed Juwata Jazz Band, and then OTTU Jazz Band) is an influential and long-lived Tanzanian muziki wa dansi (Bongo Dansi). Having been established in 1964, it is the oldest active dansi band in Tanzania as well in Africa. The band began in 1964 and was originally named "NUTA Jazz Band", after its sponsor, the National Union of Tanganyika (NUTA), which was the main Tanzanian trade union. In the early years of dansi, the NUTA Jazz Band was very influential both artistically and in terms of financial organization; namely, it was one of the first dansi bands to constitute itself into a "cooperative" of salaried musicians (a model that would become widespread in the 1970s). In the 1960s, NUTA Jazz Band was led by trumpeter-singer late Joseph Lusungu and saxophonist Mnenge Ramadhani, who defined the brass-centered sound of the band. NUTA Jazz Band held its position as one of the major Tanzanian dansi bands throughout the latter half of the 1960s and most of the 1970s. In 1977 it experienced a major change in personnel, with many of its most talented musicians (including Muhiddin Maalim Gurumo and Hassani Rehani Bitchuka) leaving the band to form a new ensemble, Mlimani Park Orchestra. In 1977, the band changed its name to "Juwata Jazz", after the Swahili name of its sponsor (NUTA), Jumuiya ya Wafanyakazi Tanzania. About at the same time, guitarist Saidi Mabera became the new leader of the band. He wrote several of Juwata's hit songs of the 1980s. After Mabera, both Maalim and Bitchuka (who rejoined the band in 1991) became leaders. Muhidini Gurumo is credited with on the major hits of Juwata in the 1990s, Usia kwa watoto. The band changed its name again in 1991 from Juwata Jazz to OTTU Jazz, when the trade union that sponsored it was renamed Organization of Tanzanian Trade Unions. The band is still active as "Msondo Ngoma", performing regularly at the DCC Club in Kariakoo,Dar-es-salaam for example,and is the oldest active dansi band in Tanzania as well as in Africa. This is reflected by its motto baba ya muziki, "father of music". "Msondo Ngoma Music Band" also known as "Baba ya Muziki" means "father of Music" .

Пікірлер: 285
@abubakarmanyama5875
@abubakarmanyama5875 Жыл бұрын
Tx mungu akulaze mahara pema, mim ni kijana lakn wimbo huu unanipaga amani moyoni pale ninapo usikiliza.😢😢😢
@JumanneMaulidi
@JumanneMaulidi 8 ай бұрын
2024 mpoooo hizo ndongomaa asee daah❤❤
@JustinMwakalukila
@JustinMwakalukila 4 ай бұрын
Chelsie magalaa tupoooo
@ZainabuRichard
@ZainabuRichard 3 ай бұрын
Hatari sana
@muhammadmpahi338
@muhammadmpahi338 2 ай бұрын
Tupoooooo. Ujumbe safi kabisa
@kissakamweusi3549
@kissakamweusi3549 3 жыл бұрын
Katika nyimbo ninayoipenda daaahh hii cheusi mangala aiseee tx Moshi mungu amlaze mahali pema peponi....Amiin 2021 gonga like hapa twende sawa
@paschaldamian4597
@paschaldamian4597 3 жыл бұрын
Hadi leo feb 22 nauckiliza haujachuja kweli ni baba ya muziki big up sanaaaaaaaaaaa
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Hua sijutii bando langu kuangalia kazi nzur iliyofanywa nahawa wazee😭😭 laleni salama tunalia kwakua waliobaki wanatusikilizisha nyegezi bila yasisi kupenda hatuna namna du😭😭😭
@selemanikisalo5060
@selemanikisalo5060 5 жыл бұрын
Nkweli broh
@kikotikikoki2560
@kikotikikoki2560 4 жыл бұрын
Kweli ndugu yangu dah yani siku hizi tunasikilizishwa mitusi kinguvu yani loh!! ==
@issawade4779
@issawade4779 4 жыл бұрын
Hii ngoma kila siku Kama imetoka Jana no kali sana
@bernardmegabe8812
@bernardmegabe8812 4 жыл бұрын
Siku hizi nyimbo ni kihuni tu.
@bernardmegabe8812
@bernardmegabe8812 4 жыл бұрын
Siku hizi nyimbo ni za kihuni tu.
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 9 ай бұрын
Niko hapa mikocheni dar nasikiliza mimi nimezijua hizi nyimbo za mosh tayali ashakufa ila bado nasikiliza hii nyimbo sio ya mzee nakataaa
@josephatmakuka4860
@josephatmakuka4860 2 жыл бұрын
Hakika pumzikeni kwa amani.Tx Moshi William, Suleimani Mbwembwe, Othman Momba,Joseph Mahina,Kamanda Ngurumo na Said Mabela
@balozimchomvu7779
@balozimchomvu7779 6 жыл бұрын
Baba ya muziki. Hawa watu ni zaidi ya wanamuziki. RIP LEGENDS. Haitakaa itokee hii tena Tanzania.
@bettymwasa1079
@bettymwasa1079 6 жыл бұрын
balozi mchomvu kabisa
@mitodaud1820
@mitodaud1820 6 жыл бұрын
Kbs
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 жыл бұрын
Hakuna ajuaye ya mbele
@machelepatrick7116
@machelepatrick7116 5 жыл бұрын
Mbele yetu nyuma yenu. Tunawakumbuka sana hawa watu waliokwishatutangulia mbele za haki. TX MOSHI WILLIAM, SULEIMAN MBWEMBWE, OTHUMAN MOMBA, JOSEPH MAHINA NA KAMANDA MZEE MWIDINI NGURUMO. Mwenyezi Mungu azilaze Roho zao Mahali Pema Peponi - AMINA.
@mwaimuj
@mwaimuj 2 жыл бұрын
Muhidin Mwalimu Gurumo RIP
@Kabeya410
@Kabeya410 5 ай бұрын
Kuna DEDE KAMCHAPE, NABAADAE MZEE MABERA YAANI HAPO ALIEBAKI NI HAO WAPIGA TRUMPET MNYUPE NA ROJAS MNGANDE. ILA WIMBO HUU SOLO KAPIGA PANGA MAWE RIDHIWAN TOTOO
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 5 ай бұрын
​@@Kabeya410Kabeya yup? Uko Songea?
@Kabeya410
@Kabeya410 5 ай бұрын
@@sylvestercameo6263 Hapana nipo Dar mimi mnyamwezi story ilikua rafiki yangu kuna wimbo wa kinyamwezi uliimbwa na KABEYA BADU bhanyamwezi zugi kwishinye sasa kutokana mimi kuwa mnyamwezi akanipachika jina Kabeya. 🤣 Kwa hiyo ni nick name. Toka mwaka 1982 mpaka sasa limenikaa nalitumia. We unamsema kabeya yupi wa songea.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 5 ай бұрын
@@Kabeya410 Nashukuru, Nina rafiki yangu Kabeya wa Songea tumepotezana siku nyingi. Ila umenikunbusha marehemu Kabeya Badu mwimbani wa OSS na wimbo wake "Ziyada" Ooh mama ooh Mimi namlia Ziyada! Huu wimbo aliuimba katika mashindano ya bendi ya OSS na Marquis tarehe 5/2/1983 pale Mnazi Mmoja. Onesho Hilo nilikuwepo, Marquis wimbo wao wa mashindano ulikuwa ni Angelou ukiimbwa .Mpinda Clayton. Kila la heri!
@selemanivanmkungu4637
@selemanivanmkungu4637 4 жыл бұрын
Tena na tena.... Rip moshi William uliufanya mziki kuwa burudani.... Cheusi Magara ukipenda Asha Seifu
@nyambinyambi4781
@nyambinyambi4781 5 жыл бұрын
Nyimbo za kale ukizisikiliza hadi moyo unapenda na michezo yao had inakubaliki sana daaah,R.I.P Mungu awalaze mahal pema peponi Amen
@ntahimehansuli8112
@ntahimehansuli8112 3 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ya tisini
@jumbeomari3044
@jumbeomari3044 7 жыл бұрын
Tx hii ni nyimbo ya pili ana muimba mkewe asha mangara baada ya ile ya asha mwana seif.yy na mkewe wote ni marehemu.mungu awalaze peponi amina.
@DavidMandevu
@DavidMandevu Жыл бұрын
..
@ngonyani1
@ngonyani1 2 жыл бұрын
Dah....huu wimbo unanipa hisia kali sana kwa mama watoto wangu...cheusiii
@raphaelbendera9160
@raphaelbendera9160 2 жыл бұрын
Mziki huu ulikuwa wa kiwango zaidi, wanamsondo waliobaki wafuate nyayo za wenzao
@jmkwanzatv5363
@jmkwanzatv5363 6 жыл бұрын
Uyo cheusi magara ni asha s magara aliyekuwa mke wa Ally muhoja kishiwa maarufu tx moshi william.wote ni marehemu
@allystevenkazeye7819
@allystevenkazeye7819 4 жыл бұрын
Jumbe Omary sio asha mwana seif ndo alikua mkewe?
@shuwanaliloka3816
@shuwanaliloka3816 2 жыл бұрын
Allah awarehemu Amin Awasamehe woote wa humu. Amin.
@saheelameir4313
@saheelameir4313 9 ай бұрын
Amiin Allah awasamehe makosa yao wao na sisi
@saheelameir4313
@saheelameir4313 4 ай бұрын
Amiina Allah atusameh sisi na wao walotangulia atupe mwisho mwema
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
MC injerede nisamilie wote hahaaaaa ayo nimaneno ya mosh akinegesha ngoma yake
@mohamedmlaponi9509
@mohamedmlaponi9509 7 жыл бұрын
Hii nyimbo inanigusa sana maana ninaishi na mama watoto zaidi ya miaka 20 na sifa zote zinazotajwa wife anazo!!!hawajaa walikuwa juu sana
@jumasula5003
@jumasula5003 6 жыл бұрын
Namkumbu Sana mushi nikienda pale amana kumsikiliza akiunguruma na alikuwa akija Sana barabara yamne Tanga Dar namkumbu Sana
@hafidhmabrouk9344
@hafidhmabrouk9344 6 жыл бұрын
mohamed mlaponi video Safi Sana tangia enzi hizo harage nusu nazi 20
@hafidhmabrouk9344
@hafidhmabrouk9344 6 жыл бұрын
ww sio nyimbo zaleo upuuz mtup
@johnstoncharles9966
@johnstoncharles9966 4 жыл бұрын
Mziki mliweza sana! Mungu awape furaha ya milele kama raha ya mziki mliotuachia milele
@angelmacha5841
@angelmacha5841 4 жыл бұрын
2020 kama yupo anaesikiliza huu wimbo kama mimi gonga like yako hapa twende pamoja
@tophanakomolwa5113
@tophanakomolwa5113 3 жыл бұрын
Kilio Cha mtu mzima
@edwardmsumar8077
@edwardmsumar8077 3 жыл бұрын
Ni
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Ni 1/8/2023 niko nawewe
@josephatlaban3602
@josephatlaban3602 9 ай бұрын
Kila jambo hupangwa na mungu na Kila wakati hupangwa na mola nakumbuka Mbali sana mwe
@LazackChoyo-z3z
@LazackChoyo-z3z 10 күн бұрын
2025 Kama Yuko mwenzangu weka gonga❤
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Hawa wazee wameondoka na mziki Waoo R I P
@Fatuma-l5y
@Fatuma-l5y 11 ай бұрын
Dhaa ama kweli mungu awapumzishe wazee wet mahala pem pepon nimekumbuka baba angu San alikua km rafik yangu akiskia bendi au msondo ngoma popote ananibeba tuanaend lakin kaniacha mwenyewe😢😢❤❤ mauw yenu🎉 watu wote wamsondo ngoma
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 Жыл бұрын
2024 naenjoy na cheusi magala🎉❤
@focusbusili2984
@focusbusili2984 6 жыл бұрын
aisee msondo kweli baba la music hawezi tokea tena malegendali kama hao miaka buku
@aliissa6632
@aliissa6632 6 жыл бұрын
Wakati huo bado kijana sana Allah awajaalie safari yao wao wametungulia ss tuko nyuma yao
@joelnassari105
@joelnassari105 7 жыл бұрын
msondo ngoma music band baba ya Music. ..haitakaa itokee band kama hii sku za karbun. ..R.I.P Tx Moshi William baba haika
@mosiwaziri1621
@mosiwaziri1621 4 жыл бұрын
Rip wana mungu awaweke mahali. Pema peponi
@johnchatila6632
@johnchatila6632 4 жыл бұрын
Baba maika siyo mahika
@adammwanjugilo7827
@adammwanjugilo7827 5 жыл бұрын
R.I.P.. wote njia nimoja ..Umetuachia ujumbe tunaendelea kuuenzi..
@jworld1480
@jworld1480 7 күн бұрын
huyu mzee nilipenda sana since nikiwa mtoto miaka ya elf 2000 tX MOSHI WILLIAM
@unclesaleh3257
@unclesaleh3257 5 жыл бұрын
Hakuna Kama Msondo na haitakuja kutokea tena, na Kama hutaki basi, R.I.P, mabingwa wa muziki wa kihistolia Tanzania, Mwenyezi Mungu uwape kauri thabiti wote waliotangulia mbele ya haki Amina.
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 3 жыл бұрын
Aaah! Cheusi Mangala weeee usibadilike tafadhali. 😇😇
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 4 ай бұрын
Mungu aliwaleta TOT iwe zawadi katika muziki wa dansi na nyimbo zenye jumbe za heshima na mafunzo.
@mwaimuj
@mwaimuj 2 жыл бұрын
Ali Kileo Mwadunga, best guitarist
@rittohmziwanda9311
@rittohmziwanda9311 2 жыл бұрын
2023..leo nimemkumbuka sana baba angu.,huu wimbo niliujua na kuupenda kwasababu yake😢kila nikiusikiliza namkumbuka sana..Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani baba angu😭🙏🙏
@sandpardegera7246
@sandpardegera7246 Жыл бұрын
Pole mziwanda wote ni wa muumba na kwake tutarejea
@GodfreyMushi-eh6ly
@GodfreyMushi-eh6ly Жыл бұрын
Asha mwanasefu
@rittohmziwanda9311
@rittohmziwanda9311 Жыл бұрын
@@sandpardegera7246Aminaa🙏nashukuru sana
@George-g7j7g
@George-g7j7g 7 күн бұрын
2025 mungu nimeema❤
@joelnassari105
@joelnassari105 8 жыл бұрын
True Legend kila nikiwaskiliza msondo ngoma especially huu wimbo naona kama mpya kila siku. ..Old is Gold kizuri hakidumu
@brightonkamando3687
@brightonkamando3687 Ай бұрын
Hongera dada kwa kusikiliza nyimbo za bwana Tx Moshi
@balozimchomvu7779
@balozimchomvu7779 6 жыл бұрын
Tx moshi William, hatari sana. Hatokei mwingine tena
@bornjuly7044
@bornjuly7044 7 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awalaze mahala pema Ottu waliotangulia
@unclesaleh3257
@unclesaleh3257 5 жыл бұрын
Asante sana home boy Ridhiwani Pangamawe mwana wa mshindo Iringa, kamwenee.
@barutihasani8449
@barutihasani8449 3 жыл бұрын
Huwa moyo wangu unasuuzika sana!
@nassaryjoseph8684
@nassaryjoseph8684 2 жыл бұрын
Nyimbo hizi zitadumu miak na miaka R.I.P MALENDARY waliotangulia😔😔🤙
@norbertsongo9060
@norbertsongo9060 6 жыл бұрын
huu wimbo wengi wanauita cheusi mangala, lakini sio mangala ila ni MAGALA
@shebbyrnem7003
@shebbyrnem7003 5 жыл бұрын
Norbert Songo kweli
@abdonmgina1108
@abdonmgina1108 9 жыл бұрын
Hawa ndo vigogo WA kukata na Shoka, Tutawakumbuka katika muziki WA Dansi•
@johnmugeta3571
@johnmugeta3571 5 жыл бұрын
Hii ndiyo ulikua miziki ya ukweli
@jumakisangali4949
@jumakisangali4949 3 жыл бұрын
Nakumbuka mbali Sana mwaka 1987 Napa nda mpunga
@suraijamcamel58
@suraijamcamel58 4 жыл бұрын
Sana tuu umenitoa ukiwa kupenda wasio imani,,mpumzike kwa amani wazee wetu 🙏😭
@KarimuShabaniNgoka
@KarimuShabaniNgoka Жыл бұрын
Hiyo Ngoma ya msondo ni zaidi ya raha
@jeffballafundi9776
@jeffballafundi9776 6 жыл бұрын
Namwangali Tx Moshi Hadi Mwili Unashikwa na Baridiii....alikua anaimba sana uyu mzee
@joelnassari105
@joelnassari105 8 жыл бұрын
daah R.I.P TX MOSHI r a Machine ...We Love u na Msondo wote waliotangulia mbele za haki
@abbassanga2464
@abbassanga2464 5 жыл бұрын
Cheusi Mangala wimbo mzuri sana,kila siku unakuwa kama mya masikioni kwa watu, RIP TX Moshi William na wengine wote waliotangulia mbele za haki kutoka Msondo ngoma Baba ya Muziki
@herrymlawa2272
@herrymlawa2272 7 жыл бұрын
kazi yenu bado naithamini. M/Mungu awaweke mahala pema.
@allysaid1806
@allysaid1806 4 жыл бұрын
Amen
@bellybray8025
@bellybray8025 8 жыл бұрын
Mungu awalaze mahala pema. kazi zenu zibaki kio cha jamii
@OmarOmar-s7t1s
@OmarOmar-s7t1s 11 ай бұрын
Wazee wa ngwasuma wapo vizuri🤙😎
@hashimharoun4843
@hashimharoun4843 7 жыл бұрын
kumbukumbu muhimi sana hii kwenye maisha ... binti maringo tbt
@godfreymagome9750
@godfreymagome9750 6 жыл бұрын
ngoma Kali sana laleni mahali pema pepon
@EmmanuelWilliam-st8ct
@EmmanuelWilliam-st8ct 5 ай бұрын
Daaah mungu awalaze loho za malehem hawa jaman nikiangalia namwona tx moshi sulemani mbwebwe tulikuwa tunamwita masharubu huko baba Lao sasa mhidin ngulumo
@judiechriss291
@judiechriss291 Жыл бұрын
💃💃💃Mangala eeh Mangala eeh usibadili mwendo huo
@FaridaYusuphu-f9x
@FaridaYusuphu-f9x 2 ай бұрын
Dah napenda sana hii miziki had naumwa❤
@HamisiLingwelo
@HamisiLingwelo Ай бұрын
Hata Mimi nawapenda sana msndo
@JustineMsita
@JustineMsita 5 ай бұрын
Namkumbuka sana Mzee TX_MOSH alikuw mtunz mzuri sana ,haijawai tokea ktk kizazi Chao na hata sasa
@shaabannyuge6857
@shaabannyuge6857 5 жыл бұрын
Kipindi kile hawa Wazee wanapga mziki huu nilikuwa mdogo sijautambua huu mzki lakin kila nikiangali sasa nyimbo Zao Znanpa mafundsho sana R I P mosh, mahina, Mbwembwe. Momba .Ngurumo
@mujibumsigit2741
@mujibumsigit2741 5 жыл бұрын
Asee wenzetu wa zamani mmeona raha sio sasa eti nyege nyege
@ThomasBenny-wh5jh
@ThomasBenny-wh5jh 10 ай бұрын
Huundiomziki unatoa ujumbe unao fundisha jamii.mwenyeziMUNGU awatunze hukomliko. Kwani hamkuangalia maslahi yenu bali kufundisha na burudani kwawatu mbalikiwesana.
@ngonyani1
@ngonyani1 2 жыл бұрын
Tulipokuwa tunatengeneza hizi video....kilikosekana kitu kimoja tu....Costume .....Mavazi sare mazuriiii
@bembe_boy
@bembe_boy 5 жыл бұрын
Nani amekuja hapa baada ya joti comedy 🤩
@pendosammy5984
@pendosammy5984 3 жыл бұрын
haha
@bakilabernardo8640
@bakilabernardo8640 5 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo hizo
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 6 жыл бұрын
Huyo mabela anavypiga solo kama karogwa Dah, ukiskiliza hizi nyimbo memory kichwani inaaingia virus ya nyegezi
@jumamarley7964
@jumamarley7964 2 жыл бұрын
Solo ya Ridh one panga mawe
@kucdakin8022
@kucdakin8022 3 жыл бұрын
Mabela weeee🔥🔥🔥🔥
@Brunoh90Tv
@Brunoh90Tv Ай бұрын
Wa 2025 tujuanee hapaa, ngoma zilizo na akili hiz👏👏🔥🔥🔥
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 5 жыл бұрын
nyimbo hii naipenda sanaaa
@egnokinunda4539
@egnokinunda4539 6 жыл бұрын
Cheusu mangala noma Sana aise, r i p Moshi
@happkipoya4043
@happkipoya4043 5 жыл бұрын
Napenda kupita maelezo huu wimbo
@iddbakari7627
@iddbakari7627 9 ай бұрын
Nyimbo yangu bora kabisaa hunipa hisia nyingi mno ,pmj na msisimko wakutosha
@rensamson7126
@rensamson7126 3 жыл бұрын
Old is gold 2022 nausikiliza wimbo uko on fireeeeeeee
@salehemikidadi6833
@salehemikidadi6833 8 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani makamanda kazi zetu zitakumbukwa daima..!!
@nancynoely5419
@nancynoely5419 6 жыл бұрын
Hiko vizr
@mitodaud1820
@mitodaud1820 6 жыл бұрын
Salehe Mikidadi nazipendaga hizi paka Leo japo kijana bt zinanibariki vby mno kwene Old iz gold
@AkiduHamimu
@AkiduHamimu Ай бұрын
Mimi ketende wa kolotambe nawakubali saaana hw jamaa nazani hatutapata walith
@mchelumohamed2976
@mchelumohamed2976 2 ай бұрын
O yes hiyo ndio Ngoma yenye heshima
@Ernestmnwag
@Ernestmnwag 6 ай бұрын
Mungu tupe wanamziki kama hawa yimbo zeye ujumbe
@macherathomas6474
@macherathomas6474 6 жыл бұрын
Hapo ndipo kwetu vijana wa zaman wazee wa sasa,mngu awaweke pema pepon wazee wenzangu wa msondo,na tulio hai mngu atutie nguvu.
@allymarijani6869
@allymarijani6869 2 жыл бұрын
daaaa hatari
@francisnyeriga
@francisnyeriga Жыл бұрын
Hatari sn 2023 bado ngoma kali
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Asante sana Selemani Mwanyilo hilo bass lako bado linatupa raha hadi leo 1/8/2023
@reginaluhombo4924
@reginaluhombo4924 3 жыл бұрын
Mungu awaweke mahali pema huko mliko wote TX na wenzako mliotangulia
@agripinamgema3656
@agripinamgema3656 2 жыл бұрын
Mbona cheusi, jamani na cheupe.🤣🤣🤣. Asante kwa mziki mzuri. Na MWENYEZI MUNGU AWALAZE MAHALI PEMA POPONI WOTE MLIOTANGULIA MBELE ZA HAKI
@basilimchonde5240
@basilimchonde5240 2 жыл бұрын
Miziki ys zamani ndio mizuri maana inafundisha
@IsmailKinyogoli
@IsmailKinyogoli 29 күн бұрын
2025 kama yupo anaesiliza huu wimbo kama Mimi gonga like yako hapa twende pamoja
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 2 жыл бұрын
Kweli chema akidumu ndo hivi sasa....Dah walikuwa wanajua sana RIP wendo mliumaliza
@abdallahmkombozi5605
@abdallahmkombozi5605 2 жыл бұрын
The true meaning of old is gold
@husseinnyanda3905
@husseinnyanda3905 2 жыл бұрын
8uu p2x
@mohamedomari3644
@mohamedomari3644 Жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana
@revocatusmatungwa2310
@revocatusmatungwa2310 2 жыл бұрын
AWajamaa Bado awjapata mpinzani
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
2023/6/12 bado natazama R I P. Mosh
@akidaboma6164
@akidaboma6164 7 жыл бұрын
Wenye mzk wao .
@kassimumape7605
@kassimumape7605 4 жыл бұрын
Miaka mingi tulio ishi penzi letu alikupungua daima tulibembeleza kama mtoto na mama. Wp tx r i p
@salimumpoma8393
@salimumpoma8393 Жыл бұрын
Apo kilakitu kinaeleweka safi sana
@MwajanjaPaul
@MwajanjaPaul 5 ай бұрын
msondo ngoma baba. ya muziki
@mutokatalks...4438
@mutokatalks...4438 7 жыл бұрын
sauti ya dhahabu Tx moshi William, kimwili hatupo nanyi hila kila roho tuko pamoja, na fikra njema zitatumu milele na milele
@zuberindete3290
@zuberindete3290 7 жыл бұрын
Sikiliza ngoma hizo mziki haushi
@FestoYakobo-d3b
@FestoYakobo-d3b 5 ай бұрын
Lala salama baba ujumbe wako una fundisha
@simonosmundsilinu32
@simonosmundsilinu32 6 жыл бұрын
2018 lakin bado huu wimbo ni 🔥
@mitodaud1820
@mitodaud1820 6 жыл бұрын
Miaka km yote hazichuji
@JanethMbogela-k7i
@JanethMbogela-k7i 8 ай бұрын
Daah nahisigi kushiba hta bila kula mimi
@amirimpigarangi2102
@amirimpigarangi2102 2 жыл бұрын
Amiri abdu matimbwa ndio mamboyangu hayo
@GeraldMagome
@GeraldMagome Жыл бұрын
Dunia mapito nimemisi wazazi wangu Kwa nyimbo hzi
@japhetleonard-z8f
@japhetleonard-z8f 3 ай бұрын
Mnazierewa ee.
@KasibanteTonny-xo3dr
@KasibanteTonny-xo3dr Жыл бұрын
Cheusi magara asiubadili mwendo huo....
@mwajumamsengwa
@mwajumamsengwa Жыл бұрын
Nipo hapa nasikiliza 2023
@kassimumape7605
@kassimumape7605 6 жыл бұрын
old is gold
Msodo Ngoma Music Band Kazamoyo Official Video
9:35
Africha Entertainment
Рет қаралды 412 М.
Ottu Jazz Band Kilio Cha Mtu Mzima Official Video
9:14
Africha Entertainment
Рет қаралды 1,4 МЛН
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Cheusi Magala
9:56
Msondo Ngoma Music Band - Topic
Рет қаралды 10 М.
ELIMU YA MJINGA-BANZA STONE
8:29
HABARI JAMII TANZANIA
Рет қаралды 819 М.
Nguza Viking ( Field Marshall )   Kadiri Kansimba Official Audio
7:59
Field Marshall Nguza
Рет қаралды 8 М.
MADILU SYSTEM - Sansa Ya Papier
15:07
Kegnaste
Рет қаралды 14 МЛН
Ottu Jazz Band - Mwanamkiwa (Official Video)
10:28
Tunes Of Africa
Рет қаралды 464 М.
Kinyaunyau (Official Video) - Kilimanjaro Band Njenje
6:46
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 1,7 МЛН
Msondo Ngoma Band Piga Ua Talaka Utatoa Official Video
8:39
Africha Entertainment
Рет қаралды 1,5 МЛН
Msondo Ngoma Band Tuma Official Video
10:57
Africha Entertainment
Рет қаралды 423 М.
WIFI ZANGU VJB
9:31
DMTV
Рет қаралды 511 М.
Msodo Ngoma Music Band Kalunde Official Video
9:41
Africha Entertainment
Рет қаралды 180 М.
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41