Nyimbo iliyojaa mguso iyokkmbusha wap unapaswa kusimama km mwanaume ili kuyaweka mambo saw kbl mambo hayajaalibika Mungu atusaidie sana
@lelomellowtzАй бұрын
MNAOSIKILIZA HII 2050 Baba zenu na Babu zenu tulifurahia sana hizi ngoma Lakini ni ujumbe wa kweli
@mtupilyfredi85243 ай бұрын
Mnaosikiliza hii 2080 babu zenu tulienjoy sana
@AkyamsNassor4 ай бұрын
Mungu awaweke mahali pema huko peponi.
@mchelumohamed2976 Жыл бұрын
Enzi hairudi nyuma vitu adimu kama hivi vimepita
@noelkabaila32842 ай бұрын
R.I.P Mzee Kikikii Bado Tutakukumbuka kwa Mengi sana. PUMNZIKA kwa Aman 😭🙏
@georgeuswege59052 ай бұрын
MUNGU awatete wale wote waliofikwa na ajali ya kuangukiwa na ghorofa pale k/koo najua WANAUME watafutaji wapo chini pale wakipigania maisha Yao Mungu awape nguvu na hustahimilivu 14/11/2025......
@anethmalongo67546 жыл бұрын
Dah nyimbo nzur mnoo Mliotutangulia Mungu aendelee kuwaweka mahali pema peponi Amina
@eduadmanyika62362 жыл бұрын
Pengo hili halitazibika😍😭😭😭
@ogetoj62452 жыл бұрын
SI kupenda kwako kuzaliwa Mwanaume. Chukumu kwako ni nyingi duniani. Lazima kutimiza kadhili ya uwezo wako, hata kama ni matezo, bila kilio Cha kuepa. Dr. Ogeto International
@niphereds17526 жыл бұрын
Ya kale ni dhahabu ,hakika ujumbe mzuri,sauti nzuri,ujumbe wenye elimu,kweli hii ni baba ya muziki,pumzika kwa amani TX mungu waondelee adhabu ya jehanam marehem wote
@asantegustave6005 Жыл бұрын
Still listening to this song 2024 rip to all those legend 😢
@athumaniselemani9715 Жыл бұрын
RIP all legends,now we lost Jumbe daah😭😭
@Seranto8809 ай бұрын
Who is still watching in 2024?
@FilbertAndrea-gm5qm6 ай бұрын
Here
@winfridamalembeka-ik5qw4 ай бұрын
Tunaenda tukiendaaa😂😂
@PeterPartson3 ай бұрын
Npo
@jamesmwasambili3818 жыл бұрын
Mwanaume anapopatwa na matatizo, macho huwa mekundu kwa hasira....lakini katukatu usikate tamaa..................very true, jamani Msondo kibao hiki na vingine vingi vya Msondo vinabamba sana,ila Mungu awarehemu kwa kweli bado mnakumbukwa,makaburi yametunza vipaji vingi sana na hazina. Gurumo, TX Moshi, Said Mabera, Hassan Bitchuka, Mnenge Ramadhani, Lusungu, Muhiddin na wengine
@kombowaura90445 жыл бұрын
Kwely
@joelnassari1058 жыл бұрын
msondo ngoma best of the best. .hawana mpinzan 100yrs
@surgeondoctor166 жыл бұрын
Karibu kwenye dunia ya changa moto na ndoto zisizo timia 💪Wanaume wote aluta continua ..🤙🏻never give up
@cetrixtz9756 Жыл бұрын
🤗🤗kula chuma icho
@ferdinandmakore50026 жыл бұрын
Jumbe, Tax Moshi, Ngurumo hawa majamaa walikuwa ni balaa jingine. Napenda kusikiliza Msondo Ngoma muda wowote nikiwakumbuka. Nyimbo zao zinatia hamasa na moyo. Ahsante. Pumzikeni kwa amani.
@olsvardonegredo56505 жыл бұрын
Naanza kupata fundisho kwann baba yang alikuwa anipenda hii band dah R I P msondo R I P father
@riazshaikh85775 жыл бұрын
Sikia ujumbe huu, nyimbo imetulia na inagonga ukuta, sasa diamond sijui ali kiba ah kibao hichi bana🙏🏼
@ashuraomary90546 жыл бұрын
Dah. Msondo ngoma number 1💕💕
@norascombedule10576 жыл бұрын
Sanaaaa!!
@MussaMachano-t8j2 ай бұрын
Inatufundisha kuwa tunaondoka Duniani
@kayomboedward80098 жыл бұрын
Dah hii ngoma ni balaaaaaaaa hadi leo bado ni kali tu
@gregorygodfrey6629 жыл бұрын
wanaume kazini hao!!!! aiseeee hawa jamaaa miaka 100. RIP wote
@abdallahmtosa6979 Жыл бұрын
Msondo itabaki ni alama ya bendi bora kwa tunzi na upigaji wa ala mungu uwarehemu wote waliotutoka aamin.
@henrychaula11742 жыл бұрын
Anayekubaliana na Tx kuwa kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa tabu, agonge like nyingi hapa.
@rexartashasta27134 жыл бұрын
Tutawakumbuka sana kwa jumbe zenu nzuri
@wangwemrongoti35 жыл бұрын
Wanaume 2meumbwa mateso dah the best song still watching 2019
@elizabethbwakila39822 жыл бұрын
Wasela nondo wa zamani hao! Pumzikeni kwa amani wazee wetu.
@sylvestermgale6699 Жыл бұрын
Hawa kweli ndio baba ya muziki,Mungu awarehemu
@joelnassari1058 жыл бұрын
R.I.P TX MOSHI WILLIAM. ..GURUMO n Others We Love u. ..Old is Gold hakuna kama Msondo
@salimaasende84858 жыл бұрын
eugeniu
@chugaboytz56316 жыл бұрын
Hakita tokea kizazi kam hikii tenaa
@ferdinandmakore50025 жыл бұрын
Still watching this song, early of 2019
@chundemayala66415 жыл бұрын
we have born by surprise, and we are living while we know that one day we will die and disapear, R.I.P tx moshi William, ngurumo and others, in our memory you will remain forever, msondo ngoma, the best never live lond
@iddyjuma54277 жыл бұрын
its remind me back when i was young boy kweli ujana maji ya moto
@satunnaja6 жыл бұрын
Nimegundua wanao comment wengi wanaume Wanaume hoyeee @2018
@hassanmussa71215 жыл бұрын
duuh! ni kwel yakale ni dhahabu, mungu amefanya kazi yake.
@mwanawetumwagora62837 жыл бұрын
Macho huwa mekundu kwa uchungu.msondo hawana mpinzani.
@bashirishekigenda51802 жыл бұрын
Dah,,, mungu awArehemu
@amosmwita41114 жыл бұрын
Wangapi tupoo Wote hapa 2020 na musond ngomaa like hapa pia Kma unaukubalii wimbo ngonga like Kma zote
@raymondkirui8691 Жыл бұрын
Takes me back in time to salaams za adhuhuri kbc idhaa ya taifa na Charles omuga kabisae
@rafaelsimba642911 ай бұрын
Mention the year please,
@emanuelipatrick52972 жыл бұрын
Old is gold.... good song leo naangalia 10/11/2022
@superherotv17505 жыл бұрын
Wanaume wangap 2po apaa 2019
@stevek83185 жыл бұрын
Nakwambia tabu tupu
@sultanzimbwejr61315 жыл бұрын
The best song Leo naangalia hii 20/01/2020
@tryphonendegea34985 ай бұрын
best song 2024
@kazimilykulwa2516 Жыл бұрын
Rest in peace huseni jumbe
@sangomamourice3539 Жыл бұрын
Bendi bora kuwahi kutokea ktk huu uso wa dunia
@rafaelsimba642911 ай бұрын
Sio kweli, bendi Bora hapa Africa ni TPOK jazz ya Franco, Hii ni bendi Bora kwa hapa Tanzania mkuu. Maoni yangu
@selemanijustine60275 жыл бұрын
Wapi Mabera!!!!!1
@zepherniah65652 жыл бұрын
Nimevunjika mguu nipo kitandn kwel huu wimbo waliimba wanaume tumeubwa mateso
@BduniaNengenenge2 ай бұрын
Pole sana kaka
@raazqabdull1307 жыл бұрын
wasafiii 😀😀😀😀
@hitsonpazza1248 ай бұрын
Classic music
@mohamedalawy79132 жыл бұрын
Hussein Jumbe anajua kukatika SANA
@prudencep.rwehabura3602 жыл бұрын
Msondo ngoma band, the then East Africa's best.
@egberthselestine91025 жыл бұрын
hawa ndo walikuwa wanaimba sahivi ni fujo na aibu tupu,wimbo raha yake uimbe ukuachie ujumbe. dah r.i.p wanamsondo.
@fatmachambotanzania93795 жыл бұрын
R.I.P waliotangulia msondo ndio mlikua the best
@stephenkatana59213 жыл бұрын
Daa kitambo sana kweli
@hebelmlagala5847 Жыл бұрын
Love this song.
@banyaihassan60268 жыл бұрын
Asante moshi wilium!!!! msondo ngoma!!!
@hamadwajna44117 жыл бұрын
BANYAI HASSAN mambo
@hamadwajna44117 жыл бұрын
BANYAI HASSAN kwema
@juliuskazilo5746 жыл бұрын
Hz nyimbo tamu sana znaujumbe na znatia hamasa
@offsettrashee2822Ай бұрын
kila kitu kwako ni tabu 🎉
@norascombedule10576 жыл бұрын
Daah nyimbo bora kabsa miaka 100 zaid zitadumu in 2018.11.29
@24habari Жыл бұрын
Here for Jumbe, RIP Hussein Jumbe
@MussaMachano-t8j2 ай бұрын
Naomba anaejua qnambie nani yuko hair hapa
@morrismorris27758 жыл бұрын
Daaaah nyimbo hazichuji miaka 1000
@shaban4932 жыл бұрын
Yaan we acha tu
@stainlukali6202 жыл бұрын
Nice music very nice.
@immahfred21276 жыл бұрын
2018 bado naiangalia hii ngoma haijapoteza ladha yake
@EmmanuelSeth-l2h Жыл бұрын
Hakuna mwanaume asiye ujua huu wimbo.
@rashidmaulid731224 күн бұрын
Mabera ni khatareee I say
@abdulmtausi66728 жыл бұрын
Jumbe shikamoo, Tx wewe huna mbadala wala mpinzani,Gurumo pumzika kwa Amani,msondo njie ndie baba wa muziki Tz
@andreachitanda59586 жыл бұрын
Mziki unaongea
@jairosmnaya3674 Жыл бұрын
22/05/2023, relevant message to our life
@jairosmnaya3674 Жыл бұрын
Ukipatwa na jambo, usiende kwa waganga, muombe Mungu akusaidie!
Jamani mimi sandala wanaume kwel tunapambana kila aina
@MudyTandiko11 ай бұрын
huu ndio mzik saa hawa waimba matusi
@ramrashid78596 жыл бұрын
rythm ya said mabela jaman mzee analitendea haki Gitaa kama tupamoja gonga like
@abdulhamidabdulfarid36496 жыл бұрын
Nitakukumbuka tx umekuja home tukaandaa chakula cha mchana ww tx mkeo husseni jumbe ulipo rudi dar baada ya mwezi 1 umefariki na mm baba yangu alifariki muda mfupi ww kufariki mungu awaepushe za na mateso ya kaburini 😭😭😭😭😭
@abdulhamidabdulfarid36496 жыл бұрын
Kila nikiangalia video yako naumia sana namkumbuka marehemu baba yangu na ww tx
@jeranibanzi21276 жыл бұрын
Huyo ndiyo mzee Mabela
@yugakiyumbi99095 жыл бұрын
Still watching 2020
@FunnyBrain-ic5kw10 ай бұрын
Nyimbo za enzi hizo nazipenda
@niariramrutu197 Жыл бұрын
Yote wanayosema kwenye wimbo huu ni kweli tupu
@ferdinandmakore50022 жыл бұрын
1st of January, 2023 watching from home with my family. Full of message.
@halimayusuf79857 жыл бұрын
Safi sana
@Thomaskamahwa5 ай бұрын
Kitambo sana
@iddymasoya48686 жыл бұрын
Kwa kwel mko vzr
@mudiblack6307 жыл бұрын
safisana shidakwa wanaume ndoukubwa love sog
@rashidmfaume18196 жыл бұрын
Msondo hii hatarii
@seifkabdallah79245 жыл бұрын
18/04/2019 bado inaishi
@daudhabona8897 Жыл бұрын
Nani mwanaume mwenzangu shida na stress zimemkaba akakumbuka haka ka wimbo. Kamfariji