Absolutely!!! Katika msamaha kuna Upendo na Amani📌📌🔥🔥🔥🔥
@mchumi_thecatalystofeconom78892 жыл бұрын
Amani ni tunu inazidi kuchanja mbuga. AMANI ITAWALE DUNIANI KOTE. AMANI ITAWALE KWA MAJIRANI ZETU KENYA HASA WAKATI WA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU.
@prudenceamulungi97202 жыл бұрын
Wapendwa tujenge kanisa lenye upendo ,Taifa lenye Amani na Jamii yenye furaha hivyo Dunia iwe mahali salama pa kuishi na kumtukuza Mungu
@annamajuva93832 жыл бұрын
Daaah hongereni sana Don Bosco wimbo ni mzuri sana kwa kweli Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki
@gastonegeorge74082 жыл бұрын
Amani ya kiroho ni Amani ktk yote. Barikiwa kwa kuitangaza Amani ya Injili
@petermarwadelighton35442 жыл бұрын
Kama wewe umebarikiwa kwa kazi hii na Ulikua ukiisubili kwa hamu kubwa Kama Mimi gonga like halafu wasambazie link na wengine....mweeeemweeee mweeee mweeee wimbo hauchoshi ni mtaaaaaaaaamuuuuuu sana.... Hongereni wanadombosco
@alfredrhoda14922 жыл бұрын
Ariiiiiiiiii
@wensilauskibongolo59652 жыл бұрын
Waziri wa katiba na Shelia ameshaupata wimbo huu, bado mama Samia, kazi iendelee 🥳🥳🥳🔥🔥🔥🔥
@lucykiria64542 жыл бұрын
Kaeni kitaalamu,usibanduke hapa
@alfredrhoda14922 жыл бұрын
Nahesabu masaa tuu saivi
@BernardMukasa2 жыл бұрын
Waaaoooo, mwayanga mwaija. Kandi mwaijage 👏👏👏
@malisafrank79882 жыл бұрын
Mr Benard mukasa tunasubir na wewe nyimbo zako za Aman
@donboscomedia63642 жыл бұрын
Wakola waitu! tubashange!
@arnoldkagaruki52772 жыл бұрын
Wakola waitu, tubasange
@jackmsuya95992 жыл бұрын
Mungu azid kuwalinda il mzd kumtumikia
@berthafred82122 жыл бұрын
Tujenge taifa lenye furaha,hakika kwa pamoja usikubali huu ujumbe usiilize peke yako aseee wimbo mzuri
@prurenalogistics61822 жыл бұрын
KALIIIIIIIII
@janemwangi6065 Жыл бұрын
Hongereni wanakwaya wote kwa wimbo wenu mzuri sana wa AMANI NA PIA UPENDO. MUNGU AEDELEE KUWALINDA NA KUWAMBARIKI AMINA 🙏🙏
@blessedfamily57132 жыл бұрын
Woyoo
@suzanapaul37972 жыл бұрын
Whaoo ngoma inogile jamen kazi nzuri Sana ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@miracleboy21162 жыл бұрын
Mmetisha don bosko kimanga mungu awapende
@sinjemoses67592 жыл бұрын
Asante miracle boy mdogo wa sinje
@jovinusjulius98402 жыл бұрын
KMD# Familia yangu# mmejua kunibariki mnoo...
@goodluckmdugi32072 жыл бұрын
Hongereni sana kazi nzuri hakika tuidumishe amani yetu
@clausgabriely26082 жыл бұрын
Halelluy mungu ainuliwe juuu juuu milele tujenge kanisa tujenge taiga tukikoseana tusameheane. Amina waimbaji mmenibariki mno. Mungu awatunze
@kiriaregula84752 жыл бұрын
Amina kubwaaa
@erickedward73152 жыл бұрын
Itabidi tuyasukume masaa aisee
@kiriaregula84752 жыл бұрын
Tukikoseana tusameheane💯
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Wimbo mtamu sana. Asante sana kwa kuinjilishaji wenu uliotukuka
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Omuhaya akachwa omugani ai nolwo atagamba chonka wakaulila mbwenu naichwe tutwagamba chonka emilembe elya amyoyo yaitu
@mpambanajimawenge35782 жыл бұрын
Kaz nzuri mungu awabariki muendelee vyema
@kiriaregula84752 жыл бұрын
Dunia iwe mahali salama pa kuishi,, wimbo huu umegusa kila nyanja kuanzia familia,jamii kanisa na Dunia . Hongera sana mtunzi,waalimu na waimbaji.🙏🙏🙏🔥🔥
@geraldmiza72072 жыл бұрын
Don BOSCO MEDIA mpo VZRI sana DENIS NA TIM YAKO HONGERA KWENU!
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Utume ni kupambana utume ni wito sio lelemama
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Barikiwa wapendwa
@elizabethmsukwa54202 жыл бұрын
Wao hongereni Sana Wana KMD kimanga kwa wimbo nzuri❤️❤️
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Sina neno juu yenu
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Hapo kwenye korasi apo noma sana
@beatricecharles51192 жыл бұрын
Hongereni Sana wanakwaya KMD Mtunzi Organist, studio Wote mmefanya vyema....tunabarikiwa🥰🔥
@kiriaregula84752 жыл бұрын
Katika msamaha kuna upendo na Aman
@selestinakatwazo72582 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU abariki Kazi zenu na kuwaimalisha ktk uimbaji🙏🙏Safi Sana nawapenda Don Bosco Kimanga
@alfredrhoda14922 жыл бұрын
Haya masaa kama hayasogei ivi
@sophinarichard89102 жыл бұрын
😍😍😍😍😍🤩🤩🤩🤩🤩aise wimbo nimeupenda mkovizuri mbarikiwe mnanipa burudani nzuri. AMANI NI TUNI
@blessedfamily57132 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@juliaricaldo91972 жыл бұрын
Wooooh mmetisha sana Mungu azidi kuwabariki mzidi kumtumikia yeye
@rosemgisha29182 жыл бұрын
Palipo na FURAHA ,hapo pana UPENDO,Mungu awabariki na kuwalinda Donbosco,Wana Donbosco ,mzidi kutuburudisha na nyimbo zenu nzurii🙏🙏🙏🙏
@lucykiria64542 жыл бұрын
Nyieeeeee
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Ongera sana mumeupiga mwingi
@joelelias37422 жыл бұрын
Mungu awatunze guys mmetishaa sana from singers mpaka video producer Nasikiliza na sichoki ❤️🔥🔥
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Msamaha ni nzuri sana tena sana Mimi kupitia wimbo uhu nimewasamehe walio nikosea
@barakamtoka2 жыл бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri
@mushiamrani83082 жыл бұрын
Mungu atuongoze kulinda hii Amani ya taifa yetu na pia viongozi wenye uadirifu na wenye utayari kujitoa kwaajiri ya Taifa.nimebarikiwa
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Nawatakia utume mwema
@ayubuponsianomtunge46792 жыл бұрын
Kaka mkubwa Prudence
@peterdavid42302 жыл бұрын
waoh best for you...wimbo mzuri mno na una ujumbe mzuri🙏
@agrinathadeo57202 жыл бұрын
AMINA sana singers kwa kuhimiza Amani ndani ya Taifa MUNGU awajalie baraka tele 🙏🙏🙏🙏
@peterdavid42302 жыл бұрын
@@agrinathadeo5720 🙏🙏
@bahatingelimengelime45352 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@Iconic-gk3oe Жыл бұрын
Asante kwa utunzi na uimbaji wa wimbo huu. Maneno yanazidisha amani na utulivu moyoni. Mungu azidi kubariki uimbaji wenu.
@patrickmsimbe23702 жыл бұрын
Hongereni sana wana Don Bosco kwa kazi nzuri
@Ellybeny2 жыл бұрын
👏🏻👏🏻
@NTM93202 жыл бұрын
Iyooooooooooooooooooooooooooooo
@egibartrespicius67482 жыл бұрын
Amani ni zawadi ya upendo wa mungu baba❤️🙏🏿
@wolframkifaru12262 жыл бұрын
Amazing!Tukikoseana tusameheane.Katka msamaha kuna upendo na Amani 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@rashidchidi2472 жыл бұрын
Kazi nzr nawapenda bureee
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Tupo pamoja
@florianafrimin90662 жыл бұрын
Wooow nyumbani katoliki kumenoga... Kimanga tunashukuru kwa zawadi hii.. hello kutoka temeke.karibuni muinjilishe nasi
@alfredrhoda14922 жыл бұрын
Bado masaa 3 😋😋😋
@stellamchomvu6432 жыл бұрын
Kweli amani Ni tunu
@lucykiria64542 жыл бұрын
Daah Hadi msisimko,hakika Amani ni tunu Bora ya thamani kubwa
@johnsway37442 жыл бұрын
Mko vizuri sana aisee. Hongereni sana
@donboscomedia63642 жыл бұрын
Asante sana Mkuu Saana
@donboscomedia63642 жыл бұрын
Share na kwa wapendwa tuupate ujumbe wote
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Yes we can
@kiriaregula84752 жыл бұрын
Alililili iyooooo
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru kifaru mungu akupe maisha marefu na yenye furaha
@Kagamastephen2 жыл бұрын
hongeren sana wanakwaya kwa wimbo mzuri hakika nimebarikiwa na uimbaji na ujumbe mzuri...Mungu awabariki sana ndugu zangu... Bwana Kagama kutoka Kahama Shinyanga apa katika utume
@geraldmiza72072 жыл бұрын
Amani iwe juu yenu wateule wa Mungu kwa Utume wa UIMBAJI.
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Kazi nzuri sana tena sana
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Mbalikiwe kwa kutufaliji kwa wimbo nzuri
@Patrick_Mndeme2 жыл бұрын
Super super ......ujumbe mzuri na mtamu. Waimbaji very super mmefanya vizuri 💯💯💯💯
@josephmassawe58832 жыл бұрын
🔥Yani hatuchoki kuangalia kazi za KMD Kimanga. Excellent!🔥🔥🔥
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Akika dunia ni mapito
@ediphoncendakidemi2652 жыл бұрын
Kaz nzur Sana kmd kimanga endeleeni kumsifu Mungu, natumain atawapa Mambo mazur Zaid ya haya nawapnda sana....by Mwesi
@LwitikoKayuni8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤wimbo mzuri waimbaji wazur mpga knanda ni noma an 🎉🎉🎉🎉🎉 yaooo
@vachenga2 жыл бұрын
Twenty years of excellency and still counting. That's my team!
@donboscomedia63642 жыл бұрын
Urudi sasa ufundishwe kupiga tumba maaana zile zako hakuna tena🤣🤣
@donboscomedia63642 жыл бұрын
Shere the link to others to view
@vachenga2 жыл бұрын
@@donboscomedia6364 Kweli kabisa
@levinalinusy66952 жыл бұрын
hongeren.saana
@eliudmishago30702 жыл бұрын
💕💝💝💝💝💝💝💝💝don Bosco pokea zangu salamu
@ediphoncendakidemi2652 жыл бұрын
Nabarikiwa Saaana na hii nyimbo ndo maana sichoki kusikiliza🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰😍😍😍🤩🤩🤩💯💯💯
@kyomahamdan31772 жыл бұрын
Kazi nzuriiii sana...............!!!!!!!! Mungu azidi kutubariki.....
@marrygeogre32062 жыл бұрын
Good bless hakika mungu azidi kudumisha uwimbaji wenu hakika mmetuinjilisha kwa wimbo mzuri sana hongereni sana
@eliudmishago30702 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥✨🔥🔥🔥🔥✨✨🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✨✨✨✨penda sana
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Safari bado kaza mwendo mafanikio yanaitaji kupambana bado kitambo kidogo Mungu ataitika bado kitambo kidogo Mungu atajibu maombi
@wensilauskibongolo59652 жыл бұрын
mzigo huooooooooooooooooooo
@shimbibenard73202 жыл бұрын
Mungu aendelee kutukuzwa , Amani Ni tunu hakika
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Sichoki kutazama
@eliudmishago30702 жыл бұрын
Safi
@gradnesscharles9066 Жыл бұрын
Baraka mashibe hujawah kuniangusha ase unatisha sana kwenye mapigo
@jumannebasesa11002 жыл бұрын
Nawapongeza kwa kazi ya kumuimbia Mungu. Mungu azidi kuwabariki
@msackmedia68662 жыл бұрын
Nyie ni kisanga kingine hapo dar🤗💖😍walah msipotafutwa kwa uimbaji bora mnitafute niwape ela 😁 nawakubali wamba sana sana😍 iyo base 😊khaaa asanteee sana sana
@marrygeogre32062 жыл бұрын
Sauti zinavyopenya kwenye masikio hadi raha mungu azidi kutakatifuzwa kwa uwimbaji wenu
@kiriaregula84752 жыл бұрын
Familia ziwe shule ya upendo, hakika nazidi kubarikiwa
@arnoldkagaruki52772 жыл бұрын
Mungu azidi kutulinda sote, Tuilinde Amani ambayo ni zawadi ya Upendo wa Mungu Baba
@amblessed35772 жыл бұрын
Everything here is✅✅✅✅✅✅✅💯💯💯💯
@dativateddy1874 Жыл бұрын
Hongereni saana kwaya ya mt Don Bosco.....base haijatendewa haki
@kiriaregula84752 жыл бұрын
Nazidi kubarikiwaa, pig up don bosco
@deom.bantulaki3242 жыл бұрын
Hongera saana ndugu zangu wa damu.. Mungu na atubariki tuendelee kumtukuza Yeye aliye Juu
@sue8462 жыл бұрын
Wow, great production here, the dress code and all choreography its just wow.
@johnemmanuel56162 жыл бұрын
Mbarikiwe wanakwaya wa mt don bosco hakika hilo ni gobole mmetutakatifuza sanaaaa, kinanda kimenipa raha piah^^tunategemea kazi nyingineeee🎈🤗By Credo Mwanzale