Yani kwa kweli sa unataka wanachama tuje wote kweli mzee wamweke miongoni mwa hao watano baaaaaaaaasi
@amosimussa33602 ай бұрын
Mzee tulia kama wanachama waliwaamini hao watano wakawakilishe maana yake wanauhakika nao .na ukisema wanachama wote waingie kwenye mkutano mnakaa wap na ndo maana walichagua watu watano kwenda kuwakilisha acha maneno
@drallan68792 ай бұрын
We mzee huoni unaitendea club ndivyo sivyo?au mnatumiwa kuibomoa club?
@SylvesterEmmanuel-n8q2 ай бұрын
Daaah afya ya akili 😂
@ABDALLAHMWATANDA2 ай бұрын
HILI JAMBO LINGEKUWA UPANDE WA SIMBA , KINA KITENGE, JOB NA NASRI WANGEBANA PUA.....huwezi kuishitaki taasisi HALAFU mkuu WA TAASISI awe NJE ya team....JOB USIULIZE KWA KUBANA PUA....MAHAKAMA HAIJADILIWI
@emmanuellupiga2 ай бұрын
Sa mbona mkali iv
@izackkitomo68252 ай бұрын
Uyu mzeee anaelimu gani Kwanzaa
@mazengojohn20902 ай бұрын
Hao wazee wafungiwe na club wasijiusishe na yanga yetu
@eustadiusbahanzi2 ай бұрын
Huyu Mzee katumwa sasa ngoja tuoneee wew Mzee umechka maisha
@ChanganyaJaphetjr2 ай бұрын
hakuna kee hapo😮😮😅❤
@LinusKyando2 ай бұрын
MAGOMA KAMA HURIDHIKI NENDA SIMBA
@McKajiwe-kh3bd2 ай бұрын
Huyu hana tofauti na Feisal,Eti Eng aondoke!!??,ni kichaa tu ndio atamwelewa.
@fadhilkhamis89712 ай бұрын
Dah! Anyway ngoja nikae kimya tu
@amosleonard73592 ай бұрын
Bangi kabisa
@HusseinKoja-ww7gi2 ай бұрын
Huyo anaugomvi kwenye tawi
@SaidyKigoda2 ай бұрын
Naomba namba yahuyo mzee
@AbushiriOmari-s7n2 ай бұрын
Magoma nenda simba hatukutaki ww tunamtaka injinia toka huko
@ABDALLAHMWATANDA2 ай бұрын
ENG ALISEMA NILEETENIII HUYU AWE MAKAMO.WANGU..
@anathshabani29522 ай бұрын
Hao wanaowakilisha siwamebeba maoni na mawazo ya wanachama wanaowaongoza????
@georgepewa96242 ай бұрын
Huyu ni wakufungiwa milele
@robertmatabalo54542 ай бұрын
Huyu amepoteza sifa kuwa mwanachama wa Yanga. Aondolewe
@DhulkifliMkiji2 ай бұрын
Matumizi mabaya ya mahakama
@AgnesKado2 ай бұрын
Wew mzee nakuombea ufe
@frayy55952 ай бұрын
kufaa we kwanzaa😂
@haidhabushiri95582 ай бұрын
Ba@@frayy5595baby Babu yako huyo
@EsterMbilo2 ай бұрын
Mzee unapaswa uchapwe viboko
@RichardRomanuss2 ай бұрын
Tatizo la kuwapa nafasi wazee wa miaka ya 50 uko wawe na mamlaka kweny club
@haidhabushiri95582 ай бұрын
Yaani huyu mzee kichaa so wanachama wote twende kwenye mkutano
@VumiliaSabu2 ай бұрын
Akapimwe akili uyo
@maryaugustino87162 ай бұрын
Huyu mzee afutwe uanachama kabisa kama wanavyo fanya ccm mtu mgomvi kwenye taasisi kubwa ambaye ni mnafiki shubamit hatakiwi hata kwenye jumuia ya watu wstulivu.afutweeee uanachama hatumtaki kabisa zee hili,
@amosleonard73592 ай бұрын
Wewe ndy hatukutaki na wewe siyo bora kuliko yanga tuache na yanga yetu
@SalvatoryMtunga2 ай бұрын
Gsm huyuko kwenye bordy na wala hajawahi kuwa kwenye bordy.
@KiloMkundawantu2 ай бұрын
Mzee Acha upuuz tuachie timu yetu
@HappyClogShoes-hp9ho2 ай бұрын
Kudaako mzee😅😅😅😅😅
@AbushiriOmari-s7n2 ай бұрын
We mzee umechoka maisha
@clauschaula20502 ай бұрын
Magoma acha siasa kwenye soka.
@ashrafumbawala2 ай бұрын
Chama kaenda kuleta mgogolo 😂😂😂😂
@HamzaMfunen2 ай бұрын
Huyo magoma bwege.
@christinaalexander12132 ай бұрын
Kwa hiyo ulitaka wote 100 waende mkutano mkuu
@JOELCHIGUNDA2 ай бұрын
Sasa kama katiba imeshasajiliwa yeye ninani huyo mzee Ndo maana Eng.a nasema wala mihogo acheni kukorofisha maji yaliyotulia
@rajabumsuya-hg8jd2 ай бұрын
Yan anataka mkutano uhudhuriwe na watu woote Tanzania anaakili kweli huyu,,,anaongelea katiba ya nwaka 78 ambayo Tz ilikua na watu million 10 Sasahv kuna watu million 60 alafu unataka mkutano aje kila mtu si huo mkutano utafanyika Lupaso sasa
@duniayetujamiiyetu66232 ай бұрын
Ni haki as long as ni mwanachama
@aliissa87812 ай бұрын
Moira haukosi fitina ila haya yote yanakuja kutoka a na brand ya Simba kushuka na hawajui vp itapanda. Kwa hiyo lazima kuwe na propaganda kama hizi.
@MudyAlly-q7d2 ай бұрын
Kila TAWI Lina wanachama 100 wakija wote Kila tawi mnapakuwaweka au mzee mkutano uwe unafanyikia kwa mkapa
@elizabethkalinga08222 ай бұрын
ANAMAHUDHI HUYOOO
@ezrayohana35412 ай бұрын
Mmmmmmmmh hapa shida ni Elimu tu
@DouglasBilishanga2 ай бұрын
Huyu mzee na aliyetoa hukumu ya kesi hiyo hewa ni miongoni mwa Watanzania wachache waliosomea sheria lkn hawajui hata kidogo kutafsiriwa sheria wanatoa maamuzi kwa kuangalia mazingira na vifungu vya sheria.
@ShadrakNdalu2 ай бұрын
Huyo ametumwa huyo
@robertmatabalo54542 ай бұрын
Huyu mzee hajitambui kabisa
@rajabumsuya-hg8jd2 ай бұрын
😊😊😊😊😊kwahiyo huyu mzee anataka uongozi sio!!!!!😅😅😅😅kwanza ana elimu gani huyu!??
@tumwitikemanda76012 ай бұрын
Hawa wazee wametumwa waiondoe yanga kwenye dabi ya tarehe nane pumbavu sana wewe mzee
@hassaniibrahim3002 ай бұрын
HUYU PUMBA KWELIKWELI
@MaxCharles-wj5dg2 ай бұрын
mzee kichaaa huyo siyo bureee
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Mzee yuko sahihi kwenye sheria .ameona kuna upigaj mkubwa yanga .takukuru muone swala hili
@LinusKyando2 ай бұрын
UPIGAJI WA BABA YAKO?
@EdinaPastory2 ай бұрын
Waambie wafuatilie upiga wa kolo mwenzenu mo anayewaibia kila siku jibwa wewe
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
@@LinusKyando wa mama yako
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
@@EdinaPastory makasiriko ya nn sheria imefata mkondo wake .nategemea msaada wa viongoz kulituliza.achen dhulma
@ChanganyaJaphetjr2 ай бұрын
hakuna kes hapo 😂
@selemanmussa34592 ай бұрын
Sasa dhana ya uwakilishi maana yake nini? Wote tunaweza kwenda Bungeni? Lazima mifumo ibadilishwe ili kuendana na wakati. Hiyo kesi tunakata rufaa af utasubiri rufaa yako kwa miaka 50.
@MudyAlly-q7d2 ай бұрын
Asa kama team inafanya vzur mnataka nin Tena nyie wazee mbona mnazeeka vibaya ivi
@SalimuRamadhani-nl7bp2 ай бұрын
Huyo mzee messenger tu
@LinusKyando2 ай бұрын
KAMA HAO NI WAPENZI HAO WATANO WATACHAGULIWA NA NANI? NA UKUMBI GANI UTATUMIKA KWA WANACHAMA WOTE?
@jumamakonya26652 ай бұрын
Sisi hatutaki mgogoro ndani ya timu yetu wee mzee tulia sawa....!! Sii uache kulipa sisi tunalipia.... DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
@EdinaPastory2 ай бұрын
Hili zee jinga kwahiyo tukitaka kuchagua rais wa nchi tuchaguliwe watanzania wote sio? Mbona jimboni tuko watu wengi lakini tunamchagua mwakilishi mmoja? Liende kijijini likalime jibwa hilo. Shenzi kabisa
@luqmanomary35582 ай бұрын
Msimtusi huyu mzee anaongea kisheria sio kiushabiki mumuelwe maswali yake na maelezo yake mnvunjia heshim bure
@emanuelshirima92362 ай бұрын
Huyu Mzee Ni wale WA wanaitwaga bushlowyer😂
@amosleonard73592 ай бұрын
Njaa tu inamsumbua huyu mzee
@ndarohitra14952 ай бұрын
Pumbavu sana mzee machakacha huyu anataka nn kwani? Njaa hizi bhana acha kabisa na hapa keshakuwa kupe
@augustinemainde2 ай бұрын
Wavurugaji wako wengi huyu mzee aachiwe Yanga anayotaka na hii iuzwe iitwe tuone Kama ataiendesha eti mzee asituchokoze vijana tumetulia na Tanzania yetu
@LinusKyando2 ай бұрын
MZEE MAGOMA?HAKI NINI?HAO 95 WANACHAGUA VIONGOZI,WANAPELEKA WAWAKILISHI,WANACHOKIPATA WANARUDISHA KWA WATU 95
@kelvinngogo18192 ай бұрын
Huyu mzee hana hoja kabisa😂 njaa tu aweke namba ya simu tumchangie
@LinusKyando2 ай бұрын
KAMA HUJAWAHI KUITUMIA KATIBA KAA KIMYA
@Adolphine-if2 ай бұрын
Kwa hiyo huyu mzee anahitaji wanachama wakiwa nilionu moja basi wooooote wawe wanashirikishwa kwenye vikao eti daaaaaaaaaaaaah...!
@Zaynab-ny6gr2 ай бұрын
Huyu mzee akili zake hazina akili na huyo akimu wake sasa huo utakua mkutano au uwanja wa fujo
@EsterMbilo2 ай бұрын
Mzee unajtaka Nini mchawi mkubwa
@DouglasChuwa-ec7mv2 ай бұрын
Ameishiwa mada njaa imemponza huyo juma
@wazirimagayuka96812 ай бұрын
Kuna wanachama wangapi nchi nzima? Anataka wanachama wote washiriki kufanya maamuzi badala ya kuwa na wawakilishi wasiozidi watano. Ndio maana hata sisi wananchi tunawakilishwa na wabunge kila jimbo mbunge mmoja. Yeye mawazo yake angetaka wakati wa vikao vya bunge wananchi wote tuingie bungeni?
@amosingailo-xb6lf2 ай бұрын
Huyu mzee apewe tim tuone😂😂😂
@narcissusmakenge47102 ай бұрын
Huyu mzee kachoka. Bunge la Jamuhuri linawakilisha wananchi kutunga sheria na kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi, hii haiwafanyi watanzania waliobaki kutokuwa wananchi. Vyama kama ccm vinafanya maamuzi kupitia mkutano mkuu kwa uwakilishi wa wajumbe kwa niamba ya wanachama wengine, pia hii haiwafanyi wanachama wengine kutokuwa wana CCM. Akitaka agombee uongozi wa tawi ili aende mkutano mkuu.😂😂😂
@Zaynab-ny6gr2 ай бұрын
Hata taking hana wala card hai mchawi tuu huyo wa timu yetu
@fikirininasoro52722 ай бұрын
Wewe mzee acha ujinga utuache na yanga yetu
@SelestineJoseph-ww5gl2 ай бұрын
Afungilie club nyingine uyoo mzee lakini siyoo ya yanga injinia atakuwa raisi apo
@enockjoseph38182 ай бұрын
Huyo mzee Hajui anachokiongea hapo na sijui kusudi lake nini nymbafu
@kateadam82042 ай бұрын
Ndugu yake Mangungu 😂😂😂
@tabumayuhana472 ай бұрын
SIMBA WAPO KAZINI HAPO SASA😂😂😂
@H3s4d2 ай бұрын
Haya ni. Matatizo. Ya. Watu. Wanaoshikwa. Masikio. Na. Watu
@HusseinKoja-ww7gi2 ай бұрын
Hiyo kesi itatupiliwa mbali
@IsaKinyonga2 ай бұрын
Wee Mzee kuma nyoko nyoko zako
@JacksonKazuba-g3h2 ай бұрын
apo n atal ukifanikiwa vikwazo havikosekana
@albertvalentino1302 ай бұрын
Huyu MTU hana hoja ---- kwani mwanachama anakuwa mwanachama pale tu anaposhiriki vikao ? ---- " Nonsense "
@AlawiissaIssa2 ай бұрын
mzee endelea kujichosha
@HabibaHassan-y8y2 ай бұрын
Majibu yake ni pumba tupu.
@rajabumsuya-hg8jd2 ай бұрын
Huyu mzee mamluki Au ndio wale wapigaji sasahv hakuna hayo mambo yanga aende simba huko sisi hatuna 10% usajili anafanya rais
@SaidyKigoda2 ай бұрын
Huyo mzee nikichaa mbunge anwakilisha wananchi wangapi kwanini yeye alalamikie watu 95 kwahiyo tawi likiwa nawachama 5000 wote wakahudhurie mkutano huyu nikichaa kabisa
@H3s4d2 ай бұрын
Tatizo. Nini? Njaa
@amosleonard73592 ай бұрын
Hatukutaki wewe na urudishe kadi yetu ya uanachama
@DismasWilliam-cp3qe2 ай бұрын
Job wewe mwanasheria mtupu huyu mzee hana anachojua maana anajikanyaga tu kujibu
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts2 ай бұрын
Uyi mzee akasome kwanza juu huwezi kuchukuwa watu milioni 40 wakauzuliye mkutano