🚨Alieishitaki Yanga Magoma akifunguka Vingi,Aweka Ukweli wa kesi ilivyo.

  Рет қаралды 17,839

mtanange tv

mtanange tv

Күн бұрын

#football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

Пікірлер: 133
@Listarmwandenuka-fq8jm
@Listarmwandenuka-fq8jm 2 ай бұрын
Kumbe waongo haooo mwacheni Raisi wetu
@magobocrissvance1187
@magobocrissvance1187 2 ай бұрын
Aliye toa hukumu n shabiki wa simba
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 2 ай бұрын
Hakika
@anathshabani2952
@anathshabani2952 2 ай бұрын
Basi hata bungeni tungeenda wananchi wote
@josephlorri431
@josephlorri431 2 ай бұрын
Anaishi miaka ya 1930s.. kwa sasa yanga na simba imeenea nchi nzima. Ukumbi gani utatosha kubeba wanachama moja moja nchi nzima
@maxmia100
@maxmia100 2 ай бұрын
Huyo mzee kichaa
@GodfreyMarema-z7o
@GodfreyMarema-z7o 2 ай бұрын
Kesi rufaa yanga wanashinda alafu huyu mzee akamatwe mara moja,
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 2 ай бұрын
Duh sasa wanachama tuko wengi iv kweli tutakuwa tunakuja wote mkutanoni au mimi cjaelewa
@AliJussa
@AliJussa 2 ай бұрын
Taasisi yoyote huwa na wawakilishi wao kwenye matukio tofauti tofauti,, na hawaendi kinyume na maagizo ya taasisi, Huyu mzee ni mkorofi sana,,
@frayy5595
@frayy5595 2 ай бұрын
Sawaa mwenye taasis yako😅
@MohamedMoto-x2i
@MohamedMoto-x2i 2 ай бұрын
Uyo mzee ajitambui. Kama ninjaa aje shamba tulime atakula. Nasio kuchanganya mafaiili
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 2 ай бұрын
Yani kwa kweli sa unataka wanachama tuje wote kweli mzee wamweke miongoni mwa hao watano baaaaaaaaasi
@amosimussa3360
@amosimussa3360 2 ай бұрын
Mzee tulia kama wanachama waliwaamini hao watano wakawakilishe maana yake wanauhakika nao .na ukisema wanachama wote waingie kwenye mkutano mnakaa wap na ndo maana walichagua watu watano kwenda kuwakilisha acha maneno
@drallan6879
@drallan6879 2 ай бұрын
We mzee huoni unaitendea club ndivyo sivyo?au mnatumiwa kuibomoa club?
@SylvesterEmmanuel-n8q
@SylvesterEmmanuel-n8q 2 ай бұрын
Daaah afya ya akili 😂
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
HILI JAMBO LINGEKUWA UPANDE WA SIMBA , KINA KITENGE, JOB NA NASRI WANGEBANA PUA.....huwezi kuishitaki taasisi HALAFU mkuu WA TAASISI awe NJE ya team....JOB USIULIZE KWA KUBANA PUA....MAHAKAMA HAIJADILIWI
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 2 ай бұрын
Sa mbona mkali iv
@izackkitomo6825
@izackkitomo6825 2 ай бұрын
Uyu mzeee anaelimu gani Kwanzaa
@mazengojohn2090
@mazengojohn2090 2 ай бұрын
Hao wazee wafungiwe na club wasijiusishe na yanga yetu
@eustadiusbahanzi
@eustadiusbahanzi 2 ай бұрын
Huyu Mzee katumwa sasa ngoja tuoneee wew Mzee umechka maisha
@ChanganyaJaphetjr
@ChanganyaJaphetjr 2 ай бұрын
hakuna kee hapo😮😮😅❤
@LinusKyando
@LinusKyando 2 ай бұрын
MAGOMA KAMA HURIDHIKI NENDA SIMBA
@McKajiwe-kh3bd
@McKajiwe-kh3bd 2 ай бұрын
Huyu hana tofauti na Feisal,Eti Eng aondoke!!??,ni kichaa tu ndio atamwelewa.
@fadhilkhamis8971
@fadhilkhamis8971 2 ай бұрын
Dah! Anyway ngoja nikae kimya tu
@amosleonard7359
@amosleonard7359 2 ай бұрын
Bangi kabisa
@HusseinKoja-ww7gi
@HusseinKoja-ww7gi 2 ай бұрын
Huyo anaugomvi kwenye tawi
@SaidyKigoda
@SaidyKigoda 2 ай бұрын
Naomba namba yahuyo mzee
@AbushiriOmari-s7n
@AbushiriOmari-s7n 2 ай бұрын
Magoma nenda simba hatukutaki ww tunamtaka injinia toka huko
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
ENG ALISEMA NILEETENIII HUYU AWE MAKAMO.WANGU..
@anathshabani2952
@anathshabani2952 2 ай бұрын
Hao wanaowakilisha siwamebeba maoni na mawazo ya wanachama wanaowaongoza????
@georgepewa9624
@georgepewa9624 2 ай бұрын
Huyu ni wakufungiwa milele
@robertmatabalo5454
@robertmatabalo5454 2 ай бұрын
Huyu amepoteza sifa kuwa mwanachama wa Yanga. Aondolewe
@DhulkifliMkiji
@DhulkifliMkiji 2 ай бұрын
Matumizi mabaya ya mahakama
@AgnesKado
@AgnesKado 2 ай бұрын
Wew mzee nakuombea ufe
@frayy5595
@frayy5595 2 ай бұрын
kufaa we kwanzaa😂
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 ай бұрын
Ba​@@frayy5595baby Babu yako huyo
@EsterMbilo
@EsterMbilo 2 ай бұрын
Mzee unapaswa uchapwe viboko
@RichardRomanuss
@RichardRomanuss 2 ай бұрын
Tatizo la kuwapa nafasi wazee wa miaka ya 50 uko wawe na mamlaka kweny club
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 ай бұрын
Yaani huyu mzee kichaa so wanachama wote twende kwenye mkutano
@VumiliaSabu
@VumiliaSabu 2 ай бұрын
Akapimwe akili uyo
@maryaugustino8716
@maryaugustino8716 2 ай бұрын
Huyu mzee afutwe uanachama kabisa kama wanavyo fanya ccm mtu mgomvi kwenye taasisi kubwa ambaye ni mnafiki shubamit hatakiwi hata kwenye jumuia ya watu wstulivu.afutweeee uanachama hatumtaki kabisa zee hili,
@amosleonard7359
@amosleonard7359 2 ай бұрын
Wewe ndy hatukutaki na wewe siyo bora kuliko yanga tuache na yanga yetu
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 2 ай бұрын
Gsm huyuko kwenye bordy na wala hajawahi kuwa kwenye bordy.
@KiloMkundawantu
@KiloMkundawantu 2 ай бұрын
Mzee Acha upuuz tuachie timu yetu
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho 2 ай бұрын
Kudaako mzee😅😅😅😅😅
@AbushiriOmari-s7n
@AbushiriOmari-s7n 2 ай бұрын
We mzee umechoka maisha
@clauschaula2050
@clauschaula2050 2 ай бұрын
Magoma acha siasa kwenye soka.
@ashrafumbawala
@ashrafumbawala 2 ай бұрын
Chama kaenda kuleta mgogolo 😂😂😂😂
@HamzaMfunen
@HamzaMfunen 2 ай бұрын
Huyo magoma bwege.
@christinaalexander1213
@christinaalexander1213 2 ай бұрын
Kwa hiyo ulitaka wote 100 waende mkutano mkuu
@JOELCHIGUNDA
@JOELCHIGUNDA 2 ай бұрын
Sasa kama katiba imeshasajiliwa yeye ninani huyo mzee Ndo maana Eng.a nasema wala mihogo acheni kukorofisha maji yaliyotulia
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 2 ай бұрын
Yan anataka mkutano uhudhuriwe na watu woote Tanzania anaakili kweli huyu,,,anaongelea katiba ya nwaka 78 ambayo Tz ilikua na watu million 10 Sasahv kuna watu million 60 alafu unataka mkutano aje kila mtu si huo mkutano utafanyika Lupaso sasa
@duniayetujamiiyetu6623
@duniayetujamiiyetu6623 2 ай бұрын
Ni haki as long as ni mwanachama
@aliissa8781
@aliissa8781 2 ай бұрын
Moira haukosi fitina ila haya yote yanakuja kutoka a na brand ya Simba kushuka na hawajui vp itapanda. Kwa hiyo lazima kuwe na propaganda kama hizi.
@MudyAlly-q7d
@MudyAlly-q7d 2 ай бұрын
Kila TAWI Lina wanachama 100 wakija wote Kila tawi mnapakuwaweka au mzee mkutano uwe unafanyikia kwa mkapa
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 2 ай бұрын
ANAMAHUDHI HUYOOO
@ezrayohana3541
@ezrayohana3541 2 ай бұрын
Mmmmmmmmh hapa shida ni Elimu tu
@DouglasBilishanga
@DouglasBilishanga 2 ай бұрын
Huyu mzee na aliyetoa hukumu ya kesi hiyo hewa ni miongoni mwa Watanzania wachache waliosomea sheria lkn hawajui hata kidogo kutafsiriwa sheria wanatoa maamuzi kwa kuangalia mazingira na vifungu vya sheria.
@ShadrakNdalu
@ShadrakNdalu 2 ай бұрын
Huyo ametumwa huyo
@robertmatabalo5454
@robertmatabalo5454 2 ай бұрын
Huyu mzee hajitambui kabisa
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 2 ай бұрын
😊😊😊😊😊kwahiyo huyu mzee anataka uongozi sio!!!!!😅😅😅😅kwanza ana elimu gani huyu!??
@tumwitikemanda7601
@tumwitikemanda7601 2 ай бұрын
Hawa wazee wametumwa waiondoe yanga kwenye dabi ya tarehe nane pumbavu sana wewe mzee
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 2 ай бұрын
HUYU PUMBA KWELIKWELI
@MaxCharles-wj5dg
@MaxCharles-wj5dg 2 ай бұрын
mzee kichaaa huyo siyo bureee
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 2 ай бұрын
Mzee yuko sahihi kwenye sheria .ameona kuna upigaj mkubwa yanga .takukuru muone swala hili
@LinusKyando
@LinusKyando 2 ай бұрын
UPIGAJI WA BABA YAKO?
@EdinaPastory
@EdinaPastory 2 ай бұрын
Waambie wafuatilie upiga wa kolo mwenzenu mo anayewaibia kila siku jibwa wewe
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 2 ай бұрын
@@LinusKyando wa mama yako
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 2 ай бұрын
@@EdinaPastory makasiriko ya nn sheria imefata mkondo wake .nategemea msaada wa viongoz kulituliza.achen dhulma
@ChanganyaJaphetjr
@ChanganyaJaphetjr 2 ай бұрын
hakuna kes hapo 😂
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 2 ай бұрын
Sasa dhana ya uwakilishi maana yake nini? Wote tunaweza kwenda Bungeni? Lazima mifumo ibadilishwe ili kuendana na wakati. Hiyo kesi tunakata rufaa af utasubiri rufaa yako kwa miaka 50.
@MudyAlly-q7d
@MudyAlly-q7d 2 ай бұрын
Asa kama team inafanya vzur mnataka nin Tena nyie wazee mbona mnazeeka vibaya ivi
@SalimuRamadhani-nl7bp
@SalimuRamadhani-nl7bp 2 ай бұрын
Huyo mzee messenger tu
@LinusKyando
@LinusKyando 2 ай бұрын
KAMA HAO NI WAPENZI HAO WATANO WATACHAGULIWA NA NANI? NA UKUMBI GANI UTATUMIKA KWA WANACHAMA WOTE?
@jumamakonya2665
@jumamakonya2665 2 ай бұрын
Sisi hatutaki mgogoro ndani ya timu yetu wee mzee tulia sawa....!! Sii uache kulipa sisi tunalipia.... DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
@EdinaPastory
@EdinaPastory 2 ай бұрын
Hili zee jinga kwahiyo tukitaka kuchagua rais wa nchi tuchaguliwe watanzania wote sio? Mbona jimboni tuko watu wengi lakini tunamchagua mwakilishi mmoja? Liende kijijini likalime jibwa hilo. Shenzi kabisa
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 2 ай бұрын
Msimtusi huyu mzee anaongea kisheria sio kiushabiki mumuelwe maswali yake na maelezo yake mnvunjia heshim bure
@emanuelshirima9236
@emanuelshirima9236 2 ай бұрын
Huyu Mzee Ni wale WA wanaitwaga bushlowyer😂
@amosleonard7359
@amosleonard7359 2 ай бұрын
Njaa tu inamsumbua huyu mzee
@ndarohitra1495
@ndarohitra1495 2 ай бұрын
Pumbavu sana mzee machakacha huyu anataka nn kwani? Njaa hizi bhana acha kabisa na hapa keshakuwa kupe
@augustinemainde
@augustinemainde 2 ай бұрын
Wavurugaji wako wengi huyu mzee aachiwe Yanga anayotaka na hii iuzwe iitwe tuone Kama ataiendesha eti mzee asituchokoze vijana tumetulia na Tanzania yetu
@LinusKyando
@LinusKyando 2 ай бұрын
MZEE MAGOMA?HAKI NINI?HAO 95 WANACHAGUA VIONGOZI,WANAPELEKA WAWAKILISHI,WANACHOKIPATA WANARUDISHA KWA WATU 95
@kelvinngogo1819
@kelvinngogo1819 2 ай бұрын
Huyu mzee hana hoja kabisa😂 njaa tu aweke namba ya simu tumchangie
@LinusKyando
@LinusKyando 2 ай бұрын
KAMA HUJAWAHI KUITUMIA KATIBA KAA KIMYA
@Adolphine-if
@Adolphine-if 2 ай бұрын
Kwa hiyo huyu mzee anahitaji wanachama wakiwa nilionu moja basi wooooote wawe wanashirikishwa kwenye vikao eti daaaaaaaaaaaaah...!
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 2 ай бұрын
Huyu mzee akili zake hazina akili na huyo akimu wake sasa huo utakua mkutano au uwanja wa fujo
@EsterMbilo
@EsterMbilo 2 ай бұрын
Mzee unajtaka Nini mchawi mkubwa
@DouglasChuwa-ec7mv
@DouglasChuwa-ec7mv 2 ай бұрын
Ameishiwa mada njaa imemponza huyo juma
@wazirimagayuka9681
@wazirimagayuka9681 2 ай бұрын
Kuna wanachama wangapi nchi nzima? Anataka wanachama wote washiriki kufanya maamuzi badala ya kuwa na wawakilishi wasiozidi watano. Ndio maana hata sisi wananchi tunawakilishwa na wabunge kila jimbo mbunge mmoja. Yeye mawazo yake angetaka wakati wa vikao vya bunge wananchi wote tuingie bungeni?
@amosingailo-xb6lf
@amosingailo-xb6lf 2 ай бұрын
Huyu mzee apewe tim tuone😂😂😂
@narcissusmakenge4710
@narcissusmakenge4710 2 ай бұрын
Huyu mzee kachoka. Bunge la Jamuhuri linawakilisha wananchi kutunga sheria na kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi, hii haiwafanyi watanzania waliobaki kutokuwa wananchi. Vyama kama ccm vinafanya maamuzi kupitia mkutano mkuu kwa uwakilishi wa wajumbe kwa niamba ya wanachama wengine, pia hii haiwafanyi wanachama wengine kutokuwa wana CCM. Akitaka agombee uongozi wa tawi ili aende mkutano mkuu.😂😂😂
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 2 ай бұрын
Hata taking hana wala card hai mchawi tuu huyo wa timu yetu
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 2 ай бұрын
Wewe mzee acha ujinga utuache na yanga yetu
@SelestineJoseph-ww5gl
@SelestineJoseph-ww5gl 2 ай бұрын
Afungilie club nyingine uyoo mzee lakini siyoo ya yanga injinia atakuwa raisi apo
@enockjoseph3818
@enockjoseph3818 2 ай бұрын
Huyo mzee Hajui anachokiongea hapo na sijui kusudi lake nini nymbafu
@kateadam8204
@kateadam8204 2 ай бұрын
Ndugu yake Mangungu 😂😂😂
@tabumayuhana47
@tabumayuhana47 2 ай бұрын
SIMBA WAPO KAZINI HAPO SASA😂😂😂
@H3s4d
@H3s4d 2 ай бұрын
Haya ni. Matatizo. Ya. Watu. Wanaoshikwa. Masikio. Na. Watu
@HusseinKoja-ww7gi
@HusseinKoja-ww7gi 2 ай бұрын
Hiyo kesi itatupiliwa mbali
@IsaKinyonga
@IsaKinyonga 2 ай бұрын
Wee Mzee kuma nyoko nyoko zako
@JacksonKazuba-g3h
@JacksonKazuba-g3h 2 ай бұрын
apo n atal ukifanikiwa vikwazo havikosekana
@albertvalentino130
@albertvalentino130 2 ай бұрын
Huyu MTU hana hoja ---- kwani mwanachama anakuwa mwanachama pale tu anaposhiriki vikao ? ---- " Nonsense "
@AlawiissaIssa
@AlawiissaIssa 2 ай бұрын
mzee endelea kujichosha
@HabibaHassan-y8y
@HabibaHassan-y8y 2 ай бұрын
Majibu yake ni pumba tupu.
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 2 ай бұрын
Huyu mzee mamluki Au ndio wale wapigaji sasahv hakuna hayo mambo yanga aende simba huko sisi hatuna 10% usajili anafanya rais
@SaidyKigoda
@SaidyKigoda 2 ай бұрын
Huyo mzee nikichaa mbunge anwakilisha wananchi wangapi kwanini yeye alalamikie watu 95 kwahiyo tawi likiwa nawachama 5000 wote wakahudhurie mkutano huyu nikichaa kabisa
@H3s4d
@H3s4d 2 ай бұрын
Tatizo. Nini? Njaa
@amosleonard7359
@amosleonard7359 2 ай бұрын
Hatukutaki wewe na urudishe kadi yetu ya uanachama
@DismasWilliam-cp3qe
@DismasWilliam-cp3qe 2 ай бұрын
Job wewe mwanasheria mtupu huyu mzee hana anachojua maana anajikanyaga tu kujibu
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 2 ай бұрын
Uyi mzee akasome kwanza juu huwezi kuchukuwa watu milioni 40 wakauzuliye mkutano
@EsterMbilo
@EsterMbilo 2 ай бұрын
Fuuta uanachama huyo
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 28 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 12 МЛН
MWIJAKU na DOTTO MAGARI WAKUNJANA mbele za watu
8:01
Rick Media
Рет қаралды 380
ALLY KAMWE: BALEKE ALIKUWA ANALISHWA MADAFU 😂
13:18
Millard Ayo
Рет қаралды 31 М.
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 28 МЛН