Barcelona alidominate el-clasico 2008-2011. Madrid alishinda mechi 1 katika mechi 9 na bado el-clasico ilikuwa ni mechi kubwa
@halidijuma18844 сағат бұрын
Good job ALLY
@GodwiniFwelo12 сағат бұрын
Wilison ndio maana mashavu yamekuvimba mbwa wewe. Unasemaje jambo la hovyo wakati we inaonekana ata vyeti umegushi mbwa. Au ulitaka asemeje. Kugombanisha watu tuu kuchambua aaah. Wilson mjinga sana
@jacobjames870612 сағат бұрын
Ally kamwe yupo sawa
@khajihamisi505413 сағат бұрын
Willison na hizo so ndiyo zako unataka Ally afanane na wewe Kwa mtazamo? Uzwazwa huo!! Wachezaji wa Yanga wanamuelewa zaidi afisa habari wao, nini anaamanisha kuliko wewe unavyotaka!!!
@musamshema783810 сағат бұрын
Kwani nyinyi mnalazimisha kilamtu awe naakili yenu ya nyumbu ?
@ShaffHumba10 сағат бұрын
Willison sio mchambuzi Bora afanye kazi zngin
@robertmatabalo545413 сағат бұрын
Uruma sijui nani huyo asilazimishe kubadili ukweli wa Kamwe kuwa lengo ni pont 3. Hayo mengine ni yenu
@MauBonde5 сағат бұрын
Nyie wachambuzi mnataka sasa yanga tuwahurumie simba kisa derby kupoteza mvuto ,wajikaze na na wajipange na wachezaji wenye ubora.
Ally kamwe ni master mind wa propaganda bomu linapikwa. Eng Hersi said ni master mind
@shukukamanda7972Сағат бұрын
Hahahaha oruma hamnazo kabx..cjui darasan alifauruje ?? Asante kwa kumuelewexha
@ephronmsuva13 сағат бұрын
Siku hizi tumegundua ukiona Simba anacheza na Azam, unampa Simba unatia mzigo fullstop
@ephronmsuva13 сағат бұрын
Ally alikuwa sahihi kabisaa maana hakuna usumbufu ambao Simba anaupata akicheza na Azam? Hiyo ni sawa na kiluvya tu hakuna lolote
@vincentshekibula667010 сағат бұрын
Nyie hembu oneni aibuu... hizo tafsiri zenu za upotoshaji mziacheee😮
@musamusa62138 сағат бұрын
Wachambuzi wa mchongo mlitaka ali kamwe aseme simba inapigwa saba ili😂mje mpate kwa kusemea kawatowa mna bwabwaja 😂😂
@dalmasokoth419010 сағат бұрын
Kuna mechi msemaji wa simba alitoa kauli ya kukatisha tamaa mashabiki na alinukuliwa akisema " shabiki mwenye roho ngumu ndio aje uwanjani" mlikemea? Nyie mnaojifanya mawatch dogs leo mliongea nini?! Yaani nyie hamjui mnalolisema bali mnaendeshwa na ushabiki wenu!
@rizmarkabraham39218 сағат бұрын
Sasa oruma ulitaka usikie msemaji akiwaambia mashabiki na wapenzi wa Yanga pamoja na wachezaji kuwa tunaenda kufungwa? Kwa hiyo oruma kariakoo dab inatofauti na mech nyingine kwa kuwa inapoint tofauti na nyingine acha kuwa mtu usiyeweza kutafakari
@allydaud61213 сағат бұрын
Nyie wachambuzi wote ni kuku maji dabi inaamuliwa na timu iliyojiandaa vizuri haijalishi wamefungwa mara ngapi mfululizo
@allykiduli215613 сағат бұрын
Wanaoharibu derby Ni marefa na nyie wachambua tembele
@dalmasokoth419010 сағат бұрын
Unaposema mawazo ya mwenzio ni ya hovyo je umefanya tathmini kuwa mawazo yako wewe ni bora?! Acha mawazo mgando wewe Oruma.