MASHABIKI TUSIWASIKILIZE WALE WANAOWASEMA WACHEZAJI WA SIMBA.WANAANZA WAO TUKIWAACHA TUU WANAWACHUKUA KISHA WANAANZA KUWACHEKA TUWE MAKINI SANA MASHABIKI.
@nicholausmukoji97209 күн бұрын
Yanga bhana akili zao sijui zinakuaga wapi aise, na kagoma haombi msamaha na atacheza
@AbisinaRashidi-c8d8 күн бұрын
Ndo maana nyuma mwiko wanateseka mala kagoma mala Simba wapokonywe point jamani uoga TU oo kagoma mchezaji wa yanga nyuma mwiko wakae Kwa kutulia Simba ya moto
@Shabanimbepo8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂wazikeeee
@anithawidambe75439 күн бұрын
ALI KAMWE WEWE UNA ROHO MBAYA SANA. MBONA NYIE MNAWADANGANYA WACHEZAJI WA SIMBA HAWAJAWAAMBIA HIVYO ACHENI ROHO MBAYA. CHEO NI DHAMANA LEO UNACHEO KESHO UTAKUWA HUNA. TFF ALI KAMWE AAE UTOTO ANATAKASIFA. KWANI YEYE HUWAAKOSEI?
@yunusimchala65699 күн бұрын
Na amesimamishwa kucheza
@SwalehJuma-e5i9 күн бұрын
Ali kwamwe kua kiongoz wa Mpira hata hao wazungu wanawatoa akili
@muksinimbaruku12338 күн бұрын
Hahaha kagoma gani anayecheza mpka ligi kuu? Kama angekuwa wenu simba si angepokonywa points 3 ambazo kagoma alicheza
@boniphacenashon70839 күн бұрын
Mwaka huu mtavurungwa xana
@Shabanimbepo8 күн бұрын
😂😂😂😂
@AbisinaRashidi-c8d8 күн бұрын
Ali kamwe SI mke wa injinia eti kagoma aombe msamaha nyoo wakaolewe uko wote huo uoga yanga wenye akili ni wawili TU waliobaki hamnazo wamepeleka uchawi kmc ukadunda Sasa wanahangaika
@Shabanimbepo8 күн бұрын
😂😂
@muksinimbaruku12338 күн бұрын
Hao yanga ni wajinga sana, wanahisi wataitoa simba kwenye ramani. Huyo kagoma haombi msamaha na yupo sahihi, barua ya uchumba inarejeshwa fresh tu aktokea mume mwingine
we umetumwa na yanga wenzako. mbona mnawashwa sana
@saimonntani68319 күн бұрын
Acha ushamba Simba timukubwa sana.hawezi kuomba msamaa pakashume wewe.mwakahuuu mtajambiana sana.mbuzinyie. kagoma mwenyewe amesema alisain mkataba ambao ulikuwa haukufuatwa mahitaji ya mchezaji.hamnapesa ya kumlipa yusuph kagoma.
@revocatusmalimi45259 күн бұрын
Nimemsikiliza GB 64 kuhusu Yusuf Kagoma,Yanga hawana issue.Simba ilifanya biashara na Singida Black star na siyo Kagoma. Singida walitoa kibali kumuruhusu acheze Simba sasa Yanga ambao walikimbilia kuanza kuongea na Kagoma wanatakiwa wahangaike na mchezaji kama ilivyokuwa kesi ya Morison wakati amehamia Simba.