Allaah azid kukuweka mwenye baba wallaah nakupenda xn kwaajl ya Allaah
@hajjisanga7894 ай бұрын
Asante alhabib tupo pamoja na hii ndio fatwa ya sheria ktk vitabu na maimamu wengi hata suudia yenyewe hatu wezi kupelekwa na vikundi vya watu wanavyo taka wao iwe hivyo vitabu vipo someni mujue fatwa zetu
@AmirBadol4 ай бұрын
Jazaka allah khaira ahsante kwa kutuekeye wazi msimamo wetu
@abiabi93534 ай бұрын
Mashallah
@Ahmed-l7k7k4 ай бұрын
Shukran
@aninanichasi4224 ай бұрын
wewe huna heshma kabbisa
@Abdulrahman.844 ай бұрын
Shukran wajazaka allahu kheir Habib tumefurahi sanaa
@AliAliyan-ib3sr4 ай бұрын
Inshaallah mungu akupe killa la kheir
@mamasan48694 ай бұрын
Hatufuati ziodi Arabia kabisa.hongera mwenye.
@mssellemamin53604 ай бұрын
MWEZI TUMEUONA NA ARAFA NI JUMAPILI NA EID NI JUMA TATU
@aliabdalla92974 ай бұрын
Umeuona wapi mwezi 28?
@apocalypsematrix92524 ай бұрын
MASHA ALLAH TABARAK ALLAH HAWO MASALAFI WAHABI NI WANAFIKI WAKOROFI KATIKA DINI YA ALLAH SISI TUTAFUATA CHIEF KADHI WETU MOLA AMONGOZE NA AMHIFADHI SISI TUTAFUATA NA TUNAFUATA QURAN NA SUNNAH PEKEE WALA HATUFUATI SAUDI ARABIA
@subulus_salaam20234 ай бұрын
Unastaajabisha kweli unajua lakini chief kadhi katangaza eid lini au unajiongelea tu?
@muhsinabdalla16804 ай бұрын
Wajua hukmu yakuwaita flani wanafiki au nikuongea kwa chuki dhidi ya saudia kwa kuisimamia tawheed
@HanifaOman-oo4pl4 ай бұрын
Ujui hata uyoimam went anasemanini ww.unalopokatu
@muktarkassim66474 ай бұрын
ustadh Ahmad Badawi ma mufti wako wangapi Kenya 😂😂😂
@aliabdalla92974 ай бұрын
Hebu wacha utoto
@muktarkassim66474 ай бұрын
@@aliabdalla9297 ni swali na sikila mtu akiuliza na Kueka vibozo vya kucheka ni Istazai ....laa KEMNAC wako na mufti wao juzi tumeona wakijitokeza na kumpinga A-Alamah Mwinyi Baba.... Sisi waislamu tumefanya Dini ni kiwanja Cha mpira....
@lacroquetalacroqueta68134 ай бұрын
😂😂😂
@jamalAlly-p2y4 ай бұрын
Sasa nyinyi mawahabi simngeenda kuswali nawahabia wanzenu huko saudia maana mnahaha mbona kuswaki mwafata kenya hamfuati adhana za saudia?
@jamalAlly-p2y4 ай бұрын
Kuswali
@muhsinabdalla16804 ай бұрын
Kapimwe akili Acha kuwa hasda
@jamalAlly-p2y4 ай бұрын
@@muhsinabdalla1680 kuswali saa mnaangalia za east africa ila ibada za funga na eid ati mnafata duniani kokote kule maana kuna wengine saa 6 za usiku muda huu sasa vp watakua sawa na nyinyi miwahabi? Weye na wanzio ndo mnatakiwa mpimwe 3agil