MZIWANDA ALBADIRI NA KUCHORA NAZI TOFAUTI YAKE NINI || Muhammad Bachu || 28 January 2025

  Рет қаралды 16,343

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 324
@aliboy3536
@aliboy3536 8 күн бұрын
Allah akuzidishie shekhe letu,usichoke wala usinyamaze,hakika umetubainishia mengi kwa mda mchache tunao kuskiza,umetutoa kwenye ujinga,tulifwata kiupofu ila Allah kakupa nafasi ya kutufungua,usiofie maneno wala matusi yao,nichuki zao za kubainisha ukweli,Allah akupe afya
@aooshosho4255
@aooshosho4255 8 күн бұрын
Safari hii wenye kujifanya wanapeleka dini watakavyo na kuelekeza waislamu ndivyo sivyo... sheikh nasoro Mohammed bAchu Yuko kuweka na kusafisha mazingara Kwa dini.. wengi wamepotezwa kwakutojua masomo... Allah akuifadhi daima sheikh bAchu juwa wengi tumenufaika tusiokuwa na ushabiki... barakaka Allah.
@eddieeddie2755
@eddieeddie2755 8 күн бұрын
Barakallah fik akhui Muhammad Nassor Bachu, Allah (S.W) akulinde na mahasidi, tufungue akili zaidi, tumetokea huko ktk makhurafi mumetusaidia sana waislamu tunaofata haqi popote ilipo.
@fayyadhabdullah9894
@fayyadhabdullah9894 8 күн бұрын
جزاك الله خيرا ياشيخنا وبارك الله فيك ورحم الله والديك.. والله انت كفوو انت بطل الأبطال
@Khamis-n8p
@Khamis-n8p 8 күн бұрын
Sheikh Muhammad Bachu Allah akulinde
@ismailhussen7875
@ismailhussen7875 8 күн бұрын
Allah akuhifazi sheikh Muhammad bachu hafidwahu llahu taala
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 6 күн бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@SabriKhamis-gz9cy
@SabriKhamis-gz9cy 8 күн бұрын
Sasa ivi nikuweka Sawa mote mulimoharibiwa katika Dini na Hamna kuwaogopa wala kujali ukubwa wao❤
@BashiruMteka
@BashiruMteka 7 күн бұрын
Allah akuongoze sheikh wetu 🙏
@KishkitvAhmad
@KishkitvAhmad 8 күн бұрын
Masha Allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 Allah ukupe umri mrefu wenye baraka na manufa sheikh Muhammad nassor bachu uhibuka fi Allahi
@imamumohamedmalina6995
@imamumohamedmalina6995 8 күн бұрын
Shukran sana sheikh Muhammad Allah akuhifadhi na akuzidishie maarifa na ni kweli hata mimi nilipo msikia Haji mwili ulisisimka!!
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 3 күн бұрын
SubhanaAllah Sheikh huko kwenye mitandao kumeja vituko kama hivyo vya kuudhalililsha waislam uki angalia comments zawa upande wa poli ni msiba wallahi 🥺
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn 5 күн бұрын
ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH MUHAMMAD NA WANAOKUCHUKIA WEWE NI KWA MASLAHI YAO TU
@babaawena
@babaawena 8 күн бұрын
HAPA MZIWANDA UKITOBOA NAKUNYANYULIA MIKONO... HAPA!!!
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 8 күн бұрын
MashaAllah mashaAllah maneno mazuri Allah akupe afya na athibitishe maneno yko
@salimmohamed4919
@salimmohamed4919 8 күн бұрын
Assalam. Allah akuhifadhi wewe na sisi inshaallah. Mimi nilikuwa nawapenda sana hawa masheikh wa tanzania lakini kwa kweli sio watu wenye kusimamisha hakki. Nahawasimami kutetea hakki kwa vitabu. Wao ni mashairiiii tuuuu. Shekhe wangu alisema, kuna jamaa kasema pia .(LAKINI SIMSEMI KWASABABU MWENYEWE YUPOOOO)😅 Ila Allah yupo awaongowe kabla hawajakufa kwasababu Dunia yenyewe ishawachoka masheikh washirikina. Mimi mwenyewe nishabanjisha nazi sana na kuwapelekea kuku kumbe kwao ni kitoweo mchuzi mchuziiiii.
@scienceandlifetips
@scienceandlifetips 8 күн бұрын
Naam Allah atuongoze tuijue Tawheed na kuifata
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
Maashallah,,,, Allah akubariki Sheikh wetu Muhammad bachu,,,, Atuzidishie elimu kwa sote,,, na atujaalie elimu hiyo kua ndio sababu ya kuingia peponi,,,,, ameen.
@AlmasAbdallah-r3g
@AlmasAbdallah-r3g 8 күн бұрын
Akhy Khalfan kama unanikumbuka ni ndugu yako mwanzo nlkua natumia jina la hamis nilikua napenda sana kukuuliza ndugu yangu upo tukiongea sana na kumpongeza Bachu mpaka tukitaka awe pa1 na sheikh Qassim lakin alhamdulillah kwasasa nimebainikiwa Akhy Muhammad Bachu kuna pahala hayuko sawa mfano angalia watu ambao anaamiliananao Wallah mtihani sana kama wale al hajar akhy chanel yao ni Salafy kweli? Wanaripot mpaka khabar za mpira. Amtetea Kishk na kaka ake unawaona marafiki zao ni watu wa bida'a wakina Mwaipopo,pia angalia akiwa anawaradd masufi busara na adabu anazowapa halafu njoo umsikie akimradd Sheikh Qassim na watu wa sunna maneno yake watamani kulia.Mwisho akhy huyu bwana kuna baadhi ya mambo kaanza kuacha mfano kuita jadida unamsikia saivi!! Na zipo taarifa za ndani yasemekana kaachana na Barahiyani Tumuombee kwa Allah kijana abadilike hayuko mstari wa sawasawa.
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
@@AlmasAbdallah-r3g Allah amjaalie abadilike kwa pale ambapo itakua hayupo sawa,,,,, ila Akhy 1. kuamiliana na watu wa bida'ah hakuna tatizo ikiwa haupo pamoja nao katika bida'ah zao, na inawezekana ikawa ndio njia rahisi ya kufikisha ujumbe kwa watu wengi,,,, Akhy hakuna sheikh hata mmoja hapa Tanzania aliekua haamiliani na watu wa bida'ah na huo ndio mfumo wa maisha yetu,,,, ila sharti ni kwamba usije kuingia katika bida'ah zao. 2. Suala la kuwatetea kina Kishki ni tatizo,,,, ila me nafikiria Kishki na Muhammad Bachu ni tofauti,,,, Kama aliwahi kumtetea sio kipimo cha kua wapo pamoja mpaka leo,,, Kuna video moja ya Diwani anasema ameambiwa na Kishki kua aache kufanya raddi na Muhammad Bachu kwani ni kijana..... akataja sifa mbaya hapo,,, hilo pia linadhihirisha kua Muhammad Bachu hayupo pamoja na Kishki,,,, 3. Katika maswala ya kimisimamo Muhammad Mafuta na kaka yake Sheikh Qassim Mafuta na Abdallah Humeid misimamo yao ni mikali sana na imepelekea mpaka kutokua na uadilifu katika kuwatoa watu katika sunnah,,, Hilo ndio tatizo kubwa nililoona mm upande wetu huo. 4. Kama itakua unafanya uadilifu zaidi basi pia utagundua kua maneno anayotumia Muhammad Mafuta na Abdallah Humeid ni mabaya na makali kuliko ya Muhammad bachu hapa fanya utafiti utaona. 5. Muhammad Mafuta na Sheikh wetu Qassim Mafuta tatizo jingine ni kutoweza (kujisikia tabu) kufanya taraaju'i pale ambapo walisema kitu kisha akatokea mtu kuja kuwarekebisha hilo ni tatizo pia katika upande wetu huu,,,,, Mfano Muhammad Mafuta alipomuita Sheikh Muhammad Bachu jaahil murakkab kwa sababu amesema bismillahi yote wakati wa kula jambo ambalo ni ruhusa kisheria hili hata watoto wadogo wengi wanajua,,,, ila yeye bado alikuja na kuonesha kibri juu ya maneno hayo ya wanachuoni yeye akijua anampinga Sheikh Muhammad Bachu kumbe anapingana na istinbatwi za wanazuoni,,,, Akhy yapo mengi sana ambayo nimeyaangalia katika vipimo vyangu na kuthibitisha kua usalafy wa kweli mpaka sasa anao Sheikh Muhammad Bachu labda hapo unipe mtazamo wako juu ya hili,,,,
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
@@AlmasAbdallah-r3g Akhy fanya utafiti zaidi ila hii ni dini,,,, Hakki lazima isimame kua hakki,,, kisha sio sababu ya kua tunasoma kwa Sheikh fulani ikawa yeye tunamtetea hata kama anatatizo,,, Akhy mm nasoma kwa Masheikh wakubwa tu wa bida'ah bali wanapobainishwa hua siumiii bali wakisemwa vibaya ndio naumia. Na siku nyengine wao hunipiga raddi wanatafairi kisha husema hapa salafy wengi wamebugi au hivi kwani kama imewabainikia kwa mbali kua sio upande wao ila naswali nao, nasoma nao naamiliana nao katika maisha ila katika bida'ah zao hawanipati,,, huo ndio mfumo wa maisha
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
​@@AlmasAbdallah-r3g Sheikh kitu kikubwa ambacho nakuhusia ni kwamba *"Tusome elimu tusisome misimamo"* kisha hii elimu yetu ndio itubainishie upi ni msimamo sahihi na ipi ni baatwili. Allah atuweke katika manhaj ya sawasawa,,,,
@saidali9255
@saidali9255 8 күн бұрын
Bachu anasafisha palipo chafuliwa! Allah amlinde insha Allah!
@sakinasakku8340
@sakinasakku8340 8 күн бұрын
MAASHAA ALLAH jazakallakum kheir sheikh ,,,,, hawa watu hawanamsimamo wakokwaejili yamaslahiyao,,,
@SaleheRamadhani-ny7fn
@SaleheRamadhani-ny7fn 8 күн бұрын
Asalam Alaikum warahmatullahi wabarakatuh Allah Akuhifadh shekh Muhammad tusichoke kuwa kumbushe Allah Awazindue kwakwel
@husseynomar9523
@husseynomar9523 8 күн бұрын
MashaAllah, Sheikh Bachu Allah akuhifadhi Aamin.
@mohammedi8850
@mohammedi8850 8 күн бұрын
ALLAH AKUONGOZE SHEIKH BACHU.. NIKIKUANGALIA WEWE NA SHEIKH KISHKI NATOSHEKA SANA
@mohammedi8850
@mohammedi8850 8 күн бұрын
ALLAH AKUPE NGUVU.. NA HATIMA NJEMA SHEIKH BACHU..
@mohammedi8850
@mohammedi8850 8 күн бұрын
Vedio nyengine nakuomba ufafanue Hawa masharifu.. mtihani sana
@yusufathman2478
@yusufathman2478 8 күн бұрын
Wa aleykum mussalam warahmatullahi wabarakaatu sheikh... Alieandika comment hii na mmi nisomae. Twamuomba Allah subhaanahu wata'ala atuhifadhi, atusamehe madhambi yetu.. yote ya siri na ghaibu., ndugu zetu waliotangulia Allah awarehemu. Atujaalie sisi maisha marefu na tuishi kwa twaa yake. Aaaamin yaa rabii
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
Ameen,,,
@Zuhurashamuni
@Zuhurashamuni 8 күн бұрын
Amina
@bavugubusaissa5126
@bavugubusaissa5126 7 күн бұрын
Barakallah fiykum❤❤
@LuluAquai
@LuluAquai 8 күн бұрын
Sheikh hao wote wamoja,kumshirikisha Allah kwao ni kawaida
@husseinmongolare3417
@husseinmongolare3417 7 күн бұрын
Shukran
@HajiKabacalaf-kv7fd
@HajiKabacalaf-kv7fd 8 күн бұрын
Barakallahu fikum sheikh
@JaylanAbdallah
@JaylanAbdallah 8 күн бұрын
Shek nasoro bacho Allah akuifazi na fitina zote nakuleteya mtt wangu akimariza kidato Cha 4
@Manyanya8551
@Manyanya8551 8 күн бұрын
HUYO MZIWANDA MTU WA MADILI NA KUTAKA KUWARIDHISHA WATU SIO BURE MAANA SIDHANI KAMA HALIJUI HILO ALLAH AMUONGOZE.
@MbongoinToronto
@MbongoinToronto 8 күн бұрын
Huku kwetu Tanzania kuna masheikh na machawa. Hawa machawa wanakubaliana na lolote lile kwa maslahi yao hata kama ni shirk. Wanasahau kesho mbele ya Allah wana maswali mazito ya kujibu. Allah awaongoze 🤲🏽. Pia sheikh wangu usiwache kuwalingania hawa watu manaake dini ya Allah wanaifanya ni mzaha kufurahisha watu wenye vyeo au hela
@khamisikram-br9hg
@khamisikram-br9hg 6 күн бұрын
Mashallah
@omarsal3266
@omarsal3266 8 күн бұрын
Allahu Akbar, Allah amrehemu Sheikh Nassor Bachu na ampe Jannatul firdaus kwa juhud zake za kuipigania TAWHEED na tuachia JEWELS ...!
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 8 күн бұрын
بارك الله فيكم وحفظكم الله شيخنا الفاضل
@DishonestTz
@DishonestTz 4 күн бұрын
Naaaam
@SuleimanSalum-ck1ws
@SuleimanSalum-ck1ws 7 күн бұрын
Mashaaallah
@KhamisiMbarami
@KhamisiMbarami 5 күн бұрын
Maneno mazuri shekh ila kofia umeivaa kihuni halifu kwa nini meashekhe wetu munaacha kushughulikia mambo ya maana munashughilikia khilafu na mbambo ya upuuzi watu hawana dini kabisa huko vijijini wanataka muongozo nyinyi munabishana tu mjini ili sijui kwa maana gani ili muonekane au mupate ulaji allaah atuunganishe inshaallaah.
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
Sena kweli ulonayo, ati kofia au vijjni, Haya twafaidika hatuyajui ya Nazi Na mengi b honest bro
@SaidishabaniSedo-j
@SaidishabaniSedo-j 8 күн бұрын
Tunamuomba Allah mwisho mwema, na atuongoze katika Imani thaabiti.
@Khalidniya380
@Khalidniya380 8 күн бұрын
34:39 watu kama hawa ndio wamefanya Dini yetu imekua ikichafuliwa na kuonekana kama ni Dini ya Uchawi Allah atuongoze
@iddimohamed254
@iddimohamed254 8 күн бұрын
Wah ndio mana mashekh wengi wa twarika ni waganga..tamaa ya kutafta hela bila kujali dini.
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 8 күн бұрын
Allah Akuhifadhi sheikh Muhammad...
@JumaAthuman-bk6hx
@JumaAthuman-bk6hx 8 күн бұрын
KUNA MASHEKH WALIMVAA SHARIFU KIBOKO YA WACHAWI YULE TAPELI, LAKINI LEO HATUWAONI KUWAVAA HAWA WASHIRIKINA ALLAH" AWAONGOZE WATUBIE KABLA KUAMINISHA WATU UJINGA.
@babaawena
@babaawena 8 күн бұрын
Wanaoamini Shekh Muharram atajibu 100 - 10 = 0 gonga like
@maheralmuayqily1900
@maheralmuayqily1900 8 күн бұрын
Bora hilo kwa hojja hzo maj8bu yake yatakuja hv pilau na biriani kipi kitamu (Unajua nikila maharage nina vidonda vya tumbo..)😊😊😊
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 8 күн бұрын
Allah akulinde ustadhi pamoja na sisi
@HamadMwalimu
@HamadMwalimu 8 күн бұрын
Allah akulipe she Muhammad nakukubal san
@maulidmussa8969
@maulidmussa8969 8 күн бұрын
Shukran sheikh
@AbdallahSimba-b7b
@AbdallahSimba-b7b 8 күн бұрын
Mashaallah shekh, Allah akuhifadhi
@NasriSaidi-s4h
@NasriSaidi-s4h 8 күн бұрын
MIMI FIKRA INANITUMA KUAMINI KAMA MZIWANDA HUENDA NI MATAMANIO YA NAFSI SIZANI KAMA HAJUI BIDAA AU SHIRKI
@AbdallahAlly-b5m
@AbdallahAlly-b5m 8 күн бұрын
HAYA MASUFI MLIOMSIFIA BACHU JUZI KWA KUMFANYIA RADDI SHEIKH MUHAMMAD MAFUTA,NJOONI MUMSIFIE TENA KATIKA HILI,NILIWAAMBIA MASUFI HILI SWALA LA DINI SI LENU HAKUNA MJUALO ZAIDI YA SHIRKI,BIDAA NA USHABIKI TU
@abdallahshabani710
@abdallahshabani710 4 күн бұрын
Sheikh Kassim Mafuta ndiyo kajipiga picha....
@saidjumaabdalla1789
@saidjumaabdalla1789 8 күн бұрын
Sheikh Muhammad tunaomba hii elimu tuipate kwenye channel ya tv sababu waliokua hawana simu kubwa hawaipati hii elimu
@ayubumasudi8380
@ayubumasudi8380 7 күн бұрын
@kizomontana5918
@kizomontana5918 7 күн бұрын
BACHU NIKO NA WEWE KWENYE HILI MPAKA WAKUJIBU
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 8 күн бұрын
Wana msimamo mmoja ndo maana hata wakafanya kufru namna gani hakuna wakusema jambo sababu kauli zao zaendana ndo hao unapotoa darsa ya aksam tawhid wanasema ni ukristo na wamefundishwa hivyo ila mwenye mazingatio atajua si sawa kwa maneno yao Allah subhannahu wa taala atuongoze sote na akuhifadhi sana sheikh bachu tunafaidi mengi ,,,wapige nondo hawa wachawi tuuu
@SaidAbdallah-sm1ft
@SaidAbdallah-sm1ft 8 күн бұрын
UST MUHAMMAD HAWA WAJINGA USIWAACHE MPAKA MWISHO WA PUMZI ZAKO WAJINGA WANAPOTEZA WATU SANAAAAAA HAWA KINA MZIWANDA WAJINGA HAWAJUI LOLOTE
@yahyayunus2892
@yahyayunus2892 8 күн бұрын
Wala Asiwaache kabisa wababaishaji wakubwa hao.
@ahmedabry293
@ahmedabry293 8 күн бұрын
اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آل سيدنا محمد كما صليت على ابراهيم وعلى ال ابراهيم انك حميد مجيد ❤
@Yusuphrevocatus-g3v
@Yusuphrevocatus-g3v 6 күн бұрын
pamoja sana shekh wetu
@BadrudinSiraji
@BadrudinSiraji 8 күн бұрын
Tuko wote sheikh Mohammed Bachu
@HarunaArmani
@HarunaArmani 5 күн бұрын
Hukumuelewa sheikh mziwanda.
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
Keanu alikua akiongea France, Wacha hizi
@izmamuizmamu6521
@izmamuizmamu6521 8 күн бұрын
MashaAllah
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 8 күн бұрын
Huyo shekh walid yupo kwa maslah yake sio maslahi ya dini ukiangalia maneno yake ni kuchekacheka na mafumbofumbo,shkraan shekh bachu komaa na haq had tunyooke
@rokiroki1825
@rokiroki1825 8 күн бұрын
Alhamndulilah kutufahamisha ALLAH akulinde mohamed nawatu kam hao😊
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
ولَقَدْ أُوحِىَ إِلَيْكَ وَإِلَى ٱلَّذِينَ مِن قَبْلِكَ لَئِنْ أَشْرَكْتَ لَيَحْبَطَنَّ عَمَلُكَ وَلَتَكُونَنَّ مِنَ ٱلْخَٰسِرِينَ
@Manyanya8551
@Manyanya8551 8 күн бұрын
ولقد أوحي.........
@Manyanya8551
@Manyanya8551 8 күн бұрын
Weka herufi ya mwanzo hapo kama umekusudia Aya
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
@Manyanya8551 shukran
@chinammasai9967
@chinammasai9967 8 күн бұрын
Dunia ya mwisho hio Leo Muhammad bachoo anatoa fatwa zinazokwenda tofauti na ijitihadi za maimamu na watu wanamfata Muhammad bachoo, ilihali Muhammad bachoo hata kufasiri kiarabu hajui!!!!!!!
@HassanIddy-v1b
@HassanIddy-v1b 7 күн бұрын
Kweli wewe china😂😂 imebaki kuoozatu,😢Yani hujaelewa hapa?
@chinammasai9967
@chinammasai9967 7 күн бұрын
@HassanIddy-v1b ....nishaelewa vya kutosha km Muhammad bachoo anaivuruga dini..... vyenginevo ndio mesheikh na maimamu wote hawana elim Bali mwemye elim ni Muhammad bachoo TU!!!!!!! Je vipi Muhammad bachoo awe na elim ilhali hata kufasiri kiarabu hajui?????
@HassanIddy-v1b
@HassanIddy-v1b 7 күн бұрын
​Hizo ni chuki zako tu,wapi amesema m,bachu yeye ndio mwenye elimu kuliko wote?hayo ni maneno ya y,diwani aliejuchokeatu
@chinammasai9967
@chinammasai9967 6 күн бұрын
@HassanIddy-v1b ...je SI ndo yeye alosema km ndani ya maulidi mna shirki? Je hijamsikia wewe je SI ndo yeye anaewaradi maulamaa na msheikh wa Sasa na wazamani ilhali yeye hata elim Hana? Je wewe humsikii?
@AliAwadh-qc8wk
@AliAwadh-qc8wk 8 күн бұрын
MASHAALLAH AMMI
@DenaDuu
@DenaDuu 8 күн бұрын
Shekh kwenye mambo mengine me siko pamoja Na wewe Ila kwenye ili Niko nyuma yako keep it up
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 8 күн бұрын
Hivy ndio vizul mtu akija na baya akija na zuri chukua
@MR_GROUZER
@MR_GROUZER 8 күн бұрын
Naamini hata kwenye video hii umemsikia shk akisema kwamba yeye kwake yeye ni kuongea kuchukuwa na kutochukuwa ni ww mwenyewe
@yuenbiao1777
@yuenbiao1777 8 күн бұрын
Hata mimi
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 8 күн бұрын
Lakini mwenyezi mungu ni mkubwa hua anafanya jambo watu wateleze ndimi ili tujue akina fulani ni nani kwa dhahiri hawana tawhid kabisa masufi na je wanafunzi wao wako aje kwa kweli Allah subhannahu wa taala atuongoze
@ShekiyaoHussein-ki4ty
@ShekiyaoHussein-ki4ty 8 күн бұрын
Mtihani mkubwa sana sheghe Bachu
@AbdallahAlly-b5m
@AbdallahAlly-b5m 8 күн бұрын
Masheikh wakisufi asilimia 90 kama sio 100 ni watu wa shirk,na pia husoma elimu ya uchawi inaitwa U'LUUM,huyo Sheikh wao Muhammed ayub wa shamsi maarifa wanamuona walii mkubwa kashawafundisha sana uchawi masheikh wote waliopita kwake,ndomaana masufi hufikia kurogana kisa madaraka ya msikiti,masufi hawana ikhlas ktk ibada zao wao ni maslahi ya kidunia tu
@ahmedabry293
@ahmedabry293 8 күн бұрын
Acheni shirki wavunja nazi.. nazi itakusaidia nini katika manufaa au madhara.. turudini kwa Allah yeye ndie muweza wa kila kitu.. masufi acheni shirki
@AbuuNusaiba
@AbuuNusaiba 8 күн бұрын
Naam shekh
@hasanisaidishabani3879
@hasanisaidishabani3879 8 күн бұрын
Shekh muelewe vzr sanaa uyo mziwandaa km uwanja washirki nimpana sanaa tusiukurupukie kaa tafakari mi nakwambia
@NeemaSaleh-um5hd
@NeemaSaleh-um5hd 8 күн бұрын
Watu wa shirki munaungan mkon
@MwanaidAmri-y6x
@MwanaidAmri-y6x 8 күн бұрын
Haswa
@maheralmuayqily1900
@maheralmuayqily1900 8 күн бұрын
Upana wake ni upi je waeza kutuambia mahala alipokosea bachu
@yuenbiao1777
@yuenbiao1777 8 күн бұрын
Aisee ndugu yangu, mwislamu mwenzangu, uchawi ni ushirikina hilo haliitaji elimu kubwa
@zahham740
@zahham740 7 күн бұрын
Kwani nabii yuusuph alishindwa kumuelekea Allah na kumuomba baba yake apone macho MBONA aliwapa KANZU NDUGU zake wakampige NAYO usoni nao ni ushikina?
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 8 күн бұрын
Allah Amuongoze achane na ujahili
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
Shida ya watu wa tumbo, shirki halina maana kwao, twanga wao ndugu labda ummah utaerefuka
@KhalifOumar
@KhalifOumar 8 күн бұрын
Sheikh wangu nahitaji namba ili nipate kujifunza zaidi kwako inshallah ❤
@kassimothman666
@kassimothman666 7 күн бұрын
Fata kwenye darsa zake za NAHWU utakuta namba zake
@Abuu_Muyassar
@Abuu_Muyassar 8 күн бұрын
Yaani huyu shehe mziwanda ana nn au njaa inamsumbua mie maonesho sijawahi kuona nazi imechorwa Leo asema nazi kuchorwa haihusiani na shirki mpeni cheo atadhalilika huyu
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 8 күн бұрын
HAWA MASUFI NI WAPOTOSHAJI SANA
@abdoulrahmanahmed5802
@abdoulrahmanahmed5802 6 күн бұрын
Hao ni walebaraliiiii😅
@suleali4915
@suleali4915 8 күн бұрын
Tangu achezee matusi kwa shekh diwani saiv anakuja kwa heshima mungu amjaalie heshima iendee isiwe kwa mziwanda tu
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 8 күн бұрын
Kwahio manhaji yenu Niya matusi kumbe 😅😅😅
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 8 күн бұрын
Hahaha matus humtoa mtu ktk dini
@nabiljumaothman5912
@nabiljumaothman5912 8 күн бұрын
Shekh Bachu hajawahi kutusi
@saidali9255
@saidali9255 8 күн бұрын
Unachuki dhidi yake Bro,,Bachu hana shida
@suleali4915
@suleali4915 8 күн бұрын
@@IbrahimMahmoud-em1np acha tucheze na akili yako ndio hahahahaha
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 8 күн бұрын
الحمد لله من نعمت أهل السنة
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
الحمد لله
@ShadhiliLikapa
@ShadhiliLikapa 8 күн бұрын
Allah atuhifadhi kwakweli
@omarkazungu5049
@omarkazungu5049 8 күн бұрын
Mwenyezi mungu Aiko if ivy
@omarkazungu5049
@omarkazungu5049 8 күн бұрын
Assalamu alaikum warahmatullahi wa barakat
@HassanAlly-k2p
@HassanAlly-k2p 7 күн бұрын
Sheikh umeacha ubishi sasa
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
What do I mean
@HassanIddy-v1b
@HassanIddy-v1b 8 күн бұрын
Jamani tahadharini sana kusoma kwa masufi wao na shirki nikama mkate mbele ya chai hauna ujanja, sawa mtaona nawatukana lakini mtayakumbuka haya maneno yangu bi'idhnillaah,
@Abuu_Muyassar
@Abuu_Muyassar 8 күн бұрын
Lkn anaijua bei ya nazi halafu aje aichezee kwa kuichora burebure
@HabibMohd-l3h
@HabibMohd-l3h 8 күн бұрын
Hhhhhhhhh
@HabibMohd-l3h
@HabibMohd-l3h 8 күн бұрын
Haijui
@MawelaKatimka-d2l
@MawelaKatimka-d2l 7 күн бұрын
Chaajabu kipi shekh
@AllyHozza
@AllyHozza 8 күн бұрын
Shekhe bachuu usichoke
@nabiljumaothman5912
@nabiljumaothman5912 8 күн бұрын
Tupo pamoja Shekh letu
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 8 күн бұрын
اللهم آمين يارب العالمين ❤❤
@mustafaibrahim5200
@mustafaibrahim5200 8 күн бұрын
jamii imeoza ki akida
@NoorAli-vj4gn
@NoorAli-vj4gn 8 күн бұрын
Alhamdulillah nimejaaliwa kutangulia comment
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
Maashallah,,, jazaakallahu khaira,,,
@AbdilahJahaKhamis
@AbdilahJahaKhamis 8 күн бұрын
Waganga ao
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 8 күн бұрын
Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh
@abdillahiabdallah438
@abdillahiabdallah438 4 күн бұрын
HAJI MANARA KAZUNGUMZA KAMA JORKES , NI UTANI HAJAZUNGUMZIA SERIOUS ISSUE KWA WATU WANAEMJUWA HAJI MANARA ILA WEWE BACHU HUJATUMIA AKILI
@HamisiNalinga
@HamisiNalinga 8 күн бұрын
Haji manara ni mlevi anatangaza kamali mashehe kimya hawasemi
@SadickMussa-g6h
@SadickMussa-g6h 8 күн бұрын
Makhulafi, Masufi, na Matwaliqa hayo ndiyo mafundisho yao ktk Misikiti yao na hiyo ndo Tawhiid yao
@jamalijamali6820
@jamalijamali6820 8 күн бұрын
kweli ndugu yangu hawa watu ni mtihani sana
@IssaRashidi-q7h
@IssaRashidi-q7h 8 күн бұрын
Maneno yako ni matamu saana kwakua hawi na maneno machafu ila mchafu
@azizijaja3803
@azizijaja3803 8 күн бұрын
Matwaliqa ndio nin
@SadickMussa-g6h
@SadickMussa-g6h 8 күн бұрын
​Kuna mchafu kuliko Mshirikina, Mteja wa Huyo Mshirikina na Mtetezi wa shirki pamoja na Washirikina wenyewe?
@SadickMussa-g6h
@SadickMussa-g6h 8 күн бұрын
Soma dini utawafahamu
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
Shida hawezi kujibu, bahati mbaya
@AbdulOmar-j5j
@AbdulOmar-j5j 8 күн бұрын
Wamaanisha nn kwa mfano
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
@AbdulOmar-j5j hayo maswali waloulizwa hawawezi kujibu, na wakizijibu na dalili njoo kwangu nikupe dollar mia moja
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 8 күн бұрын
Manara umesoma kweli Kisha Unakuwa jahili hivyo
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 8 күн бұрын
Mbna nazi ya mboga haichorwii😂
@JJ4ZA
@JJ4ZA 8 күн бұрын
Hoja zako dhidi ya Shk. Mziwanda ni dhwaifu sana.
@abuutamiimattanzaaniy8676
@abuutamiimattanzaaniy8676 8 күн бұрын
Una mizani mbovu sana ya kuzipima hoja za wazungumzaji. Udhaifu upo wapi hapo kwenye hizo hoja?
@HusseinHassan-p7g
@HusseinHassan-p7g 8 күн бұрын
Ktk ili kama auwelewi muombe alla akupe ufahamu
@omarsal3266
@omarsal3266 8 күн бұрын
Kavunje nazi huko, coconut head
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
Hujasoma au mshirikina au akili yako ina pumu Zito mwashangaza au mwamchukia bachu?????
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 күн бұрын
Mtihani maaufi wengi waganga washilikina wavaa mipete
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 8 күн бұрын
Wenyeqe wanafulahi. Haji anavyo sema shilki wanayo ifanya. Hawaoni hataaibu
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 4 күн бұрын
BASHU KWEYE MIHAZARA MIWILI WAKWAZA NA NDUGUYETU WA KENYA MOMBASA BACHU KASHINDWA MWEGINE HAPO TANZANIA HANAELIMU YEYE NIUBISHI NA KUTAFUTA UMARUFU KWEYE MEDIA SASA ANAIVUJIA HESHI DINI
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
Mwanzo kajifundishe kuandika, alafu umkosoe bachu comment kutoka 1 mpaka 121 watu wasapot bachu we usielewa kitu hujui Haya kuandika komt, u a just blind 2 reality ninkampup back 2 bd
@chinammasai9967
@chinammasai9967 6 күн бұрын
Sasaivi utatwambia km watu wakilala wasijifunike chandarua mana mbu Hana uwezo wa kutia malaria pia kesho utatwambia km inzi haingizi kipindu pindu mana kiumbe Hana uwezo wa kutia maradhi kwa mtu! Hakuna tauhiid 3 katika uislam Bali tauhiid ni moja tu
@yustoedward2224
@yustoedward2224 5 күн бұрын
Huna hoja
@yustoedward2224
@yustoedward2224 5 күн бұрын
Bas sawa dkta gn hospital gn ilokwambia ukiumwa uvunje naz
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
Akili yako ina pumu, twaongea Manara kuua watu we unongea stupid
@athaum05
@athaum05 8 күн бұрын
Clip ya Sheikh Mziwanda hukuweka kwa urefu ili tuelewe nini alichokuwa anamaanisha kuhusiana na nazi, umeiweka kwa ufupi sana na hii ni tofauti ilivyokuwa kwa Muhammad Mafuta (uliiweka kwa urefu kiasi ambacho haikanganyi kueleweka kwake)
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
Haya MTT wa darasa lakwanza afahamu Sena kweli baba
@azruntravel4306
@azruntravel4306 7 күн бұрын
Mm nauliza tu, maalim elimu ya haxo mambo unayo?km huna usikurupuke jjifunze kuyaangalia kwa ndani zaidi na kwa wanaelimu hizo
@kassimothman666
@kassimothman666 7 күн бұрын
Ajifunze huo uchawi?
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
We akili yako inakutu mbaya Sana au unashabikia shirki back 2 bed
@azruntravel4306
@azruntravel4306 2 күн бұрын
@@SalimKassim-c6y hujaelewa ttzo, mm nadhani wewe ndio una kutu ya kuhukumu nazi kuwa shirki.Nakuomba usome elimu vizuri then utahukumu.usihukumu kwa kukurupuka
@azruntravel4306
@azruntravel4306 2 күн бұрын
@@kassimothman666 uliza uchawi ni nini? je haramu kuujua au kuutumia huo uchawi?
@SalimKassim-c6y
@SalimKassim-c6y 2 күн бұрын
@azruntravel4306 hebu niambie dat clip Manara ameifafanua kazi ya nazi briefly, wazi shirk Tena eibb mbele ya mashekhe, rep plz,
DR.SULLE AWEKA WAZI KUHUSU UKIRISTO SIKILIZA HAPAA
4:27
SHE.OTHMAN TV
Рет қаралды 57
سورة البقرة كاملة للقارئ محمد الفقيه  Surah Al-Baqara Mohammed Al Fakih
1:42:11
محمد الفقيه Mohamed AL Fakih
Рет қаралды 3,3 МЛН
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
RADDI KWA HAJI UPEPO || JE KUFANYA KONGAMANO NI BIDAA || Muhammad Bachu.
45:20
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 8 М.
HUYU SHEIKH KAONDOKA NA KIJIJI KAMA PAKOME - SHEIKH MZIWANDA
22:38
SHEKH MZIWANDA ONLINE TV
Рет қаралды 8 М.
SAUTI YA MUHABI ALIYEMSHAMBULIA SHEIKH MUHAMMAD IDDI | AOMBA RADHI KWA MUFTI
10:47
2 February 2025
12:44
Mohamed Issa
Рет қаралды 10 М.
🔥RADDI FUPI KWA KASUKU WA KIZANZIBARI (MUHAMAD BACHU)
11:05
ATtwabary online
Рет қаралды 3,5 М.
MAZINGE ASHINDWA KUVUMILIA AMUULIZA SWALI SH MUHAMMAD BACHU ?
5:03
AL MUBAJJAL TV
Рет қаралды 39 М.
BACHU AMVAA SHEIKH OTHMAN MAALIM TUHUMA ZA UZUSHI VIGAWANYO VYA TAWHID
26:32
HAYA MAMBO SIO YA KUCHEKA LAKINI MASHEIKH WANAYACHEKEA || Muhammad Bachu.
37:36
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН