2 February 2025

  Рет қаралды 11,066

Mohamed Issa

Mohamed Issa

Күн бұрын

Пікірлер: 159
@dhamiirrashid6175
@dhamiirrashid6175 7 күн бұрын
Wallah sheikh Muhammed issa nimekuelewa pia nakupenda sana Allah akuhifadhi, natamani waislamu tuwe na mifano memah mzuri siku zote tujitahid kuongea kweli, na kujiepusha na jazba kibri riyaa na kujiona mm nbora kuliko mwengine nawapenda masheikh wote kwajili ya Allah ❤❤
@abdallahsiraji9919
@abdallahsiraji9919 6 күн бұрын
A alaykum... Shekh Muhammad Issa uko sahihi sana.. Allah atustiri na atuongoze ktk umoja wa Uislam na Amamni... Ni kweli kabisa kuwa kuna tofauti kubwa sana kati ya "Masalafy" na "Answari"... Pia kuna tofauti kubwa sana ya maadili baina ya wote kati ya hao...
@hamynas
@hamynas 6 күн бұрын
MAWAHABI MNA TAABU SAANA NYIE. WAJUAJI NYIE WACHAMUNGU SANA NYIE WENGINE WOOTE MAKAFIRI NA KILA MNACHOKIAMINI MWATAKA KILA MMOJA AAMINI NA ASIPOAMINI BASI ADUI YENU WAPUMBAVU SAANA NYIE MAWAHABI
@AbuuNusaiba
@AbuuNusaiba 6 күн бұрын
Mche mola wako ndg akhra siyo mbali
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 5 күн бұрын
Sheikh umeongea vizuri,Allah atuongoze, Kabeke huwa anaropoka sana
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 7 күн бұрын
YAA ALLAH MSAMEHE MJA WAKO ALIYETANGULIA MBELE YA HAKI, TUNAKUOMBA USITUFITINISHE BAADA YA KIFO CHAKE. ALLAHUMMA AAAMIN.
@aminaosman3315
@aminaosman3315 3 күн бұрын
🎉,waliomzulumu yatima na mjane walikuwa haohao wafuga ndevu na vikanzu vifupi Allah àtawazalilisha wao na familia zao wanakulamoto
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 7 күн бұрын
MASHEKH WANAONYOA NDEV JAMAN WANACHUKIZA NA WANATISHA DAH ACHENI NDEVU MJULIKANE KAMA NI WANAUME
@KhawlahMohamed-g1n
@KhawlahMohamed-g1n 6 күн бұрын
Kumbuka hilo sunna sio faradh na hujui mtu anatatizo gani hata asifuge izo ndevu... usimjaj mtu hujui anapitia nini kinachomfanya afanye unachokiona..
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 6 күн бұрын
@KhawlahMohamed-g1n USITETEE BWANA MNANYOA NDEVU ZOTE KWANI ALLAH ALOZIWEKA KUWATOFAUTISHA BAINA YA MKE NA KUME AMEKOSEA? MNANYOA ETI MJITOFAUTISHE NA SUNNA DAH KHATARI SANA
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 6 күн бұрын
@KhawlahMohamed-g1n SUNA NDO MNAIPUUZA?MATATIZO YAKUNYOA NDEV TU ,WANATUTISHA HATA KUWAANGALIA NI KICHEFCHEF WANAWAFUATA WAMAJUS HAWAFUG NDEV WANAMPNGA MUHAMMAD SAW
@shmohd11
@shmohd11 8 күн бұрын
Sheikh Kabeke Aweka Bayana Bakwata ni Maadui wa Answar Sunnah
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 7 күн бұрын
Na huo ndio mtazamo wa wengi wao (Masheikh) wanavyowatazama watu wa Sunnah, japo wengine hawalisemi wazi. والله المستعان وعليه التكلان {..فَلَعَرَفۡتَهُم بِسِیمَـٰهُمۡۚ وَلَتَعۡرِفَنَّهُمۡ فِی لَحۡنِ ٱلۡقَوۡلِۚ وَٱللَّهُ یَعۡلَمُ أَعۡمَـٰلَكُمۡ ﴾
@azizisulay6005
@azizisulay6005 7 күн бұрын
​@@SonofJacol-t6hna bakwata ni maadui wa uislam
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 7 күн бұрын
ANACHOYO SANA HUYO KABEKE HATA NDEVU HANA HAJITAMBUI NA CHUKI ZAKE
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 6 күн бұрын
HUO NDIO UKWELI KWAMBA MAWAHABI NI MAADUI WA UISLAMU NA BAKWATA
@AbuuMuhsin
@AbuuMuhsin 6 күн бұрын
Baarakallahu fiika
@AshaAbdulla-h5x
@AshaAbdulla-h5x 7 күн бұрын
Alicho kizungumza. haya ndo maneno mazur kwahkika tofauti zipo mpaka kiama muhimu tujiepushe na uadui
@MkindiRama-lp6hy
@MkindiRama-lp6hy 7 күн бұрын
Inalilah wainailaih rajiun huu ni msiba mkubwa masheikh zetu wanafurah kwa kufa mwanawachuoni
@seifsaid9905
@seifsaid9905 7 күн бұрын
ALLAH NAMCHUKIA KABEKE NA LAANA YA ALLAH IWE JUU YKE KWA FITINA YA KUWAFIRINISHA WAISLAMU NA ALLAH AJALIE YEYE NDIO AFATE MLANGO WA KABURI INSHALLAH
@hamisibakari5030
@hamisibakari5030 5 күн бұрын
SUB-HAANA LLAAH. Mche MOLA wako ndugu, tumekatazwa na Uislamu kulaani. Wewe pia ni mwanadamu usimwombee mwenzio Kifo, sote tutakufa kwa mapenzi ya ALLAH. Hayo maneno sio mazuri. ALLAH atuongoze sote na atujaaliye mwisho mwema. Aamiyn.
@SumaBata
@SumaBata 6 күн бұрын
Wewe mkanye muanzilish wahilijambo angalia ulipojikwaa usiangalie unapoangukia walewale tu.
@SanuriAShefaya
@SanuriAShefaya 6 күн бұрын
Shekh kabeke yupo sahihi hana alipo kosea mawahabi wote ni kundi moja hakuna uwanswari uwadui mume uwanza nyinyi mana mumetangaza wenyewe mumefurahi kufa shekh abuu idd muhammad
@KitasaWaaction-gm9zr
@KitasaWaaction-gm9zr 6 күн бұрын
Hahahaha huyu kabeke sijui kanani anaonekana hamna kitu hapa niushabiki tu yani anatangaza uadui kisa udhehebu kwaiyo dhehebu linashinda udugu wa dini hahahahah huyu hamna kitu
@kaderbakshamin2345
@kaderbakshamin2345 7 күн бұрын
Waislam tushaenda mrama subhaanah allah, ile mtume wetu aliyosema tushikamane na kamba ya allah haiko tena
@SaidiBakari-kl1gu
@SaidiBakari-kl1gu 5 күн бұрын
HUYU SHEIKH WA MKOA WA MWANZA NI WAZIWAZI ( VERY CLEAR) SI MWADILIFU NA VIONGOZI WAKE (BAKWATA) WAMWANGALIE KATIKA JICHO LA UISLAMU... NA SI VINGINEVYO... HAFAI.
@selemankishema5780
@selemankishema5780 7 күн бұрын
Useme na huyo upele ulifika kwa mkunaji😂😂😂
@athumanindimila8011
@athumanindimila8011 4 күн бұрын
Shekh assalaamu alaykum vipi hali
@OmariHamed
@OmariHamed 4 күн бұрын
Wee mzee acha uongo mtoto wa bachu ambae ni mwenzenu alisema kufurah ni sahh ila uangalie sehemu sahh ya kufurahia
@aminaosman3315
@aminaosman3315 7 күн бұрын
,Ansar si taasisi ya kiddiniwamejificha wazulumaji wahujumu uchumi taasisi zote zinazo ongozwa na jamaa hao niza kitapeli nase hayo sio kama tuwssingizia zulma walioifanyia familia ya marhum janjira Allah atawazalilisha hapa duniani kesho akhera wao na familia zao kama wslivyo izalilisha familia ya marhum said janjira na kumzalilisha mane mahakamani kwa haki zake na yatima wake watano inshaallah
@khamisfarouk9493
@khamisfarouk9493 5 күн бұрын
Sheikh wetu na mzee wanasihi na mawahabi waache uadui mana wao ndio walianzisha fitna iyo ya uadui
@dullahbatuf9223
@dullahbatuf9223 6 күн бұрын
Utanzania unawanganisha dini inawatenganisha maneno ya shekh Hay inalillah wainailah rajiun
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 7 күн бұрын
Na mjue kua kile mtakachozua katika dini nawaambia siku ya kiama tutafufuliwa na adhari ya udhu ila miongoni mwetu kuna watakao fungiwa sababu mnazua kando n alichotuachia mtume salallahu alayhi wasalaam chungeni msiwe wenye kufungiwa nje muogopeni Allah maulid ni bidaa n mengi mnayofanya
@IssaHamisi-z2v
@IssaHamisi-z2v 5 күн бұрын
Wewe ni fitina
@shabanmohamed7071
@shabanmohamed7071 7 күн бұрын
Sheikh kwenye maelezo yako umeegemea upande mmoja ,yaani upande wako unaona kama unaonewa wakati ilipaswa ubalance ikiwa answar kuna madhaifu yenu na bakwata wanaudhaifu maana hujagusia yule aliye furahia kifo
@MuhammadiMbwana
@MuhammadiMbwana 6 күн бұрын
mambo hayo wacheni wenyewe mashekhe watayamaliza sisi waumini tukae kimya
@allymusira2153
@allymusira2153 7 күн бұрын
Kabeke kateleza ina maana hakumuona sheikh Al akhdar wa al ikhma alikuwepo pale msikitini na aliongea na kumuombea sheikh Abuu Idd
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 7 күн бұрын
Answar na salafi sio tofauti nadhani hapa Sheikh umeteleza kwa hili ni majina tu lakini mapito kati ya Answar Sunna Na manhaj Salaf ni hayo hayo tu tunakupa udhuru kwa hili sheikh Muhammad Issa
@khalfansharji-ez7pg
@khalfansharji-ez7pg 6 күн бұрын
Ningeshituka kama ungekuwa usemi wa msemaji mkuu bakwata au mifti lkn kUmbe kabeke!!! Huyo daraja lako pambaneni hata wewe kwa kauli zako nawewe bado tunakufaham mohamed Issa answar zamani Shinyanga badae MUIBADHI imam msikiti wa WAIBADH Shinyanga mwisho tena muanswari suna sijuwi sasa ni dar. Lakini sijuwi mwisho aidha lusaka au lilongwe utakuwa answari FARIDHA!
@abuidifundi2016
@abuidifundi2016 5 күн бұрын
MAWAHABI HAWANA NIA NZURI NA UWISLAMU
@MauBonde
@MauBonde 7 күн бұрын
Bakwata na viongozi. Wanaotugawa waislaamu na hatutaki ..........
@BuiKishkOnlineTv
@BuiKishkOnlineTv 6 күн бұрын
@SaidiBakari-kl1gu
@SaidiBakari-kl1gu 5 күн бұрын
KWA SABABU TONE YAKE ( SAUTI) ANABWEKA HAWEZI KUWA KIPENZI CHA WAISLAMU KWA STAILI YAKE(APPROACH).
@TwalijiIsamail
@TwalijiIsamail 7 күн бұрын
SHEIKH KABEKE KAYASEMA HAYA KABLA YA UYO MHUNI WENU HAJAOMBA RADHI. PIA WEWE MUHAMMAD ISSA NI MWANASIASA NENDA KACHAMBUE VITA YA KONGO M23 NDO UNAWEZA SIYO DINI.
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 6 күн бұрын
Nawe nawe kumbe pia ni mtovu adabu Yaani hapi ndio mmepata pwenti Alierpoka nibkijana tu yeye mwenyewe wala hajitambui ,nawe pia wasimamia kidete ,acha ujinga ndugu
@hamynas
@hamynas 6 күн бұрын
MAWAHABI SIYO AHLU SUNNA WALJAMAA MOHAMED IDD ACHA URONGO KABIS AHLUL SUNNA WOOTE WANASOMA MAWLID, TALAKINI NA WANAZURU MAKABURI NINYI KWENU HAMUNA MAMBO HAYA ACHENI UWONGO NYIE NI MASHETANI
@Abubakar-cb1er
@Abubakar-cb1er 7 күн бұрын
Mwenda wazim ww mlifungua kesi kabeke alikua amesha yasema hayo maneno?
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 7 күн бұрын
Huyo kabeke jina la shekh halimfai labda ni sheighun
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 7 күн бұрын
Subhaallah, ati kwenye dini yenu .inna lillahi wainna ilahi rajiuun 😢😢😢
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 7 күн бұрын
Uko sahihi mm ni salafi lakin siungi mkono alichokifanya yule mjinga kufurahikia kifo kwa muisilamu mwenzie
@TwalijiIsamail
@TwalijiIsamail 7 күн бұрын
NYIE MNAKATAA KUWA CHINI YA BAKWATA WENYEWE SABABU MUMEDHIHISHA UADUI WENU KWA KUFURAHIA KIFO CHA SHEIKH WETU KIFUPI MAWAHABI SIYO WAZURI.
@kuxhindahassan111
@kuxhindahassan111 7 күн бұрын
Mngezijua hizo ikhtilafu mambo yasingefika huku nyinyi ndio waanzilishi wa yote haya uwahabi ni tatizo katika uislamu kwa itikadi yenu
@HutiSwalehe
@HutiSwalehe 6 күн бұрын
MAWAHABI NI MAADUI WA KILA MUISLAMU...MAWAHABI NI FITNA KTK UMMA...DAAWA YAO NI KUFITINISHA UMMA WALA HAWAPO KULINGANIA KTK DINI KABISA
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 7 күн бұрын
Tushawajua baadhi yenu yaliomo vifuani vyenu na kwenye vikundi vyenu vya kihuni
@sirajismail3978
@sirajismail3978 7 күн бұрын
Waliofurahia woote finnari khalidina fiha abada
@suleimanmussa1953
@suleimanmussa1953 7 күн бұрын
Ww unayo haki yakuingiza peponi na motoni?
@rashidikhamisi4313
@rashidikhamisi4313 6 күн бұрын
Labda moto uwe unaumiliki wewe
@rashidikhamisi4313
@rashidikhamisi4313 6 күн бұрын
Labda moto uwe unaumiliki wewe
@thewave9999
@thewave9999 6 күн бұрын
huyu kabeke mnahakika ni kiongozi wa waislamu ? kwa kauli hyo ni vema akaachia uongozi wowote alionao
@Nabeel-22
@Nabeel-22 7 күн бұрын
Kundi zima la bakwata lipo kwa ajili maslah ya kidunia .. kabeke ni chizi fresh wala hana hadhi ya kujibiwa
@JabirBakar-ys8dw
@JabirBakar-ys8dw 7 күн бұрын
ni yupi kiongozi wa bakwata mweenye taasisi kama si uongo hayo maneno ni yupi mwenye radio au tv
@HabibuMudhwahir
@HabibuMudhwahir 7 күн бұрын
nininyi walewale
@AllyHamran
@AllyHamran 7 күн бұрын
Sio answar tu Bakwata ni baraza adui zidi ya waislam.
@ibrahimjumbe8121
@ibrahimjumbe8121 7 күн бұрын
Huyu mzee sizani kama anajielewa uwahabi unamsumbua kichwani Leo hii mnasema sisi ni waislam wenzenu kisa tu hamtaki kua chini ya bakwata 😅 Hivi sio nyinyi mnatuita majitu ya bidaa, washirikina wAtu wa motoni tunakuaje waislam ??? Halafu eti nyinyi kama ahlu sunna na mnatuita sisi bakwata ??? We mzee wa kiwahabi weeeee nyinyi mna uadui na sisi mkubwa sana
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 7 күн бұрын
Nyinyi kina nani?
@ibrahimjumbe8121
@ibrahimjumbe8121 7 күн бұрын
@abdallahdataguy Sisi hasa ndio ahlu sunnat waljamaa ashaira madhab ya Imam Muhammad ibn Idris shafiy na tumejiweka katika twarika mbali mbali katika kutufikisha kwa mola wetu tukiwa na nyoyo zilizokua sslama InshaAllah
@alwiyiynmission2820
@alwiyiynmission2820 7 күн бұрын
Na Maliki PIA NI ANSWAR SUNNA ALJAMAA....MUSIWATENGE
@alwiyiynmission2820
@alwiyiynmission2820 7 күн бұрын
KIJANA BADO HAJATUBIA WALA HAJUI KUOMBA RADHI, ZAID AMEDHIHIRISHIA UMMA YALIOJIFICHA NDANI YA USALAFI NA DHANA MBOVU DHIDI YA WAISLAMU...KWA KUSEMA WAZI NI ITIKADI YAO KUFURAHIA KIFO CHA WENGINE. JE TUTAAMINI VIPI KAMA HAWANA ITIKADI KAMA WAMEHALALISHIWA KUWAUWA WASIO KUA WAO
@HabibuMudhwahir
@HabibuMudhwahir 7 күн бұрын
ninyi mnajiita answer mnamatatizo mengi
@abuujibriltv5233
@abuujibriltv5233 7 күн бұрын
Mawahabi wana vipote vingi sana na wote ni mawahabi tu. Utofauti wao nikwamba hawa wanadhihirisha misimamo yao na hawa wana ficha. Hakuna tofauti. Tupo na ninyi Kwenye magroup ya Whatsapp mnacho ongea kule ni tofauti na mnacho ongea huku
@buheroKozi
@buheroKozi 7 күн бұрын
Sheikh Allahaa akulipe umeongea kama maneno mazuri sana hao masheikh wengine Allaha awasehe tuu
@alwiyiynmission2820
@alwiyiynmission2820 7 күн бұрын
Nyote ni MAWAHABI, ANSWAR SUNNA ILIKUA TOLEO LILOPITA....NA MASALAFI JADIDA NI TOLEO JIPYA LA KUGOMBANISHA....NA BADO LITATOKA TOLEO JENGINE....IKIWA MASALAFI WATASHINDWA KAZI WALOTUMWA KAMA MULIVYO SHINDWA NYINYI MUJIITAO ANSWAR SUNNA. SUNNA IPI HASA MUNAYOILINDA
@arjunimayagila9500
@arjunimayagila9500 7 күн бұрын
Mzazi wangu kwaiyo na wewe ulivyo zungumza upo sahihi?
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 7 күн бұрын
Aprication Mpya Ya Answar Sunna Ni Masarafi.
@thewave9999
@thewave9999 6 күн бұрын
hata hao salafi hawakukaa kikao kutoa mawazo hayo , kwahyo shekh kiongoz kuhukumu na kugawa umma kisa kijana au mtu mmoja kajiamulia kaongea aliyoongea sio sawa, pia viongoz muwe na subira na b7sala katka kuyaendea mambo
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 7 күн бұрын
Kabeke sio sheikh mm naona atakua ni chawa wa mufti maana anavyoongea kama anamfurahisha mtu maneno yake hayaegemezi kwenye dini na ikhlaas
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 5 күн бұрын
Hapo kwenye Ahlu Sunna Wal Jamaa ni sahihi, na ndipo panapo changanya watu
@yusuphrashidi-dr1kb
@yusuphrashidi-dr1kb 7 күн бұрын
Sisi manswar tutafute mufti wetu tushawachoka hawa watu wa kanisa
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 7 күн бұрын
Muhamed isa usijifanye unaleta hekima wakati mnatukana watu Mnadhoofisha watu Mnalazimisha magomvi
@sirajismail3978
@sirajismail3978 7 күн бұрын
We Mohammed issa ulikuwa bakwata ulivyokuwa shinyanga Leo uitaki bakwata kulu haki walaunkana murraa
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 7 күн бұрын
Kama kaona hak bakwata taasisi si dini dini yeye mwislam salafi maana ya salafi ni kufata wema waliotangulia na kuacha mauzushi dini yetu Haina viraka kama wayahudi na manawara
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 7 күн бұрын
YAANI UNAJIITA SHELH TENA MSOMI NA KIONGOZI UNATANGAZA HADHARANI KWAMBA MUISLAM MWENZAKO KWAMBA NI ADII YAKO!?
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 күн бұрын
Ndio MAWAHHABI ni maadui zetu
@jumangozi2720
@jumangozi2720 7 күн бұрын
Na muwaambie hao watu wenu wa redio imaani wasijiite masalaf
@HutiSwalehe
@HutiSwalehe 6 күн бұрын
Wewe Muhammad issa hujasoma kitu wewe
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 7 күн бұрын
Naam shekh umeongea vizuri watuache sisi, wao waendelee kupiga ngoma na kucheza miziki wakidai wanampenda mtume,,.
@KhalfaniFarisy-c3w
@KhalfaniFarisy-c3w 7 күн бұрын
Ni kweli. Wanapenda Dunia kama Mayahudi na kuichukia Akhera. 😊
@AlhajiMswaki-de3kb
@AlhajiMswaki-de3kb 7 күн бұрын
Dufu tutapiga mwanzo mwisho bakin na husda zenu fitna zimewajaa mawahabi mtatapatapa sana
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 7 күн бұрын
@AlhajiMswaki-de3kb tafsiri ya kibri ndio hii sasa unaambiwa haki unakataa
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 7 күн бұрын
Musijal kabeke nae atakuja kuomba radhi
@an-noormedia2881
@an-noormedia2881 7 күн бұрын
Wote nyie ni mawahabi tu
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 7 күн бұрын
Wewe unaongelea kabeke kwani hujui tatizo lilianzia wapi? Yule aliesema wao wamefurahi kwa kufa kwa Abu Iddi hukuwasikia? Mbona huwataji???
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 7 күн бұрын
Aliyesema amefurahi ni nani na ana nafasi gani? Kuhusu Kabeke ni Sheikh wa Mkuu wa mkoa na ana vyeo vingine kedekede ktk jamii!! Ama kuhusu mtu mmoja mmoja ktk waislam, huzungumzia mengi na mazito lkn hayapewi uzito hayana Qima. Usisahau pia huyo mtu (majhuul) amejirudi na kuomba radhi.
@alwiyiynmission2820
@alwiyiynmission2820 7 күн бұрын
​@@SonofJacol-t6hSASA WATOKEE MASALAFI JADIDA WAPINGE KUA KUFURAHIA SIO ITIKADI YAO
@Salimubakari-n5q
@Salimubakari-n5q 6 күн бұрын
Huyo kabeke kama sio sadaka asingekuwa shekhe kusoma vitabu vingi havikufanyi kuwa shekhe kuwa shekhe ni matendo yako kuakisi kile ulichokisoma jifunzeni kwa abdlikadir kaka yake kishk jifunzeni kwa mufti sio kichaa mmoja akiongea mtandaoni shekhe unakurupuka sasa huyo alietukana na kabeke tofauti yao nini
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 күн бұрын
Nyinyi hamtakiwi kuwa chini ya BAKWATA nyinyi inatakiwa taasisi zenu zifungiwe kwakuwa magaidi nyinyi!
@HajiAmbali-jq9dr
@HajiAmbali-jq9dr 7 күн бұрын
Yani we huna elimu kabisa
@HajiAmbali-jq9dr
@HajiAmbali-jq9dr 7 күн бұрын
Hakuna wahabi Wala bakwata Wala sulafi sisi sote tumesmini
@allymusira2153
@allymusira2153 7 күн бұрын
Tumia akili
@TwalijiIsamail
@TwalijiIsamail 7 күн бұрын
ACHA KUTUDANGANYA MUHABIA WEWEEE TUSHAWAJUA TABIA ZENU NA CHUKI ZENU ZIDI YA MASHEIKH ZETU.
@JumaAjali-u5f
@JumaAjali-u5f 7 күн бұрын
Wakati mwingine mashekh wenye ushawishi kama nyinyi haipendezi kujibizana mtu akiwasema vibaya kujibu ndiyo kualibu kwa hali sasa . Mengine ni bora uache hukmu itakavyokuwa siku ya mwisho. Munavuruga waislamu wengi wasiojinasibisha na hitikadi.
@HabibuMudhwahir
@HabibuMudhwahir 7 күн бұрын
ninyi nimawahabii
@KibwanaSimba-k8z
@KibwanaSimba-k8z 7 күн бұрын
Weumeebuka kwakumsia sheekabeke mbona hukutoka wakati wa yule kijana aliekejeli na kudhihaki na kutoa maneno machafu kwenye msiba wa shekhe mkbwa kama muhammadi idi ondoa uchiziwako lakumdiinum waliyadiin
@KhalfaniFarisy-c3w
@KhalfaniFarisy-c3w 7 күн бұрын
Dini wewe ipi?
@HabibuMudhwahir
@HabibuMudhwahir 7 күн бұрын
udui wa kiislm
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 күн бұрын
NYIE WOTE NI MAWAHHABI ACHA KUBABAISHA MWAMEDI ISSA
@Manyanya8551
@Manyanya8551 7 күн бұрын
Jifunze Kuandika Majina yawatu kwanza
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 күн бұрын
@@Manyanya8551Huyo siyo Muhammad ni Mwamadi
@jumangozi2720
@jumangozi2720 7 күн бұрын
Wewe Mohamed issa umesoma dini chuo gani
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 7 күн бұрын
Mayahudi asanten kutufikisha hapa popote mlipo kama wew yahudi agiza soda tayar imetuletea maadithi tukayakubali kuwa ni maneno ya mtume hata kama zinapingana na qurian ndio chanzo cha mpasuko wetu......chanzo cha mpasuko wetu waislam ni hadithi tuuuu
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 7 күн бұрын
Nawe Umewapenda Hao Wasiokuwa Miongoni Naunawapongeza Kanywe Soda Tutakutana Akhera
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 7 күн бұрын
@nurdinmfamau3493 sasa kama waislam tumefikia hatua ya kufurahi kifo cha muislam mwenzio kwa sabab ya ikhtrafu ya manhaj uoni anguka hilo
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 7 күн бұрын
Nawe kasome khadith ndo ukamilifu wa ibada kama hujui nyamaza
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 7 күн бұрын
@IjumaaIjumaa halaf qurian inakamilisha nin? Yaan nikasome hadith maandko ya mayahudi niache kusoma qurian ........na wao walijua tu
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 7 күн бұрын
@IjumaaIjumaa hv ulishawah kusoma historia ya hadithi au kwa kuwa umekuta watu na wew unafuata tu? Hv unajua mtume mwenyew halikataza hadithi cziandikwe?
@AlhajiMswaki-de3kb
@AlhajiMswaki-de3kb 7 күн бұрын
Nyote nimawahabi nyie hamna lolote wahab mmepotea mnahongwa
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 7 күн бұрын
Shekh anakwangua kidevu hivyo anaongea ujinga nani kampa u shekh huyo? Si huyu aliesema kuna aya ya mwenge au sie huyu? Sasa hilo baraza la ulamaa kama ulamaa mwenyewe ndie huyu?
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 күн бұрын
Nyie mna laana sasa unazungumzia ndevu si wazimu huo unao.
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 7 күн бұрын
Hivi kati ya nyie na sisi nani kaonesha kua ni maadui kama sio huyo salafi mwenzenu. Lakini pua umeweza kusema kua alimwita yule kijana muwahabi Na wewe umekubali kua ni wahabi Vp ukatae kua nyinyi ni maadui wakati ndugu yenu kaonesha wazi kua anafurahi kifo cha ndugu yetu
@jumangozi2720
@jumangozi2720 7 күн бұрын
Alafu kama masalaf ndio mawahabi sasa wewe answar inakuhusu nini
@NAJMASAIDI-e6b
@NAJMASAIDI-e6b 7 күн бұрын
MAWAHABI NI UOZO NA NI KANSA KWA UMA NA TAIFA
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 7 күн бұрын
Hujui answer na muhajirina sema astaghsfirllah ibada sahihi Iko answari kama mtume wetu muhamad swalallah wawa umekosea ukimtus mwislam Tena kwa BB Imani ya kiislam umeutusi waislam hatari sana
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 күн бұрын
@@IjumaaIjumaaUnaongea wazimu wewe. Hawa wehu unawafananisha na Answar waliompokea mtume Madina? Wewe kichaa
@AthumanAthuman-b6q
@AthumanAthuman-b6q 5 күн бұрын
Una mihemko yakishirikina ndo inakutesa.
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 5 күн бұрын
@@NAJMASAIDI-e6b itakuwa hujui maana ya answari uliza acha jazba za kishirikina walamu wengi wa maulidi ni wapiga lamri na hiyo ndo kansa inawatafuna hata maneno Yao unaona Hawa masufi ni wa matamanio
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 5 күн бұрын
@@mohamedhamismagoraonlinetv459 kutukana ni ufasiki kujifananisha ndo sahihi na ndo mafundisho Ya ALLAH ww kujifananisha na wapiga miziki utafufuliwa na waimba miziki acha uzushi angalia answari ndo watetezi wa mtume mohamad sw hakipiga modifu hakufundisha matarasim makombe hakufundisha lakini walimi wa maulidi ndo kazi yao
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 күн бұрын
UWAHHABI HUONDOA AKILI
@TwalijiIsamail
@TwalijiIsamail 7 күн бұрын
SHEIKH KABEKE YUKO SAHIHI SANA WEWE MUHAMMAD ISSA KAMA KWELI UNAKUNDI LAKO LINGINE KWA NINI UNAZUNGUMZIA YASIYOKUHUSU???!!! WATU WENYE AKILI TIMAMU WAMEJUA KABISA HUYO MUHABIA ALOFURAHIA KIFO CHA SHEIKH WETU NI KUNDI LAKO NDO MAANA UMEAMUA KUBWEKABWEKA ZIDI YA SHEIKH KABEKE.
@RamadhaniIbrahiim
@RamadhaniIbrahiim 7 күн бұрын
Mbona hukuongea baada ya yule msalafi kutoa MANENO ya kufurahia Abuu iddi kufa, ila huyu kabeke ndoumeona kakosea, na wewe ni jahili kama yule salafi
@TwalijiIsamail
@TwalijiIsamail 7 күн бұрын
NI KWELI MAWAHABI NI MAADUI WA WAISLAM SABABU WAO SIYO KATIKA WAISLAM.
@allymusira2153
@allymusira2153 7 күн бұрын
Tumia akili
@SuleimanKahangwa-oj9eh
@SuleimanKahangwa-oj9eh 7 күн бұрын
Kabeke rudisha pesa zawatu mbwa wewe
@jumangozi2720
@jumangozi2720 7 күн бұрын
Alafu kama nyie answari sio masalaf mkomesheni barahiyani asijiite salaf
@IsacManuel-b4y
@IsacManuel-b4y 7 күн бұрын
Hauna jipya
@jumangozi2720
@jumangozi2720 7 күн бұрын
Nani alikwambia kua maulamaa wani shafi maaliki abuu hanifa na ahmad wameikhtilafiana kwenye matalakimu na khitma acha uongo
@rashidabasi7940
@rashidabasi7940 7 күн бұрын
Ninyi Mawahabi ni kweli mumefurahia kifo cha Sheikh. Sijasikia mkikemea hao walio furahia kifo?
@JamalAbdallah-t1y
@JamalAbdallah-t1y 7 күн бұрын
Masalafi na ansar sunna wote ni MAWAHABI tu
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qi
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qi 7 күн бұрын
HAKUNA KITU KAMA ]MAWAHABI[
@JamalAbdallah-t1y
@JamalAbdallah-t1y 7 күн бұрын
Mawahabi baada ya kushtukiwa ni vbaraka wa mayahudi kwny miaka ya 1980 wakabadili Jina wakajiita ansar sunna, wakashtukiwa baadhi wakajiita salafi, Wote Hao ndio wale wale mawahabi, na mwenendo wao ni uleule, kufunga ndevu, kanzu fupi, ubishi Bila ilmu, mwezi wa kimataifa n. k hizo tofauti zao ni ktk kutafuta maslahi ya kidunia na ukubwa ( vyeo) tu.
@abushaddad989
@abushaddad989 7 күн бұрын
​@@JamalAbdallah-t1y unaijua Bakwata wewe ? Khulafi mkubwa wew
@JamalAbdallah-t1y
@JamalAbdallah-t1y 7 күн бұрын
@@abushaddad989 Bakwata ni kiboko ya mawahabi, kwani ww kenge hujui?
@baalawyaljadyd6750
@baalawyaljadyd6750 7 күн бұрын
​@@JamalAbdallah-t1y bakwata ni kikundi kisichojua Uhakika ni wanasiasa
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
SAUTI YA MUHABI ALIYEMSHAMBULIA SHEIKH MUHAMMAD IDDI | AOMBA RADHI KWA MUFTI
10:47
JERRY MURO AMLIPUA RAIS WA YANGA ENG. HERIS/ ATOKE KWENYE UONGOZI
21:41
KANZULAND YAZINDUA DUKA KUBWA LA KIFAHARI, KIWANDA CHA KANZU NA VIATU
13:55
MIHEMKO NA KIFO CHA ABUU IDD///Na  Ust. Baqir@ABJAD ACADEMY
27:49
ABJAD# ACADEMY
Рет қаралды 2,5 М.
MASHEIKH WA BAKWATA WANAWASAPOTI MASHIA TANZANIA sheikh Mohammed Issa
43:46
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН