SAUTI YA MUHABI ALIYEMSHAMBULIA SHEIKH MUHAMMAD IDDI | AOMBA RADHI KWA MUFTI

  Рет қаралды 39,326

SEYFULLAH TV

SEYFULLAH TV

Күн бұрын

Sikiliza sauti ya Muhabi alivyo mshambulia Marhum sheikh Muhammad Iddi ,na alivyo omba Radhi
#duet #subscribe #automobile #film #makkah #saudiarabia #kpop #like #gaming #viralvideo #video #picture #music

Пікірлер: 350
@MirajiMiraji-yu4gg
@MirajiMiraji-yu4gg 5 күн бұрын
Namuomba allah apunguze japo sawabu kwangu amuwekee abuu iddi..amin
@khamismohd5290
@khamismohd5290 5 күн бұрын
Hizo thawabu unazo
@hijahamadi5793
@hijahamadi5793 5 күн бұрын
Hayo si maneno ya sawa, mtolee sadaka, muombee dua.
@KhadijaOmary-u2n
@KhadijaOmary-u2n 5 күн бұрын
Ila wewe du akupunguzie wewe dhawabu unazo nyingi mmo muombee dua inshaallah
@w4058
@w4058 5 күн бұрын
Msiba mzito kweli kwa sheikh wetu hadi leo hatujachanganya halafu atoke kijitoto hata ikiwa ana elimu ya kiasi gani basi heshima hana
@zainabjumaa3055
@zainabjumaa3055 5 күн бұрын
@@MirajiMiraji-yu4gg astaghfiru llah duu kumbe unazijua thawabu zako kuwa ni nyingi
@ZettyHarunaKitambulio
@ZettyHarunaKitambulio 6 күн бұрын
kama umejua kosa lako Alhamdulilah ila mnapo toa kauli sio nzur masheikhe wetu na ss huku mahamuma mnatuchanganya ebu kueni sawa basi tuwe kwenye mstal moja Allah atujaalie mwisho mwema mwenzetu kazikwa ss wengine atujui tutakufa kifo gan japo njia ni moja lazim kwa Allah tutarejea
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 5 күн бұрын
Hakika umetuumiza nafsi wakati ngumu tumefiwa na mtu wetu tunaempenda hakika umetuumiza sana.
@sansasansa2504
@sansasansa2504 5 күн бұрын
mtume muhammad alikua akiwapenda hadi makafiri hicho alichokisema si katika tabia za kiislaam
@Mohamedi.12
@Mohamedi.12 20 сағат бұрын
@sansasansa2504 Qur'aan tukufu Inasema alikuwa anawaonea Huruma sio kuwapenda . kwahiyo HazRāt Rasūl s.a.w aliwaonea Huruma
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 6 күн бұрын
Hapa kuna unafiki ndani yake, inamana kama lingebaki huko group basi lingebaki kama lilivyo😢😢
@JamilaMohamed-l9y
@JamilaMohamed-l9y 6 күн бұрын
Waaislam tunaenda.wapi hivi unaweza kufurahi mwezako kufaa na baado ukasema na jogo angekufa kweli haya ndio mafundisho Hawa tulio umia tumuombe duaa mungu alipe km alikuwa anakosea kuwanaswa waslam kwa kile anacho kijua mungu ahukum
@neemanjakale2744
@neemanjakale2744 6 күн бұрын
A.aleykum waislam tupendane dini yetu mzuri mashekh wetu msichoke kuwaelimisha watu kama Hawa sarafi kutuharibia dini yetu na amuombe sana Allah kwa hichi alichokifanya amsamehe
@Issamarika
@Issamarika 5 күн бұрын
@@neemanjakale2744 salafi gani anafanya asiyo yaelewa ni chuki
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 5 күн бұрын
Allah akusamehe ndugu yetu kwa uungwana wa kuomba msamaha sote ni wakosefu Allah pekee ndiye mkamilifu.
@FaisalKitenge
@FaisalKitenge Күн бұрын
Nimetokwaa na machozi kwa kizazi hiki kwanini Uislam tunaupeleke huku Yaa Allah tuswamehee ....Namejihisii vibaya sana ..Nina majirani zangu Ambao ni katika watu wanaoamini katika sarafii kiukweli mnakosea sana ...Sisi wote ni Waislam Kibra yetu ni Moja,,Mtume wetu ni mmoja,,Kitabu chetu ni kimoja,,na Allah sw tunayemfuata ni mmoja ...kwanini Tunakwenda huku ...Yaa Allah tujaalie mwisho mwema 😭🤲🤲🤲
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 6 күн бұрын
Allah Amsamehe Huyo Ndugu Na Allah Amrahamu Sheikh Muhammad Eid
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 6 күн бұрын
Muache kujifanya kila kitu muko saw a, cha msingi tumuombe Allah atujaalie waislam wote aturidhie.
@SaidKessy-f5p
@SaidKessy-f5p 5 күн бұрын
Huyu jamaa anaomba msamaha kwa kuogopa madhara lakini ndio itikadi yao..Mungu ameonyesha ndani ya moyo wake au nyoyo zao..
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 6 күн бұрын
Uislam original ulienda kitambo walioko wengi saa hii ni vibaraka wa mayahudi sasa kazi ni kupingana daily wao kwa wao na mwisho mtaanza kuchinjana badala ya yakufanya dawa ya mtume na swahaba zake ni tofauti kubwa sana na hii dawa ya hawa makhurafi masuffi na hawa mawahabi hakuna dawa mnafanya masufii ama makhurafi wamezama kwa bidaa na mawahabi wamezama sana kwa kupingana sasa wote mumepotea hadi mrudi musome history ya mtume ndio muone dawaa yake na yenyu ni vitu mbili tofauti ndio maana hata wenyewe mnajua
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 5 күн бұрын
Hakika sahizi wapo wasaka tonge tu wengi wao kupitia mgongo wa dini
@Muislamu
@Muislamu 6 күн бұрын
البلاء موكل بالمنطق ...وقد قال النبي صلى الله عليه وسلم : " إياك وما يعتذر منه ".
@RamadhaniIbrahiim
@RamadhaniIbrahiim 6 күн бұрын
Allah hajatufundisha kulingalia kwenye makundi bali amatutaka tuwalinganie walionje ya wislamu Yani wakiristo na wasiyo kua na dini waufuate wislamu, nyinyi mnalingania kwenye makundi, turudi kwa Allah
@hassanbilali1697
@hassanbilali1697 6 күн бұрын
Salafi jitazameni uhusiano wenu na mungu wenu dhidi ya waislam wenzenu. Uongofu unatoka kwa Allah s.w
@Sakina-j2b
@Sakina-j2b 7 күн бұрын
Allah Akbar ndie mueza Wa Yote Allah Akbar atujalie mwisho mwema Inshallah
@adamrutaha4257
@adamrutaha4257 5 күн бұрын
Nilivyomuelewa anaomba msamaha Kwa sauti yake kuvuja kutoka kwenye group sio kuwa amekosea maneno aliyoyasema
@sansasansa2504
@sansasansa2504 5 күн бұрын
Msimamo huo hamna tofauti na mashia mashia wanawakataa makhalifa wote 4 pia masalafi wanawachukia wana wazuoni ambao ndio warithi wa mtume na makhalifa ktk uislaam heshima muhimu
@SuolFat
@SuolFat 6 күн бұрын
Ya rabbi wape mawahabi huzuni ya maisha na vizazi vyao
@dainamickdady4137
@dainamickdady4137 6 күн бұрын
@@SuolFat huna haki ya kumlaani una haki ya kumuombea msamaha kwa Allah
@BouShakuri
@BouShakuri 6 күн бұрын
@@SuolFat aanze na we mzushi na familia yako
@amraniadamu2850
@amraniadamu2850 6 күн бұрын
Uzushi tu umewazid
@willajr9513
@willajr9513 3 күн бұрын
@@BouShakuri 🤣🤣🤣
@BabySheni
@BabySheni 6 күн бұрын
Inna lilahi waina ilaihi rajiun
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 5 күн бұрын
Daah nilikuwa sijamsikia aisee, maneno machafu ya fedheha na yenye kujaa chuki hivi hata mlevi hawez kusema. Halafu anajiita salafi, yupo mbali na wema waliotangulia Allah atuongoe sisi na wao
@MbaroukAbdallah-k8h
@MbaroukAbdallah-k8h 6 күн бұрын
Muislam mwenzio anakufa hlf unafurahia wakt huo ww unajiita shekhe nyny hii dini mnaifnya vile mnavotaka nyny ina mana nyny mna asilimia 100 ya mnayoyafanya kua ymekubaliwa na ALLAH
@JumabJumamkuula
@JumabJumamkuula 5 күн бұрын
Waisilam twaenda wapi sie
@amanimohamedi-y1g
@amanimohamedi-y1g 5 күн бұрын
Tusifike huko ndg zanguni waislam,hebu tufanye Yale yatakamfanya ALLAH kuturidhia yaumul Qiyama,
@Mohdakhi
@Mohdakhi 2 күн бұрын
Anaukweli gani
@NizarKhamis-n3d
@NizarKhamis-n3d 5 күн бұрын
Maneno yke ukiskiliza bas unagundua kwamba jamaa ana kiburi sana,
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 6 күн бұрын
Msishtuke,,kujua quran,,na kuwa na hekma ni mambo ma 2 tofaut....tofauti yani..
@Superbasil-h3x
@Superbasil-h3x 6 күн бұрын
Ameomba radhi kwa sababu tu ameogopea amani yake , lakini aonesha hajakoma wala hajatubia
@JafariNyallu
@JafariNyallu 6 күн бұрын
@@Superbasil-h3x amesema huo ndio msimamo wa masalafi wote ila yeye kasema tu kwa ipumbavu wake
@Superbasil-h3x
@Superbasil-h3x 6 күн бұрын
@JafariNyallu Ndio yeye adhibitisha kuwa shekh iyd ni mzushi na msimamo wa kisalafi ni kufurahi kwa kifo chake ila yeye aomba samahani kwa kuwa hakufanya taqia na hakuficha chuki zake hizo kwenye moyo wake , kwahiyo kosa lake nikudhihirisha hizo chuki zake hasa ikiwa bado msiba ni mbichi ila huwo ndio msimamo wa kisalafi haujabadilika
@MohdHaji-r1q
@MohdHaji-r1q 5 күн бұрын
Unauhakika Gani kakwambia kama anaomba radi kwa amani yake alikuambia Wacha upuuzi uwo jielewe nyinyi kaziyenu kula wali wamaulidy 2 iety
@MohdHaji-r1q
@MohdHaji-r1q 5 күн бұрын
Apn c kwli uliyo andika yoty niuwango pia unatakiwa umuombe msamaha mana mana hunauhakika na ulichokiandika iety
@Superbasil-h3x
@Superbasil-h3x 5 күн бұрын
@@MohdHaji-r1q Inaonenyesha hukumsikiliza kabisa , hebu rejea umsikilize viruri , amesema kuwa kosala lake ni kuwa hskutegea kuwa maneno yake yatawakwaza watu na watayachukulia kwa kiwsngo kikubwa na ilikuwa na watu kukereka mpaka watu wakamtishia amani yake, na kosa lake ni kuwa (hakufanya taqia) na akadhihirisha (chuki zake) alikuwa afiche kwenye moyo wake hasa vile ulikuwa msiba bado ni mbichi, na akasema lakini huwo ndio msimamo wa usalafi haujabadilika ila yeye alikuwa afiche kwenye mojo wake yani afanye (taqia) Rejea umsikilize fizuri usikurukupwe ukafedheheka ukachekwa na watu
@mohamedamini4268
@mohamedamini4268 5 күн бұрын
NIMI NIMEMSAMEHE , 🙏
@MaalimKhatib
@MaalimKhatib 6 күн бұрын
Allah akuongoze
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 6 күн бұрын
Vijana wakishajua kusoma na kuandika Quran basi wanajikuta tyr wanajua kila Kitu, Mungu atusamehe buree
@NunuhAbdallah
@NunuhAbdallah 6 күн бұрын
aminaaa
@wazirikipanga325
@wazirikipanga325 5 күн бұрын
Yn ww umetukan maashekh wetu woot shekh walid abubakr zuberi kaadh mziwanda na nk....ewallaah mwalimu wako kweli mwalimu bora na unashika masomo na kuyafanyiaa kaz hasaa mwalimu jaahuira mwanafunz kadhalika....
@gulamomar6394
@gulamomar6394 6 күн бұрын
Wala hujutii bali unaogopa usalama wako tu😂
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 6 күн бұрын
Alhamdulillah kama katubu na ndio inavyotaka dini ya kiislam kuomba radhi kila binadam hajakamilika ni vzr anae kosea ni wajibu kuomba radhi
@justinibrahim-x1u
@justinibrahim-x1u 4 күн бұрын
Ulihitaji kuwa na hofu japo mlikuwa na faragha na group lenu, hata mkijificha allah anawaona,
@saidowsaidon4625
@saidowsaidon4625 6 күн бұрын
Allah tusamehe sisi sote
@khamisjuma3760
@khamisjuma3760 6 күн бұрын
Bangi..mbaya
@Sanjar-y3c
@Sanjar-y3c 6 күн бұрын
HAWA WANAOSEMA HAWAWAPEND MASALAFY HAWA MASHIA MASHETAN NDIO WANAOSEMA
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 6 күн бұрын
Nashukuru Mungu nimelithi uislam toka kwa mababu nauendeleza vilevile
@HajiAbdalla-vm2jr
@HajiAbdalla-vm2jr 6 күн бұрын
Tumekataa
@PopoBawa-c1h
@PopoBawa-c1h 4 күн бұрын
Tangia mda najuagatu masalafi awanaga akiri wanajiona wako sahihi Sana kuliko wenzake
@mhinaSudi
@mhinaSudi 6 күн бұрын
Aww,Daaaah,nimesikiliza maneno ya KASHFA ya huyo SARAF Ki-ukweli tamenikwaza sana kiasi kwamba jama ndio ungekuwa msimamo wao nisingekaa NIINGIE KATIKA MSIKITI WANAOS
@SwalehAliKasim
@SwalehAliKasim 6 күн бұрын
Sheikh hakuendi hvyo, tupe link ya hio clip ama uonyeshe full, mwanzo hata hakai kama Sufi, tunajijua tu Kwa appearance yetu Alhmdulilah, huyo hata ndevu Hana. Nipee link ya hio video niweze kusadiki maneno Yako . Afuwan
@bakarihussein4486
@bakarihussein4486 Күн бұрын
Hivi uhabi ni nini? Mbona Waislamu tunashambuliana ? Kwani Pepo Ina ihitai waislamu wa aina gani? What I know kuwa Muislamu zingatia Quran na Sunnah only that .uhabi,usunni,ushafiii,uwanswari sio Muhimu mbele ya ALLAH S.W ,Tumeacha AGENDA MUHIMU Sasa tunajichanganya.
@Nabiilkhamis
@Nabiilkhamis 6 күн бұрын
Mm masalafi nawachukia sana na hatuwez kuwasamehe
@khamismohd5290
@khamismohd5290 5 күн бұрын
Kilichokosekana ni busara tu
@khamismohd5290
@khamismohd5290 5 күн бұрын
Kuomba radhi ni kawaida ya binaadamu alafu kukosea ni kawaida ya binaadamu acheni kulumbana watu wote wanafanya makosa
@AbdulHamid-wy1in
@AbdulHamid-wy1in 5 күн бұрын
Ndio mwisho wa Mihemko.
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 7 күн бұрын
Huko Nikuonesha Uchache Naukomavu Wa Kiilmi Mwanafunzi Unawakashifu Watu Tena Masheikh
@zakiaramadhan-dd4bv
@zakiaramadhan-dd4bv 6 күн бұрын
Hufai
@abdilahsalum3942
@abdilahsalum3942 7 күн бұрын
Kwn alikuwa anaukwel gan
@criminalminds7723
@criminalminds7723 6 күн бұрын
Ukweli unao ww
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 6 күн бұрын
Kwa kuwa umeomba msamaha shekh na huo ndio uislam unavyotaka basi sisi twakusamehe
@eliudchowo3917
@eliudchowo3917 7 күн бұрын
Duh!
@NizarKhamis-n3d
@NizarKhamis-n3d 5 күн бұрын
Amuombe msamaha mwenyezi Mungu kwanza
@mzulwa2006
@mzulwa2006 6 күн бұрын
Tatizo kubwa ni waandishi wetu hawachagui cha kupost kila habari wao ni habari ,mungu akulipe kheri kwa kuona baya ulilolifanya
@hamisibakari7271
@hamisibakari7271 2 күн бұрын
Mimi sijamsamehe huyo mjinga
@NunuhAbdallah
@NunuhAbdallah 6 күн бұрын
Nautakufa kinywa wazi www mbaaaa ww
@salehsaleh1305
@salehsaleh1305 6 күн бұрын
Usimuite mbwa
@SalmaMalikiMsikiti
@SalmaMalikiMsikiti 6 күн бұрын
Asalam alaykum huyu mtu alidhamiria sio kama amekosea maneno yake yanaonshesha amefikisha ujumbe Allah ampe kazi ya kufanya huyu mtu
@Jamila-c7k
@Jamila-c7k 6 күн бұрын
Msamaha wa kinafk
@rashidiharoun4199
@rashidiharoun4199 6 күн бұрын
Huyu anatakiwa Aje Hadharani Hizo Radhi alizoomba aombe Live bila Hivyo Hutaeleweka Endelea na Furaha Yako ya kufa sheikh na kipenzi Cha Waislamu wengi
@guugug9gt829
@guugug9gt829 6 күн бұрын
Mlaanifu mkubwaweeeeee mbo
@shamzone388
@shamzone388 6 күн бұрын
HATUKUSAMEHE MPAKA UTOKE HADHARANI TUKUONE UKIOMBA RADHI UNAOGOPA NINI KUOMEKANA NA WATU WOOTE MIMI BINAFSI UPANDE WANGU SIKUSAMEHE MPAKA TUKUONE
@kibindachangila7991
@kibindachangila7991 5 күн бұрын
Waislam tumefika huku kweli
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 6 күн бұрын
Nyama za wanazuoni zina sumu
@wazirikipanga325
@wazirikipanga325 5 күн бұрын
Sie tumepokea msiba wa ndugu yetu tumemuhifadhi sheikh wetu naww tukn tuu potok tuu hatuna mpang na ww
@gyestudios267
@gyestudios267 6 күн бұрын
ingekuwa mtume wetu anafurahia mtu akifa kafiri basi angewaua wengi ambao alishawazidi nguvu. Mcheni Allah nyie na tuwaombee dua wote tuwe na mwisho wenye kuridhiwa na Al-Rahman
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 6 күн бұрын
Kaomba radhi vipi hamjamsikiliza vizuri huyu alichoonesha ni kujichanganya tu na kuonesha unafik wake.
@salehamuhammad7765
@salehamuhammad7765 6 күн бұрын
Hio ni radhi ya unafiki Na ukitaka radhi ya ukweli kwanza tubia kwa Alla na ni hakika uko katika njia ya batili na utakorejea kwa Alla na ukaifata njia ya Haki Alla atakusame bila hivyo toba kwa mwenendo wa upande ulio ni ngumu mno kutokana na itikadi chafu za upande huo. Alla akuonyeshe Haki na uifate.
@RashidAli-u5k8x
@RashidAli-u5k8x 4 күн бұрын
Wew nimwendawazimu muisilam hawezi kusherehekea kufa muisilam Bora wafe wendawazimu kamanyinyi kuliko kufa shekhe mwenye ilimu
@SAFIAFOMAR
@SAFIAFOMAR 5 күн бұрын
Huo msamaha wake alivyo uomba sijaukubali binafsi. Eti niliongea kwenye group lakini sikujua kama yatatoka so yasingetoka asingejua kama kakosea au? Dini hailinganiwi kwa chuki wala kwa kulazimishwa tujifunze kutumia kauli nzuri.
@RamadhanBedui-so4bx
@RamadhanBedui-so4bx 2 күн бұрын
Badilika inatosha kuangamia kwa makosa ya elimu
@Chemba67
@Chemba67 4 күн бұрын
Huyu bwege tunamnyooosha si mda mrefu sana.......kayakanyaga
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 7 күн бұрын
BANGI ZA TANDALE HIZO LZM UROPOKWE HASA UKIWA ANDAZI MOJA UGALI ALAGE
@MaulidiSufiani
@MaulidiSufiani 5 күн бұрын
Huyo sheikh alie mkashfu malehemu sheikhe Muhammad amekosea sana sana sana hayomaneno hata mwendawazimu hawezi kuongea kama alicho kiongea huo sio ustaarabi kabisa
@AshrafHakim-gq7jv
@AshrafHakim-gq7jv 6 күн бұрын
umemdhalilisha maiti so subiri mda una kuja .labda toba yako iwe ni ya sawsaw. ila kwa kumdhalilisha maiti alah ndiye ajuaye zaidi
@HusnaSalum-p1q
@HusnaSalum-p1q 6 күн бұрын
Kuna watu wameshika vitabu ila hawakusoma mmojawapo ni huyu na siajabu hana muda wakuishi kwenye dunia hii mm namuomba Mungu amlipe kwa hili
@jokhasaid429
@jokhasaid429 5 күн бұрын
Kabla hujafa hujaumbika jitambue
@Kijazi1132
@Kijazi1132 5 күн бұрын
Hawa Ansari mawahabi ni watu hatari sana.. Sio waislamu walio nyooka wanatukwaza kwa kweli
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 7 күн бұрын
Mimi ni muislam simsamehi.
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 6 күн бұрын
Mwisilaam gani usipo msamehe kwani wewe ndie mungu
@abushaddad989
@abushaddad989 6 күн бұрын
Hujui Uislam , unauskia tu au wew ni shabiki tu basi
@KalicKaguz
@KalicKaguz 6 күн бұрын
Usisamehe we nani
@IbrahimuSaid-z7e
@IbrahimuSaid-z7e 6 күн бұрын
@@nakundwamkubwe7823 msamehe ndugu yangu kwasababu Allah s.w ni mwingi wa kusamehe hvyo huwenda kumsamehe ndugu yako ikawa sababu ya Allah kukusamehe madhambi yako
@mohamedsaid1804
@mohamedsaid1804 6 күн бұрын
Allah ndie anatoa msamaha. Wewe hajakufanya kitu.
@JAFARISAIDI-u5q
@JAFARISAIDI-u5q 4 күн бұрын
Yaan shekhe umesoma dini lakin unaomba radhi tena kwenye vyombo vya habar huoniujinga tena hufai napia unafurahia kifo cha mwenzio huo niujinga.
@abdallahhalifa5860
@abdallahhalifa5860 6 күн бұрын
Allah Amrehemu Sheikh Muhammad Idi Wallahi zaidi yakujua ni Allah lkn huyu Sheikh ameutendea kazi Uwislamu na Allah atamlipa kwa kazi aliyoifanya na hawa majaahil mfano wa huyu Allah awaongoze coz maskini elimu yao Finyo vipi uombe Msamaha na wajua wazi uko kwenye Hakii ssa basi km nikusamehewa ngojea siku tukifufuliwa umuombe uliemkejeli na kumsengenya mpumbavu mkubwa wwe
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k 6 күн бұрын
Mm nafsi yangu huyu shekhe ilikuw simjui nimemjua hapa alipokuf na nikamsikiliza shekhe mawaidha yake ni mazur sana na niliposikia kuwa Kuna watu wamefurahi kufa kwake aaah niliumia sanaa na mpk Leo hii nazid kuumia nafikia ata kulia kweli waislamu tumefikia hatua hii na wakat sote tunamfat ALLAH mmoja mtume wetu ni Muhammad rasulullahu sote sasa kwanini tunaish hivi na tunafanyiana haya inaumiza san
@KibwanasharifuSharifumohamed
@KibwanasharifuSharifumohamed Күн бұрын
Hapana wewe utakaamilele endelea na shereheyako Allah akuzidishie nguvu
@HawaZubery-w8m
@HawaZubery-w8m 5 күн бұрын
Illah akusamehe.ila umetukera mno mambo yenu.bakini nayo hukhuko yani ww usomeshwe na haohao na ww uwe unajua kuliko wao allah akupe funxo kidogo
@missamirajiiddy7077
@missamirajiiddy7077 6 күн бұрын
Mauti si jambo la kufurahia pindi linapo mkuta mmoja wetu. Umetufedhesha sana kama waislam
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 6 күн бұрын
MIMI SIFURAHII JAMBO HILI LA KUFURAHIA KIFO CHA MTU,LKN HATA NYIE MLIOLIFIKISHA MMEKOSEA KUWAZUSHIA MASALAFI WOTE HALI YA KUWA NI JAMBO LA MTU MMOJA KWA KUGHAFILIKA.
@ShomariAthumani
@ShomariAthumani 6 күн бұрын
Umekosea sana mjomba sasa kufa nisawasawa urikua nachuki Gani namalehemu
@abuuaminah
@abuuaminah 5 күн бұрын
Masalafi sio ndugu zetu wao hutuona na kutuita washirikina,bali makafiri kwao ni bora kuliko sisi
@HassanDoza
@HassanDoza 4 күн бұрын
Ss weye hufi muislamu mwenzio ah simuislamu ww
@mudinhomeshack9041
@mudinhomeshack9041 6 күн бұрын
Mm ni muislamu lkn sin dhehebu haya maswala ya madhehebu ndo yanatugawa sawa
@dainamickdady4137
@dainamickdady4137 6 күн бұрын
Mimi ni muislamu nasimama katka qalma zangu mbili tu
@iddyally-uw8tk
@iddyally-uw8tk 6 күн бұрын
Mpuuzi kama huyo inaonyesha kashaa jibashiria pepo, MUNGU nimjuzi zaidi ngoja tumkabidhi kwake
@JumabJumamkuula
@JumabJumamkuula 5 күн бұрын
Kwahiyo kwenu ilikua ni srri dah
@saadasm6756
@saadasm6756 6 күн бұрын
MUOMBE MSAMAHA ALLAH , huyo mgonvi wk ndio kashaondoka na ww usijedhihakiwa,
@RajjMohamed
@RajjMohamed 4 күн бұрын
Wewe sio muislam tubu tubu
@ShamsiRashidi-ug7xx
@ShamsiRashidi-ug7xx 6 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@NunuhAbdallah
@NunuhAbdallah 6 күн бұрын
Huna akili ww muhabi wa wenzako wote mlioshirikiana nao pia huo muhemuko wenu mtaishi nao vizazi vyenu raha maisha nafuraha yamaisha ,maishani mwenu yote pia mlaaniwe
@SalmaSaid-fj5fq
@SalmaSaid-fj5fq 5 күн бұрын
Mdomo
@sabrysleiman5115
@sabrysleiman5115 6 күн бұрын
Kwani nyinyi misalafy mnajiona tayar muko peponi ,mambuzi nyinyii,acheni ujinga ,mm kama rais wallah nakueka ndani mileleee
@azwarsele3581
@azwarsele3581 6 күн бұрын
Sasa nimejua udhaifu wa masalafi
@KarimuIddy-w8x
@KarimuIddy-w8x 6 күн бұрын
Hata aombe radh ujumbe imeenda mbali
@KalicKaguz
@KalicKaguz 6 күн бұрын
Na kuomba Kwake msamaha pia kutaenda mbali kukoss ni ktk ubinasdamu
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 6 күн бұрын
Milango ya taoba bado iko wazi haijafungwa
@RamadhaniMohamedi-de2vc
@RamadhaniMohamedi-de2vc 6 күн бұрын
Kwaiyo ww msalafi kauli hii ndio ya kumlingania mtu Insha Allah kama umeomba radhi mungu akusamehe ila sio vyema usirudie tena kufa twafa wote hekma ya Elimu kuvumiliana.
Every team from the Bracket Buster! Who ya got? 😏
0:53
FailArmy Shorts
Рет қаралды 13 МЛН
Война Семей - ВСЕ СЕРИИ, 1 сезон (серии 1-20)
7:40:31
Семейные Сериалы
Рет қаралды 1,6 МЛН
2 February 2025
12:44
Mohamed Issa
Рет қаралды 10 М.
Every team from the Bracket Buster! Who ya got? 😏
0:53
FailArmy Shorts
Рет қаралды 13 МЛН