Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya
Пікірлер: 416
@habibumohamed15433 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad Nassor bachu... Allah akulipe, watufundisha tunakuelewa sana
@shaabanikabwe34373 жыл бұрын
Sheikh Muhammad Nassoro Bachu Allah akulipe kheri Unafanya kazi ya Allah ipasavyo Alhamdullilah Unaelimisha watu wengi sana na masheikh Njaa ni wengi sana siku hz Allah akupe subra tuu maana watu unao waelimisha ni wengi sana na masheikh wengi wapo kimaslahi sana ya dunia ndio maana wapo radhi kupindisha maneno ya Allah na mtume wake kwa sababu ya matumbo yao. Allah akuongezee ujuzi zaidi na zaidi.
@nehembajoh1524 Жыл бұрын
A a mohammed bachu ako sawa mashaAllah pambana na wao wanachezea dini ili wapate pesa kwa njia zote inallilahi waina illeyhi rajioun subhanaAllah
@aliabdulaziz7199 Жыл бұрын
I salute you, like father like his son. The problem of those who love innovation always being trapped up with new innovation creating by their ownselves by using their own little knowledge Allah bestow on them, but they don't know or they know but Allah knows what they are concealing in their hearts. To be honest to you, may Allah reward you abunduntly in this dunya and rise you in a high status too.walasawfa yu'tika rabbuka fatardhwaa. Assalamu Allaykum warahmatullahi wabarakatuh. Wajazzaka llahu kheyra sheikh Muhammad bachu.
@maryamtanzania974311 ай бұрын
Muhamadu bachu muombe mngu sana hata ibada za usik Usiache kusimama allah akulinde manake unafiki ktk dini hutaki kusikia shehe wetu yupo hata mwalimu wangu ni mzuri sana anapigwa vita sehemu 2 answar wenzake na masufi kisa hataki batuli ichanganywe na haki
@sawdaasawdaa79032 жыл бұрын
Nikumutukuza Allah tatizo mucristo anaamini mungu wawili watatu nakumutukuza ila muisilamu anaamini Mungu umoja nakumutukuza neno sio libaya ila unatukuza nini kuishinawasokuwa waisilamu kwa wema tusicanganye Imani impossible
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
Masha'Allah Sheikh Bachu umepambanua vyema. "Wala talibisu lihaqa bilibatwir wataktumuuna lihaqa wa antum taalamuna" Kwa vile walifanya kazi nzuri sikuilr ya kuipigania dini ya Mwenyezimungu basi tuwasamehe masheikh wetu hao bila shaka watatilia yakiini.
@badrumulinda73492 жыл бұрын
Naombeni namba ya sheikh Bachu
@amyassyassin79093 жыл бұрын
Alhamdulillaah Allaah Alinitoa katika usufi nikiwa na miaka 20. Allaah Amrahamu Sheikh Nassor Bachu alitutoa katika ujinga na kiza akatuonesha haqi tukaifata. Usufi umerejesha nyuma sana haqi na elimu ya kiislamu
@abdulgadiralahdal901 Жыл бұрын
Wewe bado umjinga ndugu vipi utakua umeiona haki ?. Usufi hauchukuliwi kutoka mtu yoyote Yule bali unao wenyewe . Wewe bado ni mjinga tu wakawaida. Na kama unapinga hilo na una ubavu wa kupambana nijulishe kama upo tayari au huyo shekhe wako uone utakavyo umbuka hapa . Na subiri tangazo lako la utayari wako wewe au shekhe wako unae mtaka .
@mwanakombabasi59603 жыл бұрын
Shukran shekh mohammad upo sajihi hao wanaona kama wataishi daima ulimwenguni tumuogopeni Allah jamani duniani tunapita haki ipo wazi shukran sana jazakallahu kheir
@sarahhashim62982 жыл бұрын
Yani sheh nakupenda kwajili ya Allah jamani mungu akulinde na hasad
@khadjahakamali19793 жыл бұрын
SubhanaAllah, ukweli umethihirika,Muhammad Nassor Bachu Allah akuzidishie elmu, umri na kuendelea kuwasaidia ndugu zako waisilamu wenye elmu ndogo wasipotoshwe na watu wasio na elmu
@niyakhalid56503 жыл бұрын
MashaALLAH Sheikh wetu
@kosemraul34193 жыл бұрын
Maasha Allah. M/Mungu akuhifadhi sheikh Bachu.
@rufeaomar94252 жыл бұрын
⁹
@rufeaomar94252 жыл бұрын
⁹
@rufeaomar94252 жыл бұрын
9
@mrishongwikwi64482 жыл бұрын
Alhamdullillah hakhi imeshinda hakika kauli za diwani na wenzake zilitufedhehesha sana, yule Alhad inawezekani ni wakala wa dini mseto tuwe naye makini atatuvuruga waislamu. Allah akuhifadhi shekh Muhammad Bachu akupe kila la kheri katika hakhi yake.
@hasaniabdalah61482 жыл бұрын
Umeongea point kaka
@khalphanialbano47203 жыл бұрын
ALLAH AKUPE YALIO MEMA, HAKIKA ELMU NI BAHALI, WASOMESHE HAO TATIZO LAO ELIMU HAWANA.
@mohamadmaulidngava15103 жыл бұрын
Shukrani tunanufaika sana Mwalimu kwa elimu yako Mwenyezi Mungu akulinde.
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
SubhaanaAllah Ametakasika mwenyezi mungu
@salemshaban24133 жыл бұрын
MashaAllah sheikh wetu bachu
@ismailkalimbo29933 жыл бұрын
Muhammad Bachu mimi huwa nakuskiza sana lakini kwa hili nakupinga. Kama kuna kosa wamefanya kuna taratibu za kufata, waite kando mupeane nasaha kuhusu hilo jambo. Mimi nampenda sana Sheikh Shafi kwa ile kazi yeye na wenzake kina Mazinge wanayo ifanya, we unaona kuitetea Dini ya ALLAH mchezo?? Wenzako wanajadiliana na makafiri kuwalingania katika uislamu, we unawakosoa.
@ramadhanmwandambotuntufye59723 жыл бұрын
Sheikh bachu Allah akulipe, hawa jamaa ni wanazuoni waovu wanawafurahisha watawala na masheikh waovu kukunja aya, waweke sawa usichoke.
@allymanyika35023 жыл бұрын
Allah akulipe sheikh wetu kwa msimamo wako madhubuti wa kutokua mwoga wa kuwasema masheikh wapotoshaji wa dini yetu tukufu
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah mnatutia wasiwasi mashekhe tufuate nani kama nyinyi mashekhe hamna hakika mungu a wasamehe naatusamehe nasisi tunaomisikiliza ameen
@saidlucas12163 жыл бұрын
Nakupenda sheikh kwa ajili ya Allah 💓
@majaliwandoriyobija98643 жыл бұрын
Una weza kuni patishiya number za Sheikh wetu huyu
@majaliwandoriyobija98643 жыл бұрын
As Salam Alayikum Warah Matullahi Wabarakatuh
@majaliwandoriyobija98643 жыл бұрын
Nina ku ombeni, yeyote atakaye kuwa na number za Sheikh wetu Muhammed Nasor Bachu, basi uta agiziye nazo hapa
@enuelabunimkali95293 жыл бұрын
Haleluya haleluya haleluja jina la mwenyezi mungu lipewe sifa na adhama:
@Nuru_ya_sunnah.official Жыл бұрын
No No. No
@imammwangauri9326 Жыл бұрын
Kaka Nasoro Bachu mungu akueke inshaallah ukweli utabaki kuwa ukweli tu mungu akuifadhi sheikh
@dullahpasha95503 жыл бұрын
Allah katuondoshea shekh nasor bachu katuekea bachu mdgo basi kazi iaendeaa haki haikai na batili
@mootelahamongus6333 жыл бұрын
Maji na Mafuta Hayawezi changanyika yachemshwe au yasichemshwe. Haki inaonekana tu, na wapotoshaji wanaonekana. Jazaaka Allaahu Khyra. Allaah 'Azza wa Jalla akujaalie Umri Mrefu wenye Faida, Aamiyn.
@binthamoudshariff54923 жыл бұрын
Subhanallah Allah atusameh atupe toba nasuha na kila anaekosea Allah amuongoze shekh
@kassimbitogwa69923 жыл бұрын
Allah akujaalie mwisho mwema ndugu Bachu
@almastoyi35493 жыл бұрын
As salaam 'aleykum warahmatullaahi wabarakatu Ost Mohammed Mimi ni Ost Sha'aban nipo Kigoma Tz tunakuombea kwa Allah mtukufu Akuzdishie 'Ilim na Hekma ktk njia hii ya haqqi nakuusia subra juu ya yanayoweza kukufika, unaizungumza haqq mbele ya kiongozi fasiq/dhwalim... JazakaLLaah.
@sulesumry97663 жыл бұрын
Ma shaa Allah shekh bachu wataelewa tu
@mohammedsalim70513 жыл бұрын
Mimi naipenda dini yangu na nawapenda waislamu wote answer sunna na hata waahlisunna waljamaa kikubwa kwangu ni kuwaombea sana mashehe wetu wote waelewane wawe kitu kimoja
@bahashachembea69223 жыл бұрын
In Shaa Allah
@abubakarwadi57733 жыл бұрын
She bachu we usipate tabu ujumbe umefika naukweli ushajuulikana hao wanajikoroga tu kwakulinda ugali
@rekhaakashimhdrrr87403 жыл бұрын
Hata na mimi sikubali ani nao muislam si vizuri kusema aleyuya allah anatukuzwa na takibhir n.k hao wanakula na selikari
@adilihassan84553 жыл бұрын
Hongera sheikh,fata mwenendo wa babako,uko sawa kabisa,wao watapambana n Allah kiama,hawatakwepa
@mwanakomboomary76092 жыл бұрын
Naona Aibu Sana Ebu fataneneni muuelimishane Ila haya ya hadharani sijapenda maana mwawapa faida Wasiokuwa Waislaam tusitiriane Amani itawale
@faisalmazrooei87203 жыл бұрын
Thumbs-up Sheikh Mohammed Bachu. Allah akujaalie kila la kher. Keep up the good work. Allah Maak InshaAllah
@abuuyusufamashi85602 жыл бұрын
Kumtukuza na laailaah,ni maneno mawili tofauti,acha upumbavu
@solomonadams63373 жыл бұрын
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu ¿My love brother Muhammad Nassor,mimi niko mbali na Visiwa nyetu tena kwa miaka mingi amshukuru Allah alitojukulia Maalim Nassor akatuletea wewe mtoto Allah akuhifadhi,wew usipate tabu nimefuatilia kitu kimoja kuhusu Watanganyika wana tabia ya ujuwaji wa kitu wasichokijua halafu vile vile wana tabia ya kupindisha maneno sawa¿hata yule kafiri wa kitanganyika Palamaganda Kabudi analo lizungumza Leo kesho anakua keshalosahau sawa¿thanks
@abubakarkassanura35153 жыл бұрын
Waalaykumu salaam warahmatullah wabarakaatu!! Ondoa neno watanganyika , zungumza waislamu wengi
@masjidluqmaan28443 жыл бұрын
Allah akuifadhi ukosahihi kabisa Muhammad nasolo bachu
@littoraider76043 жыл бұрын
Usiseme watanganyika sema angalau (BAADHI YA WAISLAAMU KUTOKA TANGANYIKA)
@Ali-nl2du3 жыл бұрын
@@littoraider7604 kweli, sote sisi waislamu
@i.dclassic1163 жыл бұрын
Asalam alaykum unajipatia madhambi unawazungumzia watu
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
Sheikh Muhammad safi sana 🙌
@kiri58073 жыл бұрын
mimi siku xote nafahamu neno Alleluyaa ktk experience yangu nnavyowaona wenyewe wanatumia naelewa kuwa wanakusudia Mungu ni mkubwa . nna marafiki wengi wakristo , wanigeria, n.k wanapenda kulitumia zaidi ukiwapa good news .
@swalehhamid-zn5hf Жыл бұрын
Wewe Bachu unashida sana ushindani wako hautufaidishi chochote
@saiditara72353 жыл бұрын
Bado Allah atawaleta na wengine kutoka kwao waje upande wako kwa kuthibitisha hayo, hata kama wanabambanya bambanya, we vumilia katika haki.
@saidomar14083 жыл бұрын
Allah akulipe kheri sheikh Muhammad Bachu
@mirajihamza2892 Жыл бұрын
Mashaalah muhammadi Bachu fanya kazi ya mungu
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
Njaa baba njaaa mbaya sana
@rahmazahormohd33392 жыл бұрын
Sub hana Allah awa watu mungu anawaona shekh muhammed nasor Allah akusimamie juu ya hilo akupe nguvu na hekma uzidi kutuelimisha
@maryamshuraim41633 жыл бұрын
shafii nae hajui jambo mpuuzi tuu
@mutomubaya2 жыл бұрын
Shukran kwa maelezo. Allah awarudishe njiani waliopotoka
@iddikibwana9185 Жыл бұрын
Muhammad Bachu sheikh tunashukuru umetufafanulia vizurii.
@hussnasaad75033 жыл бұрын
subhana Allah, Ni kweli kila kitu kiko wazi.. wasi kuchokeshe akili hao bado watarudi tena🤣 shekh muhammad.. endelea kutufundisha Allah akuhifadhi yaa rabb.
Haqqi inajionyesha yenyewe ALHAD MUSA na mwenzako sheikh diwan Muogopeni Allah
@mwanakombabasi59603 жыл бұрын
Kweli kabisa
@allymkorogo19843 жыл бұрын
Nyinyi masheikh ugali mnawayumbisha waislam kwa njaa zenu mungu akuzidishie katika mema sheikh bachu
@abuuimraanazenjibar24902 жыл бұрын
Subhanallah yani anajipendekeza kwa mashahidi na manaswara kwaajili ya dunia
@khadijasaid50653 жыл бұрын
Mashaallah shekhe wetu Muhammad bachu Mungu akuhifadhi daima inshaallah..kutoka kenya khadija said Nahdi mld
@abdulrahmanmussa4479 Жыл бұрын
Mashaallah sheikh wetu uko sawa hao njaa mbaya sana
@allymuhamed72953 жыл бұрын
muhammad bachu Allah akupe hifadhi mastura. Hawa masheikh wengine hawa wanaongea ili wapete maslahi ya kidunia. Labda yeye ndiye hakumuelewa. Hawa masheikh wafuasi wa bakwata wana kiza kizito.
@mustafamsamba68492 жыл бұрын
Sheh bachu upo vizuri na unaeleweka vizuri
@aliujendo3 жыл бұрын
Hao mashekhe wapo kidunia sana wame acha khofu ya Allah
@mummy-qg6tt2 жыл бұрын
INNA LILAH WA INNA ILEH RAJIUN Huo ni msiba mkubwa kuona mwislam akijipendekeza kwa makafir
@mbarakalwahebi4094 Жыл бұрын
Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin yaaraab Amin shukran Sana mashaalhaah alhaamdulilaah waaanafki weengi na maaslaahi wengine wanataka vyeeo siyo Pepo firdoos ya mungu unaafki haasa Sisi waisaam subhaanaalhaah
@salmaalkyumi60303 жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын
Shafi umesema UWONGO. Sote tunajuwa Kiswahili, clips za AlHadi bado zipo kwenye You Tube. Musitufanye wapumbavu. Mutajibu kwa Allah siku ya Qiyama kuwapotosha Waislamu.
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Haruna Hawa ni masufi nyinyi hamtaki kusikiliza habari za makundi masufi ni watu walopinda usione wanawatukana watu wa Sunnah ukaghururika na matusi yao hawa woooooooote masuufiii ni wapotevuuu wao na viongozi wao.
@mikonomisafi93443 жыл бұрын
@@mahengomwenyewe4204 Wanasikitisha sana, yani wanapindisha ukweli sijui kwa faida ya nani?
@hamzayusuf29993 жыл бұрын
watakiwA mawahabi waende sudi.arebya mukanwe pombe hakuna tena pesa wa mewacha uwahabi
@mariamfaki11663 жыл бұрын
Huyu jamaa anatupoteza yupo sana kiserikali
@tatujuma87812 жыл бұрын
Wallahi masheikh mwatuchanganya sana
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
Unatiwa wasi wasi gani muongozo wako kwani huujui na kama hiujui fuata wakina mama na ukaijue kuisoma qur an na hukmu zake
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
Kuna waisilamu majina tuu muongozo wako ni Qur an
@kamikazifuraha8722 Жыл бұрын
ALLAH akulip kheri,ila tu hat ukiwatazama tu waonekana waongo sana yani wanapamba pamba maneno yakijinga ALLAH anawasubir kwahuy unafki hata aibu kwa MOLA hamuoni
@moasitymemo98943 жыл бұрын
Shekhe wetu الله akuhifadhi shekhe alhadi muongope الله
@ramadhanabdallah94762 жыл бұрын
Bigap Muhammad nassor ALLAH akulipe kheri duniani na aakhera
@fatmasaloum18213 жыл бұрын
Haki siku zote haichanganyiki na baatwil sasa kila mwenye akili zake timamu ashajua maana ya kufuata sunnah na kitabu vizuri na sio kuropokwa tu hiyo ndio tabia ya masufi ushindani uropokaji na upotoshaji.Allah awaongoze kwenye nuru, Amiin
@bakarimohammed27963 жыл бұрын
Safi sana sheikh Mohammed bachu, tayari wamesha kuelewa haooo
@eddieross2581 Жыл бұрын
Wallahi njaa mbaya sana
@muddybreezy45953 жыл бұрын
MashaAllah
@bigboss11923 жыл бұрын
Mashekh wa bakwata bahna wanaleta njaa kweli kwenye dini
@alimakame92152 жыл бұрын
Mashehe wa bara hawaaminiki wapo kwa ajili ya pesatu.
@kuambianakassimu49932 жыл бұрын
Duh hii nihatar 0stadh shaf wakutetea Mambo haya!!
@ngundejkassim32523 жыл бұрын
shafii haelewi anachokisema
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
Sheikh anaponukuu uongo kwa makusudi sijui kama anasaidia kutetea jambo Gani, hili linakutoa katika Heshima yako
@mkunjufu_himself3 жыл бұрын
Allah amsamehe sheikh shafi
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Mkunjufu nani kakwambia shafi ni shekhe ?? acheni kuudhalilisha uislam muhuni kaongea tu mnamuita shekhe anakua mjinga mjinga hawa wajinga wajinga wenu mkome kuwaita mashekhe mnaitukanisha dini .
@abdulrazakhassanor4983 жыл бұрын
@@mahengomwenyewe4204 kwani sheikh ni nani?ukijua maan ya sheikh hata ww unaweza kuwa sheikh
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
@@abdulrazakhassanor498 Unaongea maneno ya kwenye bao na karata nhe ?? Shekhe ina maana ya kilugha na kisheria kilugha ni mzee kisheria ni mtu mwenye elim ya Dini inayoweza kufutu mas ala kwa uhakika . Sasa unatakiwa utambue uko kufutu mambo kwa uhakika sio jambo la kukurupuka kama hiv leo unavyoliona linafanyika hpn lina misingi na dhwabiti maalum.
@yahyasix90253 жыл бұрын
Allah SW atuzidishie elimu. Chema huzaa chema.
@hamidakeissy32352 жыл бұрын
Hao mashekh n njaa wanaziendekeza sn mara kweny siasa bc n shida tupu din ya kiislam imekamilika
@IbrahimNtirenganya3 ай бұрын
Masufi niwaongo sana Allah awaongoze
@fundimsati40263 жыл бұрын
Namuomba ALLAH awakinge na mitihani hii mliofikia sasa
@rashidjumamohamed34372 жыл бұрын
Mohamad bachu uko vizur. Umetumia pia busara kulisemea hili
@abubakarngao65492 жыл бұрын
Masheikh munatuaibisha waislam bana kwasababu masheik wengi sikuizi hamna nidhamu afadhali ata wenye hawajasoma sai wallah mnauaibisha Uislam masheikh hebu jirudini na mtazame niwapi mlipopakoseaa kisha mjirekebishe masheikh zangu
@mummy-qg6tt2 жыл бұрын
Shukran
@sabihamakami37203 жыл бұрын
Shukran shekhe wetu Allah akupe kher zaid
@abdulqaadrilaurian3700 Жыл бұрын
Sheikh Ally uko sawa kweli
@maryamaa23312 жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie ujunzi zaidi mwanangu
@zahorsuleyman34293 жыл бұрын
Alhamdulillah haki imeonekana na Shari imeonekana kila mteteaji anakuja kujigongagonga
@nassormuyugumbi29323 жыл бұрын
Dini sio ushabiki, bali nikufahamishana kwa hekma na mawaidha mazuri, binafsi yangu kwa maneno uliyoandika nakuona umepitwa na wakati sijui we unasemaje
@zahorsuleyman34293 жыл бұрын
@@nassormuyugumbi2932 hayapitwa kabisa umesema hayo kw utashi wako tu si ndio
@abusultanzimbawy5013 жыл бұрын
Ss tunakuelewa Sheikh wetu wala usirudi nyuma toa elimu KWA imma Allah akulipe
@rekhaakashimhdrrr87403 жыл бұрын
Wanachapisha vitabu vyao ili kujitafutia rizki wasituharibie vizazi vyetu vya sasahivi bora kiama kije uongo umekithiri
Hakki haikaliwi chini siku zote itakuwa juu tu mashallah Allah akuhifadhi
@issanasir3583 Жыл бұрын
Bachou yupo sahihi Hawa wauza sawaa matapel Hadi maneno
@edhaomar2853 Жыл бұрын
Kwa hili bachu uko sawa
@rezikomer95522 жыл бұрын
Sheh bachu usitoweyane makosa mitandaoni toweyaneni ma kosa kikaoni pamoja mitatandaonisisawa mwakashifiyanamitandaoni sisawa mtachekwa na umah nakuchukiza umah nyinyi viongozi kuwekana chini ndiyo sawa
@cholomonmedia21993 жыл бұрын
Maashaallah wakirejea tena ucwaache mpaka wanyamaze ili sisi ambao elimu yetu ndogo tupate kuelimika
@faylafood7562 жыл бұрын
Ustadh unakosea dini haitufundishi hivyo ulipaswa kumfuata mkaelewana baada ya hapo yeye mwenyewe ndio atatengua maneno hayo, wala sio wewe utazame usije pata mwisho mbaya, mwenyezi mungu ailaze Roho ya Mzee Nassor Bachu Mahala pazuri