No video

MUSILE KUKU WAPEDUU WATA KUULIYA FAMILIA YAKO | DR ABUU KHALID

  Рет қаралды 22,715

Adil TV

Adil TV

Күн бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 72
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 Ай бұрын
Nimempenda sana huyu mtaalamu, ni muhimu Kwa afya katika kujikinga na magonjwa. Wanao tusabishia magonjwa wao wanajenga UCHUMI WAO KWA KUUZA MADAWA. Napenda nipate nafasi ya kuonana naye.
@user-fq1gg8rj9i
@user-fq1gg8rj9i Ай бұрын
Kweli sheikh viwanda vipo vya kutengeneza mayai ... wallah tumuombe Allah atuhifadhi na atulinde na vizazi vyetu amiiiiiin.... Hali nibaya sannaa
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 17 күн бұрын
Shukran sana sheikh wetu
@user-gu1xf3zc7z
@user-gu1xf3zc7z 25 күн бұрын
Sahihi kabisa ustadh
@RauhiaJuma-m8n
@RauhiaJuma-m8n Ай бұрын
Hongera dk ABUU KHALID kwa kutufumbua macho tunaumia kwa kweli
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
UKo sawa sheikh,hawa viongozi wanatumaliza
@baizobaizo6638
@baizobaizo6638 Ай бұрын
Akuna Kitu Kizur Kama Kupata Darasa Nakushukuru Sana Dr Kuanzia Leo Itakuwa Mwisho Kula Vitu Visivyo Vya Asili.....
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Ай бұрын
Hakuna vyakula asili kwa dunia ya leo, kilicho baki asili, ni ubuyu,mrenda poli, ukwaju basi!! Vyote vilivobaki ni hatari kubwa sana,, na tuki ishi miaka 45-50, inatosha sana.
@SadikKhamis
@SadikKhamis Ай бұрын
Masha allah beautiful speech
@user-pw8ml6ts8r
@user-pw8ml6ts8r Ай бұрын
Shukrani sana!
@user-fq1gg8rj9i
@user-fq1gg8rj9i Ай бұрын
Subhana Allah Laa illa Haillallah 😭😭😭😭
@SapaJrsine-rf3qe
@SapaJrsine-rf3qe Ай бұрын
Mashaallah
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 Ай бұрын
Ama kwa hakika ndongaliishi kw usafi wa nafsi na Imani za kiroho ,maneno yetu na maisha yetu yasingalitupotosha tukaenda sivo ,tumfuate Mtume kiukweli sio kumtajatu
@user-fq1gg8rj9i
@user-fq1gg8rj9i Ай бұрын
Tupooooo tupooo kwa kweli mtihan... Yarrab atupe mwisho mwema
@MrKhatibu
@MrKhatibu Ай бұрын
Na kwanini mpaka inafikia nchi I aruhusu kuingiza vibudu kutoka ulaya. Utasikia kutoka Poland ambapo kuchinja mfungo kwao ni kosa la jinai
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Ай бұрын
Upo sa hh tuna kala kk hawaja chinjwa kisheria mtihan
@MkambaSaleh-kr7pi
@MkambaSaleh-kr7pi Ай бұрын
Sadakta shekhe umepatia lakini na Mafuta ya madumuni hayo oki na samli za praide vyote hiyo bandia
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 Ай бұрын
AmBAR anapinga ni kati ya hao wafanya biasha na vibaraka wa wazungu mashoga na watumwa wa marekani
@user-bg2yc4kw9k
@user-bg2yc4kw9k Ай бұрын
Umesema kweli
@user-wc9vd7dg9o
@user-wc9vd7dg9o Ай бұрын
Wee wazanzibari tupo na nguvu CNA mbona musiseme hatuna nguvu wewe 😊
@user-fq1gg8rj9i
@user-fq1gg8rj9i Ай бұрын
Inna lillah wainna illaih Rajiuun eeee.... Viongoz mtaulizwa yaumu l-kiyama ....tunaingiziwa vitu chemical tupu na nyie mpooo kimpya .... mtaulizwa
@feiz3180
@feiz3180 Ай бұрын
kwani hawa viongozi wetu sio waislamu?.. Hivo ni kweli watu wanalishwa mizoga na serikali hii?. Hee hili balaa.
@user-zn7vw3pj6p
@user-zn7vw3pj6p 23 күн бұрын
Waafrica tujitambue.tumekuwa majaa kwamamboyote.
@rosemary3816
@rosemary3816 Ай бұрын
Sasa izo kuku mbona ndo zimejaa Omani
@fatmaabdi7192
@fatmaabdi7192 Ай бұрын
Alokwenda kwa mtume ni julaybib
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 29 күн бұрын
Kumbe tunajiuwa wenyewe.hawa KUKU kawaida yake ni miezi 6..leo ni siku 22😂 na sio miezi 3? Badi n8 sumu kubwa
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi Ай бұрын
Kabisa dokta mchele kma kitumbo wallah nimeula ni mtam sana ukipata mafuta ya kutosha bila mboga unakula tu
@SuleimanRajab-fc6xh
@SuleimanRajab-fc6xh Ай бұрын
Elimu nzur
@abdillahmchia8557
@abdillahmchia8557 Ай бұрын
Mnaocoment ujinga m naona ni walevi
@HamzaMakame-vm2tm
@HamzaMakame-vm2tm Ай бұрын
Kweli mm nafuga hao kuku siku22 tu kashakuwa wakuwa tena kuku wengj kweli wanafika hata kuku milion 5 kwa mwezi twazalisha
@user-tu2ne7so3b
@user-tu2ne7so3b Ай бұрын
Acha utapeli
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Nauliza kuku wa peduu ni nini? Mtufafanulie
@AbeidMabrouk-yu7iy
@AbeidMabrouk-yu7iy Ай бұрын
Yaniweukijiunga nadaimondi mutafikambi kwaniunakipaji chausanii
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 Ай бұрын
Maneno yake niukweli wakutosha mno ,fata maneno yake
@user-wc9vd7dg9o
@user-wc9vd7dg9o Ай бұрын
Tunanguvu Kam myama
@muhammadkifakara2573
@muhammadkifakara2573 Ай бұрын
We siyo mganga wala nini hata ukweli pia umekushinda itoshe tu nikikuambia we muhuni muongo, na ukimwi kutuchafulia lugha yetu ya kiarabu.
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Ай бұрын
M
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Ай бұрын
We utakuwa kafiri huwezi kumdhalilisha kuongozi wako wa dini
@salmamohd3913
@salmamohd3913 Ай бұрын
Hata km yy sio mganga lkn alichokiongea km unaakili timamu unaelewa alichokiongea.
@baytumuqqaddas
@baytumuqqaddas Ай бұрын
Acha ujinga kiarabu ni lugha yako
@baytumuqqaddas
@baytumuqqaddas Ай бұрын
Lugha yko Kiswahili
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Ай бұрын
Ndomaana wa Zanzibar hawana nguv za kiume wengine wao
@user-qr7et3vl5z
@user-qr7et3vl5z Ай бұрын
Unajuaa mm Niko Tanzania baraa sijawahi kumsikia mtanganyika hata mmoja akawahi kumsifu mzanzibari hata amfanyie jemaa yaani mtanganyika sijui anaugomvi gani na mzanzibari unajuaa sielewi kosa la wazanzibari kwa watanganyika
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Ай бұрын
@@user-qr7et3vl5z natangu lini m Zanzibar akamsifia tz kl siku wabongo hawana madili Wana eaharibia nchi yawazenj na wazungu Hawa julikani nakumbeliwat ni zambi kubwawameianzisha wazenj
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Ай бұрын
Na mm nime ka zanj wa bong wanasemwavibaya San baaz ya wazenj hawajui km tz wanawpend nakuwakaribishabilakinyong wanaubaguzi uli pinfulia
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Ай бұрын
Kwani kusema wazenj hawan ngu nikuwasemavibaya? Huo ndooukweli wapunguzenakulaurojo unawamaliza kbs uto tungu tudg😀
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Ай бұрын
😂
@AbdalaRamadhani-by6bt
@AbdalaRamadhani-by6bt Ай бұрын
Unapatikana wapi
@seifhabib5987
@seifhabib5987 Ай бұрын
Bububu kijichi Zanzibar kituo kinaitwa Mnarani
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 46 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 11 МЛН
Sheikh Hassan Ahmed -  Kisa cha mama na mwanawe
3:04
Thamaratul Jannah Tv
Рет қаралды 869
KISA CHA NABII SULEIMAN MFALME TAJIRI KULIKO WOTE DUNIANI
1:11:03
arkas online tv
Рет қаралды 94 М.
KUMBUKUMBU ZA MZEE AMAN THANI AKIELEZEA ALICHOKIONA NA YALIOMFIKA
2:33:49
ADHABU KWA MWENYE KUACHA SWALA
1:02:08
IQRAA TV
Рет қаралды 2,8 М.
MGONJWA WA GESI VYAKULA HIVI ASILE | DR ABUU KHALID
19:35
Adil TV
Рет қаралды 2,1 М.