MVUA ZA DAR: KIGOGO HAPALALIKI, MZEE ALIYEISHI MIAKA 20 AFUNGUKA "NITAFIA HAPA, SIHAMI"

  Рет қаралды 64,573

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 109
@daudiedsonrichard509
@daudiedsonrichard509 10 ай бұрын
ila nakumbuka kuna mtumishi alisema kuhusu haya mafuriko watu wakaanza kumwita ni tapeli na nabii wa uongo. ila acha iendelee tu ili watu wajifunze kusikiliza na kufanyia kazi maneno ya watumishi wa Mungu
@Werema3760
@Werema3760 10 ай бұрын
Kasema haya rasharasha yenyewe yanakuja KUIFUNIKA DAR. (Tsunami) Tuhame.
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 10 ай бұрын
wewe acha kuwa na akili ya kipumbavu wewe.. hakuna Cha nabii Kwa Karne hii wewe... huu utabiri wa mvua hata mamlaka ya Hali ya hewa nchini ilitangaza kabla ya huyo nabii wako.. istoshe kama unamwamini nenda kwanza akakwambie wewe na yeye mtakufa lini..😂😂
@daudiedsonrichard509
@daudiedsonrichard509 10 ай бұрын
@@ibrahimally8073 wewe ndo mpumbabu tena mpumbavu sana,,kabla TMA hawajatoa tamko lolote la hali ya hewa,,huyo mchungaji alikwisha kusema ila watu wakaamza kumdhihaki
@jasminetesha8225
@jasminetesha8225 10 ай бұрын
TMA walitoa taalifa tangu mwezi wasita
@Werema3760
@Werema3760 10 ай бұрын
@@ibrahimally8073 Wew ndo una akili mgando kumbe! Wametoa unabii huo toka 2022 na wakasema TMA na manabii wa uongo watajitokeza 2023 TSUNAMI.
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 10 ай бұрын
Yaan MTU anateseka kisa yupo dar ndugu hameni hii serikali kama ndio mnategemea mtakufa hasara itabakia na familia zenu
@nancyg8664
@nancyg8664 10 ай бұрын
We waache tu waitegemee
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 10 ай бұрын
😂😂
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 10 ай бұрын
Maji hayasahau njia yake afu serikali mvua kaikuta iyo ninjia yamaji na madimbeni
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 10 ай бұрын
Yaani hata wanyama wamewazidi akili nyie binadamu mnaong'ang'ania kuishi mabondeni.. wajanja na wenye akili walijiongeza miaka mingi wakahama ila nyie Bado tu mpo mabondeni.. na serikali iliwapa maeneo salama tena bureee kule mwabepande lakini wapi mnataka tu kukaa kariakoo .. jangwani na kigogo.. haya pambaneni na hali zenu.. mtajijuuuuu
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 10 ай бұрын
Kiongozi wachama mbona hawakuowi
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 5 ай бұрын
Serikali imesema mpaka imechoka mkiambiwa muhame huko oooh serikali mbaya.
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 8 ай бұрын
Wapelekwe Visegese kisarawe kuna shukealafu viwanja vimepimwa. Alafunhabina watu. Wapelekwe kisarawe visegese
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 5 ай бұрын
Matokeo ya ubishi mzee ruksa alipoona mnabisha kuondoka alisema muachwe mwenye nyumba atakuja hataki tabu yule mzee
@sixytntongambele3038
@sixytntongambele3038 10 ай бұрын
Hali hii haimpendez kiumbe yeyote mwenye moyo na iman lkn serikali inahusiana nin na mpango wa mungu tusije pata misiba kwa kigezo cha bill 💸💵 ziendazo serikalin ndg zangu afya zetu ni muhim zaid 😢
@sophiamkinga1640
@sophiamkinga1640 10 ай бұрын
Aise hi balaa Sasa kma haupo na Kuna watoto si habari inaishia hapo
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 7 ай бұрын
Na hapo serikali iwape waalamu wa kichina hao ndio wataweza lakini blabla hapo hakuna kujifanya watu wanajua wataaibika hiyo sehemu ni muhimu sanaa na kuna mijitu huwa inajitia mbele mbele bado itakuwa mthihani hapo wahame wote na hao maneno maneno watoke tu ubidhi mwingi hawana uwezo.na uwekwe mji mkubwa na viwanda visivyochafua mazingira.
@AishaSwalehe-c7d
@AishaSwalehe-c7d 5 ай бұрын
Nakumbuka mkuu wamkoa chalamila alisema ukiona maji yaajaa ndani jua ayo sio mafuriko Nikondo wa maji
@mbongo4life
@mbongo4life 5 ай бұрын
Haya ni matatizo ya kujitakia mimi nemekulia hayo maeneo miaka ya tisini kulikuwa Hakuna nyumba maji yalikuwa hayakai hawa watu sijui wametokea wapi kila mtu anajua huo ni mkondo wa maji
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 10 ай бұрын
Chakusema ni poleni sana ndugu zangu na Allah azidi kuwapa nguvu,na pia serekali ifkirie tena hili suala na kujua namna ya kuwasaidia,hapana mzembe majanga yanatokea
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 10 ай бұрын
Tatizo mnataka tu kukaa mjini hata kama kuna madhara.. au sijui ndio mnaona sifa kuishi dar.. hii nchi ni kubwa sana na ina maeneo salama tu ya kuishi.. ndio mana magufuli aliwaambia mkilazimisha kuishi maeneo hatarishi mafuriko yakiwakuta msilalamikie serikali.. haya endeleni kutumia akili zenu vibaya mwisho wa siku mnajitesa wenyewe
@Miasa-rz8le
@Miasa-rz8le 10 ай бұрын
Awavsi walipewa maeneo magwepande waliondolewa imekuaje sasa
@HassanAbdallah-f6o
@HassanAbdallah-f6o 10 ай бұрын
Tatizo lenu mnataka kukaa karibu na kariakoo . Tokeni ndugu zanguni tafuteni sehemu salama
@PastorEsngorowil
@PastorEsngorowil 10 ай бұрын
Kabisaaaa
@devotajulius7572
@devotajulius7572 10 ай бұрын
Hapo aina haja ya kutoa maji nje na kuingiza ndani
@adamtbag1100
@adamtbag1100 10 ай бұрын
Poleni sana
@wilhelmibaganisa5493
@wilhelmibaganisa5493 10 ай бұрын
Nabii #MEJA KELELE NYINGI KUMPINGA MO DEWJI ATOKE SIMBA KUMBE UNAISHI KWENYE MAFURIKO YA MSIMBAZI !!
@yusuphsalum1486
@yusuphsalum1486 10 ай бұрын
Jamani mlitahazalishwa muame hamkusikia sasa serikali ifanye nn😅😢
@dppd4219
@dppd4219 10 ай бұрын
Mpangajia ata hama ila mwenye nyumba mpaka kuhama itachukuwa muda yote kwa yote ni ugumu wa maisha
@yusuphsalum1486
@yusuphsalum1486 10 ай бұрын
@@dppd4219 sana hali ni ngumu
@PriscusTesha-g2q
@PriscusTesha-g2q 10 ай бұрын
Ahame kod unamlipia
@HassanAbdallah-f6o
@HassanAbdallah-f6o 10 ай бұрын
Acheni ubishi mh kikwete aliwapa maeneo mabwepande mmekataa mkarudi hapo jangwani .Tokeni hapo hakuna mfumo mnaishi kama digidigi
@saumsaid1966
@saumsaid1966 10 ай бұрын
Mkiondolewa mnarudi
@PetetIgnas
@PetetIgnas 10 ай бұрын
Hii kadhia isikie kwa mwenzako ila yasikukute
@mwingadulle7400
@mwingadulle7400 10 ай бұрын
Kbs yani
@aysherrashid8527
@aysherrashid8527 10 ай бұрын
Haki vile
@Zurushylab
@Zurushylab 10 ай бұрын
Poleni sana
@mayazamzam7274
@mayazamzam7274 9 ай бұрын
Anatabiri shari tuu
@Kabwela776
@Kabwela776 10 ай бұрын
Upumbavu mtupu fukuzeni hao watu serikali kamata vunja nyumba zao wanaokaa mabondeni
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 10 ай бұрын
Mwiteni kiumbe wenu makonda awaokoe karudi,anafanya sarakasi hukôm kwao.Hayo mafuriko iwe fursa kwenu,kamateni samaki,huku wakiendelea kuwaletea cha na mikate.kazi ya mjinga kuumia.sisi tupo hapa buza tunainjoi,kila kitu bwerere.
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 10 ай бұрын
Hao serikali nikuwaahimisha Kwa nguvu ni wajinga Tu nchi zinazojitambua hakuna mtu anaweza nga'nga'nia sehemu hatalishi lakini wanajitoa akili kuendelea hapo
@lawitheofans7580
@lawitheofans7580 10 ай бұрын
kuna lango kuu la maji yanayotokea kule BP matangini(keko Mwanga) kuelekea bandarini pia inahitaji skaveta kuweza kuzibua lango la maji ili yaweze kupita kiurahsi maana mafuriko maeneno hayo ya keko mwanga bondeni yanasababishwa pia na yule mwekezaji ambae amefinya mfereji huo katika eneo lake na kusababisha adha kwa wananchi wa keko hasa wakati wa mvua kama hivi. suluhisho la mafuriko eneo la keko mwanga kuelekea bandarini ni kumuondoa yule mwekezaji ama kupanua mtaro huo katika eneo lake na kuruhusu maji kupita kirahisi ili kuepuka maafa kwa wananchi wa keko mwanga.
@DorisShangwe
@DorisShangwe 10 ай бұрын
Wakazi washasema hawa haami yaan hata aje nani aseme nn wameridhika
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 10 ай бұрын
Apo kigogo kila mwaka mafuriko achane ujinga ameni apo
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 10 ай бұрын
watu wapo sirius na majanga we unakipongeza chama cha mapinduzi
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 10 ай бұрын
Serious wapi wewe wajinga tu hawa. Kila mwaka wanaambiwa wahame walishasema wamezoea acha wakome kwanza.
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 10 ай бұрын
WaTz tuna kasoro za ajabu Mtu hana mshipa wa aibu anasifia vitu ambavyo havieleweki 😢
@bigdiscounttv4723
@bigdiscounttv4723 10 ай бұрын
kuna bilioni 600 kaziona wapi
@goodnessmndeme198
@goodnessmndeme198 10 ай бұрын
Silio la kufa ...... kaeni muone shooo ya elnino
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 10 ай бұрын
Na ndo imeanza yani haijakolea hapo mim nimekaa hapo msimbazi na hawahami washazoea
@asmasalumu
@asmasalumu 10 ай бұрын
Ndugu yangu mkuu wa mkoa amesema kuwa mnaweza kutafutiwa mahema kwa mda ili kuepusha maafa Ina maana hamuwezi kuachwa watupu ndugu zangu ingawa ni ngumu kuondoka kuacha makazi yako, fikilieni mvua hii tunayopaka January na hatujui itakuwa na ukubwa gani
@JonathanTave-zt9qf
@JonathanTave-zt9qf 10 ай бұрын
Hvi uyo aliye vaaa jezi ya Man U point zake za kipumbavu sana watu wanalaalamika maswala ya maji yeye ana toa pongezi za kipumbavu na ndo maana hata mwandishi ajataka amalizie ku ongea ka mkatilia mbali pumbavuuu 😅
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 10 ай бұрын
Miaka nenda rudi mpo hapo mmekaa wenyewe mmeshazoea siunaona kuna wengine wanakuambia kuhama hapo itakuwa ngumu.
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 10 ай бұрын
Maji umeme na kupiga kula ...ipo siku mtafia humoo, mwagepande mliuza viwanja mlikuona porini saivi mjini.
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 10 ай бұрын
Shauri zao,hawasikiii
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 10 ай бұрын
Daaaaa aise kama naiyona TABATA MATUMBI YANGU JAMN POLE SANA NDUGU ZANGU MHHH MTO WA MSIMBAZI SHIKAMOO UWA NAUWESHIM SNA UWO MTOOOOO 2011 uwiiii nalala naamka najikuta naelea aise kwenye kitanda changu
@Werema3760
@Werema3760 10 ай бұрын
😂
@theresiakaruhanga364
@theresiakaruhanga364 10 ай бұрын
Tokeni. Eti mnapiga kura bwege kabisa. Makonda aliwapa hata ardh mkakataa.
@amoslucas1247
@amoslucas1247 10 ай бұрын
Ndy maana serikar imehamia dodoma
@rashidhassan8156
@rashidhassan8156 10 ай бұрын
Wajanja
@morjanoman5181
@morjanoman5181 10 ай бұрын
Tz. Mvua. Nyingi Sana ilitakiwa madaraja yote yajengwekwa kuinua juu zaidinavzilejia za maji kuzipanua zaidi kama linapitagari kumbe majitu Ayo matatizoyataisha
@darweshk7342
@darweshk7342 10 ай бұрын
poleni sana ila mzee punguza chai eneo no hatarishi
@nancyg8664
@nancyg8664 10 ай бұрын
Sasa kama hamtaki kuhama mnalalamika nn
@Ummukuruthum-m1m
@Ummukuruthum-m1m 10 ай бұрын
Kwan viwanja mlinunuliwa na serekal? Hebu achen serekal ifanye mambo ya msingi hyo ndio fahar ya kukaa mjin mnatucheka tunaoishi porin kikubwa tunawapa pole kwa mitihan lkn msilaumu serekal mnaoishi bonden mko wengi watasaidia wangap
@darweshk7342
@darweshk7342 10 ай бұрын
ndo hapo ss
@mohamedkisenga6654
@mohamedkisenga6654 10 ай бұрын
Hamen hapo jaman
@tegemeakyangenyenka6111
@tegemeakyangenyenka6111 10 ай бұрын
Hapo ata ukiweka daraja hakuna kitu, hilo eneo ni bonde nanisehemu ya mito, akili mkichwa
@sumakibonde5152
@sumakibonde5152 10 ай бұрын
Mwenye makosa ni serikali, endeleeni kukaa, maji huwa yanakimbia watu😢
@ZubedaHussein-it7nf
@ZubedaHussein-it7nf 10 ай бұрын
😅😅
@jasminetesha8225
@jasminetesha8225 10 ай бұрын
😅😅😅😅sindoivyi tena magodoro tumeroweka maji serikari aina makazi
@hizamawa6046
@hizamawa6046 10 ай бұрын
Mvua wala haihitaji siasa
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 10 ай бұрын
Polen sana jaman ndugu zetu
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 10 ай бұрын
Yule mtumishi alisema dar itapigwa kwa dhambi zenu,tubuni ingali mapema na hameni bado mapema kwani uharibifu utakuwa mkubwa
@tiffahdangote7548
@tiffahdangote7548 10 ай бұрын
Kwann wasitengeneze miundombinu mizuri ya maji ili kuondoa hii shida???
@alexandermilanzi9860
@alexandermilanzi9860 10 ай бұрын
Hakuna cha miundombinu huko miaka kibao maji yanajaa waliambiwa waamishiwe mabwepande wengi waligoma
@justinmtuku2632
@justinmtuku2632 10 ай бұрын
Mna lienu jamba nyie
@PastorEsngorowil
@PastorEsngorowil 10 ай бұрын
Duuu haya maisha jamanii duu
@ShekhahamedMuhsin
@ShekhahamedMuhsin 10 ай бұрын
Mmm napita.
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g 10 ай бұрын
Hivi hamfanyagi kampeni huko?.waende wapi?.
@bongo39
@bongo39 10 ай бұрын
Jamani serikali tunaomba hawa watu wote waondolewe na nyumba zivunjwe kabisa wapewe pesa kwa faida yenu mnaokaa mabondeni
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 10 ай бұрын
Wamekula watu wajeuri sana
@LeonardAlfred-r7w
@LeonardAlfred-r7w 10 ай бұрын
Meja pole
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 10 ай бұрын
Hawa walihamushwa wakarudi tena mabati na Saruji walikula.
@henrypeter2996
@henrypeter2996 10 ай бұрын
Ni kweli, mabati na saruji waliuza wakala, pia walisema mabwepande ni porini, wao wamezoea Kuishi mjini
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 10 ай бұрын
Mlishaambiwq hameni hamsiki
@gloryassey3962
@gloryassey3962 10 ай бұрын
Poleni sana
@morjanoman5181
@morjanoman5181 10 ай бұрын
Pole sana wa. Tz
@PastorEsngorowil
@PastorEsngorowil 10 ай бұрын
Tatizo lenu hamtaki kuhama sasa serikali ifanye nini ameni ujeni chanika kwetu huko porin ndani ndani kiwanjwa mpaka laki tano
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 10 ай бұрын
Wanataka kukaa mjini
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 10 ай бұрын
😂Mtu akiwa mfuasi wa ccm hawezi luwa na akili.Wao akili zao wanawaza uchaguzi tu.sana sana watakwambia mama kaupiga mwingi.
@gomezfarm2935
@gomezfarm2935 10 ай бұрын
3.52🤔
@Kabwela776
@Kabwela776 10 ай бұрын
Hao wapuuzi kabisa mngewaacha Wafe walipewa viwanja mabati Na saruji wakala
@pasikalinaadabu964
@pasikalinaadabu964 10 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@richytarimo4656
@richytarimo4656 10 ай бұрын
miaka yote hawataki kuhama
@aminangwalima105
@aminangwalima105 10 ай бұрын
Poleni
@AntoniJohn-yl6fe
@AntoniJohn-yl6fe 10 ай бұрын
Poleni jamani
@theresiakaruhanga364
@theresiakaruhanga364 10 ай бұрын
Huyu Mzee bogas kweli. Serikari na uhai wako unatjamini Nini??
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 10 ай бұрын
Atavuna alichopanda
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 10 ай бұрын
Mvua endelea kumimina mvua kwa kasi hawa binadamu ni wabishi mmno.
@Mjeda-q1m
@Mjeda-q1m 10 ай бұрын
Pumbavu zenu maswala ya bandali hamuandiki Wala kutangaza wanafiki wakubwa
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 10 ай бұрын
Sasa wewe meja unakaaje mabondeni.unajifanyaga unaongea sana.kumbe wewe mwenyewe hujipendi.harafu wanyakyusa hawakaagi kigogo wewe.tena bondeni.wewe sio mnyakyusa.
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 10 ай бұрын
😂😂😂😂 mwenyewe nimeshangaa mnyakyusa gani huyu anatutia aibu hivi?😂😂
@judithhayola262
@judithhayola262 10 ай бұрын
Mugu awasaidie
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3 МЛН
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
Kimeumana: Breaking News from UDA party
12:52
Rogers Kakasungura
Рет қаралды 9 М.
Dkt. Hussen Mwinyi. ona jinsi alivyo ondoka bada ya swala ya Ijumaa Mkwajuni
1:50
Maahadishifaa Kivunge Tv
Рет қаралды 38 М.