Рет қаралды 14,777
Maafisa wa polisi kaunti ya Mombasa wanamzuilia kijana wa miaka 17 anayedaiwa kuwa kwenye genge la wahalifu katika mtaa wa Tua Tugawe, Mshomoroni kaunti ya Mombasa. Vijana hawa wakiaminika kumjeruhi vibaya mmiliki wa duka hilo ambaye sasa anauguza majeraha hospitalini.