Рет қаралды 1,665
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface Mwabukusi dhidi ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) ambapo Wakili Mwabukusi alikuwa akipinga uamuzi wa kamati ya rufani kumuengua kugombea urais wa chama hicho katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi Agosti mwaka huu.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram