Congrats..greeting from Philippines..we love boxing..keep it up
@superkaliJonas3 жыл бұрын
Welcome brother 🇹🇿👍🏾🙏🏾
@SuperMan-yu4kv3 жыл бұрын
Welcome Tanzania
@REYN2403 жыл бұрын
@@superkaliJonas asante sana hongera
@REYN2403 жыл бұрын
@@SuperMan-yu4kv asante sana
@victortarimo19433 жыл бұрын
Jamaa anapiga ndio ila naona refa amekatisha mechi time ambayo muargentuna bado alikua na stamina ya kufight utaona adi coach wa muargentina anamfuata refa kulalamika, ila still ata mechi isingestopishwa makinyo angemnickdown rounds ya tatu au angeokolewa na bell.. pia jamaa alikua anafight sana kwa kurudi nyuma confidence yake imeonekana baada ya kumwangusha jamaa kwa mara ya kwanza.. anyway me nahisi amepata advantage ya kua na refa mtz so mechi ikazimwa malema, ila makinyo anapunch aisee, am proud of him and I pray atupeperushie bederayetu mbali na ainyanyue boxing ya tz
@lildrick9361 Жыл бұрын
Acha siasa na wewe sasa ulitaka jamaa afe au, kusoma mchezo ni jukumu la refa sasa muagentina ni alikua anajikaza tu lakini ubongo ulisha hama ndo mana akawa anrusha ngumi kiholela
@eliswed78123 жыл бұрын
Tanzania tuna Diamond, Sammata na Mwakinyo wanaipeperusha benderaa vilivyo Mungu azid wabariki....
@sarahhamisi20703 жыл бұрын
Nikweli😂😂😂
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
na Twaha
@moosala57023 жыл бұрын
Muna laana tupu hakuna ibada
@emmanuelben4563 жыл бұрын
Muongo mbona unamwacha gwaji boy
@arababs3 жыл бұрын
Umemsahau magu
@rehemaisrael84043 жыл бұрын
Congregations Tanzania one well done , clear humiliation am proud of u brother!!!!
@adilmohamed17843 жыл бұрын
It's congratulation not congregation which means mukutano in swahili,kwahivyo congratulation ndio hongera
nadhani kuna shida kidogo. Refa kumaliza mapema sana mchezo wakati mpinzani hajazidiwa sana kivile ni kutukosesha uhondo. Suppose angekuwa ktk kurevange? Nimeona coach wa muagentina amelalama kidogo. Marefa wanatakiwa kutuhakikishia beyond doubt kuwa mtu hawezi kuendelea na pambano. Hongera mdogo wangu Mwakinyo, ila refarees watch on it
@triplea34633 жыл бұрын
Hii ni TKO sio lazima achakae asiweze kuendelea na pambano KO hii kama hajaweza kurusha ngumi kwa muda fulani refa anamaliza pambano ili kumlinda mpigwaji ukiangalia vizur jamaa kabla hajakalisha hakuweza kurusha ngumi yoyote na alivyoinuka vile vile
@emanuelfocus23533 жыл бұрын
Akipigwa akafa???
@mufamozmufash1663 жыл бұрын
Refa angeacha hizi ngumi zilikua zimeanza hapo,bt Alhamdulilah all the best champ
@mtanzaniamzalendo70013 жыл бұрын
Angeumia sanaa
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Huu mchezo nusu uhai nusu kifo sipendi hata ndugu yangu acheze kabisa #hongera mwakinyo
@superkaliJonas3 жыл бұрын
❤️🇹🇿👍🏾
@nassorhamad52253 жыл бұрын
Ata asicheze kama kaumbwa atakufa na mm na ww pia
@salmaathuman91563 жыл бұрын
@@nassorhamad5225 kila mtu na maoni yake kwa hiyo usikurupuke
@joetz20193 жыл бұрын
HASSANI MWAKINYO NI TANZANIA ONE 💪💪💪💪💪💪💪
@hassannasoro61143 жыл бұрын
I am tytttttttttttttyytyp,
@hassannasoro61143 жыл бұрын
I am tytttttttttttttyytyp,
@robisonmabaso47203 жыл бұрын
Kwa Mimi sio mdanganyika mwakinyo angepigwa tu ila refa kaingilia pambano watu wako kwenye move kawakatisha Hadi huyo jamaa wa muagentina akawa anashangaa haelewi nini kimetokea Wabongo acheni usanii michezo haiwezi kuwa hivyo kwanini mwakinyo anabebwa tangu kwa mfilipino mnaharibu michezo kila mahali usanii bana
@constantinekessy80543 жыл бұрын
Mwakinyo anesogeza bandera kwa miguu kama umeona gonga like hapa
@anthonykigombola68703 жыл бұрын
Pambano zuri, Big up kwa Mwakinyo amecheza vizuri, refa kamaliza pambano mapema
@sniperbogo62103 жыл бұрын
Mphilipino kuna ishara ametoa kwa kuongea kama kashindwa marefa wanajua afu pia ukiangalia yule kocha wake alienda kwa refa kama kapaniki kuna kitu kaambiwa akalud tena
@saidomari0013 жыл бұрын
Masha Allah alhamdulillah, insha Allah Mola akuzidishie usindi mwakinyo
@adamally87913 жыл бұрын
Team Mwaki tujuane hpa
@championalways1923 жыл бұрын
Alafu tukishajuana iweje? Tunapata ela au....? Acha udaku chalii
@arnoldedward54603 жыл бұрын
Mwakinyo ndo star watu anatuwakilisha vyema sana..big up brother
@jumaramathan22193 жыл бұрын
Hapa sawa, hapa umeshinda kihalali kabisa.
@ernestsinje95323 жыл бұрын
zote ameshinda kihalali Ngumi jiwe KUDADEKI
@mustaphagairo19363 жыл бұрын
Hii ata nami nmekubar
@odhiaodhia98983 жыл бұрын
Kubebwa ambako hakuna maana kabisa, sasa jamaa bado yuko fit refa anamaliza pambano
@shagebun46663 жыл бұрын
Refa kamaliza mapema sana ilibidi adi aombe pooo mwenyewe!!
@abdallahmohamed63103 жыл бұрын
Mwakinyooo oeeeee
@abubakaribyabato43843 жыл бұрын
Angekufa
@malbarahassan12323 жыл бұрын
Muda mwwngine unakosa hata muda uwo mwishowe mtu anakufa
@godfreymalinga14763 жыл бұрын
Huu ni mchezo watu awatakiwi kuhuwana
@eddysimba68293 жыл бұрын
Good fight. Refa kawahi kustop fight. Lakini ukiangalia mwakinyo amekuwa sana miaka iliopita. Ila bado kuna makosa mengi anafanya.
@martinmaryogo60813 жыл бұрын
Ni kwel refa kawahi sana, angeacha mchezo tuone ingelkuwaje, bt yote kwa yot, mwakinyo bado hata akipigana na kiduku atakimbia game kiduku ananguvu sana, mwakinyo amkwepe hivohvo
@erickrichard42923 жыл бұрын
Kabisa yan huyu mqakinyo bado Sana
@erickrichard42923 жыл бұрын
Kabisa yan huyu mqakinyo bado Sana
@triplea34633 жыл бұрын
@@erickrichard4292 Uzani wao tofauti Kusema kiduku apunguze uzani mpaka wa Mwakinho ni ngumu kidogo
@abelianraphili51503 жыл бұрын
Hongera kwa kazi, uliochaguwa, na unafanya vzr
@yusuphswai68515 ай бұрын
uyo jamaa alikuwa ameshalewa ngumi ndio maan refa akakatisha pambano kwa kumuokoa uyo jamaa kwasaba mwakinyo anangumi zito sana kila ikitua kwa uyo mzungu ilikuwa inampa mazara makubwa sana kwaupand wangu refa kwafany jambo zuri sana
@thekingbudah37113 жыл бұрын
Mwakinyo kawamzuri mwepesi yule dogo amwenzi mwakinyo na Amshukuru refa bila hivo angeumia
@allynyangassa68803 жыл бұрын
Hongera Mwakinyo kwa kutubeba Watx. Ila mbon kma refa alistop pambano ambalo linaonekan bdo lilikuwa halijaisha
@erickendrick33303 жыл бұрын
Noma sana. Tz tumetamba
@revocatusedward57393 жыл бұрын
HAKIKA RAISI JANA KAFURAHI SANA KAMA KAANGALIA PAMBANO HILI
@darusinganziulenge93632 жыл бұрын
Mwakinyo is good boxer
@ehraimkililo50892 жыл бұрын
Nakubali Hassan mokinyi Ni tough boxer
@samsongechamet53743 жыл бұрын
Good,I love my Country to win always.
@bashirshabanissa2203 жыл бұрын
Kwann refa amemaliza gem wakat ndokwanza watu ndowanaanza kupata moto aah, misijardhika kwakweli.
@hamoudyahya76353 жыл бұрын
Apigane kwanza na Kiduku ndio tumkubali kua Tanzania one
@RamaWest-dw9rn3 ай бұрын
Mwakinyo leo kapata mnyonge wake
@issadini78243 жыл бұрын
Safi Sana mwakinyo kwakutuwakilisha vyema
@jeremiahzacharia76553 жыл бұрын
Hongera kijana ila naomba ufanye mazoezi ya wepesi na ngumi zako zinakuwa nzito na ukirusha unachelewa kurudisha hvyo jaribu kumudu nguvu zako ili zisije kukuumiza mwenyewe
@ivanmbuyah90773 жыл бұрын
Yap!! Amekwiva sana this time 😎😎😎
@Subscribe_plz-4453 жыл бұрын
Mechi ilikua bado kabisa huyo refa kabeba ngoja aende upinzani ndio mtaona kama mnajua boxing
@salminisalehe94173 жыл бұрын
Unajua Sheria Za Boxing Au Unajamba Jamba Tu Kisa Mkundu Ni Wako
@ukk97983 жыл бұрын
Au mimi sioni vizuri, mbona refa kaingilia game mapema mno ni kama jamaa alikuwa bado ana nguvu au?
@xavierngullo16913 жыл бұрын
Mwenyewe nimeshangaa labda kwavile hawasogezi tungeona jamaa kala nyingi
@pesagang51963 жыл бұрын
@@xavierngullo1691 unaona vizuri refa kaaribu mchezo pale, maboksa wanapigana mpaka meno yanatoka na bado wanaendelea itakuwaje visumbwi vinne mchezo ukatishwe. wabongo wanapenda kushinda ata ikiwa ovyo ovyo
@derickfelix80913 жыл бұрын
refa kazingua jamaa bado alikuwa anajiweza bhana
@ibrahimmodue78693 жыл бұрын
kweli kabisa
@superkaliJonas3 жыл бұрын
Usiweke upinzani Kaka,pokea matokeo kwa upendo tuu
@minabuelysee83 жыл бұрын
hahahaha apo mimi siingilii maana walikua walisha chemka kweli kweli
@princemwamwenda85643 жыл бұрын
Marefa mtasababisha siku mabondia wetu wakienda kupigana n'nje watafia ulingoni
@shaiburajabuhaxhmu91262 жыл бұрын
Nakbal bro Kaz nzul
@rashidywandwi15433 жыл бұрын
Refa ukusitahiri kumaliza jamaa bado alikua anajiweza kabisa
@rwenji223 жыл бұрын
Real opponents for Mwakinyo wako Marekani.
@slowclimbertothetop45723 жыл бұрын
Akapigane na wa Mexico kama anajua!
@alee42523 жыл бұрын
Kule mexico/ marekani mpaka upate nafasi ya kupigana na waataalamu kazi pevu lazima upigani na wadogo zao ili wakuangalie uwezo lol😂😂😂😂😂😂😂😉😉😉
@masudinangololo36723 жыл бұрын
Safi sana mwakinyo umetuwakilisha vizuri🔥🔥🔥
@benethmwenga83553 жыл бұрын
Sasa mbona refs amesimaisha penye ngumi
@sebajosephat18613 жыл бұрын
Mbona ameikanyaga bendera ya taifa au ni macho yangu bendera haisogezwi kwa mguu kamwe naomba wanaohusika na hilo pambano wampe adhabu kali sana kwa utovu wa nidhamu
@faudhiarashidi36573 жыл бұрын
Tz one hassan mwakinyo
@emmanuellucas3 жыл бұрын
Hapa sijamuelewa refwa tu.
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
Tanzanias' boxers are good we have been solving this problem. Now, we turn to the referees and judges actually these both sides quiet need recorrectios, otherwise they will dwell the boxing arena!
@rubnajuma74143 жыл бұрын
Noma Sana
@imathomas65313 жыл бұрын
Ushindi wa halali kabisa hongera sana
@tztanzania22623 жыл бұрын
Leo nmekubal mapambano flan hukufanya vzur but leo hongera sana
@StephenSimwela-uu1jr3 ай бұрын
Hau alikuwa katika kiwango bora alicheza kwa akili kwan mpinzan Anangumi nzito na speed
@sebajosephat18613 жыл бұрын
Naomba achukuliwe hatua kwa kukanyaga bendera ya taifa na kuisogeza kwa mguu ili iwe fundisho kwa wote maana inaonekana hana uzalendo na taifa lake yuko kimaslahi
@salmajulius30223 жыл бұрын
Mbona refa kamaliza pambano wkt jamaa hajazidiwa bado daah, hongera Mwakinyo umeipaisha bendera ya Tz.
@simoncords11733 жыл бұрын
Hawezi kuruhusu pambano wakati mtu haweki gad
@geoffreyjohn82283 жыл бұрын
Hamna kitu apo refa kawahi kumaliza pambano jamani mwakinyo kabebwa
@bilionealaucy89953 жыл бұрын
Mwakinyoo 🇹🇿oyeeee
@trigachonse34863 жыл бұрын
Refa msenge angeachia
@sylvesterpascal52053 жыл бұрын
Kaz ipo walemavu taifa stars utasema hua wanakula pamba hawana nguvu kabisa
@allyramadhani75553 жыл бұрын
Nice
@teresiapetro25482 жыл бұрын
Refa kiherehere kamaliza pambano mapema wakati jamaa alikuwa bado wamoto.
@mwasemajuma71713 жыл бұрын
Refa kazingua
@machintangachibwena59223 жыл бұрын
Kweli kabisa angewacha tuu mpaka jamaa aanguke tena
@ismailsaid81623 жыл бұрын
Kwel kbs ww umeona angemwacha
@allymanga3 жыл бұрын
Refa kazingua kweli
@fundikirantabo7463 жыл бұрын
Mwakinyo ana maweee
@TerryDodd-y7y11 күн бұрын
Perez Thomas Robinson Deborah Johnson Michael
@luisspratus54233 жыл бұрын
Leten mabondia wakari w nje cyo mnaleta maboxer ambao awna recod
@superkaliJonas3 жыл бұрын
Ndio tunatengeneza rekodi kupitia wao,tulia 👍🏾😊
@alee42523 жыл бұрын
Refa kasaidia... hili pambano la kujadiliwa, ngumi za mwaikinyo zilikua azimshawishi refa kumaliza mbano muargentina bado alikua anaresponce. Jamani hebu angalieni
@salminisalehe94173 жыл бұрын
Ile Chembe Hukuiona . Ngumi Hujawahi Kucheza Huwezi Kuelewa Kilichofanyika Pale Nakuchukulia Boya Mmoja Hvi .
@alee42523 жыл бұрын
@@salminisalehe9417 wewe unaweza kuwa unacheza ngumi au unafundisha ngumi au unachezesha ngumi (refa) na sheria usizijue kama kapigwa ya chembe asingeendelea kurusha makonde angeenda chini usiwe kama ujui ngumi hakuna ya chembe hapo hio clip niliiangalia mpaka kwa slomoshen hakuna ya chembe labda ulikua unasinzia wakati unacheki ngumi hahahahahahahah kubali refa kafeli. kwanza unazujua sheria za refa kumaliza pambano au unababwaja tu kama domo kaya nipe hata sheria moja tu nikuone unajua boxing nenda kwenye haki tuongee usiwe kama bendera inayofwata upepo
@alee42523 жыл бұрын
Wewe salmini hushangai refa katunyima KO
@mussamohamed99233 жыл бұрын
Huyu bondia kapingwa Ila hana kiwango kikubwa kabisaaa.
@walterkusaga47243 жыл бұрын
Hongeraa Sanaa Tanzania one Hasan mwakinyoo
@omarmhmammed2163 жыл бұрын
Bado naona mnajishabikia tu .....mtafutieni bondia wa kimataifa anae tambulika vyema sio hawa wa vichichoron
@masanjakabindo96153 жыл бұрын
Leo umecheza ngumi kweli kweli
@boniphaceexsavely13913 жыл бұрын
Hahahahahahahaha! Et mwakinyo akipigw ngumi wanakaa kimy....
@superkaliJonas3 жыл бұрын
We mtanzania ila una roho mbaya kwa wananchi wenzako
@godlistenmwende29423 жыл бұрын
nauona ushindi hongera Mwakinyo
@emmanuelidaudizinge69523 жыл бұрын
nakubali kaka tanga juuuuuuuu
@yonaguitarist46953 жыл бұрын
Safi ushindi huu haunaga ubishi wauwe wauwe
@mchellenmbunge553 жыл бұрын
Kusema wengine wanapigana na walevi hizo shit za kitoto. Hongera Kwa ushindi Ila kudharau game za wenzio sio sawa. l
@majaliwapetro11142 жыл бұрын
michongo ming, hakuna bondia hapo
@KhalidKhalid-zt1bc3 жыл бұрын
refa kaharibu mchezo, amevunja pambano mapema
@hassansebe20613 жыл бұрын
Sure bro
@muddyslayo62063 жыл бұрын
Mwakinyo katishaa mno nakuku bali san kk
@omarrajab23953 жыл бұрын
Hongera
@ShabaniMmakuluja-fr1rv11 ай бұрын
Anauwa
@honestyerasto3 жыл бұрын
Sijui sheria za ngumu ila kutokana na kuona mambano mengi naona kama refa kazingua. Angeacha kidogo anayepigwa adondoke au akubali mwenyewe kuwa hawezi kuendelea.
@salminisalehe94173 жыл бұрын
Kuna Hesabu Zinapigwa Idadi Ya Ngumi Utakazopigwa Na Ukashindwa Kuzizuia . Refa Lazma Atamaliza . Tu We Ulitaka Mpaka Akate Umeme Pale Pale Ndo Ujue Kapigwa . Mbon Yule Muengereza Hakunyoosha Mikono Mwenyewe Mpaka Refa Kagombelezea
@donaldmalongo12143 жыл бұрын
Refa kaingilia game bhn... c mumeona mzungu kaenda kumlalamikia.... Amna kitu umo
@mnazitv4053 жыл бұрын
Hahahahaa, kazi namba moja ya refa ni kulinda uhai wa bondia aliyepo ulingoni. Hapo alichokifanya ni sahihi kiufundi japo wengi wetu tulitamani asiingilie kati coz pambano lilikuwa ndo limeanza kunoga. Ila technically refa yupo sahihi coz yule muargentina alikuwa anapokea ngumi nyingi pasipo yeye kuzizuia hicho kitu kinaweza kuhatarisha maisha ya bondia ndiyo maana refa anaamua kuingilia kati kwa lengo la kuokoa maisha.
@abuurashid77083 жыл бұрын
Duuh mwakinyo kanichapia m2 vibaya yan
@dayjamakangira29513 жыл бұрын
Siku ya mwaki na kiduku ndiyo tutajua
@musakhamis69063 жыл бұрын
Refer kqona uruma angeacha kwanz
@neltontias38273 жыл бұрын
Mu agenti n mcho......mlev apgne na twaha
@allykivava51333 жыл бұрын
Hongera dogo
@walterkusaga47243 жыл бұрын
Brother mwakinyoo una sali msikitinii kwelii unaka hurumaa ka mwenyezii munguu yani unampigaa mtu mzimaa kama katotooo kwelii jmn watanzaniaa tuwe na hurumaa jmn sio kwa kipigoo ikoo kama kakukuu kanaombako maji
@jozeecharles7823 жыл бұрын
Mwakinyo to the world
@marcuskapinga43383 жыл бұрын
Kabadili mapigo
@luisspratus54233 жыл бұрын
Ndyo Mana nje tunapoteza2 kwa sbu mnareta maboxer w nje ambao awna kitu wpo wakari kbao tuleten ata teofimo Lopez bs au shakhuru acheni zenu izoo