BOXING NEWS IN TANZANIA, SPORTS , FITNESS PROGRAM & MUSIC
Пікірлер: 71
@jumaasungwi6574 Жыл бұрын
Umeongea sana kaka kweli mwendo wetu watakiwa uwe wa usawa na sio matambo kwaajil ya afya au vinisenti hii Dunia ni ya mungu
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
U.k.c tv big up xana huu ndo ubinadamu mtu unapomuambia ukweli unamsaidia na atapotea vibaya mwakinyo bado ni dogo ajirekebishe arudi mwanzo huwezi kuwa namba moja kila cku wape nafas na wengine wivu wakuwa ww tu haufai endeleeni kuwakanya na mabondia wengine sio mwakinyo tu wapo wengi
@UKCTV Жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu
@bravosenior2387 Жыл бұрын
Broo tumia vizuri online TV yako Ili upate followers ila taarabu hazikusaidii binafsi mwakinyo kunavitu ananikwaza lakini yeye ni binadamu hajakamilika ila wewe unamambo ya like sana
@lloveyoutanzania5315 Жыл бұрын
Mwakinyo ni bondia wangu pendwa lakini kwa namna alivyo pigana pale jamhuri dodoma stadium sikupenda yaani alikua chini ya kiwango sana
@bonnymwajombe779 Жыл бұрын
Unaonekana unampenda sana mwakinyo ,mimi mtu akinisema mabaya yangu mubashara huwa namchukulia kama rafiki nami humfariji kwa kujirekebisha chap!
@UKCTV Жыл бұрын
Ahsante, na ndivyo inavyotakiwa
@ahmedimakope Жыл бұрын
Well said
@nassoromussa2423 Жыл бұрын
Ww unajuwa kitu gani wamemkwaza inabidi ufanye mahojiano nae mojakwamoja hizo lawama zako uzitapike huwezi jua nn kimetokea na kwa nini haulezi 7bu ya yeye kuwa hivyo.....muwacheni afanye maisha yake, amesota sana
@muhamadsuleiman1671 Жыл бұрын
Ongelea maisha yako kwanza tukusikie
@abdallahkhaliki494310 ай бұрын
Tatizo wa Tanzania tunapenda sana kila mtu kumuendesha tunavyo taka sasa Mwakinyo kosa lake nini?hebu acha kushobokea watu sura na sauti mbaya kama shetani
@lingwamalagila3003 Жыл бұрын
Ni kweli Juzi alicheza chini ya kiwango
@msanifladoro1334 Жыл бұрын
Kumtaka Mwakinyo afanye mnavyopenda nyinyi😂 nisawa na kupigwa na askari kwenye foleni ya kpg kura za siasa y Tanzania yetu😭.
@jaydon3361 Жыл бұрын
We jamaa ni choko, we sio mtangazaji
@ramahpictures3426 Жыл бұрын
Brother wew sio chawa kama kina MWIJAKU na babalevo wew ni mtangazaji aya mambo ya michambo waachie wanawake wew maisha ya mwakinyo na family yake hayakuusu sauti yenyewe ya kutangza huna sauti mpaka ujikamue utatoka mavi bure diomond kamsaidia hamonize na kuna vitu haviko sawa sawa wew mambo yafamilia hayakuusu wew hujui kwann mwakinyo kawapunguza watu kwasababu CHAWA MKUBWA 😂😂😂😂
@jumakaniki5650 Жыл бұрын
Wew huna kazi za kufanya tafuta kazi
@manlematz821 Жыл бұрын
Bro nakushaur achana na ngumi dili na taarabu na umbeya😂😂😂😂 , huu ni uwanawake unaleta,, kwann usimfate mwenyewe kumchana live au unaogopa kukandwa
@hansvanchui2218 Жыл бұрын
Kabxa Kaka Mana kivyoongea Kam kishoga ten kinabana pua 😁😁😁
@robsonsilver3743 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nassoromussa2423 Жыл бұрын
Ww unamuonea wivu embu tulia bhana yaani mtu habari hauna kila siku unamzungumzia Mwakinyo!
@msanifladoro1334 Жыл бұрын
Shida ni Elimu y Mazingira tu,Mimi nampenda king KIBA lakin DIAMOND namuelewa pia.Mi nashiba Kwa tsh 1000/= Ila nafarijika nikiwalisha Kwa tsh 20,000.
@mustafaosman1838 Жыл бұрын
Sasa huyu nichawa au nimuandishi maana ata mm simuelewi
@muyasaidy Жыл бұрын
Upo sahihi
@nassoromussa2423 Жыл бұрын
Yaani mtangazaji huyu akilala anamuota Mwakinyo, akila, akinywa anamuona Mwakinyo yaani mm ananichosha sana....namna yenyewe ya kutangaza hueleweki sijui unaongea vitu gani. Muwacheni bhana afanye maisha yake...ww unamshambulia tu inafaa ungemwita ufanye mahojiano nae tupate uhakika kwa unachokisema! Lkn hao watu unaowataja ungetuonyesha mahojiano yao. Kuhusu kugombana ni vitu vya kawaida yaani ndio madhaifu
@joeljohn4942 Жыл бұрын
Wee kuma tuu, msenge wewe kinyelo chanyoko.
@deodaud3478 Жыл бұрын
Daahh kwer brother umeamua kumchana uyu mwamba sema kwer uyu jamaa sifa sana ya zaid ya sanaa afu ajui kuwa kuwa mafanikio ya mtu yapo mikononi mwa watu . Kwanza mm nachukia uyu mwamba kwa sifa zake mbovu aangalie mabondia wengine wanavoishi . For example Twaha, Ibra, Dulla, Bonabucha, Kidunda , Gariatano, na mabondia wengine wengi wanapendwa na kila mtu iweje ww uchukiwe na kila mtu sababu ni nyodo ulizokuwa nazo acha dharau broh ...
@chiefnumborecords4819 Жыл бұрын
Ndugu yangu nakufuatilia sana safi sana Kwa kumueleza ukweki huyo dogo anayumba Sasa ivi Kwa ujinga wake
@UKCTV Жыл бұрын
Ahsante nashkuru tupo pamoja tusichoke kukumbushana
@fadhilirajabu2816 Жыл бұрын
Mwakinyo jilekebishe mdogo wangu kumbuka ulipotoka duniani tunapita
@UKCTV Жыл бұрын
Kweli kabisa
@andrewmmassy5204 Жыл бұрын
UKC TV ni namba Moja katika kupromoti boxing. Mwakinyo jirekebishe mashabiki wako tunakupenda Ili ufike mbali lazima uwe na watu makini nyuma Yako wanaokusimamia.
@UKCTV Жыл бұрын
Kweli kabisaa ndugu yangu
@tebelehondo8268 Жыл бұрын
Nikwe jamaa kaongea pont sis tunao ishi Tanga twajua nikweli kabsa ndugu yetu anapotea kabsa
@tebelehondo8268 Жыл бұрын
Narudia Tena ni kweli kaka mwambie
@UKCTV Жыл бұрын
@@tebelehondo8268 ahsante ndugu zangu wa Tanga
@mchinaconguest2887 Жыл бұрын
Mchaneee
@UKCTV Жыл бұрын
Kama kawaida mapema tu 🤣
@elizabethachi3049 Жыл бұрын
We fala sana achana na mwakinyo matawi ya juu acha umbea fala wewe,unetumwa na mfaume mfaume nini
@sidearsenal666 Жыл бұрын
Mwakinyo kwanza ana roho mbaya na hili ndio tatizo la wadigo wengi roho mbaya sio wote lakini sisi watu makorola tunamjua vizuri kabisa anapiga watu mtaani haongei mpaka na kakaake wa kuzaliwa nae kabisa hamic mwakinyo na ndio kamfundisha ngumi mwakinyo abadilike aombe msamaha ana majivuno sana anaongea sana mshamba huyo
@UKCTV Жыл бұрын
Kweli kabisa
@kngshassan5202 Жыл бұрын
Unajua tatizo nini mpaka anafanya hivyo usimseme mwakinyo tu pasipokujua nini chanzo broo
@mohamedsalim4226 Жыл бұрын
Acha ujinga uwo mfate mwenyewe umwambie usiropoke au umetuwa?
@nassoromussa2423 Жыл бұрын
Huyu mtangazaji nae apite huku!!
@halfaniabdallah2131 Жыл бұрын
Hunajipya wivu unakusumbua tu utapata tabu sana
@MorganMwaimu-vw3dn Жыл бұрын
Wwe nimsenge ujui chochote
@AMINISINGANO-rc5xf Жыл бұрын
Tafuteni hela acheni kufuatilia maisha ya watu mbwa nyinyi
@allymwachipanga2486 Жыл бұрын
Leo umeongea point
@UKCTV Жыл бұрын
Ahsante
@makupejafar1771 Жыл бұрын
Mwakinyo nikama feisali kakaannje muda mrefu angalia alivyoyumbanae yule msauzi
@makupejafar1771 Жыл бұрын
Kwangu mimi bondia ni kiduku ibra class na pialiali
@edgarmwansasu4743 Жыл бұрын
Duu
@edgarmwansasu4743 Жыл бұрын
Umemuuliza mwakinyo lakin au umepata tasrifa upande mmoja?
@fadhilirajabu2816 Жыл бұрын
Nikweli kabixa dragon huyo mtoto mshamba xna
@UKCTV Жыл бұрын
Na ushamba wenyewe wa kijinga
@AllyMasudy-cm1vl Жыл бұрын
Iyokweli kaka
@UKCTV Жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu
@MorganMwaimu-vw3dn Жыл бұрын
Uyozayumba anatumianguvu kumfitinisha hassan nawatu wake wakaribu wewe unaishi dar unajua nn msilazimishe aonekane mbaya nyie ndowabaya simuangalie maisha yenu kama anaringa muacheni siolazima mue karibu nae kwani shida ipo wapi muacheni na maisha yake
@athumanmanichi9832 Жыл бұрын
Unsongea unafki wewe kila mtu na maisha yake wewe nan
@machinefannatic99 Жыл бұрын
labda 10 percent sio 30... maana tuseme boxer alipwe millioni 100 w=kocha hawezi kuchukua 30 million hapo...
@UKCTV Жыл бұрын
Nimetolea mfano ila haya yote yanazungumzika, si sahihi boxer kuwakimbia waliomfikisha hapo alipo mpaka kujulikana
@danieljustin6989 Жыл бұрын
Inategemea kwann kuwakimbia
@UKCTV Жыл бұрын
@@danieljustin6989 sawa lakini si kila mtu awe adui yako wewe tu
@danieljustin6989 Жыл бұрын
@@UKCTV sipingani na wewe maana mwakinyo naye amezidi ujuaji mwingi zarau kibao sijui kwanini lakini hamuwezi kumbadilisha maana watu wengi kwenye dunia hiii huwa wakipata mafanikio unyenyekevu unawatoka kiburi kinaingia ndani yao sasa ukishindwa kukontroo kiburi bas utakua unagombana na alie mbele yako
@ngarejumaa1730 Жыл бұрын
Mimi nishabikisana wamwakinyo lkn mwenendo uu wakuto kumsikiliza kakayake hamisi atafeli na ashaanza kufeli kutokea pambano la uengereza
@RajabuAlly-g1w Жыл бұрын
Kwani we siufanye mambo mengine kwani huyu mwakinyo mbona anamisumbua sana akili zenu wewe ndio mshamba hivi we unadhani asivi ulaya wakitaja bondia tanzania wanamjua nani zaidi ya mwakinyo acheni wivu tafuteni kazi zakufanya hakuna wakumshusha zaidi ya mungu pekee nyie wangine wivu tuu ndio unawasumbua
@saidabdallah-tu7qh Жыл бұрын
We ni pimbi tu huna lolote km unamuweza mfate unataka umaarufu kupitia mwakinyo kuanzia be Leo Chanel yako hatuangalii
@saidabdallah-tu7qh Жыл бұрын
Unataka umaarufu kupitia champez
@mohamedabubakar4694 Жыл бұрын
Hii chaneli ikiendeleza hizi harakati itashia kuganga njaa tu,kila siku una mua attack hassan mwenyewe hakujib muache wewe sio mama yake,hii ni interview ya 5 una mua attack inaonyesha unamuwaza sana acha upimbi huwezi kutoboa kwa namna hii utaendelea kupata mia saba kila siku